Freely-Given.org Bible PSA Checks

<Up>

Priority Errors

Extra space after chapter number in PSA 2:0

Showing 1 out of 6648 priority errors

Fix Text Errors

PSA 2:0 Extra space after chapter number

PSA 2:0 Removed trailing space in c: 2

PSA 2:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 2

PSA 2:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu

PSA 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya,

PSA 2:1 Removed trailing space in p~: na kabila za watu kula njama bure?

PSA 2:2 Removed trailing space in v~: Wafalme wa dunia wanajipanga

PSA 2:2 Removed trailing space in p~: na watawala wanajikusanya pamoja

PSA 2:2 Removed trailing space in p~: dhidi ya \nd Bwana\nd*

PSA 2:2 Removed trailing space in p~: na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.

PSA 2:3 Removed trailing space in v~: Wanasema, “Tuvunje minyororo yao

PSA 2:3 Removed trailing space in p~: na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”

PSA 2:4 Removed trailing space in v~: Yeye atawalaye mbinguni hucheka,

PSA 2:4 Removed trailing space in p~: Bwana huwadharau.

PSA 2:5 Removed trailing space in v~: Kisha huwakemea katika hasira yake

PSA 2:5 Removed trailing space in p~: na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,

PSA 2:6 Removed trailing space in v~: “Nimemtawaza Mfalme wangu

PSA 2:6 Removed trailing space in p~: juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”

PSA 2:6 Removed trailing space in s1: Ushindi Wa Mfalme

PSA 2:7 Removed trailing space in v~: Nitatangaza amri ya \nd Bwana\nd*:

PSA 2:7 Removed trailing space in p~: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu,

PSA 2:7 Removed trailing space in p~: leo mimi nimekuzaa.

PSA 2:8 Removed trailing space in v~: Niombe, nami nitayafanya mataifa

PSA 2:8 Removed trailing space in p~: kuwa urithi wako,

PSA 2:8 Removed trailing space in p~: miisho ya dunia kuwa milki yako.

PSA 2:9 Removed trailing space in v~: Utawatawala kwa fimbo ya chuma

PSA 2:9 Removed trailing space in p~: na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”

PSA 2:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima;

PSA 2:10 Removed trailing space in p~: mwonyeke, enyi watawala wa dunia.

PSA 2:11 Removed trailing space in v~: Mtumikieni \nd Bwana\nd* kwa hofu

PSA 2:11 Removed trailing space in p~: na mshangilie kwa kutetemeka.

PSA 2:12 Removed trailing space in v~: Mbusu Mwana, asije akakasirika

PSA 2:12 Removed trailing space in p~: nawe ukaangamizwa katika njia yako,

PSA 2:12 Removed trailing space in p~: kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula.

PSA 2:12 Removed trailing space in p~: Heri wote wanaomkimbilia.

PSA 3:0 Extra space after chapter number

PSA 3:0 Removed trailing space in c: 3

PSA 3:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 3

PSA 3:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Asubuhi Ya Kuomba Msaada

PSA 3:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu.

PSA 3:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tazama adui zangu walivyo wengi!

PSA 3:1 Removed trailing space in p~: Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!

PSA 3:2 Removed trailing space in v~: Wengi wanasema juu yangu,

PSA 3:2 Removed trailing space in p~: “Mungu hatamwokoa.”

PSA 3:3 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ni ngao pande zote;

PSA 3:3 Removed trailing space in p~: umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.

PSA 3:4 Removed trailing space in v~: Ninamlilia \nd Bwana\nd* kwa sauti kuu,

PSA 3:4 Removed trailing space in p~: naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.

PSA 3:5 Removed trailing space in v~: Ninajilaza na kupata usingizi;

PSA 3:5 Removed trailing space in p~: naamka tena, kwa maana \nd Bwana\nd* hunitegemeza.

PSA 3:6 Removed trailing space in v~: Sitaogopa makumi elfu ya adui,

PSA 3:6 Removed trailing space in p~: wanaojipanga dhidi yangu kila upande.

PSA 3:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, amka!

PSA 3:7 Removed trailing space in p~: Niokoe, Ee Mungu wangu!

PSA 3:7 Removed trailing space in p~: Wapige adui zangu wote kwenye taya,

PSA 3:7 Removed trailing space in p~: vunja meno ya waovu.

PSA 3:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana wokovu watoka kwa \nd Bwana\nd*.

PSA 3:8 Removed trailing space in p~: Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

PSA 4:0 Extra space after chapter number

PSA 4:0 Removed trailing space in c: 4

PSA 4:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 4

PSA 4:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Jioni Ya Kuomba Msaada

PSA 4:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi.

PSA 4:1 Removed trailing space in v~: Nijibu nikuitapo,

PSA 4:1 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wangu mwenye haki!

PSA 4:1 Removed trailing space in p~: Nipumzishe katika shida zangu;

PSA 4:1 Removed trailing space in p~: nirehemu, usikie ombi langu.

PSA 4:2 Removed trailing space in v~: Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu

PSA 4:2 Removed trailing space in p~: kuwa aibu mpaka lini?

PSA 4:2 Removed trailing space in p~: Mtapenda udanganyifu

PSA 4:2 Removed trailing space in p~: na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?

PSA 4:3 Removed trailing space in v~: Fahamuni hakika kwamba \nd Bwana\nd* amewatenga

PSA 4:3 Removed trailing space in p~: wale wamchao kwa ajili yake;

PSA 4:3 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atanisikia nimwitapo.

PSA 4:4 Removed trailing space in v~: Katika hasira yako, usitende dhambi.

PSA 4:4 Removed trailing space in p~: Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya

PSA 4:4 Removed trailing space in p~: mkiichunguza mioyo yenu.

PSA 4:5 Removed trailing space in v~: Toeni dhabihu zilizo haki;

PSA 4:5 Removed trailing space in p~: mtegemeeni \nd Bwana\nd*.

PSA 4:6 Removed trailing space in v~: Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye

PSA 4:6 Removed trailing space in p~: kutuonyesha jema lolote?”

PSA 4:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, tuangazie nuru ya uso wako.

PSA 4:7 Removed trailing space in v~: Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa

PSA 4:7 Removed trailing space in p~: kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.

PSA 4:8 Removed trailing space in v~: Nitajilaza chini na kulala kwa amani,

PSA 4:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wewe peke yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 4:8 Removed trailing space in p~: waniwezesha kukaa kwa salama.

PSA 5:0 Extra space after chapter number

PSA 5:0 Removed trailing space in c: 5

PSA 5:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 5

PSA 5:0 Removed trailing space in s1: Sala Kwa Ajili Ya Ulinzi Wakati Wa Hatari

PSA 5:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa filimbi. Zaburi ya Daudi.

PSA 5:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tegea sikio maneno yangu,

PSA 5:1 Removed trailing space in p~: uangalie kupiga kite kwangu.

PSA 5:2 Removed trailing space in v~: Sikiliza kilio changu ili unisaidie,

PSA 5:2 Removed trailing space in p~: Mfalme wangu na Mungu wangu,

PSA 5:2 Removed trailing space in p~: kwa maana kwako ninaomba.

PSA 5:3 Removed trailing space in v~: Asubuhi, unasikia sauti yangu, Ee \nd Bwana\nd*;

PSA 5:3 Removed trailing space in p~: asubuhi naleta haja zangu mbele zako,

PSA 5:3 Removed trailing space in p~: na kusubiri kwa matumaini.

PSA 5:4 Removed trailing space in v~: Wewe si Mungu unayefurahia uovu,

PSA 5:4 Removed trailing space in p~: kwako mtu mwovu hataishi.

PSA 5:5 Removed trailing space in v~: Wenye kiburi hawawezi kusimama mbele yako,

PSA 5:5 Removed trailing space in p~: unawachukia wote watendao mabaya.

PSA 5:6 Removed trailing space in v~: Unawaangamiza wasemao uongo.

PSA 5:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwachukia

PSA 5:6 Removed trailing space in p~: wamwagao damu na wadanganyifu.

PSA 5:7 Removed trailing space in v~: Lakini mimi, kwa rehema zako kuu,

PSA 5:7 Removed trailing space in p~: nitakuja katika nyumba yako,

PSA 5:7 Removed trailing space in p~: kwa unyenyekevu, nitasujudu

PSA 5:7 Removed trailing space in p~: kuelekea Hekalu lako takatifu.

PSA 5:8 Removed trailing space in v~: Niongoze katika haki yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 5:8 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya adui zangu,

PSA 5:8 Removed trailing space in p~: nyoosha njia yako mbele yangu.

PSA 5:9 Removed trailing space in v~: Hakuna neno kinywani mwao linaloweza kuaminika,

PSA 5:9 Removed trailing space in p~: mioyo yao imejaa maangamizi.

PSA 5:9 Removed trailing space in p~: Koo lao ni kaburi lililo wazi,

PSA 5:9 Removed trailing space in p~: kwa ndimi zao, wao hunena udanganyifu.

PSA 5:10 Removed trailing space in v~: Uwatangaze kuwa wenye hatia, Ee Mungu!

PSA 5:10 Removed trailing space in p~: Hila zao ziwe anguko lao wenyewe.

PSA 5:10 Removed trailing space in p~: Wafukuzie mbali kwa sababu ya dhambi zao nyingi,

PSA 5:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamekuasi wewe.

PSA 5:11 Removed trailing space in v~: Lakini wote wakimbiliao kwako na wafurahi,

PSA 5:11 Removed trailing space in p~: waimbe kwa shangwe daima.

PSA 5:11 Removed trailing space in p~: Ueneze ulinzi wako juu yao,

PSA 5:11 Removed trailing space in p~: ili wale wapendao jina lako

PSA 5:11 Removed trailing space in p~: wapate kukushangilia.

PSA 5:12 Removed trailing space in v~: Kwa hakika, Ee \nd Bwana\nd*, unawabariki wenye haki,

PSA 5:12 Removed trailing space in p~: unawazunguka kwa wema wako kama ngao.

PSA 6:0 Extra space after chapter number

PSA 6:0 Removed trailing space in c: 6

PSA 6:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 6

PSA 6:0 Removed trailing space in s1: Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu

PSA 6:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi.\f + \fr 6:0 \fq Sheminithi \ft ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji.\f* Zaburi ya Daudi.

PSA 6:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usinikemee katika hasira yako,

PSA 6:1 Removed trailing space in p~: wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.

PSA 6:2 Removed trailing space in v~: Unirehemu \nd Bwana\nd*,

PSA 6:2 Removed trailing space in p~: kwa maana nimedhoofika;

PSA 6:2 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, uniponye,

PSA 6:2 Removed trailing space in p~: kwa maana mifupa yangu

PSA 6:2 Removed trailing space in p~: ina maumivu makali.

PSA 6:3 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu ina uchungu mwingi.

PSA 6:3 Removed trailing space in p~: Mpaka lini, Ee \nd Bwana\nd*, mpaka lini?

PSA 6:4 Removed trailing space in v~: Geuka Ee \nd Bwana\nd*, unikomboe,

PSA 6:4 Removed trailing space in p~: uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.

PSA 6:5 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu anayekukumbuka

PSA 6:5 Removed trailing space in p~: akiwa amekufa.

PSA 6:5 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kukusifu

PSA 6:5 Removed trailing space in p~: akiwa kuzimu?

PSA 6:6 Removed trailing space in v~: Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;

PSA 6:6 Removed trailing space in p~: usiku kucha nafurikisha

PSA 6:6 Removed trailing space in p~: kitanda changu kwa machozi;

PSA 6:6 Removed trailing space in p~: nimelowesha viti vyangu vya fahari

PSA 6:6 Removed trailing space in p~: kwa machozi.

PSA 6:7 Removed trailing space in v~: Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,

PSA 6:7 Removed trailing space in p~: yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.

PSA 6:8 Removed trailing space in v~: Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,

PSA 6:8 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* amesikia kulia kwangu.

PSA 6:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amesikia kilio changu kwa huruma,

PSA 6:9 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amekubali sala yangu.

PSA 6:10 Removed trailing space in v~: Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika,

PSA 6:10 Removed trailing space in p~: watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.

PSA 7:0 Extra space after chapter number

PSA 7:0 Removed trailing space in c: 7

PSA 7:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 7

PSA 7:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Mtu Anayedhulumiwa

PSA 7:0 Removed trailing space in d: Ombolezo la Daudi kwa \nd Bwana\nd* kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini.

PSA 7:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe,

PSA 7:1 Removed trailing space in p~: uniokoe na kunikomboa na wote wanaonifuatia,

PSA 7:2 Removed trailing space in v~: la sivyo watanirarua kama simba

PSA 7:2 Removed trailing space in p~: na kunichana vipande vipande, asiwepo wa kuniokoa.

PSA 7:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, kama nimetenda haya

PSA 7:3 Removed trailing space in p~: na kuna hatia mikononi mwangu,

PSA 7:4 Removed trailing space in v~: au ikiwa nimemtenda uovu aliye na amani nami,

PSA 7:4 Removed trailing space in p~: au nimemnyangʼanya adui yangu pasipo sababu,

PSA 7:5 Removed trailing space in v~: basi adui anifuatie na kunipata,

PSA 7:5 Removed trailing space in p~: auponde uhai wangu ardhini

PSA 7:5 Removed trailing space in p~: na kunilaza mavumbini.

PSA 7:6 Removed trailing space in v~: Amka kwa hasira yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 7:6 Removed trailing space in p~: inuka dhidi ya ghadhabu ya adui zangu.

PSA 7:6 Removed trailing space in p~: Amka, Mungu wangu, uamue haki.

PSA 7:7 Removed trailing space in v~: Kusanyiko la watu na likuzunguke.

PSA 7:7 Removed trailing space in p~: Watawale kutoka juu.

PSA 7:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na awahukumu kabila za watu.

PSA 7:8 Removed trailing space in p~: Nihukumu Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 7:8 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya haki yangu,

PSA 7:8 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya uadilifu wangu,

PSA 7:8 Removed trailing space in p~: Ewe Uliye Juu Sana.

PSA 7:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu mwenye haki,

PSA 7:9 Removed trailing space in p~: uchunguzaye mawazo na mioyo,

PSA 7:9 Removed trailing space in p~: komesha ghasia za waovu

PSA 7:9 Removed trailing space in p~: na ufanye wenye haki waishi kwa amani.

PSA 7:10 Removed trailing space in v~: Ngao langu ni Mungu Aliye Juu Sana,

PSA 7:10 Removed trailing space in p~: awaokoaye wanyofu wa moyo.

PSA 7:11 Removed trailing space in v~: Mungu ni mwamuzi mwenye haki,

PSA 7:11 Removed trailing space in p~: Mungu aghadhibikaye kila siku.

PSA 7:12 Removed trailing space in v~: Kama hakutuhurumia,

PSA 7:12 Removed trailing space in p~: atanoa upanga wake,

PSA 7:12 Removed trailing space in p~: ataupinda na kuufunga uzi upinde wake.

PSA 7:13 Removed trailing space in v~: Ameandaa silaha zake kali,

PSA 7:13 Removed trailing space in p~: ameweka tayari mishale yake ya moto.

PSA 7:14 Removed trailing space in v~: Yeye aliye na mimba ya uovu

PSA 7:14 Removed trailing space in p~: na achukuaye mimba ya ghasia huzaa uongo.

PSA 7:15 Removed trailing space in v~: Yeye achimbaye shimo na kulifukua

PSA 7:15 Removed trailing space in p~: hutumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.

PSA 7:16 Removed trailing space in v~: Ghasia azianzishazo humrudia mwenyewe,

PSA 7:16 Removed trailing space in p~: ukatili wake humrudia kichwani.

PSA 7:17 Removed trailing space in v~: Nitamshukuru \nd Bwana\nd* kwa ajili ya haki yake,

PSA 7:17 Removed trailing space in p~: na nitaliimbia sifa jina la \nd Bwana\nd* Aliye Juu Sana.

PSA 8:0 Extra space after chapter number

PSA 8:0 Removed trailing space in c: 8

PSA 8:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 8

PSA 8:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa Mungu Na Heshima Ya Mwanadamu

PSA 8:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi.

PSA 8:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Bwana wetu,

PSA 8:1 Removed trailing space in p~: tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!

PSA 8:1 Removed trailing space in p~: Umeuweka utukufu wako

PSA 8:1 Removed trailing space in p~: juu ya mbingu.

PSA 8:2 Removed trailing space in v~: Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao

PSA 8:2 Removed trailing space in p~: umeamuru sifa,

PSA 8:2 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya watesi wako,

PSA 8:2 Removed trailing space in p~: kumnyamazisha adui na mlipiza kisasi.

PSA 8:3 Removed trailing space in v~: Nikiziangalia mbingu zako,

PSA 8:3 Removed trailing space in p~: kazi ya vidole vyako,

PSA 8:3 Removed trailing space in p~: mwezi na nyota,

PSA 8:3 Removed trailing space in p~: ulizoziratibisha,

PSA 8:4 Removed trailing space in v~: mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,

PSA 8:4 Removed trailing space in p~: binadamu ni nani hata unamjali?

PSA 8:5 Removed trailing space in v~: Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni,

PSA 8:5 Removed trailing space in p~: ukamvika taji ya utukufu na heshima.

PSA 8:6 Removed trailing space in v~: Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako;

PSA 8:6 Removed trailing space in p~: umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.

PSA 8:7 Removed trailing space in v~: Mifugo na makundi yote pia,

PSA 8:7 Removed trailing space in p~: naam, na wanyama wa kondeni,

PSA 8:8 Removed trailing space in v~: ndege wa angani na samaki wa baharini,

PSA 8:8 Removed trailing space in p~: naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.

PSA 8:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Bwana wetu,

PSA 8:9 Removed trailing space in p~: tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!

PSA 9:0 Extra space after chapter number

PSA 9:0 Removed trailing space in c: 9

PSA 9:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 9\f + \fr 9 \ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 10 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 9:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake

PSA 9:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni.\f + \fr 9:0 \ft Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki.\f* Zaburi ya Daudi.

PSA 9:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,

PSA 9:1 Removed trailing space in p~: nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.

PSA 9:2 Removed trailing space in v~: Nitafurahi na kushangilia ndani yako.

PSA 9:2 Removed trailing space in p~: Nitaliimbia sifa jina lako, Ewe Uliye Juu Sana.

PSA 9:3 Removed trailing space in v~: Adui zangu wamerudi nyuma,

PSA 9:3 Removed trailing space in p~: wamejikwaa na kuangamia mbele zako.

PSA 9:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu;

PSA 9:4 Removed trailing space in p~: umeketi kwenye kiti chako cha enzi,

PSA 9:4 Removed trailing space in p~: ukihukumu kwa haki.

PSA 9:5 Removed trailing space in v~: Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu;

PSA 9:5 Removed trailing space in p~: umeyafuta majina yao milele na milele.

PSA 9:6 Removed trailing space in v~: Uharibifu usiokoma umempata adui,

PSA 9:6 Removed trailing space in p~: umeingʼoa miji yao;

PSA 9:6 Removed trailing space in p~: hata kumbukumbu lao limetoweka.

PSA 9:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatawala milele,

PSA 9:7 Removed trailing space in p~: ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.

PSA 9:8 Removed trailing space in v~: Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki,

PSA 9:8 Removed trailing space in p~: atatawala mataifa kwa haki.

PSA 9:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni kimbilio la watu wanaoonewa,

PSA 9:9 Removed trailing space in p~: ni ngome imara wakati wa shida.

PSA 9:10 Removed trailing space in v~: Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe,

PSA 9:10 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe \nd Bwana\nd*,

PSA 9:10 Removed trailing space in p~: hujawaacha kamwe wakutafutao.

PSA 9:11 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* sifa, amefanywa mtawala Sayuni,

PSA 9:11 Removed trailing space in p~: tangazeni miongoni mwa mataifa, yale aliyoyatenda.

PSA 9:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana yeye alipizaye kisasi cha damu hukumbuka,

PSA 9:12 Removed trailing space in p~: hapuuzi kilio cha wanaoonewa.

PSA 9:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tazama jinsi walivyo wengi adui zangu wanaonitesa!

PSA 9:13 Removed trailing space in p~: Nihurumie, uniinue kutoka malango ya mauti,

PSA 9:14 Removed trailing space in v~: ili niweze kutangaza sifa zako

PSA 9:14 Removed trailing space in p~: katika malango ya Binti Sayuni

PSA 9:14 Removed trailing space in p~: na huko niushangilie wokovu wako.

PSA 9:15 Removed trailing space in v~: Mataifa wameanguka kwenye shimo walilolichimba,

PSA 9:15 Removed trailing space in p~: miguu yao imenaswa kwenye wavu waliouficha.

PSA 9:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anajulikana kwa haki yake,

PSA 9:16 Removed trailing space in p~: waovu wamenaswa katika kazi za mikono yao.

PSA 9:17 Removed trailing space in v~: Waovu wataishia kuzimu,

PSA 9:17 Removed trailing space in p~: naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.

PSA 9:18 Removed trailing space in v~: Lakini mhitaji hatasahaulika siku zote,

PSA 9:18 Removed trailing space in p~: wala matumaini ya walioonewa hayatapotea.

PSA 9:19 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, inuka, usimwache binadamu ashinde.

PSA 9:19 Removed trailing space in p~: Mataifa na yahukumiwe mbele zako.

PSA 9:20 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wapige kwa hofu,

PSA 9:20 Removed trailing space in p~: mataifa na yajue kuwa wao ni watu tu.

PSA 10:0 Extra space after chapter number

PSA 10:0 Removed trailing space in c: 10

PSA 10:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 10\f + \fr 10 \ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 9 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 10:0 Removed trailing space in s1: Sala Kwa Ajili Ya Haki

PSA 10:1 Removed trailing space in v~: Kwa nini, Ee \nd Bwana\nd*, unasimama mbali?

PSA 10:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini unajificha wakati wa shida?

PSA 10:2 Removed trailing space in v~: Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,

PSA 10:2 Removed trailing space in p~: waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.

PSA 10:3 Removed trailing space in v~: Hujivunia tamaa za moyo wake;

PSA 10:3 Removed trailing space in p~: humbariki mlafi na kumtukana \nd Bwana\nd*.

PSA 10:4 Removed trailing space in v~: Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,

PSA 10:4 Removed trailing space in p~: katika mawazo yake yote

PSA 10:4 Removed trailing space in p~: hakuna nafasi ya Mungu.

PSA 10:5 Removed trailing space in v~: Njia zake daima hufanikiwa;

PSA 10:5 Removed trailing space in p~: hujivuna na amri zako ziko mbali naye,

PSA 10:5 Removed trailing space in p~: huwacheka kwa dharau adui zake wote.

PSA 10:6 Removed trailing space in v~: Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,

PSA 10:6 Removed trailing space in p~: daima nitakuwa na furaha,

PSA 10:6 Removed trailing space in p~: kamwe sitakuwa na shida.”

PSA 10:7 Removed trailing space in v~: Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;

PSA 10:7 Removed trailing space in p~: shida na ubaya viko chini ya ulimi wake.

PSA 10:8 Removed trailing space in v~: Huvizia karibu na vijiji;

PSA 10:8 Removed trailing space in p~: kutoka mafichoni huwanasa wasio na hatia,

PSA 10:8 Removed trailing space in p~: akivizia wapitaji.

PSA 10:9 Removed trailing space in v~: Huvizia kama simba aliye mawindoni;

PSA 10:9 Removed trailing space in p~: huvizia kumkamata mnyonge,

PSA 10:9 Removed trailing space in p~: huwakamata wanyonge na kuwaburuza

PSA 10:9 Removed trailing space in p~: katika wavu wake.

PSA 10:10 Removed trailing space in v~: Mateka wake hupondwa, huzimia;

PSA 10:10 Removed trailing space in p~: wanaanguka katika nguvu zake.

PSA 10:11 Removed trailing space in v~: Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,

PSA 10:11 Removed trailing space in p~: huficha uso wake na haoni kabisa.”

PSA 10:12 Removed trailing space in v~: Inuka \nd Bwana\nd*! Inua mkono wako, Ee Mungu.

PSA 10:12 Removed trailing space in p~: Usiwasahau wanyonge.

PSA 10:13 Removed trailing space in v~: Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?

PSA 10:13 Removed trailing space in p~: Kwa nini anajiambia mwenyewe,

PSA 10:13 Removed trailing space in p~: “Hataniita nitoe hesabu?”

PSA 10:14 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,

PSA 10:14 Removed trailing space in p~: umekubali kuyapokea mkononi mwako.

PSA 10:14 Removed trailing space in p~: Mhanga anajisalimisha kwako,

PSA 10:14 Removed trailing space in p~: wewe ni msaada wa yatima.

PSA 10:15 Removed trailing space in v~: Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,

PSA 10:15 Removed trailing space in p~: mwite atoe hesabu ya maovu yake

PSA 10:15 Removed trailing space in p~: ambayo yasingejulikana.

PSA 10:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni Mfalme milele na milele,

PSA 10:16 Removed trailing space in p~: mataifa wataangamia watoke nchini mwake.

PSA 10:17 Removed trailing space in v~: Unasikia, Ee \nd Bwana\nd*, shauku ya wanaoonewa,

PSA 10:17 Removed trailing space in p~: wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,

PSA 10:18 Removed trailing space in v~: ukiwatetea yatima na walioonewa,

PSA 10:18 Removed trailing space in p~: ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.

PSA 11:0 Extra space after chapter number

PSA 11:0 Removed trailing space in c: 11

PSA 11:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 11

PSA 11:0 Removed trailing space in s1: Kumtumaini \nd Bwana\nd*

PSA 11:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 11:1 Removed trailing space in v~: Kwa \nd Bwana\nd* ninakimbilia,

PSA 11:1 Removed trailing space in p~: unawezaje basi kuniambia:

PSA 11:1 Removed trailing space in p~: “Ruka kama ndege kwenye mlima wako.

PSA 11:2 Removed trailing space in v~: Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao,

PSA 11:2 Removed trailing space in p~: huweka mishale kwenye uzi wake,

PSA 11:2 Removed trailing space in p~: wakiwa gizani ili kuwapiga

PSA 11:2 Removed trailing space in p~: wale wanyofu wa moyo.

PSA 11:3 Removed trailing space in v~: Wakati misingi imeharibiwa,

PSA 11:3 Removed trailing space in p~: mwenye haki anaweza kufanya nini?”

PSA 11:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yuko ndani ya Hekalu lake takatifu;

PSA 11:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni.

PSA 11:4 Removed trailing space in p~: Huwaangalia wana wa watu,

PSA 11:4 Removed trailing space in p~: macho yake yanawajaribu.

PSA 11:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwajaribu wenye haki,

PSA 11:5 Removed trailing space in p~: lakini waovu na wanaopenda jeuri,

PSA 11:5 Removed trailing space in p~: nafsi yake huwachukia.

PSA 11:6 Removed trailing space in v~: Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali

PSA 11:6 Removed trailing space in p~: na kiberiti kinachowaka,

PSA 11:6 Removed trailing space in p~: upepo wenye joto kali ndio fungu lao.

PSA 11:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mwenye haki,

PSA 11:7 Removed trailing space in p~: yeye hupenda haki.

PSA 11:7 Removed trailing space in p~: Wanyofu watauona uso wake.

PSA 12:0 Extra space after chapter number

PSA 12:0 Removed trailing space in c: 12

PSA 12:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 12

PSA 12:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 12:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.

PSA 12:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;

PSA 12:1 Removed trailing space in p~: waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.

PSA 12:2 Removed trailing space in v~: Kila mmoja humwambia jirani yake uongo;

PSA 12:2 Removed trailing space in p~: midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.

PSA 12:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na akatilie mbali midomo yote ya hila

PSA 12:3 Removed trailing space in p~: na kila ulimi uliojaa majivuno,

PSA 12:4 Removed trailing space in v~: ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda;

PSA 12:4 Removed trailing space in p~: midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”

PSA 12:5 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge

PSA 12:5 Removed trailing space in p~: na kulia kwa uchungu kwa wahitaji,

PSA 12:5 Removed trailing space in p~: nitainuka sasa,” asema \nd Bwana\nd*.

PSA 12:5 Removed trailing space in p~: “Nitawalinda kutokana na wale

PSA 12:5 Removed trailing space in p~: wenye nia mbaya juu yao.”

PSA 12:6 Removed trailing space in v~: Maneno ya \nd Bwana\nd* ni safi,

PSA 12:6 Removed trailing space in p~: kama fedha iliyosafishwa katika tanuru,

PSA 12:6 Removed trailing space in p~: iliyosafishwa mara saba.

PSA 12:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, utatuweka salama

PSA 12:7 Removed trailing space in p~: na kutulinda na kizazi hiki milele.

PSA 12:8 Removed trailing space in v~: Watu waovu huenda wakiringa kila mahali

PSA 12:8 Removed trailing space in p~: wakati ambapo yule aliye mbaya sana

PSA 12:8 Removed trailing space in p~: ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.

PSA 13:0 Extra space after chapter number

PSA 13:0 Removed trailing space in c: 13

PSA 13:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 13

PSA 13:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Kuomba Msaada

PSA 13:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 13:1 Removed trailing space in v~: Mpaka lini, Ee \nd Bwana\nd*? Je, utanisahau milele?

PSA 13:1 Removed trailing space in p~: Utanificha uso wako mpaka lini?

PSA 13:2 Removed trailing space in v~: Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini,

PSA 13:2 Removed trailing space in p~: na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu?

PSA 13:2 Removed trailing space in p~: Adui zangu watanishinda mpaka lini?

PSA 13:3 Removed trailing space in v~: Nitazame, unijibu, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu.

PSA 13:3 Removed trailing space in p~: Yatie nuru macho yangu,

PSA 13:3 Removed trailing space in p~: ama sivyo nitalala usingizi wa mauti.

PSA 13:4 Removed trailing space in v~: Adui yangu atasema, “Nimemshinda,”

PSA 13:4 Removed trailing space in p~: nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.

PSA 13:5 Removed trailing space in v~: Lakini ninategemea upendo wako usiokoma;

PSA 13:5 Removed trailing space in p~: moyo wangu unashangilia katika wokovu wako.

PSA 13:6 Removed trailing space in v~: Nitamwimbia \nd Bwana\nd*,

PSA 13:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amekuwa mwema kwangu.

PSA 14:0 Extra space after chapter number

PSA 14:0 Removed trailing space in c: 14

PSA 14:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 14

PSA 14:0 Removed trailing space in s1: Uovu Wa Wanadamu

PSA 14:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 53)

PSA 14:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 14:1 Removed trailing space in v~: Mpumbavu anasema moyoni mwake,

PSA 14:1 Removed trailing space in p~: “Hakuna Mungu.”

PSA 14:1 Removed trailing space in p~: Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa;

PSA 14:1 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja atendaye mema.

PSA 14:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anawachungulia wanadamu chini

PSA 14:2 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni

PSA 14:2 Removed trailing space in p~: aone kama wako wenye akili,

PSA 14:2 Removed trailing space in p~: wowote wanaomtafuta Mungu.

PSA 14:3 Removed trailing space in v~: Wote wamepotoka,

PSA 14:3 Removed trailing space in p~: wameharibika wote pamoja,

PSA 14:3 Removed trailing space in p~: hakuna atendaye mema.

PSA 14:3 Removed trailing space in p~: Naam, hakuna hata mmoja!

PSA 14:4 Removed trailing space in v~: Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

PSA 14:4 Removed trailing space in p~: wale ambao huwala watu wangu

PSA 14:4 Removed trailing space in p~: kama watu walavyo mkate,

PSA 14:4 Removed trailing space in p~: hao ambao hawamwiti \nd Bwana\nd*?

PSA 14:5 Removed trailing space in v~: Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu,

PSA 14:5 Removed trailing space in p~: maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.

PSA 14:6 Removed trailing space in v~: Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini,

PSA 14:6 Removed trailing space in p~: bali \nd Bwana\nd* ndiye kimbilio lao.

PSA 14:7 Removed trailing space in v~: Laiti wokovu wa Israeli

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: ungalikuja kutoka Sayuni!

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: Wakati \nd Bwana\nd* arejeshapo

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: wafungwa wa watu wake,

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: Yakobo na ashangilie,

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: Israeli na afurahi!

PSA 15:0 Extra space after chapter number

PSA 15:0 Removed trailing space in c: 15

PSA 15:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 15

PSA 15:0 Removed trailing space in s1: Kitu Mungu Anachotaka

PSA 15:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 15:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, ni nani awezaye kukaa

PSA 15:1 Removed trailing space in p~: katika Hekalu lako?

PSA 15:1 Removed trailing space in p~: Nani awezaye kuishi

PSA 15:1 Removed trailing space in p~: katika mlima wako mtakatifu?

PSA 15:2 Removed trailing space in v~: Ni yule aendaye pasipo mawaa,

PSA 15:2 Removed trailing space in p~: atendaye yaliyo haki,

PSA 15:2 Removed trailing space in p~: asemaye kweli toka moyoni mwake,

PSA 15:3 Removed trailing space in v~: na hana masingizio ulimini mwake,

PSA 15:3 Removed trailing space in p~: asiyemtenda jirani yake vibaya,

PSA 15:3 Removed trailing space in p~: na asiyemsingizia mwenzake,

PSA 15:4 Removed trailing space in v~: ambaye humdharau mtu mbaya,

PSA 15:4 Removed trailing space in p~: lakini huwaheshimu wale wamwogopao \nd Bwana\nd*,

PSA 15:4 Removed trailing space in p~: yule atunzaye kiapo chake

PSA 15:4 Removed trailing space in p~: hata kama anaumia.

PSA 15:5 Removed trailing space in v~: Yeye akopeshaye fedha yake bila riba,

PSA 15:5 Removed trailing space in p~: na hapokei rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.

PSA 15:5 Removed trailing space in p~: Mtu afanyaye haya

PSA 15:5 Removed trailing space in p~: kamwe hatatikisika.

PSA 16:0 Extra space after chapter number

PSA 16:0 Removed trailing space in c: 16

PSA 16:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 16

PSA 16:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Matumaini

PSA 16:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Daudi.

PSA 16:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uniweke salama,

PSA 16:1 Removed trailing space in p~: kwa maana kwako nimekimbilia.

PSA 16:2 Removed trailing space in v~: Nilimwambia \nd Bwana\nd*, “Wewe ndiwe Bwana wangu;

PSA 16:2 Removed trailing space in p~: pasipo wewe sina jambo jema.”

PSA 16:3 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya watakatifu walioko duniani,

PSA 16:3 Removed trailing space in p~: ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.

PSA 16:4 Removed trailing space in v~: Huzuni itaongezeka kwa wale

PSA 16:4 Removed trailing space in p~: wanaokimbilia miungu mingine.

PSA 16:4 Removed trailing space in p~: Sitazimimina sadaka zao za damu

PSA 16:4 Removed trailing space in p~: au kutaja majina yao midomoni mwangu.

PSA 16:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* umeniwekea fungu langu na kikombe changu;

PSA 16:5 Removed trailing space in p~: umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.

PSA 16:6 Removed trailing space in v~: Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri,

PSA 16:6 Removed trailing space in p~: hakika nimepata urithi mzuri.

PSA 16:7 Removed trailing space in v~: Nitamsifu \nd Bwana\nd* ambaye hunishauri,

PSA 16:7 Removed trailing space in p~: hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.

PSA 16:8 Removed trailing space in v~: Nimemweka \nd Bwana\nd* mbele yangu daima.

PSA 16:8 Removed trailing space in p~: Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume,

PSA 16:8 Removed trailing space in p~: sitatikisika.

PSA 16:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia;

PSA 16:9 Removed trailing space in p~: mwili wangu nao utapumzika salama,

PSA 16:10 Removed trailing space in v~: kwa maana hutaniacha kaburini,

PSA 16:10 Removed trailing space in p~: wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu.

PSA 16:11 Removed trailing space in v~: Umenijulisha njia ya uzima;

PSA 16:11 Removed trailing space in p~: utanijaza na furaha mbele zako,

PSA 16:11 Removed trailing space in p~: pamoja na furaha za milele

PSA 16:11 Removed trailing space in p~: katika mkono wako wa kuume.

PSA 17:0 Extra space after chapter number

PSA 17:0 Removed trailing space in c: 17

PSA 17:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 17

PSA 17:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Mtu Asiye Na Hatia

PSA 17:0 Removed trailing space in d: Sala ya Daudi.

PSA 17:1 Removed trailing space in v~: Sikia, Ee \nd Bwana\nd*, kusihi kwangu kwa haki,

PSA 17:1 Removed trailing space in p~: sikiliza kilio changu.

PSA 17:1 Removed trailing space in p~: Tega sikio kwa ombi langu,

PSA 17:1 Removed trailing space in p~: halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.

PSA 17:2 Removed trailing space in v~: Hukumu yangu na itoke kwako,

PSA 17:2 Removed trailing space in p~: macho yako na yaone yale yaliyo haki.

PSA 17:3 Removed trailing space in v~: Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku,

PSA 17:3 Removed trailing space in p~: ingawa umenijaribu, hutaona chochote.

PSA 17:3 Removed trailing space in p~: Nimeamua kwamba kinywa changu

PSA 17:3 Removed trailing space in p~: hakitatenda dhambi.

PSA 17:4 Removed trailing space in v~: Kuhusu matendo ya wanadamu:

PSA 17:4 Removed trailing space in p~: kwa neno la midomo yako,

PSA 17:4 Removed trailing space in p~: nimejiepusha

PSA 17:4 Removed trailing space in p~: na njia za wenye jeuri.

PSA 17:5 Removed trailing space in v~: Hatua zangu zimeshikamana na njia zako;

PSA 17:5 Removed trailing space in p~: nyayo zangu hazikuteleza.

PSA 17:6 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu,

PSA 17:6 Removed trailing space in p~: nitegee sikio lako na usikie ombi langu.

PSA 17:7 Removed trailing space in v~: Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu,

PSA 17:7 Removed trailing space in p~: wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume

PSA 17:7 Removed trailing space in p~: wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.

PSA 17:8 Removed trailing space in v~: Nilinde kama mboni ya jicho lako,

PSA 17:8 Removed trailing space in p~: unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako

PSA 17:9 Removed trailing space in v~: kutokana na waovu wanaonishambulia,

PSA 17:9 Removed trailing space in p~: kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.

PSA 17:10 Removed trailing space in v~: Huifunga mioyo yao iliyo migumu,

PSA 17:10 Removed trailing space in p~: vinywa vyao hunena kwa majivuno.

PSA 17:11 Removed trailing space in v~: Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira,

PSA 17:11 Removed trailing space in p~: wakiwa macho, waniangushe chini.

PSA 17:12 Removed trailing space in v~: Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye,

PSA 17:12 Removed trailing space in p~: kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.

PSA 17:13 Removed trailing space in v~: Inuka, Ee \nd Bwana\nd*, pambana nao, uwaangushe,

PSA 17:13 Removed trailing space in p~: niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.

PSA 17:14 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii,

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: kutokana na watu wa ulimwengu huu

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: ambao fungu lao liko katika maisha haya.

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: Na wapate adhabu ya kuwatosha.

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: Watoto wao na wapate zaidi ya hayo,

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.

PSA 17:15 Removed trailing space in v~: Na mimi katika haki nitauona uso wako,

PSA 17:15 Removed trailing space in p~: niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.

PSA 18:0 Extra space after chapter number

PSA 18:0 Removed trailing space in c: 18

PSA 18:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 18

PSA 18:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi

PSA 18:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 22:1-51)

PSA 18:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliyomwimbia \nd Bwana\nd* wakati \nd Bwana\nd* alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:

PSA 18:1 Removed trailing space in v~: Nakupenda wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 18:1 Removed trailing space in p~: nguvu yangu.

PSA 18:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwamba wangu,

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: ngome yangu na mwokozi wangu,

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: Mungu wangu ni mwamba,

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: ambaye kwake ninakimbilia.

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngao yangu na pembe ya wokovu wangu,

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: ngome yangu.

PSA 18:3 Removed trailing space in v~: Ninamwita \nd Bwana\nd* anayestahili kusifiwa,

PSA 18:3 Removed trailing space in p~: nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.

PSA 18:4 Removed trailing space in v~: Kamba za mauti zilinizunguka,

PSA 18:4 Removed trailing space in p~: mafuriko ya maangamizi yalinilemea.

PSA 18:5 Removed trailing space in v~: Kamba za kuzimu zilinizunguka,

PSA 18:5 Removed trailing space in p~: mitego ya mauti ilinikabili.

PSA 18:6 Removed trailing space in v~: Katika shida yangu nalimwita \nd Bwana\nd*,

PSA 18:6 Removed trailing space in p~: nilimlilia Mungu wangu anisaidie.

PSA 18:6 Removed trailing space in p~: Kutoka hekaluni mwake alisikia sauti yangu,

PSA 18:6 Removed trailing space in p~: kilio changu kikafika mbele zake,

PSA 18:6 Removed trailing space in p~: masikioni mwake.

PSA 18:7 Removed trailing space in v~: Dunia ilitetemeka na kutikisika,

PSA 18:7 Removed trailing space in p~: misingi ya milima ikatikisika,

PSA 18:7 Removed trailing space in p~: vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.

PSA 18:8 Removed trailing space in v~: Moshi ukapanda kutoka puani mwake,

PSA 18:8 Removed trailing space in p~: moto uteketezao ukatoka kinywani mwake,

PSA 18:8 Removed trailing space in p~: makaa ya moto yawakayo

PSA 18:8 Removed trailing space in p~: yakatoka ndani mwake.

PSA 18:9 Removed trailing space in v~: Akazipasua mbingu akashuka chini,

PSA 18:9 Removed trailing space in p~: mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.

PSA 18:10 Removed trailing space in v~: Alipanda juu ya kerubi akaruka,

PSA 18:10 Removed trailing space in p~: akapaa juu kwa mbawa za upepo.

PSA 18:11 Removed trailing space in v~: Alifanya giza kuwa kitu chake cha kujifunika,

PSA 18:11 Removed trailing space in p~: hema lake kumzunguka,

PSA 18:11 Removed trailing space in p~: mawingu meusi ya mvua ya angani.

PSA 18:12 Removed trailing space in v~: Kutokana na mwanga wa uwepo wake

PSA 18:12 Removed trailing space in p~: mawingu yalisogea,

PSA 18:12 Removed trailing space in p~: ikanyesha mvua ya mawe

PSA 18:12 Removed trailing space in p~: na umeme wa radi.

PSA 18:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinguruma kutoka mbinguni,

PSA 18:13 Removed trailing space in p~: sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.

PSA 18:14 Removed trailing space in v~: Aliipiga mishale yake na kutawanya adui,

PSA 18:14 Removed trailing space in p~: naam, umeme mwingi wa radi na kuwafukuza.

PSA 18:15 Removed trailing space in v~: Mabonde ya bahari yalifunuliwa,

PSA 18:15 Removed trailing space in p~: na misingi ya dunia ikawa wazi

PSA 18:15 Removed trailing space in p~: kwa kukaripia kwako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 18:15 Removed trailing space in p~: kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwako.

PSA 18:16 Removed trailing space in v~: Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;

PSA 18:16 Removed trailing space in p~: alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

PSA 18:17 Removed trailing space in v~: Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,

PSA 18:17 Removed trailing space in p~: kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.

PSA 18:18 Removed trailing space in v~: Walinikabili siku ya msiba wangu,

PSA 18:18 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* alikuwa msaada wangu.

PSA 18:19 Removed trailing space in v~: Alinileta nje mahali penye nafasi tele,

PSA 18:19 Removed trailing space in p~: akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

PSA 18:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;

PSA 18:20 Removed trailing space in p~: sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.

PSA 18:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimezishika njia za \nd Bwana\nd*;

PSA 18:21 Removed trailing space in p~: sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.

PSA 18:22 Removed trailing space in v~: Sheria zake zote zi mbele yangu,

PSA 18:22 Removed trailing space in p~: wala sijayaacha maagizo yake.

PSA 18:23 Removed trailing space in v~: Nimekuwa sina hatia mbele zake,

PSA 18:23 Removed trailing space in p~: nami nimejilinda nisitende dhambi.

PSA 18:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amenilipa sawasawa na uadilifu wangu;

PSA 18:24 Removed trailing space in p~: sawasawa na usafi wa mikono yangu machoni pake.

PSA 18:25 Removed trailing space in v~: Kwa yeye aliye mwaminifu, unajionyesha kuwa mwaminifu,

PSA 18:25 Removed trailing space in p~: kwa asiye na hatia, unajionyesha kutokuwa na hatia.

PSA 18:26 Removed trailing space in v~: Kwa aliye mtakatifu, unajionyesha kuwa mtakatifu,

PSA 18:26 Removed trailing space in p~: lakini kwa aliyepotoka, unajionyesha kuwa mkaidi.

PSA 18:27 Removed trailing space in v~: Wewe huwaokoa wanyenyekevu,

PSA 18:27 Removed trailing space in p~: lakini huwashusha wenye kiburi.

PSA 18:28 Removed trailing space in v~: Wewe, Ee \nd Bwana\nd*, unaifanya taa yangu iendelee kuwaka;

PSA 18:28 Removed trailing space in p~: Mungu wangu hulifanya giza langu kuwa mwanga.

PSA 18:29 Removed trailing space in v~: Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,

PSA 18:29 Removed trailing space in p~: nikiwa pamoja na Mungu wangu

PSA 18:29 Removed trailing space in p~: nitaweza kuruka ukuta.

PSA 18:30 Removed trailing space in v~: Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu,

PSA 18:30 Removed trailing space in p~: neno la \nd Bwana\nd* halina dosari.

PSA 18:30 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngao kwa wote

PSA 18:30 Removed trailing space in p~: wanaokimbilia kwake.

PSA 18:31 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni nani aliye Mungu

PSA 18:31 Removed trailing space in p~: zaidi ya \nd Bwana\nd*?

PSA 18:31 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye Mwamba

PSA 18:31 Removed trailing space in p~: isipokuwa Mungu wetu?

PSA 18:32 Removed trailing space in v~: Mungu ndiye anivikaye nguvu

PSA 18:32 Removed trailing space in p~: na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.

PSA 18:33 Removed trailing space in v~: Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,

PSA 18:33 Removed trailing space in p~: huniwezesha kusimama mahali palipo juu.

PSA 18:34 Removed trailing space in v~: Huifundisha mikono yangu kupigana vita;

PSA 18:34 Removed trailing space in p~: mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

PSA 18:35 Removed trailing space in v~: Hunipa ngao yako ya ushindi,

PSA 18:35 Removed trailing space in p~: nao mkono wako wa kuume hunitegemeza,

PSA 18:35 Removed trailing space in p~: unajishusha chini ili kuniinua.

PSA 18:36 Removed trailing space in v~: Huyapanua mapito yangu,

PSA 18:36 Removed trailing space in p~: ili miguu yangu isiteleze.

PSA 18:37 Removed trailing space in v~: Niliwafuatia adui zangu na nikawapata,

PSA 18:37 Removed trailing space in p~: sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.

PSA 18:38 Removed trailing space in v~: Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena;

PSA 18:38 Removed trailing space in p~: walianguka chini ya miguu yangu.

PSA 18:39 Removed trailing space in v~: Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;

PSA 18:39 Removed trailing space in p~: uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

PSA 18:40 Removed trailing space in v~: Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,

PSA 18:40 Removed trailing space in p~: nami nikawaangamiza adui zangu.

PSA 18:41 Removed trailing space in v~: Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;

PSA 18:41 Removed trailing space in p~: walimlilia \nd Bwana\nd*, lakini hakuwajibu.

PSA 18:42 Removed trailing space in v~: Niliwaponda kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo;

PSA 18:42 Removed trailing space in p~: niliwamwaga nje kama tope barabarani.

PSA 18:43 Removed trailing space in v~: Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu;

PSA 18:43 Removed trailing space in p~: umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa,

PSA 18:43 Removed trailing space in p~: watu ambao sikuwajua wananitumikia.

PSA 18:44 Removed trailing space in v~: Mara wanisikiapo hunitii,

PSA 18:44 Removed trailing space in p~: wageni hunyenyekea mbele yangu.

PSA 18:45 Removed trailing space in v~: Wote wanalegea,

PSA 18:45 Removed trailing space in p~: wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

PSA 18:46 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!

PSA 18:46 Removed trailing space in p~: Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu!

PSA 18:47 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,

PSA 18:47 Removed trailing space in p~: awatiishaye mataifa chini yangu,

PSA 18:48 Removed trailing space in v~: aniokoaye na adui zangu.

PSA 18:48 Removed trailing space in p~: Uliniinua juu ya adui zangu;

PSA 18:48 Removed trailing space in p~: uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

PSA 18:49 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee \nd Bwana\nd*;

PSA 18:49 Removed trailing space in p~: nitaliimbia sifa jina lako.

PSA 18:50 Removed trailing space in v~: Humpa mfalme wake ushindi mkuu,

PSA 18:50 Removed trailing space in p~: huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake,

PSA 18:50 Removed trailing space in p~: kwa Daudi na wazao wake milele.

PSA 19:0 Extra space after chapter number

PSA 19:0 Removed trailing space in c: 19

PSA 19:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 19

PSA 19:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa Mungu Katika Uumbaji

PSA 19:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 19:1 Removed trailing space in v~: Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu,

PSA 19:1 Removed trailing space in p~: anga zahubiri kazi ya mikono yake.

PSA 19:2 Removed trailing space in v~: Siku baada ya siku zinatoa habari,

PSA 19:2 Removed trailing space in p~: usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.

PSA 19:3 Removed trailing space in v~: Hakuna msemo wala lugha,

PSA 19:3 Removed trailing space in p~: ambapo sauti zao hazisikiki.

PSA 19:4 Removed trailing space in v~: Sauti yao imeenea duniani pote,

PSA 19:4 Removed trailing space in p~: nayo maneno yao yameenea

PSA 19:4 Removed trailing space in p~: hadi miisho ya ulimwengu.

PSA 19:4 Removed trailing space in p~: Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,

PSA 19:5 Removed trailing space in v~: linafanana na bwana arusi

PSA 19:5 Removed trailing space in p~: akitoka chumbani mwake,

PSA 19:5 Removed trailing space in p~: kama shujaa afurahiavyo

PSA 19:5 Removed trailing space in p~: kukamilisha kushindana kwake.

PSA 19:6 Removed trailing space in v~: Huchomoza upande mmoja wa mbingu,

PSA 19:6 Removed trailing space in p~: na kufanya mzunguko wake

PSA 19:6 Removed trailing space in p~: hadi upande mwingine.

PSA 19:6 Removed trailing space in p~: Hakuna kilichojificha joto lake.

PSA 19:7 Removed trailing space in v~: Sheria ya \nd Bwana\nd* ni kamilifu,

PSA 19:7 Removed trailing space in p~: ikihuisha nafsi.

PSA 19:7 Removed trailing space in p~: Shuhuda za \nd Bwana\nd* ni za kuaminika,

PSA 19:7 Removed trailing space in p~: zikimpa mjinga hekima.

PSA 19:8 Removed trailing space in v~: Maagizo ya \nd Bwana\nd* ni kamili,

PSA 19:8 Removed trailing space in p~: nayo hufurahisha moyo.

PSA 19:8 Removed trailing space in p~: Amri za \nd Bwana\nd* huangaza,

PSA 19:8 Removed trailing space in p~: zatia nuru machoni.

PSA 19:9 Removed trailing space in v~: Kumcha \nd Bwana\nd* ni utakatifu,

PSA 19:9 Removed trailing space in p~: nako kwadumu milele.

PSA 19:9 Removed trailing space in p~: Amri za \nd Bwana\nd* ni za hakika,

PSA 19:9 Removed trailing space in p~: nazo zina haki.

PSA 19:10 Removed trailing space in v~: Ni za thamani kuliko dhahabu,

PSA 19:10 Removed trailing space in p~: kuliko dhahabu iliyo safi sana,

PSA 19:10 Removed trailing space in p~: ni tamu kuliko asali,

PSA 19:10 Removed trailing space in p~: kuliko asali kutoka kwenye sega.

PSA 19:11 Removed trailing space in v~: Kwa hizo mtumishi wako anaonywa,

PSA 19:11 Removed trailing space in p~: katika kuzishika kuna thawabu kubwa.

PSA 19:12 Removed trailing space in v~: Ni nani awezaye kutambua makosa yake?

PSA 19:12 Removed trailing space in p~: Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.

PSA 19:13 Removed trailing space in v~: Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi,

PSA 19:13 Removed trailing space in p~: nazo zisinitawale.

PSA 19:13 Removed trailing space in p~: Ndipo nitakapokuwa sina lawama,

PSA 19:13 Removed trailing space in p~: wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.

PSA 19:14 Removed trailing space in v~: Maneno ya kinywa changu

PSA 19:14 Removed trailing space in p~: na mawazo ya moyo wangu,

PSA 19:14 Removed trailing space in p~: yapate kibali mbele zako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 19:14 Removed trailing space in p~: Mwamba wangu na Mkombozi wangu.

PSA 20:0 Extra space after chapter number

PSA 20:0 Removed trailing space in c: 20

PSA 20:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 20

PSA 20:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi

PSA 20:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 20:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na akujibu unapokuwa katika dhiki,

PSA 20:1 Removed trailing space in p~: jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.

PSA 20:2 Removed trailing space in v~: Na akutumie msaada kutoka patakatifu

PSA 20:2 Removed trailing space in p~: na akupatie msaada kutoka Sayuni.

PSA 20:3 Removed trailing space in v~: Na azikumbuke dhabihu zako zote,

PSA 20:3 Removed trailing space in p~: na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.

PSA 20:4 Removed trailing space in v~: Na akujalie haja ya moyo wako,

PSA 20:4 Removed trailing space in p~: na aifanikishe mipango yako yote.

PSA 20:5 Removed trailing space in v~: Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,

PSA 20:5 Removed trailing space in p~: tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu.

PSA 20:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* na akupe haja zako zote.

PSA 20:6 Removed trailing space in v~: Sasa nafahamu kuwa \nd Bwana\nd*

PSA 20:6 Removed trailing space in p~: humwokoa mpakwa mafuta wake,

PSA 20:6 Removed trailing space in p~: humjibu kutoka mbingu yake takatifu

PSA 20:6 Removed trailing space in p~: kwa nguvu za wokovu wa mkono wake wa kuume.

PSA 20:7 Removed trailing space in v~: Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,

PSA 20:7 Removed trailing space in p~: bali sisi tutalitumainia jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wetu.

PSA 20:8 Removed trailing space in v~: Wao wameshushwa chini na kuanguka,

PSA 20:8 Removed trailing space in p~: bali sisi tunainuka na kusimama imara.

PSA 20:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mwokoe mfalme!

PSA 20:9 Removed trailing space in p~: Tujibu tunapokuita!

PSA 21:0 Extra space after chapter number

PSA 21:0 Removed trailing space in c: 21

PSA 21:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 21

PSA 21:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Ushindi

PSA 21:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 21:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mfalme huzifurahia nguvu zako.

PSA 21:1 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ilivyo kuu furaha yake

PSA 21:1 Removed trailing space in p~: kwa ushindi unaompa!

PSA 21:2 Removed trailing space in v~: Umempa haja ya moyo wake

PSA 21:2 Removed trailing space in p~: na hukumzuilia maombi ya midomo yake.

PSA 21:3 Removed trailing space in v~: Ulimkaribisha kwa baraka tele

PSA 21:3 Removed trailing space in p~: na kumvika taji ya dhahabu safi kichwani pake.

PSA 21:4 Removed trailing space in v~: Alikuomba maisha, nawe ukampa,

PSA 21:4 Removed trailing space in p~: wingi wa siku milele na milele.

PSA 21:5 Removed trailing space in v~: Kutokana na ushindi uliompa, utukufu wake ni mkubwa,

PSA 21:5 Removed trailing space in p~: umeweka juu yake fahari na utukufu.

PSA 21:6 Removed trailing space in v~: Hakika umempa baraka za milele,

PSA 21:6 Removed trailing space in p~: umemfanya awe na furaha

PSA 21:6 Removed trailing space in p~: kwa shangwe ya uwepo wako.

PSA 21:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mfalme anamtumaini \nd Bwana\nd*;

PSA 21:7 Removed trailing space in p~: kwa upendo usiokoma wa Aliye Juu Sana hatatikiswa.

PSA 21:8 Removed trailing space in v~: Mkono wako utawashika adui zako wote,

PSA 21:8 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume utawakamata adui zako.

PSA 21:9 Removed trailing space in v~: Wakati utakapojitokeza

PSA 21:9 Removed trailing space in p~: utawafanya kama tanuru ya moto.

PSA 21:9 Removed trailing space in p~: Katika ghadhabu yake \nd Bwana\nd* atawameza,

PSA 21:9 Removed trailing space in p~: moto wake utawateketeza.

PSA 21:10 Removed trailing space in v~: Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani,

PSA 21:10 Removed trailing space in p~: uzao wao kutoka wanadamu.

PSA 21:11 Removed trailing space in v~: Ingawa watapanga mabaya dhidi yako

PSA 21:11 Removed trailing space in p~: na kutunga hila, hawawezi kufanikiwa,

PSA 21:12 Removed trailing space in v~: kwa kuwa utawafanya wakimbie

PSA 21:12 Removed trailing space in p~: utakapowalenga usoni pao

PSA 21:12 Removed trailing space in p~: kwa mshale kutoka kwenye upinde wako.

PSA 21:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, utukuzwe katika nguvu zako,

PSA 21:13 Removed trailing space in p~: tutaimba na kusifu nguvu zako.

PSA 22:0 Extra space after chapter number

PSA 22:0 Removed trailing space in c: 22

PSA 22:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 22

PSA 22:0 Removed trailing space in s1: Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa

PSA 22:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi.

PSA 22:1 Removed trailing space in v~: Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

PSA 22:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa?

PSA 22:1 Removed trailing space in p~: Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?

PSA 22:2 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu,

PSA 22:2 Removed trailing space in p~: hata usiku, sinyamazi.

PSA 22:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu;

PSA 22:3 Removed trailing space in p~: wewe ni sifa ya Israeli.\f + \fr 22:3 \ft Tafsiri zingine zinasema: uketiye juu ya sifa za Israeli.\f*

PSA 22:4 Removed trailing space in v~: Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao,

PSA 22:4 Removed trailing space in p~: walikutumaini nawe ukawaokoa.

PSA 22:5 Removed trailing space in v~: Walikulilia wewe na ukawaokoa,

PSA 22:5 Removed trailing space in p~: walikutegemea wewe nao hawakuaibika.

PSA 22:6 Removed trailing space in v~: Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,

PSA 22:6 Removed trailing space in p~: wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.

PSA 22:7 Removed trailing space in v~: Wote wanionao hunidhihaki,

PSA 22:7 Removed trailing space in p~: hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:

PSA 22:8 Removed trailing space in v~: Husema, “Anamtegemea \nd Bwana\nd*,

PSA 22:8 Removed trailing space in p~: basi \nd Bwana\nd* na amwokoe.

PSA 22:8 Removed trailing space in p~: Amkomboe basi, kwa maana

PSA 22:8 Removed trailing space in p~: anapendezwa naye.”

PSA 22:9 Removed trailing space in v~: Hata hivyo ulinitoa tumboni,

PSA 22:9 Removed trailing space in p~: ukanifanya nikutegemee,

PSA 22:9 Removed trailing space in p~: hata nilipokuwa ninanyonya

PSA 22:9 Removed trailing space in p~: matiti ya mama yangu.

PSA 22:10 Removed trailing space in v~: Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa,

PSA 22:10 Removed trailing space in p~: toka tumboni mwa mama yangu

PSA 22:10 Removed trailing space in p~: umekuwa Mungu wangu.

PSA 22:11 Removed trailing space in v~: Usiwe mbali nami,

PSA 22:11 Removed trailing space in p~: kwa maana shida iko karibu

PSA 22:11 Removed trailing space in p~: na hakuna wa kunisaidia.

PSA 22:12 Removed trailing space in v~: Mafahali wengi wamenizunguka,

PSA 22:12 Removed trailing space in p~: mafahali wa Bashani wenye nguvu

PSA 22:12 Removed trailing space in p~: wamenizingira.

PSA 22:13 Removed trailing space in v~: Simba wangurumao wanaorarua mawindo

PSA 22:13 Removed trailing space in p~: yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.

PSA 22:14 Removed trailing space in v~: Nimemiminwa kama maji,

PSA 22:14 Removed trailing space in p~: mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake.

PSA 22:14 Removed trailing space in p~: Moyo wangu umegeuka kuwa nta,

PSA 22:14 Removed trailing space in p~: umeyeyuka ndani yangu.

PSA 22:15 Removed trailing space in v~: Nguvu zangu zimekauka kama kigae,

PSA 22:15 Removed trailing space in p~: ulimi wangu umegandamana

PSA 22:15 Removed trailing space in p~: na kaakaa la kinywa changu,

PSA 22:15 Removed trailing space in p~: kwa sababu umenilaza

PSA 22:15 Removed trailing space in p~: katika mavumbi ya kifo.

PSA 22:16 Removed trailing space in v~: Mbwa wamenizunguka,

PSA 22:16 Removed trailing space in p~: kundi la watu waovu limenizingira,

PSA 22:16 Removed trailing space in p~: wametoboa mikono yangu na miguu yangu.

PSA 22:17 Removed trailing space in v~: Naweza kuhesabu mifupa yangu yote,

PSA 22:17 Removed trailing space in p~: watu wananikodolea macho na kunisimanga.

PSA 22:18 Removed trailing space in v~: Wanagawana nguo zangu wao kwa wao,

PSA 22:18 Removed trailing space in p~: na vazi langu wanalipigia kura.

PSA 22:19 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 22:19 Removed trailing space in p~: usiwe mbali.

PSA 22:19 Removed trailing space in p~: Ee Nguvu yangu,

PSA 22:19 Removed trailing space in p~: uje haraka unisaidie.

PSA 22:20 Removed trailing space in v~: Okoa maisha yangu na upanga,

PSA 22:20 Removed trailing space in p~: uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.

PSA 22:21 Removed trailing space in v~: Niokoe kutoka kinywani mwa simba,

PSA 22:21 Removed trailing space in p~: niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.

PSA 22:22 Removed trailing space in v~: Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu,

PSA 22:22 Removed trailing space in p~: katika kusanyiko nitakusifu wewe.

PSA 22:23 Removed trailing space in v~: Ninyi ambao mnamcha \nd Bwana\nd*, msifuni!

PSA 22:23 Removed trailing space in p~: Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye!

PSA 22:23 Removed trailing space in p~: Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!

PSA 22:24 Removed trailing space in v~: Kwa maana hakupuuza wala kudharau

PSA 22:24 Removed trailing space in p~: mateso ya aliyeonewa;

PSA 22:24 Removed trailing space in p~: hakumficha uso wake

PSA 22:24 Removed trailing space in p~: bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.

PSA 22:25 Removed trailing space in v~: Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa,

PSA 22:25 Removed trailing space in p~: nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.

PSA 22:26 Removed trailing space in v~: Maskini watakula na kushiba,

PSA 22:26 Removed trailing space in p~: wale wamtafutao \nd Bwana\nd* watamsifu:

PSA 22:26 Removed trailing space in p~: mioyo yenu na iishi milele!

PSA 22:27 Removed trailing space in v~: Miisho yote ya dunia itakumbuka

PSA 22:27 Removed trailing space in p~: na kumgeukia \nd Bwana\nd*,

PSA 22:27 Removed trailing space in p~: nazo jamaa zote za mataifa

PSA 22:27 Removed trailing space in p~: watasujudu mbele zake,

PSA 22:28 Removed trailing space in v~: kwa maana ufalme ni wa \nd Bwana\nd*

PSA 22:28 Removed trailing space in p~: naye hutawala juu ya mataifa.

PSA 22:29 Removed trailing space in v~: Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu.

PSA 22:29 Removed trailing space in p~: Wote waendao mavumbini

PSA 22:29 Removed trailing space in p~: watapiga magoti mbele yake,

PSA 22:29 Removed trailing space in p~: wote ambao hawawezi

PSA 22:29 Removed trailing space in p~: kudumisha uhai wao.

PSA 22:30 Removed trailing space in v~: Wazao wa baadaye watamtumikia yeye;

PSA 22:30 Removed trailing space in p~: vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.

PSA 22:31 Removed trailing space in v~: Watatangaza haki yake kwa watu

PSA 22:31 Removed trailing space in p~: ambao hawajazaliwa bado,

PSA 22:31 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye ametenda hili.

PSA 23:0 Extra space after chapter number

PSA 23:0 Removed trailing space in c: 23

PSA 23:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 23

PSA 23:0 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Mchungaji Wetu

PSA 23:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 23:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ndiye mchungaji wangu,

PSA 23:1 Removed trailing space in p~: sitapungukiwa na kitu.

PSA 23:2 Removed trailing space in v~: Hunilaza katika malisho

PSA 23:2 Removed trailing space in p~: ya majani mabichi,

PSA 23:2 Removed trailing space in p~: kando ya maji matulivu huniongoza,

PSA 23:3 Removed trailing space in v~: hunihuisha nafsi yangu.

PSA 23:3 Removed trailing space in p~: Huniongoza katika njia za haki

PSA 23:3 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya jina lake.

PSA 23:4 Removed trailing space in v~: Hata kama nikipita katikati

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: ya bonde la uvuli wa mauti,

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: sitaogopa mabaya,

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe upo pamoja nami;

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: fimbo yako na mkongojo wako

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: vyanifariji.

PSA 23:5 Removed trailing space in v~: Waandaa meza mbele yangu

PSA 23:5 Removed trailing space in p~: machoni pa adui zangu.

PSA 23:5 Removed trailing space in p~: Umenipaka mafuta kichwani pangu,

PSA 23:5 Removed trailing space in p~: kikombe changu kinafurika.

PSA 23:6 Removed trailing space in v~: Hakika wema na upendo vitanifuata

PSA 23:6 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yangu,

PSA 23:6 Removed trailing space in p~: nami nitakaa nyumbani mwa \nd Bwana\nd*

PSA 23:6 Removed trailing space in p~: milele.

PSA 24:0 Extra space after chapter number

PSA 24:0 Removed trailing space in c: 24

PSA 24:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 24

PSA 24:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Mkuu

PSA 24:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 24:1 Removed trailing space in v~: Dunia ni mali ya \nd Bwana\nd*, na vyote vilivyomo ndani yake,

PSA 24:1 Removed trailing space in p~: ulimwengu, na wote waishio ndani yake,

PSA 24:2 Removed trailing space in v~: maana aliiwekea misingi yake baharini

PSA 24:2 Removed trailing space in p~: na kuifanya imara juu ya maji.

PSA 24:3 Removed trailing space in v~: Nani awezaye kuupanda mlima wa \nd Bwana\nd*?

PSA 24:3 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kusimama patakatifu pake?

PSA 24:4 Removed trailing space in v~: Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe,

PSA 24:4 Removed trailing space in p~: yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake

PSA 24:4 Removed trailing space in p~: au kuapa kwa kitu cha uongo.

PSA 24:5 Removed trailing space in v~: Huyo atapokea baraka kutoka kwa \nd Bwana\nd*,

PSA 24:5 Removed trailing space in p~: na hukumu ya haki kutoka kwa Mungu Mwokozi wake.

PSA 24:6 Removed trailing space in v~: Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao,

PSA 24:6 Removed trailing space in p~: wale wautafutao uso wako, Ee Mungu wa Yakobo.

PSA 24:7 Removed trailing space in v~: Inueni vichwa vyenu, enyi malango,

PSA 24:7 Removed trailing space in p~: inukeni enyi milango ya kale,

PSA 24:7 Removed trailing space in p~: ili mfalme wa utukufu apate kuingia.

PSA 24:8 Removed trailing space in v~: Ni nani huyu Mfalme wa utukufu?

PSA 24:8 Removed trailing space in p~: Ni \nd Bwana\nd* aliye na nguvu na uweza,

PSA 24:8 Removed trailing space in p~: ni \nd Bwana\nd* aliye hodari katika vita.

PSA 24:9 Removed trailing space in v~: Inueni vichwa vyenu, enyi malango,

PSA 24:9 Removed trailing space in p~: viinueni juu enyi milango ya kale,

PSA 24:9 Removed trailing space in p~: ili Mfalme wa utukufu apate kuingia.

PSA 24:10 Removed trailing space in v~: Ni nani yeye, huyu Mfalme wa utukufu?

PSA 24:10 Removed trailing space in p~: Ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote;

PSA 24:10 Removed trailing space in p~: yeye ndiye Mfalme wa utukufu.

PSA 25:0 Extra space after chapter number

PSA 25:0 Removed trailing space in c: 25

PSA 25:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 25\f + \fr 25 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 25:0 Removed trailing space in s1: Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi

PSA 25:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 25:1 Removed trailing space in v~: Kwako wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 25:1 Removed trailing space in p~: nainua nafsi yangu,

PSA 25:2 Removed trailing space in v~: ni wewe ninayekutumainia,

PSA 25:2 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wangu.

PSA 25:2 Removed trailing space in p~: Usiniache niaibike,

PSA 25:2 Removed trailing space in p~: wala usiache adui zangu wakanishinda.

PSA 25:3 Removed trailing space in v~: Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea

PSA 25:3 Removed trailing space in p~: atakayeaibishwa,

PSA 25:3 Removed trailing space in p~: bali wataaibishwa

PSA 25:3 Removed trailing space in p~: wafanyao hila bila sababu.

PSA 25:4 Removed trailing space in v~: Nionyeshe njia zako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 25:4 Removed trailing space in p~: nifundishe mapito yako,

PSA 25:5 Removed trailing space in v~: niongoze katika kweli yako na kunifundisha,

PSA 25:5 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ni Mungu Mwokozi wangu,

PSA 25:5 Removed trailing space in p~: nalo tumaini langu liko kwako wakati wote.

PSA 25:6 Removed trailing space in v~: Kumbuka, Ee \nd Bwana\nd*, rehema zako kuu na upendo,

PSA 25:6 Removed trailing space in p~: kwa maana zimekuwepo tangu zamani.

PSA 25:7 Removed trailing space in v~: Usizikumbuke dhambi za ujana wangu

PSA 25:7 Removed trailing space in p~: wala njia zangu za uasi,

PSA 25:7 Removed trailing space in p~: sawasawa na upendo wako unikumbuke,

PSA 25:7 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ni mwema, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 25:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwema na mwenye adili,

PSA 25:8 Removed trailing space in p~: kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi njia zake.

PSA 25:9 Removed trailing space in v~: Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,

PSA 25:9 Removed trailing space in p~: naye huwafundisha njia yake.

PSA 25:10 Removed trailing space in v~: Njia zote za \nd Bwana\nd* ni za upendo na uaminifu

PSA 25:10 Removed trailing space in p~: kwa wale wanaoshika shuhuda za agano lake.

PSA 25:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa ajili ya jina lako,

PSA 25:11 Removed trailing space in p~: unisamehe uovu wangu, ijapokuwa ni mwingi.

PSA 25:12 Removed trailing space in v~: Ni nani basi, mtu yule anayemcha \nd Bwana\nd*?

PSA 25:12 Removed trailing space in p~: Atamfundisha katika njia

PSA 25:12 Removed trailing space in p~: atakayoichagua kwa ajili yake.

PSA 25:13 Removed trailing space in v~: Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake,

PSA 25:13 Removed trailing space in p~: nao wazao wake watairithi nchi.

PSA 25:14 Removed trailing space in v~: Siri ya \nd Bwana\nd* iko kwa wale wamchao,

PSA 25:14 Removed trailing space in p~: yeye huwajulisha agano lake.

PSA 25:15 Removed trailing space in v~: Macho yangu humwelekea \nd Bwana\nd* daima,

PSA 25:15 Removed trailing space in p~: kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa

PSA 25:15 Removed trailing space in p~: miguu yangu kutoka mtego.

PSA 25:16 Removed trailing space in v~: Nigeukie na unihurumie,

PSA 25:16 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.

PSA 25:17 Removed trailing space in v~: Shida za moyo wangu zimeongezeka,

PSA 25:17 Removed trailing space in p~: niokoe katika dhiki yangu.

PSA 25:18 Removed trailing space in v~: Uangalie mateso na shida zangu

PSA 25:18 Removed trailing space in p~: na uniondolee dhambi zangu zote.

PSA 25:19 Removed trailing space in v~: Tazama adui zangu walivyo wengi,

PSA 25:19 Removed trailing space in p~: pia uone jinsi wanavyonichukia vikali!

PSA 25:20 Removed trailing space in v~: Uyalinde maisha yangu na uniokoe,

PSA 25:20 Removed trailing space in p~: usiniache niaibike,

PSA 25:20 Removed trailing space in p~: kwa maana nimekukimbilia wewe.

PSA 25:21 Removed trailing space in v~: Uadilifu na uaminifu vinilinde,

PSA 25:21 Removed trailing space in p~: kwa sababu tumaini langu ni kwako.

PSA 25:22 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wakomboe Israeli,

PSA 25:22 Removed trailing space in p~: katika shida zao zote!

PSA 26:0 Extra space after chapter number

PSA 26:0 Removed trailing space in c: 26

PSA 26:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 26

PSA 26:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Mwema

PSA 26:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 26:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nithibitishe katika haki,

PSA 26:1 Removed trailing space in p~: maana nimeishi maisha yasiyo na lawama;

PSA 26:1 Removed trailing space in p~: nimemtumainia \nd Bwana\nd*

PSA 26:1 Removed trailing space in p~: bila kusitasita.

PSA 26:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unijaribu, unipime,

PSA 26:2 Removed trailing space in p~: uuchunguze moyo wangu

PSA 26:2 Removed trailing space in p~: na mawazo yangu;

PSA 26:3 Removed trailing space in v~: kwa maana upendo wako

PSA 26:3 Removed trailing space in p~: uko mbele yangu daima,

PSA 26:3 Removed trailing space in p~: nami natembea siku zote

PSA 26:3 Removed trailing space in p~: katika kweli yako.

PSA 26:4 Removed trailing space in v~: Siketi pamoja na watu wadanganyifu,

PSA 26:4 Removed trailing space in p~: wala siandamani na wanafiki,

PSA 26:5 Removed trailing space in v~: ninachukia kusanyiko la watenda mabaya

PSA 26:5 Removed trailing space in p~: na ninakataa kuketi pamoja na waovu.

PSA 26:6 Removed trailing space in v~: Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,

PSA 26:6 Removed trailing space in p~: naikaribia madhabahu yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 26:7 Removed trailing space in v~: nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,

PSA 26:7 Removed trailing space in p~: huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.

PSA 26:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,

PSA 26:8 Removed trailing space in p~: mahali ambapo utukufu wako hukaa.

PSA 26:9 Removed trailing space in v~: Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,

PSA 26:9 Removed trailing space in p~: wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,

PSA 26:10 Removed trailing space in v~: ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,

PSA 26:10 Removed trailing space in p~: ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.

PSA 26:11 Removed trailing space in v~: Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;

PSA 26:11 Removed trailing space in p~: nikomboe na unihurumie.

PSA 26:12 Removed trailing space in v~: Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;

PSA 26:12 Removed trailing space in p~: katika kusanyiko kuu nitamsifu \nd Bwana\nd*.

PSA 27:0 Extra space after chapter number

PSA 27:0 Removed trailing space in c: 27

PSA 27:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 27

PSA 27:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Kusifu

PSA 27:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 27:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nuru yangu na wokovu wangu,

PSA 27:1 Removed trailing space in p~: nimwogope nani?

PSA 27:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni ngome ya uzima wangu,

PSA 27:1 Removed trailing space in p~: nimhofu nani?

PSA 27:2 Removed trailing space in v~: Waovu watakaposogea dhidi yangu

PSA 27:2 Removed trailing space in p~: ili wanile nyama yangu,

PSA 27:2 Removed trailing space in p~: adui zangu na watesi wangu watakaponishambulia,

PSA 27:2 Removed trailing space in p~: watajikwaa na kuanguka.

PSA 27:3 Removed trailing space in v~: Hata jeshi linizunguke pande zote,

PSA 27:3 Removed trailing space in p~: moyo wangu hautaogopa;

PSA 27:3 Removed trailing space in p~: hata vita vitokee dhidi yangu,

PSA 27:3 Removed trailing space in p~: hata hapo nitakuwa na ujasiri.

PSA 27:4 Removed trailing space in v~: Jambo moja ninamwomba \nd Bwana\nd*,

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: hili ndilo ninalolitafuta:

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: niweze kukaa nyumbani mwa \nd Bwana\nd*

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yangu,

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: niutazame uzuri wa \nd Bwana\nd*

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: na kumtafuta hekaluni mwake.

PSA 27:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa siku ya shida,

PSA 27:5 Removed trailing space in p~: atanihifadhi salama katika maskani yake,

PSA 27:5 Removed trailing space in p~: atanificha uvulini mwa hema yake

PSA 27:5 Removed trailing space in p~: na kuniweka juu kwenye mwamba.

PSA 27:6 Removed trailing space in v~: Kisha kichwa changu kitainuliwa

PSA 27:6 Removed trailing space in p~: juu ya adui zangu wanaonizunguka.

PSA 27:6 Removed trailing space in p~: Katika maskani yake nitatoa dhabihu kwa kelele za shangwe;

PSA 27:6 Removed trailing space in p~: nitamwimbia \nd Bwana\nd* na kumsifu.

PSA 27:7 Removed trailing space in v~: Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 27:7 Removed trailing space in p~: unihurumie na unijibu.

PSA 27:8 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unasema kuhusu wewe,

PSA 27:8 Removed trailing space in p~: “Utafute uso wake!”

PSA 27:8 Removed trailing space in p~: Uso wako, \nd Bwana\nd* “Nitautafuta.”

PSA 27:9 Removed trailing space in v~: Usinifiche uso wako,

PSA 27:9 Removed trailing space in p~: usimkatae mtumishi wako kwa hasira;

PSA 27:9 Removed trailing space in p~: wewe umekuwa msaada wangu.

PSA 27:9 Removed trailing space in p~: Usinikatae wala usiniache,

PSA 27:9 Removed trailing space in p~: Ee Mungu Mwokozi wangu.

PSA 27:10 Removed trailing space in v~: Hata kama baba yangu na mama wakiniacha,

PSA 27:10 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atanipokea.

PSA 27:11 Removed trailing space in v~: Nifundishe njia yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 27:11 Removed trailing space in p~: niongoze katika njia iliyonyooka

PSA 27:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya watesi wangu.

PSA 27:12 Removed trailing space in v~: Usiniachilie kwa nia za adui zangu,

PSA 27:12 Removed trailing space in p~: kwa maana mashahidi wa uongo

PSA 27:12 Removed trailing space in p~: wameinuka dhidi yangu,

PSA 27:12 Removed trailing space in p~: wakipumua ujeuri.

PSA 27:13 Removed trailing space in v~: Nami bado nina tumaini hili:

PSA 27:13 Removed trailing space in p~: nitauona wema wa \nd Bwana\nd*

PSA 27:13 Removed trailing space in p~: katika nchi ya walio hai.

PSA 27:14 Removed trailing space in v~: Mngojee \nd Bwana\nd*,

PSA 27:14 Removed trailing space in p~: uwe hodari na mwenye moyo mkuu,

PSA 27:14 Removed trailing space in p~: nawe, umngojee \nd Bwana\nd*.

PSA 28:0 Extra space after chapter number

PSA 28:0 Removed trailing space in c: 28

PSA 28:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 28

PSA 28:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 28:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 28:1 Removed trailing space in v~: Ninakuita wewe, Ee \nd Bwana\nd*, Mwamba wangu;

PSA 28:1 Removed trailing space in p~: usiwe kwangu kama kiziwi.

PSA 28:1 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ukinyamaza

PSA 28:1 Removed trailing space in p~: nitafanana na walioshuka shimoni.

PSA 28:2 Removed trailing space in v~: Sikia kilio changu unihurumie

PSA 28:2 Removed trailing space in p~: ninapokuita kwa ajili ya msaada,

PSA 28:2 Removed trailing space in p~: niinuapo mikono yangu kuelekea

PSA 28:2 Removed trailing space in p~: Patakatifu pa Patakatifu pako.

PSA 28:3 Removed trailing space in v~: Usiniburute pamoja na waovu,

PSA 28:3 Removed trailing space in p~: pamoja na hao watendao mabaya,

PSA 28:3 Removed trailing space in p~: ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri,

PSA 28:3 Removed trailing space in p~: lakini mioyoni mwao wameficha chuki.

PSA 28:4 Removed trailing space in v~: Walipe sawasawa na matendo yao,

PSA 28:4 Removed trailing space in p~: sawasawa na matendo yao maovu;

PSA 28:4 Removed trailing space in p~: walipe sawasawa na kazi za mikono yao,

PSA 28:4 Removed trailing space in p~: uwalipe wanavyostahili.

PSA 28:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hawaheshimu kazi za \nd Bwana\nd*,

PSA 28:5 Removed trailing space in p~: na yale ambayo mikono yake imetenda,

PSA 28:5 Removed trailing space in p~: atawabomoa na kamwe

PSA 28:5 Removed trailing space in p~: hatawajenga tena.

PSA 28:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asifiwe,

PSA 28:6 Removed trailing space in p~: kwa maana amesikia kilio changu

PSA 28:6 Removed trailing space in p~: nikimwomba anihurumie.

PSA 28:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nguvu zangu na ngao yangu,

PSA 28:7 Removed trailing space in p~: moyo wangu umemtumaini yeye,

PSA 28:7 Removed trailing space in p~: nami nimesaidiwa.

PSA 28:7 Removed trailing space in p~: Moyo wangu unarukaruka kwa furaha

PSA 28:7 Removed trailing space in p~: nami nitamshukuru kwa wimbo.

PSA 28:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nguvu ya watu wake,

PSA 28:8 Removed trailing space in p~: ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.

PSA 28:9 Removed trailing space in v~: Waokoe watu wako na uubariki urithi wako;

PSA 28:9 Removed trailing space in p~: uwe mchungaji wao na uwabebe milele.

PSA 29:0 Extra space after chapter number

PSA 29:0 Removed trailing space in c: 29

PSA 29:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 29

PSA 29:0 Removed trailing space in s1: Sauti Ya \nd Bwana\nd* Wakati Wa Dhoruba

PSA 29:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 29:1 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd*, enyi mashujaa,

PSA 29:1 Removed trailing space in p~: mpeni \nd Bwana\nd* utukufu na nguvu.

PSA 29:2 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd* utukufu unaostahili jina lake;

PSA 29:2 Removed trailing space in p~: mwabuduni \nd Bwana\nd* katika uzuri wa utakatifu wake.

PSA 29:3 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* iko juu ya maji;

PSA 29:3 Removed trailing space in p~: Mungu wa utukufu hupiga radi,

PSA 29:3 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hupiga radi juu ya maji makuu.

PSA 29:4 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* ina nguvu;

PSA 29:4 Removed trailing space in p~: sauti ya \nd Bwana\nd* ni tukufu.

PSA 29:5 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* huvunja mierezi;

PSA 29:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huvunja vipande vipande

PSA 29:5 Removed trailing space in p~: mierezi ya Lebanoni.

PSA 29:6 Removed trailing space in v~: Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,

PSA 29:6 Removed trailing space in p~: Sirioni\f + \fr 29:6 \ft Yaani Mlima Hermoni.\f* urukaruke kama mwana nyati.

PSA 29:7 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* hupiga kwa miali

PSA 29:7 Removed trailing space in p~: ya umeme wa radi.

PSA 29:8 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* hutikisa jangwa;

PSA 29:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hutikisa Jangwa la Kadeshi.

PSA 29:9 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* huzalisha ayala,

PSA 29:9 Removed trailing space in p~: na huuacha msitu wazi.

PSA 29:9 Removed trailing space in p~: Hekaluni mwake wote wasema,

PSA 29:9 Removed trailing space in p~: “Utukufu!”

PSA 29:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;

PSA 29:10 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ametawazwa kuwa Mfalme milele.

PSA 29:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwapa watu wake nguvu;

PSA 29:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.

PSA 30:0 Extra space after chapter number

PSA 30:0 Removed trailing space in c: 30

PSA 30:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 30

PSA 30:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Shukrani

PSA 30:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi.

PSA 30:1 Removed trailing space in v~: Nitakutukuza wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 30:1 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi,

PSA 30:1 Removed trailing space in p~: na hukuacha adui zangu

PSA 30:1 Removed trailing space in p~: washangilie juu yangu.

PSA 30:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, nilikuita unisaidie

PSA 30:2 Removed trailing space in p~: na wewe umeniponya.

PSA 30:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, umenitoa Kuzimu,

PSA 30:3 Removed trailing space in p~: umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti.

PSA 30:4 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd*, enyi watakatifu wake;

PSA 30:4 Removed trailing space in p~: lisifuni jina lake takatifu.

PSA 30:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,

PSA 30:5 Removed trailing space in p~: bali upendo wake hudumu siku zote.

PSA 30:5 Removed trailing space in p~: Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha,

PSA 30:5 Removed trailing space in p~: lakini asubuhi kukawa na furaha.

PSA 30:6 Removed trailing space in v~: Nilipofanikiwa nilisema,

PSA 30:6 Removed trailing space in p~: “Sitatikiswa kamwe.”

PSA 30:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uliponijalia,

PSA 30:7 Removed trailing space in p~: uliuimarisha mlima wangu,

PSA 30:7 Removed trailing space in p~: lakini ulipouficha uso wako

PSA 30:7 Removed trailing space in p~: nilifadhaika.

PSA 30:8 Removed trailing space in v~: Kwako wewe, Ee \nd Bwana\nd*, niliita,

PSA 30:8 Removed trailing space in p~: kwa Bwana niliomba rehema:

PSA 30:9 Removed trailing space in v~: “Kuna faida gani katika kuangamia kwangu?

PSA 30:9 Removed trailing space in p~: Katika kushuka kwangu shimoni?

PSA 30:9 Removed trailing space in p~: Je, mavumbi yatakusifu?

PSA 30:9 Removed trailing space in p~: Je, yatatangaza uaminifu wako?

PSA 30:10 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unisikie na kunihurumia,

PSA 30:10 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, uwe msaada wangu.”

PSA 30:11 Removed trailing space in v~: Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,

PSA 30:11 Removed trailing space in p~: ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe,

PSA 30:12 Removed trailing space in v~: ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.

PSA 30:12 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu, nitakushukuru milele.

PSA 31:0 Extra space after chapter number

PSA 31:0 Removed trailing space in c: 31

PSA 31:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 31

PSA 31:0 Removed trailing space in s1: Maombi Na Sifa Kwa Kuokolewa Kutoka Kwa Adui

PSA 31:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 31:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nimekukimbilia wewe,

PSA 31:1 Removed trailing space in p~: usiache nikaaibika kamwe,

PSA 31:1 Removed trailing space in p~: kwa haki yako uniokoe.

PSA 31:2 Removed trailing space in v~: Nitegee sikio lako,

PSA 31:2 Removed trailing space in p~: uje uniokoe haraka;

PSA 31:2 Removed trailing space in p~: uwe kwangu mwamba wa kimbilio,

PSA 31:2 Removed trailing space in p~: ngome imara ya kuniokoa.

PSA 31:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu,

PSA 31:3 Removed trailing space in p~: uniongoze na kunilinda kwa ajili ya jina lako.

PSA 31:4 Removed trailing space in v~: Uniepushe na mtego niliotegewa,

PSA 31:4 Removed trailing space in p~: maana wewe ndiwe kimbilio langu.

PSA 31:5 Removed trailing space in v~: Ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako,

PSA 31:5 Removed trailing space in p~: unikomboe Ee \nd Bwana\nd*, uliye Mungu wa kweli.

PSA 31:6 Removed trailing space in v~: Ninawachukia wale wanaongʼangʼania sanamu batili;

PSA 31:6 Removed trailing space in p~: mimi ninamtumaini \nd Bwana\nd*.

PSA 31:7 Removed trailing space in v~: Nitafurahia na kushangilia upendo wako,

PSA 31:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa uliona mateso yangu

PSA 31:7 Removed trailing space in p~: na ulijua maumivu ya nafsi yangu.

PSA 31:8 Removed trailing space in v~: Hukunikabidhi kwa adui yangu

PSA 31:8 Removed trailing space in p~: bali umeiweka miguu yangu mahali penye nafasi.

PSA 31:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* unihurumie, kwa kuwa niko kwenye shida;

PSA 31:9 Removed trailing space in p~: macho yangu yanafifia kwa huzuni,

PSA 31:9 Removed trailing space in p~: nafsi yangu na mwili wangu kwa sikitiko.

PSA 31:10 Removed trailing space in v~: Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi,

PSA 31:10 Removed trailing space in p~: naam, miaka yangu kwa kulia kwa maumivu makali;

PSA 31:10 Removed trailing space in p~: nguvu zangu zinaisha kwa ajili ya mateso,

PSA 31:10 Removed trailing space in p~: na mifupa yangu inachakaa.

PSA 31:11 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya adui zangu wote,

PSA 31:11 Removed trailing space in p~: nimedharauliwa kabisa na jirani zangu,

PSA 31:11 Removed trailing space in p~: hata kwa rafiki zangu nimekuwa tisho,

PSA 31:11 Removed trailing space in p~: wale wanionao barabarani hunikimbia.

PSA 31:12 Removed trailing space in v~: Nimesahaulika miongoni mwao kama mtu aliyekufa,

PSA 31:12 Removed trailing space in p~: nimekuwa kama chombo cha mfinyanzi kilichovunjika.

PSA 31:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimesikia maneno niliyosingiziwa na wengi;

PSA 31:13 Removed trailing space in p~: vitisho viko pande zote;

PSA 31:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamefanya mashauri dhidi yangu,

PSA 31:13 Removed trailing space in p~: na kula njama kuniua.

PSA 31:14 Removed trailing space in v~: Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee \nd Bwana\nd*;

PSA 31:14 Removed trailing space in p~: nimesema, “Wewe ndiwe Mungu wangu.”

PSA 31:15 Removed trailing space in v~: Siku za maisha yangu ziko mikononi mwako,

PSA 31:15 Removed trailing space in p~: uniokoe mikononi mwa adui zangu

PSA 31:15 Removed trailing space in p~: na wale wanifuatiao.

PSA 31:16 Removed trailing space in v~: Mwangazie mtumishi wako uso wako,

PSA 31:16 Removed trailing space in p~: uniokoe kwa ajili ya upendo wako usiokoma.

PSA 31:17 Removed trailing space in v~: Usiniache niaibike, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 31:17 Removed trailing space in p~: kwa maana nimekulilia wewe,

PSA 31:17 Removed trailing space in p~: bali waovu waaibishwe

PSA 31:17 Removed trailing space in p~: na kunyamazishwa Kuzimu.

PSA 31:18 Removed trailing space in v~: Midomo yao isemayo uongo na inyamazishwe,

PSA 31:18 Removed trailing space in p~: kwa maana kwa kiburi na dharau

PSA 31:18 Removed trailing space in p~: wao husema kwa majivuno

PSA 31:18 Removed trailing space in p~: dhidi ya wenye haki.

PSA 31:19 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako,

PSA 31:19 Removed trailing space in p~: uliowawekea akiba wakuchao,

PSA 31:19 Removed trailing space in p~: ambao huwapa wale wakukimbiliao

PSA 31:19 Removed trailing space in p~: machoni pa watu.

PSA 31:20 Removed trailing space in v~: Unawahifadhi katika uvuli wa uwepo wako

PSA 31:20 Removed trailing space in p~: kutokana na hila za wanadamu;

PSA 31:20 Removed trailing space in p~: katika makao yako huwaweka salama

PSA 31:20 Removed trailing space in p~: kutokana na ndimi za mashtaka.

PSA 31:21 Removed trailing space in v~: Atukuzwe \nd Bwana\nd*,

PSA 31:21 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amenionyesha upendo wake wa ajabu

PSA 31:21 Removed trailing space in p~: nilipokuwa katika mji uliozingirwa.

PSA 31:22 Removed trailing space in v~: Katika hofu yangu nilisema,

PSA 31:22 Removed trailing space in p~: “Nimekatiliwa mbali na macho yako!”

PSA 31:22 Removed trailing space in p~: Hata hivyo ulisikia kilio changu

PSA 31:22 Removed trailing space in p~: ukanihurumia nilipokuita unisaidie.

PSA 31:23 Removed trailing space in v~: Mpendeni \nd Bwana\nd* ninyi watakatifu wake wote!

PSA 31:23 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwahifadhi waaminifu,

PSA 31:23 Removed trailing space in p~: lakini wenye kiburi huwalipiza kikamilifu.

PSA 31:24 Removed trailing space in v~: Kuweni hodari na mjipe moyo,

PSA 31:24 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mnaomtumaini \nd Bwana\nd*.

PSA 32:0 Extra space after chapter number

PSA 32:0 Removed trailing space in c: 32

PSA 32:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 32

PSA 32:0 Removed trailing space in s1: Furaha Ya Msamaha

PSA 32:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi. Funzo.

PSA 32:1 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake,

PSA 32:1 Removed trailing space in p~: ambaye dhambi zake zimefunikwa.

PSA 32:2 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule ambaye \nd Bwana\nd*

PSA 32:2 Removed trailing space in p~: hamhesabii dhambi,

PSA 32:2 Removed trailing space in p~: na ambaye rohoni mwake

PSA 32:2 Removed trailing space in p~: hamna udanganyifu.

PSA 32:3 Removed trailing space in v~: Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa

PSA 32:3 Removed trailing space in p~: kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.

PSA 32:4 Removed trailing space in v~: Usiku na mchana

PSA 32:4 Removed trailing space in p~: mkono wako ulinilemea,

PSA 32:4 Removed trailing space in p~: nguvu zangu zilinyonywa

PSA 32:4 Removed trailing space in p~: kama vile katika joto la kiangazi.

PSA 32:5 Removed trailing space in v~: Kisha nilikujulisha dhambi yangu

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: wala sikuficha uovu wangu.

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: Nilisema, “Nitaungama

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: makosa yangu kwa \nd Bwana\nd*.”

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: Ndipo uliponisamehe

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: hatia ya dhambi yangu.

PSA 32:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe

PSA 32:6 Removed trailing space in p~: wakati unapopatikana,

PSA 32:6 Removed trailing space in p~: hakika maji makuu yatakapofurika

PSA 32:6 Removed trailing space in p~: hayatamfikia yeye.

PSA 32:7 Removed trailing space in v~: Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha,

PSA 32:7 Removed trailing space in p~: utaniepusha na taabu

PSA 32:7 Removed trailing space in p~: na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.

PSA 32:8 Removed trailing space in v~: Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea;

PSA 32:8 Removed trailing space in p~: nitakushauri na kukuangalia.

PSA 32:9 Removed trailing space in v~: Usiwe kama farasi au nyumbu

PSA 32:9 Removed trailing space in p~: wasio na akili,

PSA 32:9 Removed trailing space in p~: ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu

PSA 32:9 Removed trailing space in p~: la sivyo hawatakukaribia.

PSA 32:10 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu ana taabu nyingi,

PSA 32:10 Removed trailing space in p~: bali upendo usio na kikomo wa \nd Bwana\nd*

PSA 32:10 Removed trailing space in p~: unamzunguka mtu anayemtumaini.

PSA 32:11 Removed trailing space in v~: Shangilieni katika \nd Bwana\nd* na mfurahi, enyi wenye haki!

PSA 32:11 Removed trailing space in p~: Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo!

PSA 33:0 Extra space after chapter number

PSA 33:0 Removed trailing space in c: 33

PSA 33:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 33

PSA 33:0 Removed trailing space in s1: Ukuu Na Wema Wa Mungu

PSA 33:1 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* kwa furaha, enyi wenye haki;

PSA 33:1 Removed trailing space in p~: kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.

PSA 33:2 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd* kwa kinubi,

PSA 33:2 Removed trailing space in p~: mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.

PSA 33:3 Removed trailing space in v~: Mwimbieni wimbo mpya;

PSA 33:3 Removed trailing space in p~: pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.

PSA 33:4 Removed trailing space in v~: Maana neno la \nd Bwana\nd* ni haki na kweli,

PSA 33:4 Removed trailing space in p~: ni mwaminifu kwa yote atendayo.

PSA 33:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hupenda uadilifu na haki;

PSA 33:5 Removed trailing space in p~: dunia imejaa upendo wake usiokoma.

PSA 33:6 Removed trailing space in v~: Kwa neno la \nd Bwana\nd* mbingu ziliumbwa,

PSA 33:6 Removed trailing space in p~: jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa chake.

PSA 33:7 Removed trailing space in v~: Ameyakusanya maji ya bahari

PSA 33:7 Removed trailing space in p~: kama kwenye chungu;

PSA 33:7 Removed trailing space in p~: vilindi vya bahari

PSA 33:7 Removed trailing space in p~: ameviweka katika ghala.

PSA 33:8 Removed trailing space in v~: Dunia yote na imwogope \nd Bwana\nd*,

PSA 33:8 Removed trailing space in p~: watu wote wa dunia wamche.

PSA 33:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu alisema, na ikawa,

PSA 33:9 Removed trailing space in p~: aliamuru na ikasimama imara.

PSA 33:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huzuia mipango ya mataifa,

PSA 33:10 Removed trailing space in p~: hupinga makusudi ya mataifa.

PSA 33:11 Removed trailing space in v~: Lakini mipango ya \nd Bwana\nd* inasimama imara milele,

PSA 33:11 Removed trailing space in p~: makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.

PSA 33:12 Removed trailing space in v~: Heri taifa ambalo \nd Bwana\nd* ni Mungu wao,

PSA 33:12 Removed trailing space in p~: watu ambao aliwachagua kuwa urithi wake.

PSA 33:13 Removed trailing space in v~: Kutoka mbinguni \nd Bwana\nd* hutazama chini

PSA 33:13 Removed trailing space in p~: na kuwaona wanadamu wote;

PSA 33:14 Removed trailing space in v~: kutoka maskani mwake huwaangalia

PSA 33:14 Removed trailing space in p~: wote wakaao duniani:

PSA 33:15 Removed trailing space in v~: yeye ambaye huumba mioyo yao wote,

PSA 33:15 Removed trailing space in p~: ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.

PSA 33:16 Removed trailing space in v~: Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake;

PSA 33:16 Removed trailing space in p~: hakuna shujaa aokokaye kwa wingi wa nguvu zake.

PSA 33:17 Removed trailing space in v~: Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,

PSA 33:17 Removed trailing space in p~: licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.

PSA 33:18 Removed trailing space in v~: Lakini macho ya \nd Bwana\nd* yako kwa wale wamchao,

PSA 33:18 Removed trailing space in p~: kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo,

PSA 33:19 Removed trailing space in v~: ili awaokoe na mauti,

PSA 33:19 Removed trailing space in p~: na kuwahifadhi wakati wa njaa.

PSA 33:20 Removed trailing space in v~: Sisi tunamngojea \nd Bwana\nd* kwa matumaini,

PSA 33:20 Removed trailing space in p~: yeye ni msaada wetu na ngao yetu.

PSA 33:21 Removed trailing space in v~: Mioyo yetu humshangilia,

PSA 33:21 Removed trailing space in p~: kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.

PSA 33:22 Removed trailing space in v~: Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 33:22 Removed trailing space in p~: tunapoliweka tumaini letu kwako.

PSA 34:0 Extra space after chapter number

PSA 34:0 Removed trailing space in c: 34

PSA 34:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 34\f + \fr 34 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 34:0 Removed trailing space in s1: Sifa Na Wema Wa Mungu

PSA 34:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka.

PSA 34:1 Removed trailing space in v~: Nitamtukuza \nd Bwana\nd* nyakati zote,

PSA 34:1 Removed trailing space in p~: sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.

PSA 34:2 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu itajisifu katika \nd Bwana\nd*,

PSA 34:2 Removed trailing space in p~: walioonewa watasikia na wafurahi.

PSA 34:3 Removed trailing space in v~: Mtukuzeni \nd Bwana\nd* pamoja nami,

PSA 34:3 Removed trailing space in p~: naam, na tulitukuze jina lake pamoja.

PSA 34:4 Removed trailing space in v~: Nilimtafuta \nd Bwana\nd* naye akanijibu,

PSA 34:4 Removed trailing space in p~: akaniokoa kwenye hofu zangu zote.

PSA 34:5 Removed trailing space in v~: Wale wamtazamao hutiwa nuru,

PSA 34:5 Removed trailing space in p~: nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.

PSA 34:6 Removed trailing space in v~: Maskini huyu alimwita \nd Bwana\nd*, naye akamsikia,

PSA 34:6 Removed trailing space in p~: akamwokoa katika taabu zake zote.

PSA 34:7 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* hufanya kituo

PSA 34:7 Removed trailing space in p~: akiwazunguka wale wamchao,

PSA 34:7 Removed trailing space in p~: naye huwaokoa.

PSA 34:8 Removed trailing space in v~: Onjeni mwone kwamba \nd Bwana\nd* ni mwema,

PSA 34:8 Removed trailing space in p~: heri mtu yule anayemkimbilia.

PSA 34:9 Removed trailing space in v~: Mcheni \nd Bwana\nd* enyi watakatifu wake,

PSA 34:9 Removed trailing space in p~: kwa maana wale wamchao

PSA 34:9 Removed trailing space in p~: hawapungukiwi na chochote.

PSA 34:10 Removed trailing space in v~: Wana simba wenye nguvu

PSA 34:10 Removed trailing space in p~: hutindikiwa na kuona njaa,

PSA 34:10 Removed trailing space in p~: bali wale wamtafutao \nd Bwana\nd*

PSA 34:10 Removed trailing space in p~: hawatakosa kitu chochote kilicho chema.

PSA 34:11 Removed trailing space in v~: Njooni, watoto wangu, mnisikilize,

PSA 34:11 Removed trailing space in p~: nitawafundisha kumcha \nd Bwana\nd*.

PSA 34:12 Removed trailing space in v~: Yeyote kati yenu anayependa uzima

PSA 34:12 Removed trailing space in p~: na kutamani kuziona siku nyingi njema,

PSA 34:13 Removed trailing space in v~: basi auzuie ulimi wake na mabaya,

PSA 34:13 Removed trailing space in p~: na midomo yake kutokana na kusema uongo.

PSA 34:14 Removed trailing space in v~: Aache uovu, atende mema,

PSA 34:14 Removed trailing space in p~: aitafute amani na kuifuatilia.

PSA 34:15 Removed trailing space in v~: Macho ya \nd Bwana\nd* huwaelekea wenye haki,

PSA 34:15 Removed trailing space in p~: na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.

PSA 34:16 Removed trailing space in v~: Uso wa \nd Bwana\nd* uko kinyume na watendao maovu,

PSA 34:16 Removed trailing space in p~: ili kufuta kumbukumbu lao duniani.

PSA 34:17 Removed trailing space in v~: Wenye haki hulia, naye \nd Bwana\nd* huwasikia,

PSA 34:17 Removed trailing space in p~: huwaokoa katika taabu zao zote.

PSA 34:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yu karibu na waliovunjika moyo,

PSA 34:18 Removed trailing space in p~: na huwaokoa waliopondeka roho.

PSA 34:19 Removed trailing space in v~: Mwenye haki ana mateso mengi,

PSA 34:19 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* humwokoa nayo yote,

PSA 34:20 Removed trailing space in v~: huhifadhi mifupa yake yote,

PSA 34:20 Removed trailing space in p~: hata mmoja hautavunjika.

PSA 34:21 Removed trailing space in v~: Ubaya utamuua mtu mwovu,

PSA 34:21 Removed trailing space in p~: nao adui za mwenye haki watahukumiwa.

PSA 34:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwakomboa watumishi wake,

PSA 34:22 Removed trailing space in p~: yeyote anayemkimbilia yeye

PSA 34:22 Removed trailing space in p~: hatahukumiwa kamwe.

PSA 36:0 Extra space after chapter number

PSA 36:0 Removed trailing space in c: 36

PSA 36:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 36

PSA 36:0 Removed trailing space in s1: Uovu Wa Mwanadamu

PSA 36:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \nd Bwana\nd*.

PSA 36:1 Removed trailing space in v~: Kuna neno moyoni mwangu

PSA 36:1 Removed trailing space in p~: kuhusu hali ya dhambi ya mwovu.

PSA 36:1 Removed trailing space in p~: Hakuna hofu ya Mungu

PSA 36:1 Removed trailing space in p~: mbele ya macho yake.

PSA 36:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno

PSA 36:2 Removed trailing space in p~: hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.

PSA 36:3 Removed trailing space in v~: Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,

PSA 36:3 Removed trailing space in p~: ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.

PSA 36:4 Removed trailing space in v~: Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,

PSA 36:4 Removed trailing space in p~: hujitia katika njia ya dhambi

PSA 36:4 Removed trailing space in p~: na hakatai lililo baya.

PSA 36:5 Removed trailing space in v~: Upendo wako, Ee \nd Bwana\nd*, unafika hadi mbinguni,

PSA 36:5 Removed trailing space in p~: uaminifu wako hadi kwenye anga.

PSA 36:6 Removed trailing space in v~: Haki yako ni kama milima mikubwa,

PSA 36:6 Removed trailing space in p~: hukumu zako ni kama kilindi kikuu.

PSA 36:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe huwahifadhi

PSA 36:6 Removed trailing space in p~: mwanadamu na mnyama.

PSA 36:7 Removed trailing space in v~: Upendo wako usiokoma

PSA 36:7 Removed trailing space in p~: ni wa thamani mno!

PSA 36:7 Removed trailing space in p~: Watu wakuu na wadogo

PSA 36:7 Removed trailing space in p~: hujificha uvulini wa mbawa zako.

PSA 36:8 Removed trailing space in v~: Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,

PSA 36:8 Removed trailing space in p~: nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.

PSA 36:9 Removed trailing space in v~: Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,

PSA 36:9 Removed trailing space in p~: katika nuru yako twaona nuru.

PSA 36:10 Removed trailing space in v~: Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,

PSA 36:10 Removed trailing space in p~: haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.

PSA 36:11 Removed trailing space in v~: Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,

PSA 36:11 Removed trailing space in p~: wala mkono wa mwovu usinifukuze.

PSA 36:12 Removed trailing space in v~: Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka:

PSA 36:12 Removed trailing space in p~: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!

PSA 37:0 Extra space after chapter number

PSA 37:0 Removed trailing space in c: 37

PSA 37:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 37\f + \fr 37 \ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 37:0 Removed trailing space in s1: Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki

PSA 37:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 37:1 Removed trailing space in v~: Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu,

PSA 37:1 Removed trailing space in p~: wala usiwaonee wivu watendao mabaya,

PSA 37:2 Removed trailing space in v~: kwa maana kama majani watanyauka mara,

PSA 37:2 Removed trailing space in p~: kama mimea ya kijani watakufa mara.

PSA 37:3 Removed trailing space in v~: Mtumaini \nd Bwana\nd* na utende yaliyo mema;

PSA 37:3 Removed trailing space in p~: Kaa katika nchi ukafurahie malisho salama.

PSA 37:4 Removed trailing space in v~: Jifurahishe katika \nd Bwana\nd*

PSA 37:4 Removed trailing space in p~: naye atakupa haja za moyo wako.

PSA 37:5 Removed trailing space in v~: Mkabidhi \nd Bwana\nd* njia yako,

PSA 37:5 Removed trailing space in p~: mtumaini yeye, naye atatenda hili:

PSA 37:6 Removed trailing space in v~: Yeye atafanya haki yako ingʼae kama mapambazuko,

PSA 37:6 Removed trailing space in p~: na hukumu ya shauri lako kama jua la adhuhuri.

PSA 37:7 Removed trailing space in v~: Tulia mbele za \nd Bwana\nd*

PSA 37:7 Removed trailing space in p~: na umngojee kwa uvumilivu;

PSA 37:7 Removed trailing space in p~: usisumbuke watu wanapofanikiwa katika njia zao,

PSA 37:7 Removed trailing space in p~: wanapotekeleza mipango yao miovu.

PSA 37:8 Removed trailing space in v~: Epuka hasira na uache ghadhabu,

PSA 37:8 Removed trailing space in p~: usihangaike: itakuongoza tu kutenda uovu.

PSA 37:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana waovu watakatiliwa mbali,

PSA 37:9 Removed trailing space in p~: bali wale wanaomtumaini \nd Bwana\nd* watairithi nchi.

PSA 37:10 Removed trailing space in v~: Bado kitambo kidogo, nao waovu hawataonekana,

PSA 37:10 Removed trailing space in p~: ingawa utawatafuta, hawataonekana.

PSA 37:11 Removed trailing space in v~: Bali wanyenyekevu watairithi nchi

PSA 37:11 Removed trailing space in p~: na wafurahie amani tele.

PSA 37:12 Removed trailing space in v~: Waovu hula njama dhidi ya wenye haki

PSA 37:12 Removed trailing space in p~: na kuwasagia meno,

PSA 37:13 Removed trailing space in v~: bali Bwana huwacheka waovu,

PSA 37:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu anajua siku yao inakuja.

PSA 37:14 Removed trailing space in v~: Waovu huchomoa upanga

PSA 37:14 Removed trailing space in p~: na kupinda upinde,

PSA 37:14 Removed trailing space in p~: ili wawaangushe maskini na wahitaji,

PSA 37:14 Removed trailing space in p~: kuwachinja wale ambao njia zao ni nyofu.

PSA 37:15 Removed trailing space in v~: Lakini panga zao zitachoma mioyo yao wenyewe,

PSA 37:15 Removed trailing space in p~: na pinde zao zitavunjwa.

PSA 37:16 Removed trailing space in v~: Bora kidogo walicho nacho wenye haki

PSA 37:16 Removed trailing space in p~: kuliko wingi wa mali wa waovu wengi;

PSA 37:17 Removed trailing space in v~: kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,

PSA 37:17 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* humtegemeza mwenye haki.

PSA 37:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anazifahamu siku za wanyofu,

PSA 37:18 Removed trailing space in p~: na urithi wao utadumu milele.

PSA 37:19 Removed trailing space in v~: Siku za maafa hawatanyauka,

PSA 37:19 Removed trailing space in p~: siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.

PSA 37:20 Removed trailing space in v~: Lakini waovu wataangamia:

PSA 37:20 Removed trailing space in p~: Adui za \nd Bwana\nd* watakuwa

PSA 37:20 Removed trailing space in p~: kama uzuri wa mashamba,

PSA 37:20 Removed trailing space in p~: watatoweka,

PSA 37:20 Removed trailing space in p~: watatoweka kama moshi.

PSA 37:21 Removed trailing space in v~: Waovu hukopa na hawalipi,

PSA 37:21 Removed trailing space in p~: bali wenye haki hutoa kwa ukarimu.

PSA 37:22 Removed trailing space in v~: Wale wanaobarikiwa na \nd Bwana\nd* watairithi nchi,

PSA 37:22 Removed trailing space in p~: bali wale anaowalaani watakatiliwa mbali.

PSA 37:23 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* akipendezwa na njia ya mtu,

PSA 37:23 Removed trailing space in p~: yeye huimarisha hatua zake,

PSA 37:24 Removed trailing space in v~: ajapojikwaa, hataanguka,

PSA 37:24 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd*

PSA 37:24 Removed trailing space in p~: humtegemeza kwa mkono wake.

PSA 37:25 Removed trailing space in v~: Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,

PSA 37:25 Removed trailing space in p~: lakini sijaona kamwe wenye haki wameachwa

PSA 37:25 Removed trailing space in p~: au watoto wao wakiombaomba chakula.

PSA 37:26 Removed trailing space in v~: Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti.

PSA 37:26 Removed trailing space in p~: Watoto wao watabarikiwa.

PSA 37:27 Removed trailing space in v~: Acha ubaya na utende wema,

PSA 37:27 Removed trailing space in p~: nawe utaishi katika nchi milele.

PSA 37:28 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* huwapenda wenye haki

PSA 37:28 Removed trailing space in p~: naye hatawaacha waaminifu wake.

PSA 37:28 Removed trailing space in p~: Watalindwa milele,

PSA 37:28 Removed trailing space in p~: lakini uzao wa waovu utakatiliwa mbali.

PSA 37:29 Removed trailing space in v~: Wenye haki watairithi nchi,

PSA 37:29 Removed trailing space in p~: na kuishi humo milele.

PSA 37:30 Removed trailing space in v~: Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima,

PSA 37:30 Removed trailing space in p~: nao ulimi wake huzungumza lililo haki.

PSA 37:31 Removed trailing space in v~: Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake;

PSA 37:31 Removed trailing space in p~: nyayo zake hazitelezi.

PSA 37:32 Removed trailing space in v~: Watu waovu huvizia wenye haki,

PSA 37:32 Removed trailing space in p~: wakitafuta kuwaua;

PSA 37:33 Removed trailing space in v~: lakini \nd Bwana\nd* hatawaacha mikononi mwao

PSA 37:33 Removed trailing space in p~: wala hatawaacha wahukumiwe

PSA 37:33 Removed trailing space in p~: kuwa wakosa wanaposhtakiwa.

PSA 37:34 Removed trailing space in v~: Mngojee \nd Bwana\nd*,

PSA 37:34 Removed trailing space in p~: na uishike njia yake.

PSA 37:34 Removed trailing space in p~: Naye atakutukuza uirithi nchi,

PSA 37:34 Removed trailing space in p~: waovu watakapokatiliwa mbali,

PSA 37:34 Removed trailing space in p~: utaliona hilo.

PSA 37:35 Removed trailing space in v~: Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi

PSA 37:35 Removed trailing space in p~: kama mwerezi wa Lebanoni,

PSA 37:36 Removed trailing space in v~: lakini alitoweka mara na hakuonekana,

PSA 37:36 Removed trailing space in p~: ingawa nilimtafuta, hakupatikana.

PSA 37:37 Removed trailing space in v~: Watafakari watu wasio na hatia,

PSA 37:37 Removed trailing space in p~: wachunguze watu wakamilifu,

PSA 37:37 Removed trailing space in p~: kuna mafanikio kwa mtu apendaye amani.

PSA 37:38 Removed trailing space in v~: Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa,

PSA 37:38 Removed trailing space in p~: mafanikio yao yatakatiliwa mbali.

PSA 37:39 Removed trailing space in v~: Wokovu wa wenye haki hutoka kwa \nd Bwana\nd*,

PSA 37:39 Removed trailing space in p~: yeye ni ngome yao wakati wa shida.

PSA 37:40 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwasaidia na kuwaokoa,

PSA 37:40 Removed trailing space in p~: huwaokoa kutoka kwa waovu na kuwahifadhi,

PSA 37:40 Removed trailing space in p~: kwa maana wanamkimbilia.

PSA 38:0 Extra space after chapter number

PSA 38:0 Removed trailing space in c: 38

PSA 38:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 38

PSA 38:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Anayeteseka

PSA 38:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi. Maombi.

PSA 38:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usinikemee katika hasira yako,

PSA 38:1 Removed trailing space in p~: wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.

PSA 38:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mishale yako imenichoma,

PSA 38:2 Removed trailing space in p~: na mkono wako umenishukia.

PSA 38:3 Removed trailing space in v~: Hakuna afya mwilini mwangu

PSA 38:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya ghadhabu yako,

PSA 38:3 Removed trailing space in p~: mifupa yangu haina uzima

PSA 38:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi zangu.

PSA 38:4 Removed trailing space in v~: Maovu yangu yamenifunika

PSA 38:4 Removed trailing space in p~: kama mzigo usiochukulika.

PSA 38:5 Removed trailing space in v~: Majeraha yangu yameoza na yananuka,

PSA 38:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.

PSA 38:6 Removed trailing space in v~: Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,

PSA 38:6 Removed trailing space in p~: mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

PSA 38:7 Removed trailing space in v~: Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,

PSA 38:7 Removed trailing space in p~: hakuna afya mwilini mwangu.

PSA 38:8 Removed trailing space in v~: Nimedhoofika na kupondwa kabisa,

PSA 38:8 Removed trailing space in p~: nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.

PSA 38:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, yote ninayoyaonea shauku

PSA 38:9 Removed trailing space in p~: yako wazi mbele zako,

PSA 38:9 Removed trailing space in p~: kutamani kwangu sana

PSA 38:9 Removed trailing space in p~: hakufichiki mbele zako.

PSA 38:10 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unapigapiga,

PSA 38:10 Removed trailing space in p~: nguvu zangu zimeniishia;

PSA 38:10 Removed trailing space in p~: hata macho yangu yametiwa giza.

PSA 38:11 Removed trailing space in v~: Rafiki na wenzangu wananikwepa

PSA 38:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya majeraha yangu;

PSA 38:11 Removed trailing space in p~: majirani zangu wanakaa mbali nami.

PSA 38:12 Removed trailing space in v~: Wale wanaotafuta uhai wangu

PSA 38:12 Removed trailing space in p~: wanatega mitego yao,

PSA 38:12 Removed trailing space in p~: wale ambao wangetaka kunidhuru

PSA 38:12 Removed trailing space in p~: huongea juu ya maangamizi yangu;

PSA 38:12 Removed trailing space in p~: hufanya shauri la hila mchana kutwa.

PSA 38:13 Removed trailing space in v~: Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,

PSA 38:13 Removed trailing space in p~: ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,

PSA 38:14 Removed trailing space in v~: nimekuwa kama mtu asiyesikia,

PSA 38:14 Removed trailing space in p~: ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.

PSA 38:15 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakungojea wewe,

PSA 38:15 Removed trailing space in p~: Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.

PSA 38:16 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,

PSA 38:16 Removed trailing space in p~: wala wasijitukuze juu yangu

PSA 38:16 Removed trailing space in p~: mguu wangu unapoteleza.”

PSA 38:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninakaribia kuanguka,

PSA 38:17 Removed trailing space in p~: na maumivu yangu yananiandama siku zote.

PSA 38:18 Removed trailing space in v~: Naungama uovu wangu,

PSA 38:18 Removed trailing space in p~: ninataabishwa na dhambi yangu.

PSA 38:19 Removed trailing space in v~: Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,

PSA 38:19 Removed trailing space in p~: wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.

PSA 38:20 Removed trailing space in v~: Wanaolipa maovu kwa wema wangu

PSA 38:20 Removed trailing space in p~: hunisingizia ninapofuata lililo jema.

PSA 38:21 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usiniache,

PSA 38:21 Removed trailing space in p~: usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.

PSA 38:22 Removed trailing space in v~: Ee Bwana Mwokozi wangu,

PSA 38:22 Removed trailing space in p~: uje upesi kunisaidia.

PSA 39:0 Extra space after chapter number

PSA 39:0 Removed trailing space in c: 39

PSA 39:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 39

PSA 39:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Anayeteseka

PSA 39:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.

PSA 39:1 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu

PSA 39:1 Removed trailing space in p~: na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi;

PSA 39:1 Removed trailing space in p~: nitaweka lijamu kinywani mwangu

PSA 39:1 Removed trailing space in p~: wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”

PSA 39:2 Removed trailing space in v~: Lakini niliponyamaza kimya na kutulia,

PSA 39:2 Removed trailing space in p~: hata pasipo kusema lolote jema,

PSA 39:2 Removed trailing space in p~: uchungu wangu uliongezeka.

PSA 39:3 Removed trailing space in v~: Moyo wangu ulipata moto ndani yangu,

PSA 39:3 Removed trailing space in p~: nilipotafakari, moto uliwaka,

PSA 39:3 Removed trailing space in p~: ndipo nikasema kwa ulimi wangu:

PSA 39:4 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, nijulishe mwisho wa maisha yangu

PSA 39:4 Removed trailing space in p~: na hesabu ya siku zangu;

PSA 39:4 Removed trailing space in p~: nijalie kujua jinsi maisha yangu

PSA 39:4 Removed trailing space in p~: yanavyopita upesi.

PSA 39:5 Removed trailing space in v~: Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi;

PSA 39:5 Removed trailing space in p~: muda wangu wa kuishi ni kama

PSA 39:5 Removed trailing space in p~: hauna thamani kwako.

PSA 39:5 Removed trailing space in p~: Maisha ya kila mwanadamu

PSA 39:5 Removed trailing space in p~: ni kama pumzi.

PSA 39:6 Removed trailing space in v~: Hakika kila binadamu ni kama njozi

PSA 39:6 Removed trailing space in p~: aendapo huku na huko:

PSA 39:6 Removed trailing space in p~: hujishughulisha na mengi lakini ni ubatili;

PSA 39:6 Removed trailing space in p~: anakusanya mali nyingi,

PSA 39:6 Removed trailing space in p~: wala hajui ni nani atakayeifaidi.

PSA 39:7 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa Bwana, nitafute nini?

PSA 39:7 Removed trailing space in p~: Tumaini langu ni kwako.

PSA 39:8 Removed trailing space in v~: Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote,

PSA 39:8 Removed trailing space in p~: usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.

PSA 39:9 Removed trailing space in v~: Nilinyamaza kimya,

PSA 39:9 Removed trailing space in p~: sikufumbua kinywa changu,

PSA 39:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.

PSA 39:10 Removed trailing space in v~: Niondolee mjeledi wako,

PSA 39:10 Removed trailing space in p~: nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.

PSA 39:11 Removed trailing space in v~: Unakemea na kuadhibu wanadamu

PSA 39:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dhambi zao;

PSA 39:11 Removed trailing space in p~: unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo:

PSA 39:11 Removed trailing space in p~: kila mwanadamu ni kama pumzi tu.

PSA 39:12 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, usikie maombi yangu,

PSA 39:12 Removed trailing space in p~: usikie kilio changu unisaidie,

PSA 39:12 Removed trailing space in p~: usiwe kiziwi kwa kulia kwangu.

PSA 39:12 Removed trailing space in p~: Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni,

PSA 39:12 Removed trailing space in p~: kama walivyokuwa baba zangu wote,

PSA 39:13 Removed trailing space in v~: Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena

PSA 39:13 Removed trailing space in p~: kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”

PSA 40:0 Extra space after chapter number

PSA 40:0 Removed trailing space in c: 40

PSA 40:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 40

PSA 40:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Sifa

PSA 40:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 40:1 Removed trailing space in v~: Nilimngoja \nd Bwana\nd* kwa saburi,

PSA 40:1 Removed trailing space in p~: naye akaniinamia, akasikia kilio changu.

PSA 40:2 Removed trailing space in v~: Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,

PSA 40:2 Removed trailing space in p~: kutoka matope na utelezi;

PSA 40:2 Removed trailing space in p~: akaiweka miguu yangu juu ya mwamba

PSA 40:2 Removed trailing space in p~: na kunipa mahali imara pa kusimama.

PSA 40:3 Removed trailing space in v~: Akaweka wimbo mpya kinywani mwangu,

PSA 40:3 Removed trailing space in p~: wimbo wa sifa kwa Mungu wetu.

PSA 40:3 Removed trailing space in p~: Wengi wataona na kuogopa

PSA 40:3 Removed trailing space in p~: na kuweka tumaini lao kwa \nd Bwana\nd*.

PSA 40:4 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule amfanyaye \nd Bwana\nd* kuwa tumaini lake,

PSA 40:4 Removed trailing space in p~: asiyewategemea wenye kiburi,

PSA 40:4 Removed trailing space in p~: wale wenye kugeukia miungu ya uongo.

PSA 40:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu,

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: umefanya mambo mengi ya ajabu.

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: Mambo uliyopanga kwa ajili yetu

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: hakuna awezaye kukuhesabia;

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: kama ningesema na kuyaelezea,

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: yangekuwa mengi mno kuyaelezea.

PSA 40:6 Removed trailing space in v~: Dhabihu na sadaka hukuvitaka,

PSA 40:6 Removed trailing space in p~: lakini umefungua masikio yangu;\f + \fr 40:6 \ft Au: bali mwili uliniandalia.\f*

PSA 40:6 Removed trailing space in p~: sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi

PSA 40:6 Removed trailing space in p~: hukuzihitaji.

PSA 40:7 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema, “Mimi hapa, nimekuja:

PSA 40:7 Removed trailing space in p~: imeandikwa kunihusu katika kitabu.

PSA 40:8 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu,

PSA 40:8 Removed trailing space in p~: natamani kuyafanya mapenzi yako;

PSA 40:8 Removed trailing space in p~: sheria yako iko ndani ya moyo wangu.”

PSA 40:9 Removed trailing space in v~: Nimehubiri haki katika kusanyiko kubwa,

PSA 40:9 Removed trailing space in p~: sikufunga mdomo wangu,

PSA 40:9 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, kama ujuavyo.

PSA 40:10 Removed trailing space in v~: Sikuficha haki yako moyoni mwangu;

PSA 40:10 Removed trailing space in p~: ninasema juu ya uaminifu wako na wokovu wako.

PSA 40:10 Removed trailing space in p~: Sikuficha upendo wako na kweli yako

PSA 40:10 Removed trailing space in p~: mbele ya kusanyiko kubwa.

PSA 40:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usizuilie huruma zako,

PSA 40:11 Removed trailing space in p~: upendo wako na kweli yako daima vinilinde.

PSA 40:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana taabu zisizo na hesabu zimenizunguka,

PSA 40:12 Removed trailing space in p~: dhambi zangu zimenikamata, hata nisiweze kuona.

PSA 40:12 Removed trailing space in p~: Zimekuwa nyingi kuliko nywele za kichwa changu,

PSA 40:12 Removed trailing space in p~: nao moyo unazimia ndani yangu.

PSA 40:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uwe radhi kuniokoa;

PSA 40:13 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, njoo hima unisaidie.

PSA 40:14 Removed trailing space in v~: Wote wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,

PSA 40:14 Removed trailing space in p~: waaibishwe na kufadhaishwa;

PSA 40:14 Removed trailing space in p~: wote wanaotamani kuangamizwa kwangu,

PSA 40:14 Removed trailing space in p~: warudishwe nyuma kwa aibu.

PSA 40:15 Removed trailing space in v~: Wale waniambiao, “Aha! Aha!”

PSA 40:15 Removed trailing space in p~: wafadhaishwe na iwe aibu yao.

PSA 40:16 Removed trailing space in v~: Lakini wote wakutafutao

PSA 40:16 Removed trailing space in p~: washangilie na kukufurahia,

PSA 40:16 Removed trailing space in p~: wale wapendao wokovu wako siku zote waseme,

PSA 40:16 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* atukuzwe!”

PSA 40:17 Removed trailing space in v~: Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;

PSA 40:17 Removed trailing space in p~: Bwana na anifikirie.

PSA 40:17 Removed trailing space in p~: Wewe ndiwe msaada wangu na Mwokozi wangu;

PSA 40:17 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wangu, usikawie.

PSA 41:0 Extra space after chapter number

PSA 41:0 Removed trailing space in c: 41

PSA 41:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 41

PSA 41:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Mgonjwa

PSA 41:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 41:1 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule anayemjali mnyonge,

PSA 41:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atamwokoa wakati wa shida.

PSA 41:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,

PSA 41:2 Removed trailing space in p~: atambariki katika nchi

PSA 41:2 Removed trailing space in p~: na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.

PSA 41:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,

PSA 41:3 Removed trailing space in p~: atamwinua kutoka kitandani mwake.

PSA 41:4 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Ee \nd Bwana\nd* nihurumie,

PSA 41:4 Removed trailing space in p~: niponye, maana nimekutenda dhambi wewe.”

PSA 41:5 Removed trailing space in v~: Adui zangu wanasema kwa hila,

PSA 41:5 Removed trailing space in p~: “Lini atakufa, na jina lake litokomee kabisa.”

PSA 41:6 Removed trailing space in v~: Kila anapokuja mtu kunitazama,

PSA 41:6 Removed trailing space in p~: huzungumza uongo,

PSA 41:6 Removed trailing space in p~: huku moyo wake hukusanya masingizio;

PSA 41:6 Removed trailing space in p~: kisha huondoka na kuyasambaza huku na huko.

PSA 41:7 Removed trailing space in v~: Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu,

PSA 41:7 Removed trailing space in p~: hao huniwazia mabaya sana, wakisema,

PSA 41:8 Removed trailing space in v~: “Ugonjwa mbaya sana umempata,

PSA 41:8 Removed trailing space in p~: kamwe hatainuka tena kitandani mwake.”

PSA 41:9 Removed trailing space in v~: Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini,

PSA 41:9 Removed trailing space in p~: yule aliyekula chakula changu

PSA 41:9 Removed trailing space in p~: ameniinulia kisigino chake.

PSA 41:10 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*, nihurumie,

PSA 41:10 Removed trailing space in p~: ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.

PSA 41:11 Removed trailing space in v~: Najua kwamba wapendezwa nami,

PSA 41:11 Removed trailing space in p~: kwa kuwa adui yangu hanishindi.

PSA 41:12 Removed trailing space in v~: Katika uadilifu wangu unanitegemeza

PSA 41:12 Removed trailing space in p~: na kuniweka kwenye uwepo wako milele.

PSA 41:13 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

PSA 41:13 Removed trailing space in p~: tangu milele na hata milele.

PSA 41:13 Removed trailing space in qc: Amen na Amen.

PSA 42:0 Extra space after chapter number

PSA 42:0 Removed trailing space in c: 42

PSA 42:0 Removed trailing space in ms1: KITABU CHA PILI

PSA 42:0 Removed trailing space in mr: (Zaburi 42–72)

PSA 42:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 42

PSA 42:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Aliye Uhamishoni

PSA 42:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.

PSA 42:1 Removed trailing space in v~: Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,

PSA 42:1 Removed trailing space in p~: ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.

PSA 42:2 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.

PSA 42:2 Removed trailing space in p~: Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?

PSA 42:3 Removed trailing space in v~: Machozi yangu yamekuwa chakula changu

PSA 42:3 Removed trailing space in p~: usiku na mchana,

PSA 42:3 Removed trailing space in p~: huku watu wakiniambia mchana kutwa,

PSA 42:3 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi Mungu wako?”

PSA 42:4 Removed trailing space in v~: Mambo haya nayakumbuka

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: ninapoimimina nafsi yangu:

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: Jinsi nilivyokuwa nikienda na umati wa watu,

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: nikiongoza maandamano kuelekea kwenye nyumba ya Mungu,

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: kwa kelele za shangwe na za shukrani

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: katikati ya umati uliosherehekea.

PSA 42:5 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

PSA 42:5 Removed trailing space in p~: Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

PSA 42:5 Removed trailing space in p~: Weka tumaini lako kwa Mungu,

PSA 42:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu bado nitamsifu,

PSA 42:5 Removed trailing space in p~: Mwokozi wangu na

PSA 42:6 Removed trailing space in v~: Mungu wangu.

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: Nafsi yangu inasononeka ndani yangu;

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: kwa hiyo nitakukumbuka

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya Yordani,

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: katika vilele vya Hermoni,

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: kutoka Mlima Mizari.

PSA 42:7 Removed trailing space in v~: Kilindi huita kilindi,

PSA 42:7 Removed trailing space in p~: katika ngurumo za maporomoko ya maji yako;

PSA 42:7 Removed trailing space in p~: mawimbi yako yote pamoja na viwimbi

PSA 42:7 Removed trailing space in p~: vimepita juu yangu.

PSA 42:8 Removed trailing space in v~: Mchana \nd Bwana\nd* huelekeza upendo wake,

PSA 42:8 Removed trailing space in p~: usiku wimbo wake uko nami:

PSA 42:8 Removed trailing space in p~: maombi kwa Mungu wa uzima wangu.

PSA 42:9 Removed trailing space in v~: Ninamwambia Mungu Mwamba wangu,

PSA 42:9 Removed trailing space in p~: “Kwa nini umenisahau?

PSA 42:9 Removed trailing space in p~: Kwa nini niendelee kuomboleza,

PSA 42:9 Removed trailing space in p~: nikiwa nimeonewa na adui?”

PSA 42:10 Removed trailing space in v~: Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali

PSA 42:10 Removed trailing space in p~: adui zangu wanaponidhihaki,

PSA 42:10 Removed trailing space in p~: wakiniambia mchana kutwa,

PSA 42:10 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi Mungu wako?”

PSA 42:11 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

PSA 42:11 Removed trailing space in p~: Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

PSA 42:11 Removed trailing space in p~: Weka tumaini lako kwa Mungu,

PSA 42:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu bado nitamsifu,

PSA 42:11 Removed trailing space in p~: Mwokozi wangu na Mungu wangu.

PSA 43:0 Extra space after chapter number

PSA 43:0 Removed trailing space in c: 43

PSA 43:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 43

PSA 43:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Aliyeko Uhamishoni Yanaendelea

PSA 43:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu unihukumu,

PSA 43:1 Removed trailing space in p~: nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu,

PSA 43:1 Removed trailing space in p~: niokoe na watu wadanganyifu na waovu.

PSA 43:2 Removed trailing space in v~: Wewe ni Mungu ngome yangu.

PSA 43:2 Removed trailing space in p~: Kwa nini umenikataa?

PSA 43:2 Removed trailing space in p~: Kwa nini niendelee kuomboleza,

PSA 43:2 Removed trailing space in p~: nikiwa nimeonewa na adui?

PSA 43:3 Removed trailing space in v~: Tuma hima nuru yako na kweli yako

PSA 43:3 Removed trailing space in p~: na viniongoze;

PSA 43:3 Removed trailing space in p~: vinilete mpaka mlima wako mtakatifu,

PSA 43:3 Removed trailing space in p~: mpaka mahali unapoishi.

PSA 43:4 Removed trailing space in v~: Ndipo nitakwenda madhabahuni pa Mungu,

PSA 43:4 Removed trailing space in p~: kwa Mungu, furaha yangu na shangwe yangu.

PSA 43:4 Removed trailing space in p~: Nitakusifu kwa kinubi,

PSA 43:4 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, Mungu wangu.

PSA 43:5 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

PSA 43:5 Removed trailing space in p~: Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

PSA 43:5 Removed trailing space in p~: Weka tumaini lako kwa Mungu,

PSA 43:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu bado nitamsifu

PSA 43:5 Removed trailing space in p~: Mwokozi wangu na Mungu wangu.

PSA 44:0 Extra space after chapter number

PSA 44:0 Removed trailing space in c: 44

PSA 44:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 44

PSA 44:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Wa Mungu

PSA 44:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.

PSA 44:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,

PSA 44:1 Removed trailing space in p~: baba zetu wametueleza

PSA 44:1 Removed trailing space in p~: yale uliyotenda katika siku zao,

PSA 44:1 Removed trailing space in p~: siku za kale.

PSA 44:2 Removed trailing space in v~: Kwa mkono wako uliwafukuza mataifa

PSA 44:2 Removed trailing space in p~: na ukawapanda baba zetu,

PSA 44:2 Removed trailing space in p~: uliangamiza mataifa

PSA 44:2 Removed trailing space in p~: na kuwastawisha baba zetu.

PSA 44:3 Removed trailing space in v~: Sio kwa upanga wao waliipata nchi,

PSA 44:3 Removed trailing space in p~: wala si mkono wao uliwapatia ushindi;

PSA 44:3 Removed trailing space in p~: ilikuwa ni kitanga cha mkono wako wa kuume,

PSA 44:3 Removed trailing space in p~: na nuru ya uso wako,

PSA 44:3 Removed trailing space in p~: kwa kuwa uliwapenda.

PSA 44:4 Removed trailing space in v~: Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu,

PSA 44:4 Removed trailing space in p~: unayeamuru ushindi kwa Yakobo.

PSA 44:5 Removed trailing space in v~: Kwa uwezo wako tunawasukuma nyuma watesi wetu;

PSA 44:5 Removed trailing space in p~: kwa jina lako tunawakanyaga adui zetu.

PSA 44:6 Removed trailing space in v~: Siutumaini upinde wangu,

PSA 44:6 Removed trailing space in p~: upanga wangu hauniletei ushindi;

PSA 44:7 Removed trailing space in v~: bali wewe unatupa ushindi juu ya adui zetu,

PSA 44:7 Removed trailing space in p~: unawaaibisha watesi wetu.

PSA 44:8 Removed trailing space in v~: Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa,

PSA 44:8 Removed trailing space in p~: nasi tutalisifu jina lako milele.

PSA 44:9 Removed trailing space in v~: Lakini sasa umetukataa na kutudhili,

PSA 44:9 Removed trailing space in p~: wala huendi tena na jeshi letu.

PSA 44:10 Removed trailing space in v~: Umetufanya turudi nyuma mbele ya adui,

PSA 44:10 Removed trailing space in p~: nao watesi wetu wametuteka nyara.

PSA 44:11 Removed trailing space in v~: Umetuacha tutafunwe kama kondoo

PSA 44:11 Removed trailing space in p~: na umetutawanya katika mataifa.

PSA 44:12 Removed trailing space in v~: Umewauza watu wako kwa fedha kidogo,

PSA 44:12 Removed trailing space in p~: wala hukupata faida yoyote kwa mauzo yao.

PSA 44:13 Removed trailing space in v~: Umetufanya lawama kwa jirani zetu,

PSA 44:13 Removed trailing space in p~: dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka.

PSA 44:14 Removed trailing space in v~: Umetufanya kuwa mithali miongoni mwa mataifa,

PSA 44:14 Removed trailing space in p~: mataifa hutikisa vichwa vyao.

PSA 44:15 Removed trailing space in v~: Fedheha yangu iko mbele yangu mchana kutwa,

PSA 44:15 Removed trailing space in p~: na uso wangu umejaa aibu tele,

PSA 44:16 Removed trailing space in v~: kwa ajili ya dhihaka ya wale wanaonilaumu na kunitukana,

PSA 44:16 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya adui, ambaye anatamani kulipiza kisasi.

PSA 44:17 Removed trailing space in v~: Hayo yote yametutokea,

PSA 44:17 Removed trailing space in p~: ingawa tulikuwa hatujakusahau

PSA 44:17 Removed trailing space in p~: wala hatujaenda kinyume na agano lako.

PSA 44:18 Removed trailing space in v~: Mioyo yetu ilikuwa haijarudi nyuma;

PSA 44:18 Removed trailing space in p~: nyayo zetu zilikuwa hazijaiacha njia yako.

PSA 44:19 Removed trailing space in v~: Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha,

PSA 44:19 Removed trailing space in p~: na ukatufunika kwa giza nene.

PSA 44:20 Removed trailing space in v~: Kama tungalikuwa tumelisahau jina la Mungu wetu

PSA 44:20 Removed trailing space in p~: au kunyooshea mikono yetu kwa mungu mgeni,

PSA 44:21 Removed trailing space in v~: je, Mungu hangaligundua hili,

PSA 44:21 Removed trailing space in p~: kwa kuwa anazijua siri za moyo?

PSA 44:22 Removed trailing space in v~: Hata hivyo kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa;

PSA 44:22 Removed trailing space in p~: tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.

PSA 44:23 Removed trailing space in v~: Amka, Ee \nd Bwana\nd*! Kwa nini unalala?

PSA 44:23 Removed trailing space in p~: Zinduka! Usitukatae milele.

PSA 44:24 Removed trailing space in v~: Kwa nini unauficha uso wako

PSA 44:24 Removed trailing space in p~: na kusahau taabu na mateso yetu?

PSA 44:25 Removed trailing space in v~: Tumeshushwa hadi mavumbini,

PSA 44:25 Removed trailing space in p~: miili yetu imegandamana na ardhi.

PSA 44:26 Removed trailing space in v~: Inuka na utusaidie,

PSA 44:26 Removed trailing space in p~: utukomboe kwa sababu ya upendo wako usio na mwisho.

PSA 45:0 Extra space after chapter number

PSA 45:0 Removed trailing space in c: 45

PSA 45:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 45

PSA 45:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Arusi Ya Kifalme

PSA 45:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi.

PSA 45:1 Removed trailing space in v~: Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema

PSA 45:1 Removed trailing space in p~: ninapomsimulia mfalme mabeti yangu;

PSA 45:1 Removed trailing space in p~: ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi stadi.

PSA 45:2 Removed trailing space in v~: Wewe ni bora kuliko watu wengine wote

PSA 45:2 Removed trailing space in p~: na midomo yako imepakwa neema,

PSA 45:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Mungu amekubariki milele.

PSA 45:3 Removed trailing space in v~: Jifunge upanga wako pajani mwako, ee mwenye nguvu,

PSA 45:3 Removed trailing space in p~: jivike fahari na utukufu.

PSA 45:4 Removed trailing space in v~: Katika fahari yako, songa mbele kwa ushindi,

PSA 45:4 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kweli, unyenyekevu na haki,

PSA 45:4 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume na uonyeshe matendo ya kutisha.

PSA 45:5 Removed trailing space in v~: Mishale yako mikali na ichome mioyo ya adui za mfalme,

PSA 45:5 Removed trailing space in p~: mataifa na yaanguke chini ya nyayo zako.

PSA 45:6 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, kiti chako cha enzi

PSA 45:6 Removed trailing space in p~: kitadumu milele na milele,

PSA 45:6 Removed trailing space in p~: fimbo ya utawala wa haki

PSA 45:6 Removed trailing space in p~: itakuwa fimbo ya utawala wa ufalme wako.

PSA 45:7 Removed trailing space in v~: Unaipenda haki na kuchukia uovu;

PSA 45:7 Removed trailing space in p~: kwa hiyo Mungu, Mungu wako,

PSA 45:7 Removed trailing space in p~: amekuweka juu ya wenzako,

PSA 45:7 Removed trailing space in p~: kwa kukupaka mafuta ya furaha.

PSA 45:8 Removed trailing space in v~: Mavazi yako yote yana harufu nzuri

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: ya manemane, udi na mdalasini;

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye majumba ya kifalme

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: yaliyopambwa kwa pembe za ndovu,

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: sauti za vinanda vya nyuzi

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: zinakufanya ufurahi.

PSA 45:9 Removed trailing space in v~: Binti za wafalme ni miongoni mwa wanawake wako waheshimiwa;

PSA 45:9 Removed trailing space in p~: kuume kwako yupo bibi arusi malkia aliyevaa dhahabu ya Ofiri.

PSA 45:10 Removed trailing space in v~: Sikiliza, ewe binti, fikiri na utege sikio:

PSA 45:10 Removed trailing space in p~: Sahau watu wako na nyumba ya baba yako.

PSA 45:11 Removed trailing space in v~: Mfalme ameshangazwa na uzuri wako;

PSA 45:11 Removed trailing space in p~: mheshimu, kwa kuwa yeye ni bwana wako.

PSA 45:12 Removed trailing space in v~: Binti wa Tiro atakuletea zawadi,

PSA 45:12 Removed trailing space in p~: watu wenye utajiri watatafuta upendeleo wako.

PSA 45:13 Removed trailing space in v~: Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake;

PSA 45:13 Removed trailing space in p~: vazi lake limefumwa kwa nyuzi za dhahabu.

PSA 45:14 Removed trailing space in v~: Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa,

PSA 45:14 Removed trailing space in p~: mabikira wenzake wanamfuata

PSA 45:14 Removed trailing space in p~: na wanaletwa kwako.

PSA 45:15 Removed trailing space in v~: Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha,

PSA 45:15 Removed trailing space in p~: na kuingia katika jumba la mfalme.

PSA 45:16 Removed trailing space in v~: Wana wenu watachukua nafasi za baba zenu,

PSA 45:16 Removed trailing space in p~: mtawafanya wakuu katika nchi yote.

PSA 45:17 Removed trailing space in v~: Nitadumisha kumbukumbu lako katika vizazi vyote,

PSA 45:17 Removed trailing space in p~: kwa hiyo mataifa watakusifu milele na milele.

PSA 46:0 Extra space after chapter number

PSA 46:0 Removed trailing space in c: 46

PSA 46:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 46

PSA 46:0 Removed trailing space in s1: Mungu Yuko Pamoja Nasi

PSA 46:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi.

PSA 46:1 Removed trailing space in v~: Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,

PSA 46:1 Removed trailing space in p~: msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.

PSA 46:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa

PSA 46:2 Removed trailing space in p~: nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.

PSA 46:3 Removed trailing space in v~: Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka,

PSA 46:3 Removed trailing space in p~: milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.

PSA 46:4 Removed trailing space in v~: Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu,

PSA 46:4 Removed trailing space in p~: mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.

PSA 46:5 Removed trailing space in v~: Mungu yuko katikati yake, hautaanguka,

PSA 46:5 Removed trailing space in p~: Mungu atausaidia asubuhi na mapema.

PSA 46:6 Removed trailing space in v~: Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka,

PSA 46:6 Removed trailing space in p~: Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.

PSA 46:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi,

PSA 46:7 Removed trailing space in p~: Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.

PSA 46:8 Removed trailing space in v~: Njooni mkaone kazi za \nd Bwana\nd*

PSA 46:8 Removed trailing space in p~: jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.

PSA 46:9 Removed trailing space in v~: Anakomesha vita hata miisho ya dunia,

PSA 46:9 Removed trailing space in p~: anakata upinde na kuvunjavunja mkuki,

PSA 46:9 Removed trailing space in p~: anateketeza ngao kwa moto.

PSA 46:10 Removed trailing space in v~: “Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu;

PSA 46:10 Removed trailing space in p~: nitatukuzwa katikati ya mataifa,

PSA 46:10 Removed trailing space in p~: nitatukuzwa katika dunia.”

PSA 46:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi;

PSA 46:11 Removed trailing space in p~: Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.

PSA 47:0 Extra space after chapter number

PSA 47:0 Removed trailing space in c: 47

PSA 47:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 47

PSA 47:0 Removed trailing space in s1: Mtawala Mwenye Enzi Yote

PSA 47:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

PSA 47:1 Removed trailing space in v~: Pigeni makofi, enyi mataifa yote,

PSA 47:1 Removed trailing space in p~: mpigieni Mungu kelele za shangwe!

PSA 47:2 Removed trailing space in v~: Jinsi gani alivyo wa kutisha, \nd Bwana\nd* Aliye Juu Sana,

PSA 47:2 Removed trailing space in p~: Mfalme mkuu juu ya dunia yote!

PSA 47:3 Removed trailing space in v~: Ametiisha mataifa chini yetu

PSA 47:3 Removed trailing space in p~: watu wengi chini ya miguu yetu.

PSA 47:4 Removed trailing space in v~: Alituchagulia urithi wetu,

PSA 47:4 Removed trailing space in p~: fahari ya Yakobo, aliyempenda.

PSA 47:5 Removed trailing space in v~: Mungu amepaa kwa kelele za shangwe,

PSA 47:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* kwa sauti za tarumbeta.

PSA 47:6 Removed trailing space in v~: Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa,

PSA 47:6 Removed trailing space in p~: mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.

PSA 47:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote,

PSA 47:7 Removed trailing space in p~: mwimbieni zaburi za sifa.

PSA 47:8 Removed trailing space in v~: Mungu anatawala juu ya mataifa,

PSA 47:8 Removed trailing space in p~: Mungu ameketi juu ya kiti chake cha enzi kitakatifu.

PSA 47:9 Removed trailing space in v~: Wakuu wa mataifa wanakusanyika

PSA 47:9 Removed trailing space in p~: kama watu wa Mungu wa Abrahamu,

PSA 47:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wafalme wa dunia ni mali ya Mungu;

PSA 47:9 Removed trailing space in p~: yeye ametukuka sana.

PSA 49:0 Extra space after chapter number

PSA 49:0 Removed trailing space in c: 49

PSA 49:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 49

PSA 49:0 Removed trailing space in s1: Upumbavu Wa Kutegemea Mali

PSA 49:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

PSA 49:1 Removed trailing space in v~: Sikieni haya, enyi mataifa yote,

PSA 49:1 Removed trailing space in p~: sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.

PSA 49:2 Removed trailing space in v~: Wakubwa kwa wadogo,

PSA 49:2 Removed trailing space in p~: matajiri na maskini pamoja:

PSA 49:3 Removed trailing space in v~: Kinywa changu kitasema maneno ya hekima,

PSA 49:3 Removed trailing space in p~: usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.

PSA 49:4 Removed trailing space in v~: Nitatega sikio langu nisikilize mithali,

PSA 49:4 Removed trailing space in p~: nitafafanua kitendawili kwa zeze:

PSA 49:5 Removed trailing space in v~: Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja,

PSA 49:5 Removed trailing space in p~: wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,

PSA 49:6 Removed trailing space in v~: wale wanaotegemea mali zao

PSA 49:6 Removed trailing space in p~: na kujivunia utajiri wao mwingi?

PSA 49:7 Removed trailing space in v~: Hakuna mwanadamu awaye yote

PSA 49:7 Removed trailing space in p~: awezaye kuukomboa uhai wa mwingine,

PSA 49:7 Removed trailing space in p~: au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.

PSA 49:8 Removed trailing space in v~: Fidia ya uhai ni gharama kubwa,

PSA 49:8 Removed trailing space in p~: hakuna malipo yoyote yanayotosha,

PSA 49:9 Removed trailing space in v~: ili kwamba aishi milele

PSA 49:9 Removed trailing space in p~: na asione uharibifu.

PSA 49:10 Removed trailing space in v~: Wote wanaona kwamba watu wenye hekima hufa;

PSA 49:10 Removed trailing space in p~: wajinga na wapumbavu vivyo hivyo huangamia

PSA 49:10 Removed trailing space in p~: na kuwaachia wengine mali zao.

PSA 49:11 Removed trailing space in v~: Makaburi yao yatabaki kuwa nyumba zao za milele,

PSA 49:11 Removed trailing space in p~: makao yao vizazi vyote;

PSA 49:11 Removed trailing space in p~: ingawa walikuwa na mashamba

PSA 49:11 Removed trailing space in p~: na kuyaita kwa majina yao.

PSA 49:12 Removed trailing space in v~: Lakini mwanadamu, licha ya utajiri wake, hadumu;

PSA 49:12 Removed trailing space in p~: anafanana na mnyama aangamiaye.

PSA 49:13 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe,

PSA 49:13 Removed trailing space in p~: pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.

PSA 49:14 Removed trailing space in v~: Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini,\f + \fr 49:14 \ft Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.\f*

PSA 49:14 Removed trailing space in p~: nacho kifo kitawala.

PSA 49:14 Removed trailing space in p~: Wanyofu watawatawala asubuhi,

PSA 49:14 Removed trailing space in p~: maumbile yao yataozea kaburini,

PSA 49:14 Removed trailing space in p~: mbali na majumba yao makubwa ya fahari.

PSA 49:15 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu atakomboa uhai\f + \fr 49:15 \ft Au: nafsi.\f* wangu na kaburi,

PSA 49:15 Removed trailing space in p~: hakika atanichukua kwake.

PSA 49:16 Removed trailing space in v~: Usitishwe mtu anapotajirika,

PSA 49:16 Removed trailing space in p~: fahari ya nyumba yake inapoongezeka,

PSA 49:17 Removed trailing space in v~: kwa maana hatachukua chochote atakapokufa,

PSA 49:17 Removed trailing space in p~: fahari yake haitashuka pamoja naye.

PSA 49:18 Removed trailing space in v~: Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri,

PSA 49:18 Removed trailing space in p~: na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,

PSA 49:19 Removed trailing space in v~: atajiunga na kizazi cha baba zake,

PSA 49:19 Removed trailing space in p~: ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.

PSA 49:20 Removed trailing space in v~: Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu

PSA 49:20 Removed trailing space in p~: ni kama wanyama waangamiao.

PSA 50:0 Extra space after chapter number

PSA 50:0 Removed trailing space in c: 50

PSA 50:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 50

PSA 50:0 Removed trailing space in s1: Ibada Ya Kweli

PSA 50:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Asafu.

PSA 50:1 Removed trailing space in v~: Mwenye Nguvu, Mungu, \nd Bwana\nd*,

PSA 50:1 Removed trailing space in p~: asema na kuiita dunia,

PSA 50:1 Removed trailing space in p~: tangu mawio ya jua

PSA 50:1 Removed trailing space in p~: hadi mahali pake liendapo kutua.

PSA 50:2 Removed trailing space in v~: Kutoka Sayuni, penye uzuri mkamilifu,

PSA 50:2 Removed trailing space in p~: Mungu anaangaza.

PSA 50:3 Removed trailing space in v~: Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya,

PSA 50:3 Removed trailing space in p~: moto uteketezao unamtangulia,

PSA 50:3 Removed trailing space in p~: akiwa amezungukwa na tufani kali.

PSA 50:4 Removed trailing space in v~: Anaziita mbingu zilizo juu,

PSA 50:4 Removed trailing space in p~: na nchi, ili aweze kuwahukumu watu wake:

PSA 50:5 Removed trailing space in v~: “Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu,

PSA 50:5 Removed trailing space in p~: waliofanya agano nami kwa dhabihu.”

PSA 50:6 Removed trailing space in v~: Nazo mbingu zinatangaza haki yake,

PSA 50:6 Removed trailing space in p~: kwa maana Mungu mwenyewe ni hakimu.

PSA 50:7 Removed trailing space in v~: “Sikieni, enyi watu wangu, nami nitasema,

PSA 50:7 Removed trailing space in p~: ee Israeli, nami nitashuhudia dhidi yenu:

PSA 50:7 Removed trailing space in p~: Mimi ndimi Mungu, Mungu wenu.

PSA 50:8 Removed trailing space in v~: Sikukemei kwa sababu ya dhabihu zako,

PSA 50:8 Removed trailing space in p~: au sadaka zako za kuteketezwa,

PSA 50:8 Removed trailing space in p~: ambazo daima ziko mbele zangu.

PSA 50:9 Removed trailing space in v~: Sina haja ya fahali wa banda lako,

PSA 50:9 Removed trailing space in p~: au mbuzi wa zizi lako.

PSA 50:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu,

PSA 50:10 Removed trailing space in p~: na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.

PSA 50:11 Removed trailing space in v~: Ninamjua kila ndege mlimani,

PSA 50:11 Removed trailing space in p~: nao viumbe wa kondeni ni wangu.

PSA 50:12 Removed trailing space in v~: Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi,

PSA 50:12 Removed trailing space in p~: kwa maana ulimwengu ni wangu,

PSA 50:12 Removed trailing space in p~: pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

PSA 50:13 Removed trailing space in v~: Je, mimi hula nyama ya mafahali

PSA 50:13 Removed trailing space in p~: au kunywa damu ya mbuzi?

PSA 50:14 Removed trailing space in v~: Toa sadaka za shukrani kwa Mungu,

PSA 50:14 Removed trailing space in p~: timiza nadhiri zako kwake Yeye Aliye Juu Sana,

PSA 50:15 Removed trailing space in v~: na uniite siku ya taabu;

PSA 50:15 Removed trailing space in p~: nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”

PSA 50:16 Removed trailing space in v~: Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema:

PSA 50:16 Removed trailing space in p~: “Una haki gani kunena sheria zangu

PSA 50:16 Removed trailing space in p~: au kuchukua agano langu midomoni mwako?

PSA 50:17 Removed trailing space in v~: Unachukia mafundisho yangu

PSA 50:17 Removed trailing space in p~: na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.

PSA 50:18 Removed trailing space in v~: Unapomwona mwizi, unaungana naye,

PSA 50:18 Removed trailing space in p~: unapiga kura yako pamoja na wazinzi.

PSA 50:19 Removed trailing space in v~: Unakitumia kinywa chako kwa mabaya

PSA 50:19 Removed trailing space in p~: na kuuongoza ulimi wako kwa hila.

PSA 50:20 Removed trailing space in v~: Wanena daima dhidi ya ndugu yako

PSA 50:20 Removed trailing space in p~: na kumsingizia mwana wa mama yako.

PSA 50:21 Removed trailing space in v~: Mambo haya unayafanya, nami nimekaa kimya,

PSA 50:21 Removed trailing space in p~: ukafikiri Mimi nami ni kama wewe.

PSA 50:21 Removed trailing space in p~: Lakini nitakukemea

PSA 50:21 Removed trailing space in p~: na kuweka mashtaka mbele yako.

PSA 50:22 Removed trailing space in v~: “Yatafakarini haya, ninyi mnaomsahau Mungu,

PSA 50:22 Removed trailing space in p~: ama sivyo nitawararua vipande vipande,

PSA 50:22 Removed trailing space in p~: wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwaokoa:

PSA 50:23 Removed trailing space in v~: Atoaye dhabihu za shukrani ananiheshimu mimi,

PSA 50:23 Removed trailing space in p~: naye aiandaa njia yake

PSA 50:23 Removed trailing space in p~: ili nimwonyeshe wokovu wa Mungu.”

PSA 51:0 Extra space after chapter number

PSA 51:0 Removed trailing space in c: 51

PSA 51:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 51

PSA 51:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msamaha

PSA 51:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kuzini na Bathsheba.

PSA 51:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, unihurumie,

PSA 51:1 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya upendo wako usiokoma,

PSA 51:1 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya huruma yako kuu,

PSA 51:1 Removed trailing space in p~: uyafute makosa yangu.

PSA 51:2 Removed trailing space in v~: Unioshe na uovu wangu wote

PSA 51:2 Removed trailing space in p~: na unitakase dhambi yangu.

PSA 51:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninajua makosa yangu,

PSA 51:3 Removed trailing space in p~: na dhambi yangu iko mbele yangu daima.

PSA 51:4 Removed trailing space in v~: Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi

PSA 51:4 Removed trailing space in p~: na kufanya yaliyo mabaya machoni pako,

PSA 51:4 Removed trailing space in p~: ili uthibitike kuwa wa kweli unenapo,

PSA 51:4 Removed trailing space in p~: na kuwa na haki utoapo hukumu.

PSA 51:5 Removed trailing space in v~: Hakika mimi nilizaliwa mwenye dhambi,

PSA 51:5 Removed trailing space in p~: mwenye dhambi tangu nilipotungwa mimba kwa mama yangu.

PSA 51:6 Removed trailing space in v~: Hakika wewe wapendezwa na kweli itokayo moyoni,

PSA 51:6 Removed trailing space in p~: ndani sana ya moyo wangu wanifundisha hekima.

PSA 51:7 Removed trailing space in v~: Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi,

PSA 51:7 Removed trailing space in p~: unisafishe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.

PSA 51:8 Removed trailing space in v~: Unipe kusikia furaha na shangwe,

PSA 51:8 Removed trailing space in p~: mifupa uliyoiponda na ifurahi.

PSA 51:9 Removed trailing space in v~: Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu,

PSA 51:9 Removed trailing space in p~: na uufute uovu wangu wote.

PSA 51:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uniumbie moyo safi,

PSA 51:10 Removed trailing space in p~: uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.

PSA 51:11 Removed trailing space in v~: Usinitupe kutoka mbele zako

PSA 51:11 Removed trailing space in p~: wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.

PSA 51:12 Removed trailing space in v~: Unirudishie tena furaha ya wokovu wako,

PSA 51:12 Removed trailing space in p~: unipe roho ya utii, ili initegemeze.

PSA 51:13 Removed trailing space in v~: Ndipo nitakapowafundisha wakosaji njia zako,

PSA 51:13 Removed trailing space in p~: na wenye dhambi watakugeukia wewe.

PSA 51:14 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, Mungu uniokoaye,

PSA 51:14 Removed trailing space in p~: niokoe na hatia ya kumwaga damu,

PSA 51:14 Removed trailing space in p~: nao ulimi wangu utaimba juu ya haki yako.

PSA 51:15 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, fungua midomo yangu,

PSA 51:15 Removed trailing space in p~: na kinywa changu kitatangaza sifa zako.

PSA 51:16 Removed trailing space in v~: Wewe hupendezwi na dhabihu, au ningaliileta,

PSA 51:16 Removed trailing space in p~: hufurahii sadaka za kuteketezwa.

PSA 51:17 Removed trailing space in v~: Bali dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika,

PSA 51:17 Removed trailing space in p~: moyo uliovunjika wenye toba,

PSA 51:17 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, hutaudharau.

PSA 51:18 Removed trailing space in v~: Kwa wema wa radhi yako uifanye Sayuni istawi,

PSA 51:18 Removed trailing space in p~: ukazijenge upya kuta za Yerusalemu.

PSA 51:19 Removed trailing space in v~: Hapo ndipo kutakapokuwa na dhabihu za haki,

PSA 51:19 Removed trailing space in p~: sadaka nzima za kuteketezwa za kukupendeza sana,

PSA 51:19 Removed trailing space in p~: pia mafahali watatolewa

PSA 51:19 Removed trailing space in p~: madhabahuni mwako.

PSA 52:0 Extra space after chapter number

PSA 52:0 Removed trailing space in c: 52

PSA 52:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 52

PSA 52:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Ya Mungu

PSA 52:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.”

PSA 52:1 Removed trailing space in v~: Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?

PSA 52:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini unajivuna mchana kutwa,

PSA 52:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?

PSA 52:2 Removed trailing space in v~: Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya maangamizi.

PSA 52:2 Removed trailing space in p~: Ni kama wembe mkali, ninyi mfanyao hila.

PSA 52:3 Removed trailing space in v~: Unapenda mabaya kuliko mema,

PSA 52:3 Removed trailing space in p~: uongo kuliko kusema kweli.

PSA 52:4 Removed trailing space in v~: Unapenda kila neno lenye kudhuru,

PSA 52:4 Removed trailing space in p~: ewe ulimi wenye hila!

PSA 52:5 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu atakushusha chini

PSA 52:5 Removed trailing space in p~: kwa maangamizi ya milele:

PSA 52:5 Removed trailing space in p~: atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu

PSA 52:5 Removed trailing space in p~: kutoka hema yako,

PSA 52:5 Removed trailing space in p~: atakungʼoa kutoka nchi ya walio hai.

PSA 52:6 Removed trailing space in v~: Wenye haki wataona na kuogopa,

PSA 52:6 Removed trailing space in p~: watamcheka, wakisema,

PSA 52:7 Removed trailing space in v~: “Huyu ni yule mtu ambaye

PSA 52:7 Removed trailing space in p~: hakumfanya Mungu kuwa ngome yake,

PSA 52:7 Removed trailing space in p~: bali alitumainia wingi wa utajiri wake,

PSA 52:7 Removed trailing space in p~: na akawa hodari kwa kuwaangamiza wengine!”

PSA 52:7 Removed trailing space in s1: Neema Ya Mungu

PSA 52:8 Removed trailing space in v~: Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni

PSA 52:8 Removed trailing space in p~: unaostawi katika nyumba ya Mungu,

PSA 52:8 Removed trailing space in p~: nautegemea upendo wa Mungu usiokoma

PSA 52:8 Removed trailing space in p~: milele na milele.

PSA 52:9 Removed trailing space in v~: Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda,

PSA 52:9 Removed trailing space in p~: nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema.

PSA 52:9 Removed trailing space in p~: Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.

PSA 53:0 Extra space after chapter number

PSA 53:0 Removed trailing space in c: 53

PSA 53:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 53

PSA 53:0 Removed trailing space in s1: Uovu Wa Wanadamu

PSA 53:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 14)

PSA 53:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.

PSA 53:1 Removed trailing space in v~: Mpumbavu anasema moyoni mwake,

PSA 53:1 Removed trailing space in p~: “Hakuna Mungu.”

PSA 53:1 Removed trailing space in p~: Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa,

PSA 53:1 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja atendaye mema.

PSA 53:2 Removed trailing space in v~: Mungu anawachungulia wanadamu chini

PSA 53:2 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni

PSA 53:2 Removed trailing space in p~: aone kama wako wenye akili,

PSA 53:2 Removed trailing space in p~: wowote wanaomtafuta Mungu.

PSA 53:3 Removed trailing space in v~: Kila mmoja amegeukia mbali,

PSA 53:3 Removed trailing space in p~: wameharibika wote pamoja,

PSA 53:3 Removed trailing space in p~: hakuna atendaye mema.

PSA 53:3 Removed trailing space in p~: Naam, hakuna hata mmoja!

PSA 53:4 Removed trailing space in v~: Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

PSA 53:4 Removed trailing space in p~: wale ambao huwala watu wangu

PSA 53:4 Removed trailing space in p~: kama watu walavyo mkate,

PSA 53:4 Removed trailing space in p~: hao ambao hawamwiti Mungu?

PSA 53:5 Removed trailing space in v~: Hapo waliingiwa na hofu kuu,

PSA 53:5 Removed trailing space in p~: ambapo hapakuwa cha kutetemesha.

PSA 53:5 Removed trailing space in p~: Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia;

PSA 53:5 Removed trailing space in p~: uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.

PSA 53:6 Removed trailing space in v~: Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni!

PSA 53:6 Removed trailing space in p~: Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake,

PSA 53:6 Removed trailing space in p~: Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!

PSA 54:0 Extra space after chapter number

PSA 54:0 Removed trailing space in c: 54

PSA 54:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 54

PSA 54:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui

PSA 54:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?”

PSA 54:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu uniokoe kwa jina lako,

PSA 54:1 Removed trailing space in p~: unifanyie hukumu kwa uwezo wako.

PSA 54:2 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, sikia maombi yangu,

PSA 54:2 Removed trailing space in p~: usikilize maneno ya kinywa changu.

PSA 54:3 Removed trailing space in v~: Wageni wananishambulia,

PSA 54:3 Removed trailing space in p~: watu wakatili wanayatafuta maisha yangu,

PSA 54:3 Removed trailing space in p~: watu wasiomjali Mungu.

PSA 54:4 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu ni msaada wangu,

PSA 54:4 Removed trailing space in p~: Bwana ndiye anayenitegemeza.

PSA 54:5 Removed trailing space in v~: Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia,

PSA 54:5 Removed trailing space in p~: kwa uaminifu wako uwaangamize.

PSA 54:6 Removed trailing space in v~: Nitakutolea dhabihu za hiari;

PSA 54:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, nitalisifu jina lako

PSA 54:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ni vyema.

PSA 54:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote,

PSA 54:7 Removed trailing space in p~: na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.

PSA 55:0 Extra space after chapter number

PSA 55:0 Removed trailing space in c: 55

PSA 55:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 55

PSA 55:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Aliyesalitiwa Na Rafiki

PSA 55:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi.

PSA 55:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, sikiliza maombi yangu,

PSA 55:1 Removed trailing space in p~: wala usidharau hoja yangu.

PSA 55:2 Removed trailing space in v~: Nisikie na unijibu.

PSA 55:2 Removed trailing space in p~: Mawazo yangu yananisumbua na nimehangaishwa

PSA 55:3 Removed trailing space in v~: kwa sauti ya adui,

PSA 55:3 Removed trailing space in p~: kwa kukaziwa macho na waovu,

PSA 55:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu wananiletea mateso juu yangu

PSA 55:3 Removed trailing space in p~: na kunitukana kwa hasira zao.

PSA 55:4 Removed trailing space in v~: Moyo wangu umejaa uchungu,

PSA 55:4 Removed trailing space in p~: hofu ya kifo imenishambulia.

PSA 55:5 Removed trailing space in v~: Woga na kutetemeka vimenizunguka,

PSA 55:5 Removed trailing space in p~: hofu kuu imenigharikisha.

PSA 55:6 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Laiti ningekuwa na mbawa za njiwa!

PSA 55:6 Removed trailing space in p~: Ningeruka niende mbali kupumzika.

PSA 55:7 Removed trailing space in v~: Ningalitorokea mbali sana

PSA 55:7 Removed trailing space in p~: na kukaa jangwani,

PSA 55:8 Removed trailing space in v~: ningaliharakisha kwenda mahali pa salama,

PSA 55:8 Removed trailing space in p~: mbali na tufani kali na dhoruba.”

PSA 55:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uwatahayarishe waovu

PSA 55:9 Removed trailing space in p~: na uwachanganyishie semi zao,

PSA 55:9 Removed trailing space in p~: maana nimeona jeuri na ugomvi mjini.

PSA 55:10 Removed trailing space in v~: Usiku na mchana wanazunguka juu ya kuta zake,

PSA 55:10 Removed trailing space in p~: uovu na dhuluma vimo ndani yake.

PSA 55:11 Removed trailing space in v~: Nguvu za uharibifu zinatenda kazi mjini,

PSA 55:11 Removed trailing space in p~: vitisho na uongo haviondoki mitaani mwake.

PSA 55:12 Removed trailing space in v~: Kama aliyenitukana ni adui yangu, ningevumilia,

PSA 55:12 Removed trailing space in p~: kama mtu mwovu angejiinua dhidi yangu,

PSA 55:12 Removed trailing space in p~: ningejificha asinione.

PSA 55:13 Removed trailing space in v~: Kumbe ni wewe, mwenzangu,

PSA 55:13 Removed trailing space in p~: mshiriki na rafiki yangu wa karibu,

PSA 55:14 Removed trailing space in v~: ambaye awali tulifurahia ushirika mzuri,

PSA 55:14 Removed trailing space in p~: tulipokuwa tukienda na umati hekaluni mwa Mungu.

PSA 55:15 Removed trailing space in v~: Kifo na kiwajie adui zangu ghafula,

PSA 55:15 Removed trailing space in p~: na washuke kuzimu wangali hai,

PSA 55:15 Removed trailing space in p~: kwa maana uovu upo ndani yao.

PSA 55:16 Removed trailing space in v~: Lakini ninamwita Mungu,

PSA 55:16 Removed trailing space in p~: naye \nd Bwana\nd* huniokoa.

PSA 55:17 Removed trailing space in v~: Jioni, asubuhi na adhuhuri

PSA 55:17 Removed trailing space in p~: ninalia kwa huzuni,

PSA 55:17 Removed trailing space in p~: naye husikia sauti yangu.

PSA 55:18 Removed trailing space in v~: Huniokoa nikawa salama katika vita

PSA 55:18 Removed trailing space in p~: vilivyopangwa dhidi yangu,

PSA 55:18 Removed trailing space in p~: ingawa watu wengi hunipinga.

PSA 55:19 Removed trailing space in v~: Mungu anayemiliki milele,

PSA 55:19 Removed trailing space in p~: atawasikia na kuwaadhibu,

PSA 55:19 Removed trailing space in p~: watu ambao hawabadilishi njia zao,

PSA 55:19 Removed trailing space in p~: wala hawana hofu ya Mungu.

PSA 55:20 Removed trailing space in v~: Mwenzangu hushambulia rafiki zake,

PSA 55:20 Removed trailing space in p~: naye huvunja agano lake.

PSA 55:21 Removed trailing space in v~: Mazungumzo yake ni laini kama siagi,

PSA 55:21 Removed trailing space in p~: hata hivyo vita vimo moyoni mwake.

PSA 55:21 Removed trailing space in p~: Maneno yake ni mororo kuliko mafuta,

PSA 55:21 Removed trailing space in p~: hata hivyo ni upanga mkali uliofutwa.

PSA 55:22 Removed trailing space in v~: Mtwike \nd Bwana\nd* fadhaa zako,

PSA 55:22 Removed trailing space in p~: naye atakutegemeza,

PSA 55:22 Removed trailing space in p~: hatamwacha kamwe mwenye haki wake aanguke.

PSA 55:23 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee Mungu,

PSA 55:23 Removed trailing space in p~: utawashusha waovu katika shimo la uharibifu.

PSA 55:23 Removed trailing space in p~: Wenye kiu ya kumwaga damu na wenye hila,

PSA 55:23 Removed trailing space in p~: hawataishi nusu ya siku zao.

PSA 55:23 Removed trailing space in p~: Lakini mimi ninakutumaini wewe.

PSA 56:0 Extra space after chapter number

PSA 56:0 Removed trailing space in c: 56

PSA 56:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 56

PSA 56:0 Removed trailing space in s1: Kumtumaini Mungu

PSA 56:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi.

PSA 56:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali;

PSA 56:1 Removed trailing space in p~: mchana kutwa wanazidisha mashambulizi yao.

PSA 56:2 Removed trailing space in v~: Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa,

PSA 56:2 Removed trailing space in p~: wengi wananishambulia kwa kiburi chao.

PSA 56:3 Removed trailing space in v~: Wakati ninapoogopa,

PSA 56:3 Removed trailing space in p~: nitakutumaini wewe.

PSA 56:4 Removed trailing space in v~: Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,

PSA 56:4 Removed trailing space in p~: katika Mungu ninatumaini; sitaogopa.

PSA 56:4 Removed trailing space in p~: Mwanadamu apatikanaye na kufa,

PSA 56:4 Removed trailing space in p~: atanitenda nini?

PSA 56:5 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu,

PSA 56:5 Removed trailing space in p~: siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.

PSA 56:6 Removed trailing space in v~: Wananifanyia hila, wanajificha,

PSA 56:6 Removed trailing space in p~: wanatazama hatua zangu,

PSA 56:6 Removed trailing space in p~: wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu.

PSA 56:7 Removed trailing space in v~: Wasiepuke kwa vyovyote,

PSA 56:7 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, katika hasira yako yaangushe mataifa.

PSA 56:8 Removed trailing space in v~: Andika maombolezo yangu,

PSA 56:8 Removed trailing space in p~: orodhesha machozi yangu katika gombo lako:

PSA 56:8 Removed trailing space in p~: je, haya hayapo katika kumbukumbu zako?

PSA 56:9 Removed trailing space in v~: Ndipo adui zangu watarudi nyuma

PSA 56:9 Removed trailing space in p~: ninapoita msaada.

PSA 56:9 Removed trailing space in p~: Kwa hili nitajua kwamba Mungu

PSA 56:9 Removed trailing space in p~: yuko upande wangu.

PSA 56:10 Removed trailing space in v~: Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,

PSA 56:10 Removed trailing space in p~: katika \nd Bwana\nd*, ambaye neno lake ninalisifu,

PSA 56:11 Removed trailing space in v~: katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.

PSA 56:11 Removed trailing space in p~: Mwanadamu anaweza kunitenda nini?

PSA 56:12 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, nina nadhiri kwako,

PSA 56:12 Removed trailing space in p~: nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.

PSA 56:13 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti

PSA 56:13 Removed trailing space in p~: na miguu yangu kwenye kujikwaa,

PSA 56:13 Removed trailing space in p~: ili niweze kuenenda mbele za Mungu

PSA 56:13 Removed trailing space in p~: katika nuru ya uzima.

PSA 57:0 Extra space after chapter number

PSA 57:0 Removed trailing space in c: 57

PSA 57:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 57

PSA 57:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 57:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.

PSA 57:1 Removed trailing space in v~: Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,

PSA 57:1 Removed trailing space in p~: kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.

PSA 57:1 Removed trailing space in p~: Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia

PSA 57:1 Removed trailing space in p~: mpaka maafa yapite.

PSA 57:2 Removed trailing space in v~: Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,

PSA 57:2 Removed trailing space in p~: Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.

PSA 57:3 Removed trailing space in v~: Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,

PSA 57:3 Removed trailing space in p~: akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali;

PSA 57:3 Removed trailing space in p~: Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.

PSA 57:4 Removed trailing space in v~: Niko katikati ya simba,

PSA 57:4 Removed trailing space in p~: nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu:

PSA 57:4 Removed trailing space in p~: watu ambao meno yao ni mikuki na mishale,

PSA 57:4 Removed trailing space in p~: ambao ndimi zao ni panga kali.

PSA 57:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

PSA 57:5 Removed trailing space in p~: utukufu wako na uenee duniani kote.

PSA 57:6 Removed trailing space in v~: Waliitegea miguu yangu nyavu,

PSA 57:6 Removed trailing space in p~: nikainamishwa chini na dhiki.

PSA 57:6 Removed trailing space in p~: Wamechimba shimo katika njia yangu,

PSA 57:6 Removed trailing space in p~: lakini wametumbukia humo wao wenyewe.

PSA 57:7 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

PSA 57:7 Removed trailing space in p~: nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

PSA 57:8 Removed trailing space in v~: Amka, nafsi yangu!

PSA 57:8 Removed trailing space in p~: Amka, kinubi na zeze!

PSA 57:8 Removed trailing space in p~: Nitayaamsha mapambazuko.

PSA 57:9 Removed trailing space in v~: Nitakusifu wewe, Ee \nd Bwana\nd*, katikati ya mataifa;

PSA 57:9 Removed trailing space in p~: nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

PSA 57:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,

PSA 57:10 Removed trailing space in p~: uaminifu wako unazifikia anga.

PSA 57:11 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,

PSA 57:11 Removed trailing space in p~: utukufu wako na uwe duniani pote.

PSA 58:0 Extra space after chapter number

PSA 58:0 Removed trailing space in c: 58

PSA 58:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 58

PSA 58:0 Removed trailing space in s1: Mungu Kuwaadhibu Waovu

PSA 58:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi.

PSA 58:1 Removed trailing space in v~: Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki?

PSA 58:1 Removed trailing space in p~: Je, mnahukumu kwa unyofu miongoni mwa watu?

PSA 58:2 Removed trailing space in v~: La, mioyoni mwenu mnatunga udhalimu,

PSA 58:2 Removed trailing space in p~: na mikono yenu hupima jeuri duniani.

PSA 58:3 Removed trailing space in v~: Waovu ni wapotovu tangu kuzaliwa kwao,

PSA 58:3 Removed trailing space in p~: toka tumboni mwa mama zao

PSA 58:3 Removed trailing space in p~: ni wakaidi na husema uongo.

PSA 58:4 Removed trailing space in v~: Sumu yao ni kama sumu ya nyoka,

PSA 58:4 Removed trailing space in p~: kama ile ya fira ambaye ameziba masikio yake,

PSA 58:5 Removed trailing space in v~: ambaye hatasikia sauti ya kutumbuiza ya mwaguzi,

PSA 58:5 Removed trailing space in p~: hata kama mganga angecheza kwa ustadi kiasi gani.

PSA 58:6 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, yavunje meno katika vinywa vyao;

PSA 58:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, vunja meno makali ya hao simba!

PSA 58:7 Removed trailing space in v~: Na watoweke kama maji yapitayo kwa kasi,

PSA 58:7 Removed trailing space in p~: wavutapo pinde zao, mishale yao na iwe butu.

PSA 58:8 Removed trailing space in v~: Kama konokono ayeyukavyo akitembea,

PSA 58:8 Removed trailing space in p~: kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu,

PSA 58:8 Removed trailing space in p~: wasilione jua.

PSA 58:9 Removed trailing space in v~: Kabla vyungu vyenu havijapata moto wa kuni za miiba,

PSA 58:9 Removed trailing space in p~: zikiwa mbichi au kavu,

PSA 58:9 Removed trailing space in p~: waovu watakuwa

PSA 58:9 Removed trailing space in p~: wamefagiliwa mbali.

PSA 58:10 Removed trailing space in v~: Wenye haki watafurahi waonapo wakilipizwa kisasi,

PSA 58:10 Removed trailing space in p~: watakapochovya nyayo zao katika damu ya waovu.

PSA 58:11 Removed trailing space in v~: Ndipo wanadamu watasema,

PSA 58:11 Removed trailing space in p~: “Hakika utulivu wa wenye haki bado una thawabu,

PSA 58:11 Removed trailing space in p~: hakika kuna Mungu ahukumuye dunia.”

PSA 59:0 Extra space after chapter number

PSA 59:0 Removed trailing space in c: 59

PSA 59:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 59

PSA 59:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Wa Mungu

PSA 59:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue.

PSA 59:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uniokoe na adui zangu,

PSA 59:1 Removed trailing space in p~: unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.

PSA 59:2 Removed trailing space in v~: Uniponye na watu watendao mabaya,

PSA 59:2 Removed trailing space in p~: uniokoe kutokana na wamwagao damu.

PSA 59:3 Removed trailing space in v~: Tazama wanavyonivizia!

PSA 59:3 Removed trailing space in p~: Watu wakali wananifanyia hila,

PSA 59:3 Removed trailing space in p~: ingawa Ee \nd Bwana\nd*, mimi sijakosea

PSA 59:3 Removed trailing space in p~: wala kutenda dhambi.

PSA 59:4 Removed trailing space in v~: Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia.

PSA 59:4 Removed trailing space in p~: Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!

PSA 59:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli!

PSA 59:5 Removed trailing space in p~: Zinduka uyaadhibu mataifa yote,

PSA 59:5 Removed trailing space in p~: usionyeshe huruma kwa wasaliti.

PSA 59:6 Removed trailing space in v~: Hurudi wakati wa jioni,

PSA 59:6 Removed trailing space in p~: wakibweka kama mbwa,

PSA 59:6 Removed trailing space in p~: wakiuzurura mji.

PSA 59:7 Removed trailing space in v~: Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao,

PSA 59:7 Removed trailing space in p~: hutema upanga kutoka midomo yao,

PSA 59:7 Removed trailing space in p~: nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”

PSA 59:8 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, \nd Bwana\nd*, uwacheke;

PSA 59:8 Removed trailing space in p~: unayadharau mataifa hayo yote.

PSA 59:9 Removed trailing space in v~: Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe,

PSA 59:9 Removed trailing space in p~: wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,

PSA 59:10 Removed trailing space in v~: Mungu wangu unipendaye.

PSA 59:10 Removed trailing space in p~: Mungu atanitangulia,

PSA 59:10 Removed trailing space in p~: naye atanifanya niwachekelee

PSA 59:10 Removed trailing space in p~: wale wanaonisingizia.

PSA 59:11 Removed trailing space in v~: Lakini usiwaue, Ee \nd Bwana\nd*, ngao yetu,

PSA 59:11 Removed trailing space in p~: au sivyo watu wangu watasahau.

PSA 59:11 Removed trailing space in p~: Katika uwezo wako wafanye watangetange

PSA 59:11 Removed trailing space in p~: na uwashushe chini.

PSA 59:12 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao,

PSA 59:12 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya maneno ya midomo yao,

PSA 59:12 Removed trailing space in p~: waache wanaswe katika kiburi chao.

PSA 59:12 Removed trailing space in p~: Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,

PSA 59:13 Removed trailing space in v~: wateketeze katika ghadhabu,

PSA 59:13 Removed trailing space in p~: wateketeze hadi wasiwepo tena.

PSA 59:13 Removed trailing space in p~: Ndipo itakapofahamika katika miisho ya dunia

PSA 59:13 Removed trailing space in p~: kwamba Mungu anatawala juu ya Yakobo.

PSA 59:14 Removed trailing space in v~: Hurudi jioni,

PSA 59:14 Removed trailing space in p~: wakibweka kama mbwa,

PSA 59:14 Removed trailing space in p~: wakiuzurura mji.

PSA 59:15 Removed trailing space in v~: Wanatangatanga wakitafuta chakula,

PSA 59:15 Removed trailing space in p~: wasipotosheka hubweka kama mbwa.

PSA 59:16 Removed trailing space in v~: Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,

PSA 59:16 Removed trailing space in p~: asubuhi nitaimba juu ya upendo wako;

PSA 59:16 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ndiwe ngome yangu

PSA 59:16 Removed trailing space in p~: na kimbilio langu wakati wa shida.

PSA 59:17 Removed trailing space in v~: Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa.

PSA 59:17 Removed trailing space in p~: Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,

PSA 59:17 Removed trailing space in p~: Mungu unipendaye.

PSA 60:0 Extra space after chapter number

PSA 60:0 Removed trailing space in c: 60

PSA 60:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 60

PSA 60:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Kuokolewa

PSA 60:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.

PSA 60:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,

PSA 60:1 Removed trailing space in p~: umekasirika: sasa turejeshe upya!

PSA 60:2 Removed trailing space in v~: Umetetemesha nchi na kuipasua;

PSA 60:2 Removed trailing space in p~: uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.

PSA 60:3 Removed trailing space in v~: Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;

PSA 60:3 Removed trailing space in p~: umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.

PSA 60:4 Removed trailing space in v~: Kwa wale wanaokucha wewe,

PSA 60:4 Removed trailing space in p~: umewainulia bendera,

PSA 60:4 Removed trailing space in p~: ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.

PSA 60:5 Removed trailing space in v~: Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,

PSA 60:5 Removed trailing space in p~: ili wale uwapendao wapate kuokolewa.

PSA 60:6 Removed trailing space in v~: Mungu amenena kutoka patakatifu pake:

PSA 60:6 Removed trailing space in p~: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi

PSA 60:6 Removed trailing space in p~: na kulipima Bonde la Sukothi.

PSA 60:7 Removed trailing space in v~: Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;

PSA 60:7 Removed trailing space in p~: Efraimu ni kofia yangu ya chuma,

PSA 60:7 Removed trailing space in p~: nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.

PSA 60:8 Removed trailing space in v~: Moabu ni sinia langu la kunawia,

PSA 60:8 Removed trailing space in p~: juu ya Edomu natupa kiatu changu;

PSA 60:8 Removed trailing space in p~: nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”

PSA 60:9 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?

PSA 60:9 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?

PSA 60:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,

PSA 60:10 Removed trailing space in p~: na hutoki tena na majeshi yetu?

PSA 60:11 Removed trailing space in v~: Tuletee msaada dhidi ya adui,

PSA 60:11 Removed trailing space in p~: kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

PSA 60:12 Removed trailing space in v~: Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,

PSA 60:12 Removed trailing space in p~: naye atawaponda adui zetu.

PSA 61:0 Extra space after chapter number

PSA 61:0 Removed trailing space in c: 61

PSA 61:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 61

PSA 61:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi

PSA 61:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 61:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, sikia kilio changu,

PSA 61:1 Removed trailing space in p~: usikilize maombi yangu.

PSA 61:2 Removed trailing space in v~: Kutoka miisho ya dunia ninakuita,

PSA 61:2 Removed trailing space in p~: ninaita huku moyo wangu unadhoofika;

PSA 61:2 Removed trailing space in p~: uniongoze kwenye mwamba

PSA 61:2 Removed trailing space in p~: ule ulio juu kuliko mimi.

PSA 61:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu,

PSA 61:3 Removed trailing space in p~: ngome imara dhidi ya adui.

PSA 61:4 Removed trailing space in v~: Natamani kukaa hemani mwako milele,

PSA 61:4 Removed trailing space in p~: na kukimbilia chini ya uvuli wa mbawa zako.

PSA 61:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu,

PSA 61:5 Removed trailing space in p~: umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.

PSA 61:6 Removed trailing space in v~: Mwongezee mfalme siku za maisha yake,

PSA 61:6 Removed trailing space in p~: miaka yake kwa vizazi vingi.

PSA 61:7 Removed trailing space in v~: Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele;

PSA 61:7 Removed trailing space in p~: amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.

PSA 61:8 Removed trailing space in v~: Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako

PSA 61:8 Removed trailing space in p~: na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.

PSA 62:0 Extra space after chapter number

PSA 62:0 Removed trailing space in c: 62

PSA 62:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 62

PSA 62:0 Removed trailing space in s1: Mungu Kimbilio La Pekee

PSA 62:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.

PSA 62:1 Removed trailing space in v~: Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;

PSA 62:1 Removed trailing space in p~: wokovu wangu watoka kwake.

PSA 62:2 Removed trailing space in v~: Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

PSA 62:2 Removed trailing space in p~: yeye ni ngome yangu, sitatikisika kamwe.

PSA 62:3 Removed trailing space in v~: Mtamshambulia mtu hata lini?

PSA 62:3 Removed trailing space in p~: Je, ninyi nyote mtamtupa chini,

PSA 62:3 Removed trailing space in p~: ukuta huu ulioinama na uzio huu unaotikisika?

PSA 62:4 Removed trailing space in v~: Walikusudia kikamilifu kumwangusha

PSA 62:4 Removed trailing space in p~: toka mahali pake pa fahari;

PSA 62:4 Removed trailing space in p~: wanafurahia uongo.

PSA 62:4 Removed trailing space in p~: Kwa vinywa vyao hubariki,

PSA 62:4 Removed trailing space in p~: lakini ndani ya mioyo yao hulaani.

PSA 62:5 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,

PSA 62:5 Removed trailing space in p~: tumaini langu latoka kwake.

PSA 62:6 Removed trailing space in v~: Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

PSA 62:6 Removed trailing space in p~: ndiye ngome yangu, sitatikisika.

PSA 62:7 Removed trailing space in v~: Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,

PSA 62:7 Removed trailing space in p~: ndiye mwamba wangu wenye nguvu

PSA 62:7 Removed trailing space in p~: na kimbilio langu.

PSA 62:8 Removed trailing space in v~: Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,

PSA 62:8 Removed trailing space in p~: miminieni mioyo yenu kwake,

PSA 62:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.

PSA 62:9 Removed trailing space in v~: Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,

PSA 62:9 Removed trailing space in p~: nao wa ngazi ya juu ni uongo tu;

PSA 62:9 Removed trailing space in p~: wakipimwa kwenye mizani, si chochote;

PSA 62:9 Removed trailing space in p~: wote kwa pamoja ni pumzi tu.

PSA 62:10 Removed trailing space in v~: Usitumainie vya udhalimu

PSA 62:10 Removed trailing space in p~: wala usijivune kwa vitu vya wizi;

PSA 62:10 Removed trailing space in p~: ingawa utajiri wako utaongezeka,

PSA 62:10 Removed trailing space in p~: usiviwekee moyo wako.

PSA 62:11 Removed trailing space in v~: Jambo moja Mungu amelisema,

PSA 62:11 Removed trailing space in p~: mambo mawili nimeyasikia:

PSA 62:11 Removed trailing space in p~: kwamba, Ee Mungu,

PSA 62:11 Removed trailing space in p~: wewe una nguvu,

PSA 62:12 Removed trailing space in v~: na kwamba, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 62:12 Removed trailing space in p~: wewe ni mwenye upendo.

PSA 62:12 Removed trailing space in p~: Hakika utampa kila mtu thawabu

PSA 62:12 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya alivyotenda.

PSA 63:0 Extra space after chapter number

PSA 63:0 Removed trailing space in c: 63

PSA 63:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 63

PSA 63:0 Removed trailing space in s1: Shauku Kwa Ajili Ya Uwepo Wa Mungu

PSA 63:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda.

PSA 63:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu,

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: nakutafuta kwa moyo wote;

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: nafsi yangu inakuonea kiu,

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: mwili wangu unakuonea wewe shauku,

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: katika nchi kame na iliyochoka

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: mahali ambapo hapana maji.

PSA 63:2 Removed trailing space in v~: Nimekuona katika mahali patakatifu

PSA 63:2 Removed trailing space in p~: na kuuona uwezo wako na utukufu wako.

PSA 63:3 Removed trailing space in v~: Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai,

PSA 63:3 Removed trailing space in p~: midomo yangu itakuadhimisha.

PSA 63:4 Removed trailing space in v~: Nitakusifu siku zote za maisha yangu,

PSA 63:4 Removed trailing space in p~: na kwa jina lako nitainua mikono yangu.

PSA 63:5 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu itatoshelezwa

PSA 63:5 Removed trailing space in p~: kama kwa wingi wa vyakula;

PSA 63:5 Removed trailing space in p~: kwa midomo iimbayo

PSA 63:5 Removed trailing space in p~: kinywa changu kitakusifu wewe.

PSA 63:6 Removed trailing space in v~: Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe,

PSA 63:6 Removed trailing space in p~: ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.

PSA 63:7 Removed trailing space in v~: Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu,

PSA 63:7 Removed trailing space in p~: chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.

PSA 63:8 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inaambatana nawe,

PSA 63:8 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume hunishika.

PSA 63:9 Removed trailing space in v~: Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa,

PSA 63:9 Removed trailing space in p~: watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.

PSA 63:10 Removed trailing space in v~: Watatolewa wafe kwa upanga,

PSA 63:10 Removed trailing space in p~: nao watakuwa chakula cha mbweha.

PSA 63:11 Removed trailing space in v~: Bali mfalme atafurahi katika Mungu,

PSA 63:11 Removed trailing space in p~: wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu,

PSA 63:11 Removed trailing space in p~: bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.

PSA 64:0 Extra space after chapter number

PSA 64:0 Removed trailing space in c: 64

PSA 64:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 64

PSA 64:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Dhidi Ya Maadui

PSA 64:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 64:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu,

PSA 64:1 Removed trailing space in p~: uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.

PSA 64:2 Removed trailing space in v~: Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu,

PSA 64:2 Removed trailing space in p~: kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.

PSA 64:3 Removed trailing space in v~: Wananoa ndimi zao kama panga

PSA 64:3 Removed trailing space in p~: na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.

PSA 64:4 Removed trailing space in v~: Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia,

PSA 64:4 Removed trailing space in p~: humrushia ghafula bila woga.

PSA 64:5 Removed trailing space in v~: Kila mmoja humtia moyo mwenzake

PSA 64:5 Removed trailing space in p~: katika mipango mibaya;

PSA 64:5 Removed trailing space in p~: huzungumza juu ya kuficha mitego yao,

PSA 64:5 Removed trailing space in p~: nao husema, “Ni nani ataiona?”

PSA 64:6 Removed trailing space in v~: Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema,

PSA 64:6 Removed trailing space in p~: “Tumebuni mpango mkamilifu!”

PSA 64:6 Removed trailing space in p~: Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.

PSA 64:7 Removed trailing space in v~: Bali Mungu atawapiga kwa mishale,

PSA 64:7 Removed trailing space in p~: nao ghafula wataangushwa.

PSA 64:8 Removed trailing space in v~: Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao

PSA 64:8 Removed trailing space in p~: na kuwaleta kwenye maangamizi;

PSA 64:8 Removed trailing space in p~: wote wawaonao watatikisa vichwa vyao

PSA 64:8 Removed trailing space in p~: kwa dharau.

PSA 64:9 Removed trailing space in v~: Wanadamu wote wataogopa,

PSA 64:9 Removed trailing space in p~: watatangaza kazi za Mungu

PSA 64:9 Removed trailing space in p~: na kutafakari yale aliyoyatenda.

PSA 64:10 Removed trailing space in v~: Wenye haki na wafurahi katika \nd Bwana\nd*,

PSA 64:10 Removed trailing space in p~: na wakimbilie kwake;

PSA 64:10 Removed trailing space in p~: wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!

PSA 65:0 Extra space after chapter number

PSA 65:0 Removed trailing space in c: 65

PSA 65:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 65

PSA 65:0 Removed trailing space in s1: Kusifu Na Kushukuru

PSA 65:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.

PSA 65:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, sifa zakungojea katika Sayuni;

PSA 65:1 Removed trailing space in p~: kwako wewe nadhiri zetu zitatimizwa.

PSA 65:2 Removed trailing space in v~: Ewe usikiaye maombi,

PSA 65:2 Removed trailing space in p~: kwako wewe watu wote watakuja.

PSA 65:3 Removed trailing space in v~: Tulipokuwa tumefunikwa kabisa na dhambi,

PSA 65:3 Removed trailing space in p~: wewe ulisamehe makosa yetu.

PSA 65:4 Removed trailing space in v~: Heri wale uliowachagua

PSA 65:4 Removed trailing space in p~: na kuwaleta karibu ili waishi katika nyua zako!

PSA 65:4 Removed trailing space in p~: Tunashibishwa kwa mema ya nyumba yako,

PSA 65:4 Removed trailing space in p~: mema ya Hekalu lako takatifu.

PSA 65:5 Removed trailing space in v~: Unatujibu kwa matendo ya kushangaza ya haki,

PSA 65:5 Removed trailing space in p~: Ee Mungu Mwokozi wetu,

PSA 65:5 Removed trailing space in p~: tumaini la miisho yote ya duniani

PSA 65:5 Removed trailing space in p~: na la bahari zilizo mbali sana,

PSA 65:6 Removed trailing space in v~: uliyeumba milima kwa uwezo wako,

PSA 65:6 Removed trailing space in p~: ukiwa umejivika nguvu,

PSA 65:7 Removed trailing space in v~: uliyenyamazisha dhoruba za bahari,

PSA 65:7 Removed trailing space in p~: ngurumo za mawimbi yake,

PSA 65:7 Removed trailing space in p~: na ghasia za mataifa.

PSA 65:8 Removed trailing space in v~: Wale wanaoishi mbali sana

PSA 65:8 Removed trailing space in p~: wanaogopa maajabu yako,

PSA 65:8 Removed trailing space in p~: kule asubuhi ipambazukiapo

PSA 65:8 Removed trailing space in p~: na kule jioni inakofifilia

PSA 65:8 Removed trailing space in p~: umeziita nyimbo za furaha.

PSA 65:9 Removed trailing space in v~: Waitunza nchi na kuinyeshea,

PSA 65:9 Removed trailing space in p~: waitajirisha kwa wingi.

PSA 65:9 Removed trailing space in p~: Vijito vya Mungu vimejaa maji

PSA 65:9 Removed trailing space in p~: ili kuwapa watu nafaka,

PSA 65:9 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe umeviamuru.

PSA 65:10 Removed trailing space in v~: Umeilowesha mifereji yake

PSA 65:10 Removed trailing space in p~: na kusawazisha kingo zake;

PSA 65:10 Removed trailing space in p~: umeilainisha kwa manyunyu

PSA 65:10 Removed trailing space in p~: na kuibariki mimea yake.

PSA 65:11 Removed trailing space in v~: Umeuvika mwaka taji ya baraka,

PSA 65:11 Removed trailing space in p~: magari yako yanafurika kwa wingi.

PSA 65:12 Removed trailing space in v~: Mbuga za majani za jangwani umezineemesha;

PSA 65:12 Removed trailing space in p~: vilima vimevikwa furaha.

PSA 65:13 Removed trailing space in v~: Penye nyanda za malisho pamejaa makundi ya wanyama,

PSA 65:13 Removed trailing space in p~: na mabonde yamepambwa kwa mavuno;

PSA 65:13 Removed trailing space in p~: vyote vinashangilia kwa furaha na kuimba.

PSA 66:0 Extra space after chapter number

PSA 66:0 Removed trailing space in c: 66

PSA 66:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 66

PSA 66:0 Removed trailing space in s1: Kusifu Mungu Kwa Ajili Ya Wema Wake

PSA 66:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi.

PSA 66:1 Removed trailing space in v~: Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!

PSA 66:2 Removed trailing space in v~: Imbeni utukufu wa jina lake;

PSA 66:2 Removed trailing space in p~: mpeni sifa zake kwa utukufu!

PSA 66:3 Removed trailing space in v~: Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako!

PSA 66:3 Removed trailing space in p~: Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba

PSA 66:3 Removed trailing space in p~: adui wananyenyekea mbele zako.

PSA 66:4 Removed trailing space in v~: Dunia yote yakusujudia,

PSA 66:4 Removed trailing space in p~: wanakuimbia wewe sifa,

PSA 66:4 Removed trailing space in p~: wanaliimbia sifa jina lako.”

PSA 66:5 Removed trailing space in v~: Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda,

PSA 66:5 Removed trailing space in p~: mambo ya kutisha aliyoyatenda

PSA 66:5 Removed trailing space in p~: miongoni mwa wanadamu!

PSA 66:6 Removed trailing space in v~: Alifanya bahari kuwa nchi kavu,

PSA 66:6 Removed trailing space in p~: wakapita kati ya maji kwa miguu,

PSA 66:6 Removed trailing space in p~: njooni, tumshangilie.

PSA 66:7 Removed trailing space in v~: Yeye hutawala kwa uwezo wake milele,

PSA 66:7 Removed trailing space in p~: macho yake huangalia mataifa yote:

PSA 66:7 Removed trailing space in p~: waasi wasithubutu kujiinua dhidi yake.

PSA 66:8 Removed trailing space in v~: Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu,

PSA 66:8 Removed trailing space in p~: sauti ya sifa yake isikike,

PSA 66:9 Removed trailing space in v~: ameyahifadhi maisha yetu

PSA 66:9 Removed trailing space in p~: na kuizuia miguu yetu kuteleza.

PSA 66:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wewe ulitujaribu,

PSA 66:10 Removed trailing space in p~: ukatusafisha kama fedha.

PSA 66:11 Removed trailing space in v~: Umetuingiza kwenye nyavu

PSA 66:11 Removed trailing space in p~: na umetubebesha mizigo mizito

PSA 66:11 Removed trailing space in p~: migongoni mwetu.

PSA 66:12 Removed trailing space in v~: Uliwaruhusu watu watukalie vichwani,

PSA 66:12 Removed trailing space in p~: tulipita kwenye moto na kwenye maji,

PSA 66:12 Removed trailing space in p~: lakini ulituleta kwenye nchi

PSA 66:12 Removed trailing space in p~: iliyojaa utajiri tele.

PSA 66:13 Removed trailing space in v~: Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa

PSA 66:13 Removed trailing space in p~: na kukutimizia nadhiri zangu:

PSA 66:14 Removed trailing space in v~: nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi

PSA 66:14 Removed trailing space in p~: na nilizotamka kwa kinywa changu

PSA 66:14 Removed trailing space in p~: nilipokuwa katika shida.

PSA 66:15 Removed trailing space in v~: Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono

PSA 66:15 Removed trailing space in p~: na sadaka za kondoo dume,

PSA 66:15 Removed trailing space in p~: nitakutolea mafahali na mbuzi.

PSA 66:16 Removed trailing space in v~: Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu,

PSA 66:16 Removed trailing space in p~: nami niwaambie aliyonitendea.

PSA 66:17 Removed trailing space in v~: Nilimlilia kwa kinywa changu,

PSA 66:17 Removed trailing space in p~: sifa zake zilikuwa katika ulimi wangu.

PSA 66:18 Removed trailing space in v~: Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu,

PSA 66:18 Removed trailing space in p~: Bwana asingekuwa amenisikiliza;

PSA 66:19 Removed trailing space in v~: lakini hakika Mungu amenisikiliza

PSA 66:19 Removed trailing space in p~: na amesikia sauti yangu katika maombi.

PSA 66:20 Removed trailing space in v~: Sifa apewe Mungu,

PSA 66:20 Removed trailing space in p~: ambaye hakulikataa ombi langu

PSA 66:20 Removed trailing space in p~: wala kunizuilia upendo wake!

PSA 67:0 Extra space after chapter number

PSA 67:0 Removed trailing space in c: 67

PSA 67:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 67

PSA 67:0 Removed trailing space in s1: Mataifa Yahimizwa Kumsifu Mungu

PSA 67:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo.

PSA 67:1 Removed trailing space in v~: Mungu aturehemu na kutubariki,

PSA 67:1 Removed trailing space in p~: na kutuangazia nuru za uso wake,

PSA 67:2 Removed trailing space in v~: ili njia zako zijulikane duniani,

PSA 67:2 Removed trailing space in p~: wokovu wako katikati ya mataifa yote.

PSA 67:3 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mataifa na wakusifu,

PSA 67:3 Removed trailing space in p~: mataifa yote na wakusifu.

PSA 67:4 Removed trailing space in v~: Mataifa yote wafurahi na kuimba kwa shangwe,

PSA 67:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa unatawala watu kwa haki

PSA 67:4 Removed trailing space in p~: na kuongoza mataifa ya dunia.

PSA 67:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mataifa na wakusifu,

PSA 67:5 Removed trailing space in p~: mataifa yote na wakusifu.

PSA 67:6 Removed trailing space in v~: Ndipo nchi itatoa mazao yake,

PSA 67:6 Removed trailing space in p~: naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.

PSA 67:7 Removed trailing space in v~: Mungu atatubariki

PSA 67:7 Removed trailing space in p~: na miisho yote ya dunia itamcha yeye.

PSA 68:0 Extra space after chapter number

PSA 68:0 Removed trailing space in c: 68

PSA 68:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 68

PSA 68:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Taifa Wa Shangwe Kwa Ushindi

PSA 68:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.

PSA 68:1 Removed trailing space in v~: Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike,

PSA 68:1 Removed trailing space in p~: adui zake na wakimbie mbele zake.

PSA 68:2 Removed trailing space in v~: Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo,

PSA 68:2 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo uwapeperushe mbali,

PSA 68:2 Removed trailing space in p~: kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto,

PSA 68:2 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.

PSA 68:3 Removed trailing space in v~: Bali wenye haki na wafurahi,

PSA 68:3 Removed trailing space in p~: washangilie mbele za Mungu,

PSA 68:3 Removed trailing space in p~: wafurahi na kushangilia.

PSA 68:4 Removed trailing space in v~: Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,

PSA 68:4 Removed trailing space in p~: mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:

PSA 68:4 Removed trailing space in p~: jina lake ni \nd Bwana\nd*,

PSA 68:4 Removed trailing space in p~: furahini mbele zake.

PSA 68:5 Removed trailing space in v~: Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,

PSA 68:5 Removed trailing space in p~: ni Mungu katika makao yake matakatifu.

PSA 68:6 Removed trailing space in v~: Mungu huwaweka wapweke katika jamaa,

PSA 68:6 Removed trailing space in p~: huwaongoza wafungwa wakiimba,

PSA 68:6 Removed trailing space in p~: bali waasi huishi katika nchi kame.

PSA 68:7 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako,

PSA 68:7 Removed trailing space in p~: ulipopita nyikani,

PSA 68:8 Removed trailing space in v~: dunia ilitikisika,

PSA 68:8 Removed trailing space in p~: mbingu zikanyesha mvua,

PSA 68:8 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu, Yule wa Sinai,

PSA 68:8 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.

PSA 68:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi

PSA 68:9 Removed trailing space in p~: na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.

PSA 68:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, watu wako waliishi huko,

PSA 68:10 Removed trailing space in p~: nawe kwa wingi wa utajiri wako

PSA 68:10 Removed trailing space in p~: uliwapa maskini mahitaji yao.

PSA 68:11 Removed trailing space in v~: Bwana alitangaza neno,

PSA 68:11 Removed trailing space in p~: waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:

PSA 68:12 Removed trailing space in v~: “Wafalme na majeshi walikimbia upesi,

PSA 68:12 Removed trailing space in p~: watu waliobaki kambini waligawana nyara.

PSA 68:13 Removed trailing space in v~: Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini,

PSA 68:13 Removed trailing space in p~: mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha,

PSA 68:13 Removed trailing space in p~: manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”

PSA 68:14 Removed trailing space in v~: Wakati Mwenyezi\f + \fr 68:14 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f* alipowatawanya wafalme katika nchi,

PSA 68:14 Removed trailing space in p~: ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.

PSA 68:15 Removed trailing space in v~: Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka,

PSA 68:15 Removed trailing space in p~: milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.

PSA 68:16 Removed trailing space in v~: Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka,

PSA 68:16 Removed trailing space in p~: kwa nini mnakazia macho kwa wivu,

PSA 68:16 Removed trailing space in p~: katika mlima Mungu anaochagua kutawala,

PSA 68:16 Removed trailing space in p~: ambako \nd Bwana\nd* mwenyewe ataishi milele?

PSA 68:17 Removed trailing space in v~: Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,

PSA 68:17 Removed trailing space in p~: na maelfu ya maelfu;

PSA 68:17 Removed trailing space in p~: Bwana amekuja kutoka Sinai

PSA 68:17 Removed trailing space in p~: hadi katika patakatifu pake.

PSA 68:18 Removed trailing space in v~: Ulipopanda juu, uliteka mateka,

PSA 68:18 Removed trailing space in p~: ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu,

PSA 68:18 Removed trailing space in p~: hata kutoka kwa wale walioasi,

PSA 68:18 Removed trailing space in p~: ili wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mungu, upate kuishi huko.

PSA 68:19 Removed trailing space in v~: Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu,

PSA 68:19 Removed trailing space in p~: ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.

PSA 68:20 Removed trailing space in v~: Mungu wetu ni Mungu aokoaye,

PSA 68:20 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi hutuokoa na kifo.

PSA 68:21 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake,

PSA 68:21 Removed trailing space in p~: vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.

PSA 68:22 Removed trailing space in v~: Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani;

PSA 68:22 Removed trailing space in p~: nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,

PSA 68:23 Removed trailing space in v~: ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako,

PSA 68:23 Removed trailing space in p~: huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”

PSA 68:24 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, maandamano yako yameonekana,

PSA 68:24 Removed trailing space in p~: maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu,

PSA 68:24 Removed trailing space in p~: yakielekea patakatifu pake.

PSA 68:25 Removed trailing space in v~: Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda,

PSA 68:25 Removed trailing space in p~: pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.

PSA 68:26 Removed trailing space in v~: Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa,

PSA 68:26 Removed trailing space in p~: msifuni \nd Bwana\nd* katika kusanyiko la Israeli.

PSA 68:27 Removed trailing space in v~: Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza,

PSA 68:27 Removed trailing space in p~: wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda,

PSA 68:27 Removed trailing space in p~: hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.

PSA 68:28 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, amuru uwezo wako,

PSA 68:28 Removed trailing space in p~: Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako,

PSA 68:28 Removed trailing space in p~: kama ulivyofanya hapo awali.

PSA 68:29 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu

PSA 68:29 Removed trailing space in p~: wafalme watakuletea zawadi.

PSA 68:30 Removed trailing space in v~: Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi,

PSA 68:30 Removed trailing space in p~: kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa.

PSA 68:30 Removed trailing space in p~: Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea.

PSA 68:30 Removed trailing space in p~: Tawanya mataifa yapendayo vita.

PSA 68:31 Removed trailing space in v~: Wajumbe watakuja kutoka Misri,

PSA 68:31 Removed trailing space in p~: Kushi\f + \fr 68:31 \ft Kushi hapa ina maana maeneo ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.\f* atajisalimisha kwa Mungu.

PSA 68:32 Removed trailing space in v~: Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia,

PSA 68:32 Removed trailing space in p~: mwimbieni Bwana sifa,

PSA 68:33 Removed trailing space in v~: mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu,

PSA 68:33 Removed trailing space in p~: yeye angurumaye kwa sauti kuu.

PSA 68:34 Removed trailing space in v~: Tangazeni uwezo wa Mungu,

PSA 68:34 Removed trailing space in p~: ambaye fahari yake iko juu ya Israeli,

PSA 68:34 Removed trailing space in p~: ambaye uwezo wake uko katika anga.

PSA 68:35 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako,

PSA 68:35 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu.

PSA 68:35 Removed trailing space in p~: Mungu Asifiwe!

PSA 69:0 Extra space after chapter number

PSA 69:0 Removed trailing space in c: 69

PSA 69:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 69

PSA 69:0 Removed trailing space in s1: Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki

PSA 69:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.

PSA 69:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, niokoe,

PSA 69:1 Removed trailing space in p~: kwa maana maji yamenifika shingoni.

PSA 69:2 Removed trailing space in v~: Ninazama kwenye vilindi vya matope,

PSA 69:2 Removed trailing space in p~: pasipo mahali pa kukanyaga,

PSA 69:2 Removed trailing space in p~: Nimefika kwenye maji makuu,

PSA 69:2 Removed trailing space in p~: mafuriko yamenigharikisha.

PSA 69:3 Removed trailing space in v~: Nimechoka kwa kuomba msaada,

PSA 69:3 Removed trailing space in p~: koo langu limekauka.

PSA 69:3 Removed trailing space in p~: Macho yangu yanafifia,

PSA 69:3 Removed trailing space in p~: nikimtafuta Mungu wangu.

PSA 69:4 Removed trailing space in v~: Wale wanaonichukia bila sababu

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: ni wengi kuliko nywele za kichwa changu;

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: wengi ni adui kwangu bila sababu,

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: wale wanaotafuta kuniangamiza.

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: Ninalazimishwa kurudisha

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: kitu ambacho sikuiba.

PSA 69:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu,

PSA 69:5 Removed trailing space in p~: wala hatia yangu haikufichika kwako.

PSA 69:6 Removed trailing space in v~: Ee Bwana, ewe \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 69:6 Removed trailing space in p~: wakutumainio wasiaibishwe

PSA 69:6 Removed trailing space in p~: kwa ajili yangu;

PSA 69:6 Removed trailing space in p~: wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu,

PSA 69:6 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wa Israeli.

PSA 69:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,

PSA 69:7 Removed trailing space in p~: aibu imefunika uso wangu.

PSA 69:8 Removed trailing space in v~: Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,

PSA 69:8 Removed trailing space in p~: mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.

PSA 69:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,

PSA 69:9 Removed trailing space in p~: matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.

PSA 69:10 Removed trailing space in v~: Ninapolia na kufunga,

PSA 69:10 Removed trailing space in p~: lazima nivumilie matusi.

PSA 69:11 Removed trailing space in v~: Ninapovaa nguo ya gunia,

PSA 69:11 Removed trailing space in p~: watu hunidharau.

PSA 69:12 Removed trailing space in v~: Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,

PSA 69:12 Removed trailing space in p~: nimekuwa wimbo wa walevi.

PSA 69:13 Removed trailing space in v~: Lakini Ee \nd Bwana\nd*, ninakuomba,

PSA 69:13 Removed trailing space in p~: kwa wakati ukupendezao;

PSA 69:13 Removed trailing space in p~: katika upendo wako mkuu, Ee Mungu,

PSA 69:13 Removed trailing space in p~: unijibu kwa wokovu wako wa hakika.

PSA 69:14 Removed trailing space in v~: Uniokoe katika matope,

PSA 69:14 Removed trailing space in p~: usiniache nizame;

PSA 69:14 Removed trailing space in p~: niokoe na hao wanichukiao,

PSA 69:14 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye vilindi vya maji.

PSA 69:15 Removed trailing space in v~: Usiache mafuriko yanigharikishe

PSA 69:15 Removed trailing space in p~: au vilindi vinimeze,

PSA 69:15 Removed trailing space in p~: au shimo lifumbe kinywa chake juu yangu.

PSA 69:16 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unijibu, kwa wema wa upendo wako;

PSA 69:16 Removed trailing space in p~: kwa huruma zako nyingi unigeukie.

PSA 69:17 Removed trailing space in v~: Usimfiche mtumishi wako uso wako,

PSA 69:17 Removed trailing space in p~: uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.

PSA 69:18 Removed trailing space in v~: Njoo karibu uniokoe,

PSA 69:18 Removed trailing space in p~: nikomboe kwa sababu ya adui zangu.

PSA 69:19 Removed trailing space in v~: Unajua jinsi ninavyodharauliwa,

PSA 69:19 Removed trailing space in p~: kufedheheshwa na kuaibishwa,

PSA 69:19 Removed trailing space in p~: adui zangu wote unawajua.

PSA 69:20 Removed trailing space in v~: Dharau zimenivunja moyo

PSA 69:20 Removed trailing space in p~: na nimekata tamaa,

PSA 69:20 Removed trailing space in p~: nimetafuta wa kunihurumia, lakini sikumpata,

PSA 69:20 Removed trailing space in p~: wa kunituliza, lakini sikumpata.

PSA 69:21 Removed trailing space in v~: Waliweka nyongo katika chakula changu

PSA 69:21 Removed trailing space in p~: na walinipa siki nilipokuwa na kiu.

PSA 69:22 Removed trailing space in v~: Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego,

PSA 69:22 Removed trailing space in p~: nayo iwe upatilizo na tanzi.

PSA 69:23 Removed trailing space in v~: Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,

PSA 69:23 Removed trailing space in p~: nayo migongo yao iinamishwe daima.

PSA 69:24 Removed trailing space in v~: Uwamwagie ghadhabu yako,

PSA 69:24 Removed trailing space in p~: hasira yako kali na iwapate.

PSA 69:25 Removed trailing space in v~: Mahali pao na pawe ukiwa,

PSA 69:25 Removed trailing space in p~: wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.

PSA 69:26 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,

PSA 69:26 Removed trailing space in p~: na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.

PSA 69:27 Removed trailing space in v~: Walipize uovu juu ya uovu,

PSA 69:27 Removed trailing space in p~: usiwaache washiriki katika wokovu wako.

PSA 69:28 Removed trailing space in v~: Wafutwe kutoka kitabu cha uzima

PSA 69:28 Removed trailing space in p~: na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.

PSA 69:29 Removed trailing space in v~: Mimi niko katika maumivu na dhiki;

PSA 69:29 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.

PSA 69:30 Removed trailing space in v~: Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,

PSA 69:30 Removed trailing space in p~: nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.

PSA 69:31 Removed trailing space in v~: Hili litampendeza \nd Bwana\nd* kuliko ngʼombe dume,

PSA 69:31 Removed trailing space in p~: zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.

PSA 69:32 Removed trailing space in v~: Maskini wataona na kufurahi:

PSA 69:32 Removed trailing space in p~: ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!

PSA 69:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwasikia wahitaji

PSA 69:33 Removed trailing space in p~: wala hadharau watu wake waliotekwa.

PSA 69:34 Removed trailing space in v~: Mbingu na dunia zimsifu,

PSA 69:34 Removed trailing space in p~: bahari na vyote viendavyo ndani yake,

PSA 69:35 Removed trailing space in v~: kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni

PSA 69:35 Removed trailing space in p~: na kuijenga tena miji ya Yuda.

PSA 69:35 Removed trailing space in p~: Kisha watu watafanya makao yao humo na kuimiliki,

PSA 69:36 Removed trailing space in v~: watoto wa watumishi wake watairithi

PSA 69:36 Removed trailing space in p~: na wale wote walipendao jina lake

PSA 69:36 Removed trailing space in p~: wataishi humo.

PSA 70:0 Extra space after chapter number

PSA 70:0 Removed trailing space in c: 70

PSA 70:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 70

PSA 70:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 70:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 40:13-17)

PSA 70:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi.

PSA 70:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ufanye haraka kuniokoa;

PSA 70:1 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, njoo hima unisaidie.

PSA 70:2 Removed trailing space in v~: Wale wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,

PSA 70:2 Removed trailing space in p~: waaibishwe na kufadhaishwa;

PSA 70:2 Removed trailing space in p~: wote wanaotamani kuangamizwa kwangu,

PSA 70:2 Removed trailing space in p~: warudishwe nyuma kwa aibu.

PSA 70:3 Removed trailing space in v~: Wale waniambiao, “Aha! Aha!”

PSA 70:3 Removed trailing space in p~: warudi nyuma kwa sababu ya aibu yao.

PSA 70:4 Removed trailing space in v~: Lakini wote wakutafutao

PSA 70:4 Removed trailing space in p~: washangilie na kukufurahia,

PSA 70:4 Removed trailing space in p~: wale wapendao wokovu wako siku zote waseme,

PSA 70:4 Removed trailing space in p~: “Mungu na atukuzwe!”

PSA 70:5 Removed trailing space in v~: Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;

PSA 70:5 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, unijie haraka.

PSA 70:5 Removed trailing space in p~: Wewe ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu;

PSA 70:5 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, usikawie.

PSA 71:0 Extra space after chapter number

PSA 71:0 Removed trailing space in c: 71

PSA 71:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 71

PSA 71:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Na Msaada Siku Zote Za Maisha

PSA 71:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nimekukimbilia wewe,

PSA 71:1 Removed trailing space in p~: usiache nikaaibika kamwe.

PSA 71:2 Removed trailing space in v~: Kwa haki yako uniponye na kuniokoa,

PSA 71:2 Removed trailing space in p~: unitegee sikio lako uniokoe.

PSA 71:3 Removed trailing space in v~: Uwe kwangu mwamba wa kimbilio,

PSA 71:3 Removed trailing space in p~: mahali nitakapokimbilia kila wakati;

PSA 71:3 Removed trailing space in p~: toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe

PSA 71:3 Removed trailing space in p~: ni mwamba wangu na ngome yangu.

PSA 71:4 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu,

PSA 71:4 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.

PSA 71:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi,

PSA 71:5 Removed trailing space in p~: tegemeo langu tangu ujana wangu.

PSA 71:6 Removed trailing space in v~: Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,

PSA 71:6 Removed trailing space in p~: ulinitoa tumboni mwa mama yangu.

PSA 71:6 Removed trailing space in p~: Nitakusifu wewe daima.

PSA 71:7 Removed trailing space in v~: Nimekuwa kama kioja kwa wengi,

PSA 71:7 Removed trailing space in p~: lakini wewe ni kimbilio langu imara.

PSA 71:8 Removed trailing space in v~: Kinywa changu kimejazwa sifa zako,

PSA 71:8 Removed trailing space in p~: nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.

PSA 71:9 Removed trailing space in v~: Usinitupe wakati wa uzee,

PSA 71:9 Removed trailing space in p~: wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.

PSA 71:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana adui zangu wananisengenya,

PSA 71:10 Removed trailing space in p~: wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.

PSA 71:11 Removed trailing space in v~: Wanasema, “Mungu amemwacha,

PSA 71:11 Removed trailing space in p~: mkimbilieni mkamkamate,

PSA 71:11 Removed trailing space in p~: kwani hakuna wa kumwokoa.”

PSA 71:12 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, usiwe mbali nami,

PSA 71:12 Removed trailing space in p~: njoo haraka kunisaidia, Ee Mungu wangu.

PSA 71:13 Removed trailing space in v~: Washtaki wangu na waangamie kwa aibu,

PSA 71:13 Removed trailing space in p~: wale wanaotaka kunidhuru

PSA 71:13 Removed trailing space in p~: na wafunikwe kwa dharau na fedheha.

PSA 71:14 Removed trailing space in v~: Lakini mimi, nitatumaini siku zote,

PSA 71:14 Removed trailing space in p~: nitakusifu zaidi na zaidi.

PSA 71:15 Removed trailing space in v~: Kinywa changu kitasimulia haki yako,

PSA 71:15 Removed trailing space in p~: wokovu wako mchana kutwa,

PSA 71:15 Removed trailing space in p~: ingawa sifahamu kipimo chake.

PSA 71:16 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitakuja

PSA 71:16 Removed trailing space in p~: na kutangaza matendo yako makuu,

PSA 71:16 Removed trailing space in p~: nitatangaza haki yako, yako peke yako.

PSA 71:17 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,

PSA 71:17 Removed trailing space in p~: hadi leo ninatangaza matendo yako ya ajabu.

PSA 71:18 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, usiniache,

PSA 71:18 Removed trailing space in p~: hata niwapo mzee wa mvi,

PSA 71:18 Removed trailing space in p~: mpaka nitangaze uwezo wako kwa kizazi kijacho,

PSA 71:18 Removed trailing space in p~: nguvu zako kwa wote watakaokuja baadaye.

PSA 71:19 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu,

PSA 71:19 Removed trailing space in p~: wewe ambaye umefanya mambo makuu.

PSA 71:19 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?

PSA 71:20 Removed trailing space in v~: Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu,

PSA 71:20 Removed trailing space in p~: utanihuisha tena,

PSA 71:20 Removed trailing space in p~: kutoka vilindi vya dunia

PSA 71:20 Removed trailing space in p~: utaniinua tena.

PSA 71:21 Removed trailing space in v~: Utaongeza heshima yangu

PSA 71:21 Removed trailing space in p~: na kunifariji tena.

PSA 71:22 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu, nitakusifu kwa kinubi

PSA 71:22 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya uaminifu wako;

PSA 71:22 Removed trailing space in p~: Ee Uliye Mtakatifu wa Israeli,

PSA 71:22 Removed trailing space in p~: nitakuimbia sifa kwa zeze.

PSA 71:23 Removed trailing space in v~: Midomo yangu itapaza sauti kwa furaha

PSA 71:23 Removed trailing space in p~: ninapokuimbia sifa,

PSA 71:23 Removed trailing space in p~: mimi, ambaye umenikomboa.

PSA 71:24 Removed trailing space in v~: Ulimi wangu utasimulia matendo yako ya haki

PSA 71:24 Removed trailing space in p~: mchana kutwa,

PSA 71:24 Removed trailing space in p~: kwa maana wale waliotaka kunidhuru,

PSA 71:24 Removed trailing space in p~: wameaibishwa na kufadhaishwa.

PSA 72:0 Extra space after chapter number

PSA 72:0 Removed trailing space in c: 72

PSA 72:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 72

PSA 72:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Mfalme

PSA 72:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Solomoni.

PSA 72:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako,

PSA 72:1 Removed trailing space in p~: mwana wa mfalme kwa haki yako.

PSA 72:2 Removed trailing space in v~: Atawaamua watu wako kwa haki,

PSA 72:2 Removed trailing space in p~: watu wako walioonewa kwa haki.

PSA 72:3 Removed trailing space in v~: Milima italeta mafanikio kwa watu,

PSA 72:3 Removed trailing space in p~: vilima tunda la haki.

PSA 72:4 Removed trailing space in v~: Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu

PSA 72:4 Removed trailing space in p~: na atawaokoa watoto wa wahitaji,

PSA 72:4 Removed trailing space in p~: ataponda mdhalimu.

PSA 72:5 Removed trailing space in v~: Atadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.

PSA 72:6 Removed trailing space in v~: Atakuwa kama mvua inyeshayo juu ya shamba lililofyekwa,

PSA 72:6 Removed trailing space in p~: kama manyunyu yanyeshayo ardhi.

PSA 72:7 Removed trailing space in v~: Katika siku zake wenye haki watastawi;

PSA 72:7 Removed trailing space in p~: mafanikio yatakuwepo mpaka mwezi utakapokoma.

PSA 72:8 Removed trailing space in v~: Atatawala kutoka bahari hadi bahari

PSA 72:8 Removed trailing space in p~: na kutoka Mto\f + \fr 72:8 \ft Yaani Mto Frati.\f* mpaka miisho ya dunia.

PSA 72:9 Removed trailing space in v~: Makabila ya jangwani watamsujudia,

PSA 72:9 Removed trailing space in p~: na adui zake wataramba mavumbi.

PSA 72:10 Removed trailing space in v~: Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali

PSA 72:10 Removed trailing space in p~: watamletea kodi;

PSA 72:10 Removed trailing space in p~: wafalme wa Sheba na Seba

PSA 72:10 Removed trailing space in p~: watampa zawadi.

PSA 72:11 Removed trailing space in v~: Wafalme wote watamsujudia

PSA 72:11 Removed trailing space in p~: na mataifa yote yatamtumikia.

PSA 72:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia,

PSA 72:12 Removed trailing space in p~: aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.

PSA 72:13 Removed trailing space in v~: Atawahurumia wanyonge na wahitaji

PSA 72:13 Removed trailing space in p~: na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.

PSA 72:14 Removed trailing space in v~: Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili,

PSA 72:14 Removed trailing space in p~: kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.

PSA 72:15 Removed trailing space in v~: Aishi maisha marefu!

PSA 72:15 Removed trailing space in p~: Na apewe dhahabu ya Sheba.

PSA 72:15 Removed trailing space in p~: Watu wamwombee daima

PSA 72:15 Removed trailing space in p~: na kumbariki mchana kutwa.

PSA 72:16 Removed trailing space in v~: Nafaka ijae tele katika nchi yote,

PSA 72:16 Removed trailing space in p~: juu ya vilele vya vilima na istawi.

PSA 72:16 Removed trailing space in p~: Tunda lake na listawi kama Lebanoni,

PSA 72:16 Removed trailing space in p~: listawi kama majani ya kondeni.

PSA 72:17 Removed trailing space in v~: Jina lake na lidumu milele,

PSA 72:17 Removed trailing space in p~: na lidumu kama jua.

PSA 72:17 Removed trailing space in p~: Mataifa yote yatabarikiwa kupitia kwake,

PSA 72:17 Removed trailing space in p~: nao watamwita aliyebarikiwa.

PSA 72:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa,

PSA 72:18 Removed trailing space in p~: yeye ambaye peke yake hutenda mambo ya ajabu.

PSA 72:19 Removed trailing space in v~: Jina lake tukufu lisifiwe milele,

PSA 72:19 Removed trailing space in p~: ulimwengu wote ujae utukufu wake.

PSA 72:19 Removed trailing space in qc: Amen na Amen.

PSA 72:20 Removed trailing space in v~: Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana wa Yese.

PSA 73:0 Extra space after chapter number

PSA 73:0 Removed trailing space in c: 73

PSA 73:0 Removed trailing space in ms1: KITABU CHA TATU

PSA 73:0 Removed trailing space in mr: (Zaburi 73–89)

PSA 73:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 73

PSA 73:0 Removed trailing space in s1: Haki Ya Mungu

PSA 73:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Asafu.

PSA 73:1 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli,

PSA 73:1 Removed trailing space in p~: kwa wale ambao mioyo yao ni safi.

PSA 73:2 Removed trailing space in v~: Bali kwangu mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza;

PSA 73:2 Removed trailing space in p~: nilikuwa karibu mguu wangu kuachia uliposimama.

PSA 73:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna

PSA 73:3 Removed trailing space in p~: nilipoona kufanikiwa kwa waovu.

PSA 73:4 Removed trailing space in v~: Wao hawana taabu,\f + \fr 73:4 \ft Tafsiri nyingine zinasema: hawana maumivu katika kufa kwao.\f*

PSA 73:4 Removed trailing space in p~: miili yao ina afya na nguvu.

PSA 73:5 Removed trailing space in v~: Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine,

PSA 73:5 Removed trailing space in p~: wala hawapati mapigo kama wanadamu wengine.

PSA 73:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao,

PSA 73:6 Removed trailing space in p~: wamejivika jeuri.

PSA 73:7 Removed trailing space in v~: Uovu hutoka katika mioyo yao iliyokufa ganzi,

PSA 73:7 Removed trailing space in p~: majivuno maovu kutoka mioyoni mwao hauna kikomo.

PSA 73:8 Removed trailing space in v~: Hudhihaki na kusema kwa ukorofi,

PSA 73:8 Removed trailing space in p~: katika majivuno yao wanatishia kutesa.

PSA 73:9 Removed trailing space in v~: Vinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu,

PSA 73:9 Removed trailing space in p~: nazo ndimi zao humiliki duniani.

PSA 73:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wao huwageukia

PSA 73:10 Removed trailing space in p~: na kunywa maji tele.\f + \fr 73:10 \ft Au: na kupokea yote wasemayo.\f*

PSA 73:11 Removed trailing space in v~: Wanasema, “Mungu awezaje kujua?

PSA 73:11 Removed trailing space in p~: Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”

PSA 73:12 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo walivyo waovu:

PSA 73:12 Removed trailing space in p~: siku zote hawajali,

PSA 73:12 Removed trailing space in p~: wanaongezeka katika utajiri.

PSA 73:13 Removed trailing space in v~: Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure,

PSA 73:13 Removed trailing space in p~: ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.

PSA 73:14 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa nimetaabika,

PSA 73:14 Removed trailing space in p~: nimeadhibiwa kila asubuhi.

PSA 73:15 Removed trailing space in v~: Kama ningesema, “Nitasema hivi,”

PSA 73:15 Removed trailing space in p~: ningelikuwa nimewasaliti watoto wako.

PSA 73:16 Removed trailing space in v~: Nilipojaribu kuelewa haya yote,

PSA 73:16 Removed trailing space in p~: yalikuwa magumu kwangu kuelewa.

PSA 73:17 Removed trailing space in v~: Mpaka nilipoingia patakatifu pa Mungu,

PSA 73:17 Removed trailing space in p~: ndipo nilipotambua mwisho wao.

PSA 73:18 Removed trailing space in v~: Hakika unawaweka mahali pa utelezi,

PSA 73:18 Removed trailing space in p~: unawaangusha chini kwa uharibifu.

PSA 73:19 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi wanavyoangamizwa ghafula,

PSA 73:19 Removed trailing space in p~: wanatoweshwa kabisa na vitisho!

PSA 73:20 Removed trailing space in v~: Kama ndoto mtu aamkapo,

PSA 73:20 Removed trailing space in p~: hivyo wakati uinukapo, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 73:20 Removed trailing space in p~: utawatowesha kama ndoto.

PSA 73:21 Removed trailing space in v~: Wakati moyo wangu ulipohuzunishwa,

PSA 73:21 Removed trailing space in p~: na roho yangu ilipotiwa uchungu,

PSA 73:22 Removed trailing space in v~: nilikuwa mpumbavu na mjinga,

PSA 73:22 Removed trailing space in p~: nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.

PSA 73:23 Removed trailing space in v~: Hata hivyo niko pamoja nawe siku zote,

PSA 73:23 Removed trailing space in p~: umenishika mkono wangu wa kuume.

PSA 73:24 Removed trailing space in v~: Unaniongoza kwa shauri lako,

PSA 73:24 Removed trailing space in p~: hatimaye utaniingiza katika utukufu.

PSA 73:25 Removed trailing space in v~: Nani niliye naye mbinguni ila wewe?

PSA 73:25 Removed trailing space in p~: Dunia haina chochote ninachokitamani ila wewe.

PSA 73:26 Removed trailing space in v~: Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa,

PSA 73:26 Removed trailing space in p~: bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu

PSA 73:26 Removed trailing space in p~: na fungu langu milele.

PSA 73:27 Removed trailing space in v~: Wale walio mbali nawe wataangamia,

PSA 73:27 Removed trailing space in p~: unawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.

PSA 73:28 Removed trailing space in v~: Lakini kwangu mimi,

PSA 73:28 Removed trailing space in p~: ni vyema kuwa karibu na Mungu.

PSA 73:28 Removed trailing space in p~: Nimemfanya \nd Bwana\nd* Mwenyezi kimbilio langu;

PSA 73:28 Removed trailing space in p~: nami nitayasimulia matendo yako yote.

PSA 74:0 Extra space after chapter number

PSA 74:0 Removed trailing space in c: 74

PSA 74:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 74

PSA 74:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Taifa Kuokolewa

PSA 74:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Asafu.

PSA 74:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mbona umetukataa milele?

PSA 74:1 Removed trailing space in p~: Mbona hasira yako inatoka moshi

PSA 74:1 Removed trailing space in p~: juu ya kondoo wa malisho yako?

PSA 74:2 Removed trailing space in v~: Kumbuka watu uliowanunua zamani,

PSA 74:2 Removed trailing space in p~: kabila la urithi wako, ambao uliwakomboa:

PSA 74:2 Removed trailing space in p~: Mlima Sayuni, ambamo uliishi.

PSA 74:3 Removed trailing space in v~: Geuza hatua zako kuelekea magofu haya ya kudumu,

PSA 74:3 Removed trailing space in p~: uharibifu wote huu ambao adui ameuleta pale patakatifu.

PSA 74:4 Removed trailing space in v~: Adui zako wamenguruma pale ulipokutana nasi,

PSA 74:4 Removed trailing space in p~: wanaweka bendera zao kama alama.

PSA 74:5 Removed trailing space in v~: Walifanya kama watu wanaotumia mashoka

PSA 74:5 Removed trailing space in p~: kukata kichaka cha miti.

PSA 74:6 Removed trailing space in v~: Walivunjavunja milango yote iliyonakshiwa

PSA 74:6 Removed trailing space in p~: kwa mashoka na vishoka vyao.

PSA 74:7 Removed trailing space in v~: Waliteketeza kabisa mahali pako patakatifu,

PSA 74:7 Removed trailing space in p~: wakayanajisi makao ya Jina lako.

PSA 74:8 Removed trailing space in v~: Walisema mioyoni mwao,

PSA 74:8 Removed trailing space in p~: “Tutawaponda kabisa!”

PSA 74:8 Removed trailing space in p~: Walichoma kila mahali ambapo Mungu

PSA 74:8 Removed trailing space in p~: aliabudiwa katika nchi.

PSA 74:9 Removed trailing space in v~: Hatukupewa ishara za miujiza;

PSA 74:9 Removed trailing space in p~: hakuna manabii waliobaki,

PSA 74:9 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote kati yetu ajuaye

PSA 74:9 Removed trailing space in p~: hali hii itachukua muda gani.

PSA 74:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini?

PSA 74:10 Removed trailing space in p~: Je, adui watalitukana jina lako milele?

PSA 74:11 Removed trailing space in v~: Kwa nini unazuia mkono wako,

PSA 74:11 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume?

PSA 74:11 Removed trailing space in p~: Uutoe kutoka makunjo ya vazi lako

PSA 74:11 Removed trailing space in p~: na uwaangamize!

PSA 74:12 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee Mungu, ni mfalme wangu tangu zamani,

PSA 74:12 Removed trailing space in p~: unaleta wokovu duniani.

PSA 74:13 Removed trailing space in v~: Ni wewe uliyeigawanya bahari kwa uweza wako;

PSA 74:13 Removed trailing space in p~: ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa kutisha katika maji.

PSA 74:14 Removed trailing space in v~: Ni wewe uliyeponda vichwa vya Lewiathani\f + \fr 74:14 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa.\f*

PSA 74:14 Removed trailing space in p~: nawe ukamtoa kama chakula

PSA 74:14 Removed trailing space in p~: kwa viumbe vya jangwani.

PSA 74:15 Removed trailing space in v~: Ni wewe uliyefungua chemchemi na vijito,

PSA 74:15 Removed trailing space in p~: ulikausha mito ambayo ilikuwa ikitiririka daima.

PSA 74:16 Removed trailing space in v~: Mchana ni wako, nao usiku ni wako pia,

PSA 74:16 Removed trailing space in p~: uliziweka jua na mwezi.

PSA 74:17 Removed trailing space in v~: Ni wewe uliyeiweka mipaka yote ya dunia,

PSA 74:17 Removed trailing space in p~: ulifanya kiangazi na masika.

PSA 74:18 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki,

PSA 74:18 Removed trailing space in p~: jinsi watu wapumbavu walivyolitukana jina lako.

PSA 74:19 Removed trailing space in v~: Usiukabidhi uhai wa njiwa wako kwa wanyama wakali wa mwitu;

PSA 74:19 Removed trailing space in p~: usisahau kabisa uhai wa watu wako wanaoteseka milele.

PSA 74:20 Removed trailing space in v~: Likumbuke agano lako,

PSA 74:20 Removed trailing space in p~: maana mara kwa mara mambo ya jeuri

PSA 74:20 Removed trailing space in p~: yamejaa katika sehemu za giza nchini.

PSA 74:21 Removed trailing space in v~: Usiruhusu walioonewa warudi nyuma kwa aibu;

PSA 74:21 Removed trailing space in p~: maskini na wahitaji hebu walisifu jina lako.

PSA 74:22 Removed trailing space in v~: Inuka, Ee Mungu, ujitetee;

PSA 74:22 Removed trailing space in p~: kumbuka jinsi wapumbavu

PSA 74:22 Removed trailing space in p~: wanavyokudhihaki mchana kutwa.

PSA 74:23 Removed trailing space in v~: Usipuuze makelele ya watesi wako,

PSA 74:23 Removed trailing space in p~: ghasia za adui zako, zinazoinuka mfululizo.

PSA 75:0 Extra space after chapter number

PSA 75:0 Removed trailing space in c: 75

PSA 75:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 75

PSA 75:0 Removed trailing space in s1: Mungu Ni Mwamuzi

PSA 75:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo.

PSA 75:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, tunakushukuru,

PSA 75:1 Removed trailing space in p~: tunakushukuru wewe,

PSA 75:1 Removed trailing space in p~: kwa kuwa jina lako li karibu;

PSA 75:1 Removed trailing space in p~: watu husimulia matendo yako ya ajabu.

PSA 75:2 Removed trailing space in v~: Unasema, “Ninachagua wakati maalum;

PSA 75:2 Removed trailing space in p~: ni mimi nihukumuye kwa haki.

PSA 75:3 Removed trailing space in v~: Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka,

PSA 75:3 Removed trailing space in p~: ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.

PSA 75:4 Removed trailing space in v~: Kwa wale wenye majivuno ninasema,

PSA 75:4 Removed trailing space in p~: ‘Msijisifu tena,’

PSA 75:4 Removed trailing space in p~: kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.

PSA 75:5 Removed trailing space in v~: Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu;

PSA 75:5 Removed trailing space in p~: msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’ ”

PSA 75:6 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi

PSA 75:6 Removed trailing space in p~: au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.

PSA 75:7 Removed trailing space in v~: Bali Mungu ndiye ahukumuye:

PSA 75:7 Removed trailing space in p~: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.

PSA 75:8 Removed trailing space in v~: Mkononi mwa \nd Bwana\nd* kuna kikombe

PSA 75:8 Removed trailing space in p~: kilichojaa mvinyo unaotoka povu

PSA 75:8 Removed trailing space in p~: uliochanganywa na vikolezo;

PSA 75:8 Removed trailing space in p~: huumimina, nao waovu wote wa dunia

PSA 75:8 Removed trailing space in p~: hunywa mpaka tone la mwisho.

PSA 75:9 Removed trailing space in v~: Bali mimi, nitatangaza hili milele;

PSA 75:9 Removed trailing space in p~: nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.

PSA 75:10 Removed trailing space in v~: Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote,

PSA 75:10 Removed trailing space in p~: bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.

PSA 76:0 Extra space after chapter number

PSA 76:0 Removed trailing space in c: 76

PSA 76:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 76

PSA 76:0 Removed trailing space in s1: Mungu Wa Israeli Ni Mhukumu Wa Dunia Yote

PSA 76:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.

PSA 76:1 Removed trailing space in v~: Katika Yuda, Mungu anajulikana,

PSA 76:1 Removed trailing space in p~: jina lake ni kuu katika Israeli.

PSA 76:2 Removed trailing space in v~: Hema lake liko Salemu,

PSA 76:2 Removed trailing space in p~: makao yake katika Sayuni.

PSA 76:3 Removed trailing space in v~: Huko alivunja mishale imetametayo,

PSA 76:3 Removed trailing space in p~: ngao na panga, silaha za vita.

PSA 76:4 Removed trailing space in v~: Wewe unangʼaa kwa mwanga,

PSA 76:4 Removed trailing space in p~: mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.

PSA 76:5 Removed trailing space in v~: Mashujaa hulala wametekwa nyara,

PSA 76:5 Removed trailing space in p~: hulala usingizi wao wa mwisho;

PSA 76:5 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja wa watu wa vita

PSA 76:5 Removed trailing space in p~: anayeweza kuinua mikono yake.

PSA 76:6 Removed trailing space in v~: Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,

PSA 76:6 Removed trailing space in p~: farasi na gari la vita vilikaa kimya.

PSA 76:7 Removed trailing space in v~: Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa.

PSA 76:7 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?

PSA 76:8 Removed trailing space in v~: Kutoka mbinguni ulitamka hukumu,

PSA 76:8 Removed trailing space in p~: nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:

PSA 76:9 Removed trailing space in v~: wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu,

PSA 76:9 Removed trailing space in p~: kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.

PSA 76:10 Removed trailing space in v~: Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa,

PSA 76:10 Removed trailing space in p~: na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.

PSA 76:11 Removed trailing space in v~: Wekeni nadhiri kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuzitimiza;

PSA 76:11 Removed trailing space in p~: nchi zote za jirani na walete zawadi

PSA 76:11 Removed trailing space in p~: kwa Yule astahiliye kuogopwa.

PSA 76:12 Removed trailing space in v~: Huvunja roho za watawala;

PSA 76:12 Removed trailing space in p~: anaogopwa na wafalme wa dunia.

PSA 77:0 Extra space after chapter number

PSA 77:0 Removed trailing space in c: 77

PSA 77:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 77

PSA 77:0 Removed trailing space in s1: Matendo Makuu Ya Mungu Yanakumbukwa

PSA 77:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu.

PSA 77:1 Removed trailing space in v~: Nilimlilia Mungu ili anisaidie,

PSA 77:1 Removed trailing space in p~: nilimlilia Mungu ili anisikie.

PSA 77:2 Removed trailing space in v~: Nilipokuwa katika taabu, nilimtafuta Bwana,

PSA 77:2 Removed trailing space in p~: usiku nilinyoosha mikono bila kuchoka

PSA 77:2 Removed trailing space in p~: na nafsi yangu ilikataa kufarijika.

PSA 77:3 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni;

PSA 77:3 Removed trailing space in p~: nikatafakari, roho yangu ikadhoofika.

PSA 77:4 Removed trailing space in v~: Ulizuia macho yangu kufumba;

PSA 77:4 Removed trailing space in p~: nilikuwa nasumbuka, nikashindwa kusema.

PSA 77:5 Removed trailing space in v~: Nilitafakari juu ya siku zilizopita,

PSA 77:5 Removed trailing space in p~: miaka mingi iliyopita,

PSA 77:6 Removed trailing space in v~: nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku.

PSA 77:6 Removed trailing space in p~: Moyo wangu ulitafakari

PSA 77:6 Removed trailing space in p~: na roho yangu ikauliza:

PSA 77:7 Removed trailing space in v~: “Je, Bwana atakataa milele?

PSA 77:7 Removed trailing space in p~: Je, hatatenda mema tena?

PSA 77:8 Removed trailing space in v~: Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele?

PSA 77:8 Removed trailing space in p~: Je, ahadi yake imekoma nyakati zote?

PSA 77:9 Removed trailing space in v~: Je, Mungu amesahau kuwa na huruma?

PSA 77:9 Removed trailing space in p~: Je, katika hasira amezuia huruma yake?”

PSA 77:10 Removed trailing space in v~: Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu:

PSA 77:10 Removed trailing space in p~: lakini nitakumbuka

PSA 77:10 Removed trailing space in p~: miaka ya mkono wa kuume

PSA 77:10 Removed trailing space in p~: wa Aliye Juu Sana.”

PSA 77:11 Removed trailing space in v~: Nitayakumbuka matendo ya \nd Bwana\nd*;

PSA 77:11 Removed trailing space in p~: naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.

PSA 77:12 Removed trailing space in v~: Nitazitafakari kazi zako zote

PSA 77:12 Removed trailing space in p~: na kuyawaza matendo yako makuu.

PSA 77:13 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, njia zako ni takatifu.

PSA 77:13 Removed trailing space in p~: Ni mungu yupi aliye mkuu kama Mungu wetu?

PSA 77:14 Removed trailing space in v~: Wewe ndiwe Mungu utendaye miujiza,

PSA 77:14 Removed trailing space in p~: umeonyesha uwezo wako katikati ya mataifa.

PSA 77:15 Removed trailing space in v~: Kwa mkono wako wenye nguvu umewakomboa watu wako,

PSA 77:15 Removed trailing space in p~: uzao wa Yakobo na Yosefu.

PSA 77:16 Removed trailing space in v~: Maji yalikuona, Ee Mungu,

PSA 77:16 Removed trailing space in p~: maji yalikuona yakakimbia,

PSA 77:16 Removed trailing space in p~: vilindi vilitetemeka.

PSA 77:17 Removed trailing space in v~: Mawingu yalimwaga maji,

PSA 77:17 Removed trailing space in p~: mbingu zikatoa ngurumo kwa radi,

PSA 77:17 Removed trailing space in p~: mishale yako ikametameta huku na huko.

PSA 77:18 Removed trailing space in v~: Ngurumo yako ilisikika katika upepo wa kisulisuli,

PSA 77:18 Removed trailing space in p~: umeme wako wa radi ukaangaza dunia,

PSA 77:18 Removed trailing space in p~: nchi ikatetemeka na kutikisika.

PSA 77:19 Removed trailing space in v~: Njia yako ilipita baharini,

PSA 77:19 Removed trailing space in p~: mapito yako kwenye maji makuu,

PSA 77:19 Removed trailing space in p~: ingawa nyayo zako hazikuonekana.

PSA 77:20 Removed trailing space in v~: Uliongoza watu wako kama kundi

PSA 77:20 Removed trailing space in p~: kwa mkono wa Mose na Aroni.

PSA 78:0 Extra space after chapter number

PSA 78:0 Removed trailing space in c: 78

PSA 78:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 78

PSA 78:0 Removed trailing space in s1: Mungu Na Watu Wake

PSA 78:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Asafu.

PSA 78:1 Removed trailing space in v~: Enyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu,

PSA 78:1 Removed trailing space in p~: sikilizeni maneno ya kinywa changu.

PSA 78:2 Removed trailing space in v~: Nitafungua kinywa changu kwa mafumbo,

PSA 78:2 Removed trailing space in p~: nitazungumza mambo yaliyofichika, mambo ya kale:

PSA 78:3 Removed trailing space in v~: yale ambayo tuliyasikia na kuyajua,

PSA 78:3 Removed trailing space in p~: yale ambayo baba zetu walituambia.

PSA 78:4 Removed trailing space in v~: Hatutayaficha kwa watoto wao;

PSA 78:4 Removed trailing space in p~: tutakiambia kizazi kijacho

PSA 78:4 Removed trailing space in p~: matendo yastahiliyo sifa ya \nd Bwana\nd*,

PSA 78:4 Removed trailing space in p~: uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.

PSA 78:5 Removed trailing space in v~: Aliagiza amri kwa Yakobo

PSA 78:5 Removed trailing space in p~: na akaweka sheria katika Israeli,

PSA 78:5 Removed trailing space in p~: ambazo aliwaamuru baba zetu

PSA 78:5 Removed trailing space in p~: wawafundishe watoto wao,

PSA 78:6 Removed trailing space in v~: ili kizazi kijacho kizijue,

PSA 78:6 Removed trailing space in p~: pamoja na watoto ambao watazaliwa,

PSA 78:6 Removed trailing space in p~: nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.

PSA 78:7 Removed trailing space in v~: Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu,

PSA 78:7 Removed trailing space in p~: nao wasingesahau matendo yake,

PSA 78:7 Removed trailing space in p~: bali wangalizishika amri zake.

PSA 78:8 Removed trailing space in v~: Ili wasifanane na baba zao,

PSA 78:8 Removed trailing space in p~: waliokuwa kizazi cha ukaidi na uasi,

PSA 78:8 Removed trailing space in p~: ambao roho zao hazikuwa na uaminifu kwake,

PSA 78:8 Removed trailing space in p~: ambao roho zao hazikumwamini.

PSA 78:9 Removed trailing space in v~: Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde,

PSA 78:9 Removed trailing space in p~: walikimbia siku ya vita.

PSA 78:10 Removed trailing space in v~: Hawakulishika agano la Mungu

PSA 78:10 Removed trailing space in p~: na walikataa kuishi kwa sheria yake.

PSA 78:11 Removed trailing space in v~: Walisahau aliyokuwa ameyatenda,

PSA 78:11 Removed trailing space in p~: maajabu aliyokuwa amewaonyesha.

PSA 78:12 Removed trailing space in v~: Alitenda miujiza machoni mwa baba zao,

PSA 78:12 Removed trailing space in p~: huko Soani, katika nchi ya Misri.

PSA 78:13 Removed trailing space in v~: Aliigawanya bahari akawapitisha,

PSA 78:13 Removed trailing space in p~: alifanya maji yasimame imara kama ukuta.

PSA 78:14 Removed trailing space in v~: Aliwaongoza kwa wingu mchana

PSA 78:14 Removed trailing space in p~: na kwa nuru kutoka kwenye moto usiku kucha.

PSA 78:15 Removed trailing space in v~: Alipasua miamba jangwani

PSA 78:15 Removed trailing space in p~: na akawapa maji tele kama bahari,

PSA 78:16 Removed trailing space in v~: alitoa vijito kutoka kwenye jabali lililochongoka,

PSA 78:16 Removed trailing space in p~: akayafanya maji yatiririke kama mito.

PSA 78:17 Removed trailing space in v~: Lakini waliendelea kutenda dhambi dhidi yake,

PSA 78:17 Removed trailing space in p~: wakiasi jangwani dhidi ya Aliye Juu Sana.

PSA 78:18 Removed trailing space in v~: Kwa makusudi walimjaribu Mungu,

PSA 78:18 Removed trailing space in p~: wakidai vyakula walivyovitamani.

PSA 78:19 Removed trailing space in v~: Walinena dhidi ya Mungu, wakisema,

PSA 78:19 Removed trailing space in p~: “Je, Mungu aweza kuandaa meza jangwani?

PSA 78:20 Removed trailing space in v~: Alipopiga mwamba, maji yalitoka kwa nguvu,

PSA 78:20 Removed trailing space in p~: vijito vikatiririka maji mengi.

PSA 78:20 Removed trailing space in p~: Lakini je, aweza kutupa chakula pia?

PSA 78:20 Removed trailing space in p~: Je, anaweza kuwapa watu wake nyama?”

PSA 78:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipowasikia, alikasirika sana,

PSA 78:21 Removed trailing space in p~: moto wake ukawa dhidi ya Yakobo,

PSA 78:21 Removed trailing space in p~: na ghadhabu yake ikawaka dhidi ya Israeli,

PSA 78:22 Removed trailing space in v~: kwa kuwa hawakumwamini Mungu,

PSA 78:22 Removed trailing space in p~: wala kuutumainia ukombozi wake.

PSA 78:23 Removed trailing space in v~: Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu

PSA 78:23 Removed trailing space in p~: na kufungua milango ya mbingu,

PSA 78:24 Removed trailing space in v~: akawanyeshea mana ili watu wale;

PSA 78:24 Removed trailing space in p~: aliwapa nafaka ya mbinguni.

PSA 78:25 Removed trailing space in v~: Watu walikula mkate wa malaika,

PSA 78:25 Removed trailing space in p~: akawatumia chakula chote ambacho wangeliweza kula.

PSA 78:26 Removed trailing space in v~: Aliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye mbingu

PSA 78:26 Removed trailing space in p~: na kuuongoza upepo wa kusini kwa uwezo wake.

PSA 78:27 Removed trailing space in v~: Aliwanyeshea nyama kama mavumbi,

PSA 78:27 Removed trailing space in p~: ndege warukao kama mchanga wa pwani.

PSA 78:28 Removed trailing space in v~: Aliwafanya washuke ndani ya kambi yao,

PSA 78:28 Removed trailing space in p~: kuzunguka mahema yao yote.

PSA 78:29 Removed trailing space in v~: Walikula na kusaza,

PSA 78:29 Removed trailing space in p~: kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.

PSA 78:30 Removed trailing space in v~: Kabla hawajamaliza kula walichokitamani,

PSA 78:30 Removed trailing space in p~: hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,

PSA 78:31 Removed trailing space in v~: hasira ya Mungu ikawaka juu yao,

PSA 78:31 Removed trailing space in p~: akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao,

PSA 78:31 Removed trailing space in p~: akiwaangusha vijana wa Israeli.

PSA 78:32 Removed trailing space in v~: Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi,

PSA 78:32 Removed trailing space in p~: licha ya maajabu yake, hawakuamini.

PSA 78:33 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili

PSA 78:33 Removed trailing space in p~: na miaka yao katika vitisho.

PSA 78:34 Removed trailing space in v~: Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao,

PSA 78:34 Removed trailing space in p~: waliosalia walimtafuta,

PSA 78:34 Removed trailing space in p~: walimgeukia tena kwa shauku.

PSA 78:35 Removed trailing space in v~: Walikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao,

PSA 78:35 Removed trailing space in p~: kwamba Mungu Aliye Juu Sana alikuwa Mkombozi wao.

PSA 78:36 Removed trailing space in v~: Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao,

PSA 78:36 Removed trailing space in p~: wakisema uongo kwa ndimi zao,

PSA 78:37 Removed trailing space in v~: mioyo yao haikuwa thabiti kwake,

PSA 78:37 Removed trailing space in p~: wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.

PSA 78:38 Removed trailing space in v~: Hata hivyo alikuwa na huruma,

PSA 78:38 Removed trailing space in p~: alisamehe maovu yao

PSA 78:38 Removed trailing space in p~: na hakuwaangamiza.

PSA 78:38 Removed trailing space in p~: Mara kwa mara alizuia hasira yake,

PSA 78:38 Removed trailing space in p~: wala hakuchochea ghadhabu yake yote.

PSA 78:39 Removed trailing space in v~: Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu,

PSA 78:39 Removed trailing space in p~: upepo upitao ambao haurudi.

PSA 78:40 Removed trailing space in v~: Mara ngapi walimwasi jangwani

PSA 78:40 Removed trailing space in p~: na kumhuzunisha nyikani!

PSA 78:41 Removed trailing space in v~: Walimjaribu Mungu mara kwa mara,

PSA 78:41 Removed trailing space in p~: wakamkasirisha yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

PSA 78:42 Removed trailing space in v~: Hawakukumbuka uwezo wake,

PSA 78:42 Removed trailing space in p~: siku aliyowakomboa kutoka kwa mtesi,

PSA 78:43 Removed trailing space in v~: siku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri,

PSA 78:43 Removed trailing space in p~: maajabu yake huko Soani.

PSA 78:44 Removed trailing space in v~: Aligeuza mito yao kuwa damu,

PSA 78:44 Removed trailing space in p~: hawakuweza kunywa maji kutoka vijito vyao.

PSA 78:45 Removed trailing space in v~: Aliwapelekea makundi ya mainzi yakawala,

PSA 78:45 Removed trailing space in p~: na vyura wakawaharibu.

PSA 78:46 Removed trailing space in v~: Aliruhusu tunutu kuharibu mimea yao,

PSA 78:46 Removed trailing space in p~: mazao yao kwa nzige.

PSA 78:47 Removed trailing space in v~: Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe

PSA 78:47 Removed trailing space in p~: na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.

PSA 78:48 Removed trailing space in v~: Aliwaachia mifugo yao mvua ya mawe,

PSA 78:48 Removed trailing space in p~: akayapiga makundi ya wanyama wao kwa radi.

PSA 78:49 Removed trailing space in v~: Aliwafungulia hasira yake kali,

PSA 78:49 Removed trailing space in p~: ghadhabu yake, hasira na uadui,

PSA 78:49 Removed trailing space in p~: na kundi la malaika wa kuharibu.

PSA 78:50 Removed trailing space in v~: Aliitengenezea njia hasira yake,

PSA 78:50 Removed trailing space in p~: hakuwaepusha na kifo,

PSA 78:50 Removed trailing space in p~: bali aliwaachia tauni.

PSA 78:51 Removed trailing space in v~: Aliwapiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,

PSA 78:51 Removed trailing space in p~: matunda ya kwanza ya ujana katika mahema ya Hamu.

PSA 78:52 Removed trailing space in v~: Lakini aliwatoa watu wake kama kundi,

PSA 78:52 Removed trailing space in p~: akawaongoza kama kondoo kupitia jangwani.

PSA 78:53 Removed trailing space in v~: Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa,

PSA 78:53 Removed trailing space in p~: bali bahari iliwameza adui zao.

PSA 78:54 Removed trailing space in v~: Hivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu,

PSA 78:54 Removed trailing space in p~: hadi nchi ya vilima ambayo mkono wake wa kuume ulikuwa umeitwaa.

PSA 78:55 Removed trailing space in v~: Aliyafukuza mataifa mbele yao,

PSA 78:55 Removed trailing space in p~: na kuwagawia nchi zao kama urithi,

PSA 78:55 Removed trailing space in p~: aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.

PSA 78:56 Removed trailing space in v~: Lakini wao walimjaribu Mungu,

PSA 78:56 Removed trailing space in p~: na kuasi dhidi ya Yeye Aliye Juu Sana,

PSA 78:56 Removed trailing space in p~: wala hawakuzishika sheria zake.

PSA 78:57 Removed trailing space in v~: Kama baba zao, hawakuwa thabiti wala waaminifu,

PSA 78:57 Removed trailing space in p~: wakawa wasioweza kutegemewa

PSA 78:57 Removed trailing space in p~: kama upinde wenye kasoro.

PSA 78:58 Removed trailing space in v~: Wakamkasirisha Mungu kwa mahali pao pa juu pa kuabudia miungu,

PSA 78:58 Removed trailing space in p~: wakachochea wivu wake kwa sanamu zao.

PSA 78:59 Removed trailing space in v~: Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana,

PSA 78:59 Removed trailing space in p~: akamkataa Israeli kabisa.

PSA 78:60 Removed trailing space in v~: Akaiacha hema ya Shilo,

PSA 78:60 Removed trailing space in p~: hema aliyokuwa ameiweka katikati ya wanadamu.

PSA 78:61 Removed trailing space in v~: Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani,

PSA 78:61 Removed trailing space in p~: utukufu wake mikononi mwa adui.

PSA 78:62 Removed trailing space in v~: Aliachia watu wake wauawe kwa upanga,

PSA 78:62 Removed trailing space in p~: akaukasirikia sana urithi wake.

PSA 78:63 Removed trailing space in v~: Moto uliwaangamiza vijana wao,

PSA 78:63 Removed trailing space in p~: na wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,

PSA 78:64 Removed trailing space in v~: makuhani wao waliuawa kwa upanga,

PSA 78:64 Removed trailing space in p~: wala wajane wao hawakuweza kulia.

PSA 78:65 Removed trailing space in v~: Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini,

PSA 78:65 Removed trailing space in p~: kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.

PSA 78:66 Removed trailing space in v~: Aliwapiga na kuwashinda adui zake,

PSA 78:66 Removed trailing space in p~: akawatia katika aibu ya milele.

PSA 78:67 Removed trailing space in v~: Ndipo alipozikataa hema za Yosefu,

PSA 78:67 Removed trailing space in p~: hakulichagua kabila la Efraimu,

PSA 78:68 Removed trailing space in v~: lakini alilichagua kabila la Yuda,

PSA 78:68 Removed trailing space in p~: Mlima Sayuni, ambao aliupenda.

PSA 78:69 Removed trailing space in v~: Alijenga patakatifu pake kama vilele,

PSA 78:69 Removed trailing space in p~: kama dunia ambayo aliimarisha milele.

PSA 78:70 Removed trailing space in v~: Akamchagua Daudi mtumishi wake

PSA 78:70 Removed trailing space in p~: na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.

PSA 78:71 Removed trailing space in v~: Kutoka kuchunga kondoo alimleta

PSA 78:71 Removed trailing space in p~: kuwa mchungaji wa watu wake Yakobo,

PSA 78:71 Removed trailing space in p~: wa Israeli urithi wake.

PSA 78:72 Removed trailing space in v~: Naye Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo,

PSA 78:72 Removed trailing space in p~: kwa mikono ya ustadi aliwaongoza.

PSA 79:0 Extra space after chapter number

PSA 79:0 Removed trailing space in c: 79

PSA 79:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 79

PSA 79:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Wokovu Wa Taifa

PSA 79:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Asafu.

PSA 79:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mataifa yameuvamia urithi wako,

PSA 79:1 Removed trailing space in p~: wamelinajisi Hekalu lako takatifu,

PSA 79:1 Removed trailing space in p~: wameifanya Yerusalemu kuwa magofu.

PSA 79:2 Removed trailing space in v~: Wametoa maiti za watumishi

PSA 79:2 Removed trailing space in p~: kuwa chakula cha ndege wa angani

PSA 79:2 Removed trailing space in p~: na nyama ya watakatifu wako

PSA 79:2 Removed trailing space in p~: kwa wanyama wa nchi.

PSA 79:3 Removed trailing space in v~: Wamemwaga damu kama maji

PSA 79:3 Removed trailing space in p~: kuzunguka Yerusalemu yote,

PSA 79:3 Removed trailing space in p~: wala hakuna yeyote wa kuwazika.

PSA 79:4 Removed trailing space in v~: Tumekuwa kitu cha aibu kwa jirani zetu,

PSA 79:4 Removed trailing space in p~: cha dharau na mzaha kwa wale wanaotuzunguka.

PSA 79:5 Removed trailing space in v~: Hata lini, Ee \nd Bwana\nd*? Je, wewe utakasirika milele?

PSA 79:5 Removed trailing space in p~: Wivu wako utawaka kama moto hadi lini?

PSA 79:6 Removed trailing space in v~: Mwaga ghadhabu yako kwa mataifa yasiyokukubali,

PSA 79:6 Removed trailing space in p~: juu ya falme za hao wasioliitia jina lako,

PSA 79:7 Removed trailing space in v~: kwa maana wamemrarua Yakobo

PSA 79:7 Removed trailing space in p~: na kuharibu nchi ya makao yake.

PSA 79:8 Removed trailing space in v~: Usituhesabie dhambi za baba zetu,

PSA 79:8 Removed trailing space in p~: huruma yako na itujie hima,

PSA 79:8 Removed trailing space in p~: kwa maana tu wahitaji mno.

PSA 79:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu Mwokozi wetu, utusaidie,

PSA 79:9 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya utukufu wa jina lako;

PSA 79:9 Removed trailing space in p~: tuokoe na kutusamehe dhambi zetu

PSA 79:9 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya jina lako.

PSA 79:10 Removed trailing space in v~: Kwa nini mataifa waseme,

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi Mungu wenu?”

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: Mbele ya macho yetu,

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: dhihirisha kati ya mataifa

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: kwamba unalipiza kisasi damu iliyomwagwa

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: ya watumishi wako.

PSA 79:11 Removed trailing space in v~: Kilio cha huzuni cha wafungwa kifike mbele zako;

PSA 79:11 Removed trailing space in p~: kwa nguvu za mkono wako

PSA 79:11 Removed trailing space in p~: hifadhi wale waliohukumiwa kufa.

PSA 79:12 Removed trailing space in v~: Walipize jirani zetu mara saba vifuani mwao

PSA 79:12 Removed trailing space in p~: aibu walizovurumisha juu yako, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 79:13 Removed trailing space in v~: Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako,

PSA 79:13 Removed trailing space in p~: tutakusifu milele;

PSA 79:13 Removed trailing space in p~: toka kizazi hadi kizazi

PSA 79:13 Removed trailing space in p~: tutasimulia sifa zako.

PSA 80:0 Extra space after chapter number

PSA 80:0 Removed trailing space in c: 80

PSA 80:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 80

PSA 80:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa

PSA 80:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.

PSA 80:1 Removed trailing space in v~: Ee Mchungaji wa Israeli tusikie,

PSA 80:1 Removed trailing space in p~: wewe umwongozaye Yosefu kama kundi;

PSA 80:1 Removed trailing space in p~: wewe uketiye katika kiti cha enzi

PSA 80:1 Removed trailing space in p~: katikati ya makerubi, angaza

PSA 80:2 Removed trailing space in v~: mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.

PSA 80:2 Removed trailing space in p~: Uamshe nguvu zako,

PSA 80:2 Removed trailing space in p~: uje utuokoe.

PSA 80:3 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uturejeshe,

PSA 80:3 Removed trailing space in p~: utuangazie uso wako,

PSA 80:3 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuokolewa.

PSA 80:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote,

PSA 80:4 Removed trailing space in p~: hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi

PSA 80:4 Removed trailing space in p~: dhidi ya maombi ya watu wako?

PSA 80:5 Removed trailing space in v~: Umewalisha kwa mkate wa machozi,

PSA 80:5 Removed trailing space in p~: umewafanya wanywe machozi bakuli tele.

PSA 80:6 Removed trailing space in v~: Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu,

PSA 80:6 Removed trailing space in p~: na adui zetu wanatudhihaki.

PSA 80:7 Removed trailing space in v~: Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

PSA 80:7 Removed trailing space in p~: utuangazie uso wako,

PSA 80:7 Removed trailing space in p~: nasi tuweze kuokolewa.

PSA 80:8 Removed trailing space in v~: Ulileta mzabibu kutoka Misri,

PSA 80:8 Removed trailing space in p~: ukawafukuza mataifa, ukaupanda.

PSA 80:9 Removed trailing space in v~: Uliandaa shamba kwa ajili yake,

PSA 80:9 Removed trailing space in p~: mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.

PSA 80:10 Removed trailing space in v~: Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,

PSA 80:10 Removed trailing space in p~: matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.

PSA 80:11 Removed trailing space in v~: Matawi yake yalienea mpaka Baharini,\f + \fr 80:11 \ft Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.\f*

PSA 80:11 Removed trailing space in p~: machipukizi yake mpaka kwenye Mto.\f + \fr 80:11 \ft Yaani Mto Frati.\f*

PSA 80:12 Removed trailing space in v~: Mbona umebomoa kuta zake

PSA 80:12 Removed trailing space in p~: ili wote wapitao karibu

PSA 80:12 Removed trailing space in p~: wazichume zabibu zake?

PSA 80:13 Removed trailing space in v~: Nguruwe mwitu wanauharibu

PSA 80:13 Removed trailing space in p~: na wanyama wa kondeni hujilisha humo.

PSA 80:14 Removed trailing space in v~: Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote!

PSA 80:14 Removed trailing space in p~: Tazama chini kutoka mbinguni na uone!

PSA 80:14 Removed trailing space in p~: Linda mzabibu huu,

PSA 80:15 Removed trailing space in v~: mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume,

PSA 80:15 Removed trailing space in p~: mwana uliyemlea

PSA 80:15 Removed trailing space in p~: kwa ajili yako mwenyewe.

PSA 80:16 Removed trailing space in v~: Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto,

PSA 80:16 Removed trailing space in p~: unapowakemea, watu wako huangamia.

PSA 80:17 Removed trailing space in v~: Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume,

PSA 80:17 Removed trailing space in p~: mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.

PSA 80:18 Removed trailing space in v~: Ndipo hatutakuacha tena,

PSA 80:18 Removed trailing space in p~: utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.

PSA 80:19 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

PSA 80:19 Removed trailing space in p~: utuangazie uso wako,

PSA 80:19 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuokolewa.

PSA 81:0 Extra space after chapter number

PSA 81:0 Removed trailing space in c: 81

PSA 81:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 81

PSA 81:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Sikukuu

PSA 81:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.

PSA 81:1 Removed trailing space in v~: Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu;

PSA 81:1 Removed trailing space in p~: mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!

PSA 81:2 Removed trailing space in v~: Anzeni wimbo, pigeni matari,

PSA 81:2 Removed trailing space in p~: pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.

PSA 81:3 Removed trailing space in v~: Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume

PSA 81:3 Removed trailing space in p~: wakati wa Mwandamo wa Mwezi,

PSA 81:3 Removed trailing space in p~: na wakati wa mwezi mpevu,

PSA 81:3 Removed trailing space in p~: katika siku ya Sikukuu yetu;

PSA 81:4 Removed trailing space in v~: hii ni amri kwa Israeli,

PSA 81:4 Removed trailing space in p~: agizo la Mungu wa Yakobo.

PSA 81:5 Removed trailing space in v~: Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu

PSA 81:5 Removed trailing space in p~: alipotoka dhidi ya Misri,

PSA 81:5 Removed trailing space in p~: huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.

PSA 81:6 Removed trailing space in v~: Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao;

PSA 81:6 Removed trailing space in p~: mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.

PSA 81:7 Removed trailing space in v~: Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa,

PSA 81:7 Removed trailing space in p~: nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo;

PSA 81:7 Removed trailing space in p~: nilikujaribu katika maji ya Meriba.

PSA 81:8 Removed trailing space in v~: “Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya:

PSA 81:8 Removed trailing space in p~: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!

PSA 81:9 Removed trailing space in v~: Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu;

PSA 81:9 Removed trailing space in p~: msimsujudie mungu wa kigeni.

PSA 81:10 Removed trailing space in v~: Mimi ni \nd Bwana\nd* Mungu wako,

PSA 81:10 Removed trailing space in p~: niliyekutoa nchi ya Misri.

PSA 81:10 Removed trailing space in p~: Panua sana kinywa chako

PSA 81:10 Removed trailing space in p~: nami nitakijaza.

PSA 81:11 Removed trailing space in v~: “Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza;

PSA 81:11 Removed trailing space in p~: Israeli hakutaka kunitii.

PSA 81:12 Removed trailing space in v~: Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao

PSA 81:12 Removed trailing space in p~: wafuate mashauri yao wenyewe.

PSA 81:13 Removed trailing space in v~: “Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza,

PSA 81:13 Removed trailing space in p~: kama Israeli wangalifuata njia zangu,

PSA 81:14 Removed trailing space in v~: ningaliwatiisha adui zao kwa haraka,

PSA 81:14 Removed trailing space in p~: na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!

PSA 81:15 Removed trailing space in v~: Wale wanaomchukia \nd Bwana\nd* wangalinyenyekea mbele zake,

PSA 81:15 Removed trailing space in p~: na adhabu yao ingedumu milele.

PSA 81:16 Removed trailing space in v~: Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora,

PSA 81:16 Removed trailing space in p~: na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”

PSA 82:0 Extra space after chapter number

PSA 82:0 Removed trailing space in c: 82

PSA 82:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 82

PSA 82:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Kutaka Haki

PSA 82:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Asafu.

PSA 82:1 Removed trailing space in v~: Mungu anaongoza kusanyiko kuu,

PSA 82:1 Removed trailing space in p~: anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:

PSA 82:2 Removed trailing space in v~: “Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki

PSA 82:2 Removed trailing space in p~: na kuonyesha upendeleo kwa waovu?

PSA 82:3 Removed trailing space in v~: Teteeni wanyonge na yatima,

PSA 82:3 Removed trailing space in p~: tunzeni haki za maskini na walioonewa.

PSA 82:4 Removed trailing space in v~: Mwokoeni mnyonge na mhitaji,

PSA 82:4 Removed trailing space in p~: wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.

PSA 82:5 Removed trailing space in v~: “Hawajui lolote, hawaelewi lolote.

PSA 82:5 Removed trailing space in p~: Wanatembea gizani;

PSA 82:5 Removed trailing space in p~: misingi yote ya dunia imetikisika.

PSA 82:6 Removed trailing space in v~: “Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”;

PSA 82:6 Removed trailing space in p~: ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.’

PSA 82:7 Removed trailing space in v~: Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida;

PSA 82:7 Removed trailing space in p~: mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”

PSA 82:8 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, inuka uihukumu nchi,

PSA 82:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.

PSA 83:0 Extra space after chapter number

PSA 83:0 Removed trailing space in c: 83

PSA 83:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 83

PSA 83:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli

PSA 83:0 Removed trailing space in d: Wimbo. Zaburi ya Asafu.

PSA 83:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, usinyamaze kimya,

PSA 83:1 Removed trailing space in p~: usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.

PSA 83:2 Removed trailing space in v~: Tazama watesi wako wanafanya fujo,

PSA 83:2 Removed trailing space in p~: jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.

PSA 83:3 Removed trailing space in v~: Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako,

PSA 83:3 Removed trailing space in p~: wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.

PSA 83:4 Removed trailing space in v~: Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa,

PSA 83:4 Removed trailing space in p~: ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”

PSA 83:5 Removed trailing space in v~: Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja,

PSA 83:5 Removed trailing space in p~: wanafanya muungano dhidi yako,

PSA 83:6 Removed trailing space in v~: mahema ya Edomu na Waishmaeli,

PSA 83:6 Removed trailing space in p~: ya Wamoabu na Wahagari,

PSA 83:7 Removed trailing space in v~: Gebali,\f + \fr 83:7 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti).\f* Amoni na Amaleki,

PSA 83:7 Removed trailing space in p~: Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.

PSA 83:8 Removed trailing space in v~: Hata Ashuru wameungana nao

PSA 83:8 Removed trailing space in p~: kuwapa nguvu wazao wa Loti.

PSA 83:9 Removed trailing space in v~: Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani,

PSA 83:9 Removed trailing space in p~: na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini

PSA 83:9 Removed trailing space in p~: hapo kijito cha Kishoni,

PSA 83:10 Removed trailing space in v~: ambao waliangamia huko Endori

PSA 83:10 Removed trailing space in p~: na wakawa kama takataka juu ya nchi.

PSA 83:11 Removed trailing space in v~: Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu,

PSA 83:11 Removed trailing space in p~: watawala wao kama Zeba na Salmuna,

PSA 83:12 Removed trailing space in v~: ambao walisema, “Na tumiliki nchi

PSA 83:12 Removed trailing space in p~: ya malisho ya Mungu.”

PSA 83:13 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli,

PSA 83:13 Removed trailing space in p~: kama makapi yapeperushwayo na upepo.

PSA 83:14 Removed trailing space in v~: Kama vile moto uteketezavyo msitu

PSA 83:14 Removed trailing space in p~: au mwali wa moto unavyounguza milima,

PSA 83:15 Removed trailing space in v~: wafuatilie kwa tufani yako

PSA 83:15 Removed trailing space in p~: na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.

PSA 83:16 Removed trailing space in v~: Funika nyuso zao kwa aibu

PSA 83:16 Removed trailing space in p~: ili watu walitafute jina lako, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 83:17 Removed trailing space in v~: Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele,

PSA 83:17 Removed trailing space in p~: na waangamie kwa aibu.

PSA 83:18 Removed trailing space in v~: Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni \nd Bwana\nd*,

PSA 83:18 Removed trailing space in p~: kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.

PSA 84:0 Extra space after chapter number

PSA 84:0 Removed trailing space in c: 84

PSA 84:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 84

PSA 84:0 Removed trailing space in s1: Kuionea Shauku Nyumba Ya Mungu

PSA 84:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora.

PSA 84:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 84:1 Removed trailing space in p~: makao yako yapendeza kama nini!

PSA 84:2 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inatamani sana,

PSA 84:2 Removed trailing space in p~: naam, hata kuona shauku,

PSA 84:2 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya nyua za \nd Bwana\nd*;

PSA 84:2 Removed trailing space in p~: moyo wangu na mwili wangu

PSA 84:2 Removed trailing space in p~: vinamlilia Mungu Aliye Hai.

PSA 84:3 Removed trailing space in v~: Hata shomoro amejipatia makao,

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: mbayuwayu amejipatia kiota

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: mahali awezapo kuweka makinda yake:

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: mahali karibu na madhabahu yako,

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: Mfalme wangu na Mungu wangu.

PSA 84:4 Removed trailing space in v~: Heri wale wanaokaa nyumbani mwako,

PSA 84:4 Removed trailing space in p~: wanaokusifu wewe daima.

PSA 84:5 Removed trailing space in v~: Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako,

PSA 84:5 Removed trailing space in p~: na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.

PSA 84:6 Removed trailing space in v~: Wanapopita katika Bonde la Baka,\f + \fr 84:6 \ft Yaani Bonde la Vilio.\f*

PSA 84:6 Removed trailing space in p~: hulifanya mahali pa chemchemi,

PSA 84:6 Removed trailing space in p~: pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.\f + \fr 84:6 \ft Au: baraka.\f*

PSA 84:7 Removed trailing space in v~: Huendelea toka nguvu hadi nguvu,

PSA 84:7 Removed trailing space in p~: hadi kila mmoja afikapo

PSA 84:7 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu huko Sayuni.

PSA 84:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu;

PSA 84:8 Removed trailing space in p~: nisikilize, Ee Mungu wa Yakobo.

PSA 84:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uitazame ngao yetu,

PSA 84:9 Removed trailing space in p~: mtazame kwa wema mpakwa mafuta wako.

PSA 84:10 Removed trailing space in v~: Siku moja katika nyua zako ni bora

PSA 84:10 Removed trailing space in p~: kuliko siku elfu mahali pengine;

PSA 84:10 Removed trailing space in p~: afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu

PSA 84:10 Removed trailing space in p~: kuliko kukaa katika mahema ya waovu.

PSA 84:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni jua na ngao,

PSA 84:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hutoa wema na heshima;

PSA 84:11 Removed trailing space in p~: hakuna kitu chema anachowanyima

PSA 84:11 Removed trailing space in p~: wale ambao hawana hatia.

PSA 84:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 84:12 Removed trailing space in p~: heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.

PSA 85:0 Extra space after chapter number

PSA 85:0 Removed trailing space in c: 85

PSA 85:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 85

PSA 85:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Ustawi Wa Taifa

PSA 85:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

PSA 85:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ulionyesha wema kwa nchi yako.

PSA 85:1 Removed trailing space in p~: Ulimrejeshea Yakobo baraka zake.\f + \fr 85:1 \ft Au: Uliwarudisha mateka wa Yakobo.\f*

PSA 85:2 Removed trailing space in v~: Ulisamehe uovu wa watu wako,

PSA 85:2 Removed trailing space in p~: na kufunika dhambi zao zote.

PSA 85:3 Removed trailing space in v~: Uliweka kando ghadhabu yako yote

PSA 85:3 Removed trailing space in p~: na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.

PSA 85:4 Removed trailing space in v~: Ee Mungu Mwokozi wetu, uturejeshe tena,

PSA 85:4 Removed trailing space in p~: nawe uiondoe chuki yako juu yetu.

PSA 85:5 Removed trailing space in v~: Je, utatukasirikia milele?

PSA 85:5 Removed trailing space in p~: Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?

PSA 85:6 Removed trailing space in v~: Je, hutatuhuisha tena,

PSA 85:6 Removed trailing space in p~: ili watu wako wakufurahie?

PSA 85:7 Removed trailing space in v~: Utuonyeshe upendo wako usiokoma, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 85:7 Removed trailing space in p~: utupe wokovu wako.

PSA 85:8 Removed trailing space in v~: Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye \nd Bwana\nd*;

PSA 85:8 Removed trailing space in p~: anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake:

PSA 85:8 Removed trailing space in p~: lakini nao wasirudie upumbavu.

PSA 85:9 Removed trailing space in v~: Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao,

PSA 85:9 Removed trailing space in p~: ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.

PSA 85:10 Removed trailing space in v~: Upendo na uaminifu hukutana pamoja,

PSA 85:10 Removed trailing space in p~: haki na amani hubusiana.

PSA 85:11 Removed trailing space in v~: Uaminifu huchipua kutoka nchi,

PSA 85:11 Removed trailing space in p~: haki hutazama chini kutoka mbinguni.

PSA 85:12 Removed trailing space in v~: Naam, hakika \nd Bwana\nd* atatoa kilicho chema,

PSA 85:12 Removed trailing space in p~: nayo nchi yetu itazaa mavuno yake.

PSA 85:13 Removed trailing space in v~: Haki itatangulia mbele yake

PSA 85:13 Removed trailing space in p~: na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.

PSA 86:0 Extra space after chapter number

PSA 86:0 Removed trailing space in c: 86

PSA 86:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 86

PSA 86:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 86:0 Removed trailing space in d: Maombi ya Daudi.

PSA 86:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sikia na unijibu,

PSA 86:1 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.

PSA 86:2 Removed trailing space in v~: Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako,

PSA 86:2 Removed trailing space in p~: wewe ni Mungu wangu,

PSA 86:2 Removed trailing space in p~: mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.

PSA 86:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nihurumie mimi,

PSA 86:3 Removed trailing space in p~: kwa maana ninakuita mchana kutwa.

PSA 86:4 Removed trailing space in v~: Mpe mtumishi wako furaha,

PSA 86:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kwako wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 86:4 Removed trailing space in p~: ninainua nafsi yangu.

PSA 86:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni mwema na mwenye kusamehe,

PSA 86:5 Removed trailing space in p~: umejaa upendo kwa wote wakuitao.

PSA 86:6 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sikia maombi yangu,

PSA 86:6 Removed trailing space in p~: sikiliza kilio changu unihurumie.

PSA 86:7 Removed trailing space in v~: Katika siku ya shida yangu nitakuita,

PSA 86:7 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe utanijibu.

PSA 86:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, katikati ya miungu hakuna kama wewe,

PSA 86:8 Removed trailing space in p~: hakuna matendo ya kulinganishwa na yako.

PSA 86:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mataifa yote uliyoyafanya

PSA 86:9 Removed trailing space in p~: yatakuja na kuabudu mbele zako;

PSA 86:9 Removed trailing space in p~: wataliletea utukufu jina lako.

PSA 86:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana wewe ni mkuu, na unafanya mambo ya ajabu;

PSA 86:10 Removed trailing space in p~: wewe peke yako ndiwe Mungu.

PSA 86:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nifundishe njia yako,

PSA 86:11 Removed trailing space in p~: nami nitakwenda katika kweli yako;

PSA 86:11 Removed trailing space in p~: nipe moyo usiositasita,

PSA 86:11 Removed trailing space in p~: ili niweze kulicha jina lako.

PSA 86:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* wangu, nitakusifu kwa moyo wote;

PSA 86:12 Removed trailing space in p~: nitaliadhimisha jina lako milele.

PSA 86:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu;

PSA 86:13 Removed trailing space in p~: umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi.\f + \fr 86:13 \ft Yaani Kuzimu.\f*

PSA 86:14 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia;

PSA 86:14 Removed trailing space in p~: kundi la watu wakatili linatafuta uhai wangu:

PSA 86:14 Removed trailing space in p~: watu wasiokuheshimu wewe.

PSA 86:15 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ni Mungu wa huruma na neema,

PSA 86:15 Removed trailing space in p~: si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo na uaminifu.

PSA 86:16 Removed trailing space in v~: Nigeukie na unihurumie;

PSA 86:16 Removed trailing space in p~: mpe mtumishi wako nguvu zako,

PSA 86:16 Removed trailing space in p~: mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.\f + \fr 86:16 \ft Au: mwokoe mwanao mwaminifu.\f*

PSA 86:17 Removed trailing space in v~: Nipe ishara ya wema wako,

PSA 86:17 Removed trailing space in p~: ili adui zangu waione nao waaibishwe,

PSA 86:17 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 86:17 Removed trailing space in p~: umenisaidia na kunifariji.

PSA 87:0 Extra space after chapter number

PSA 87:0 Removed trailing space in c: 87

PSA 87:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 87

PSA 87:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za Yerusalemu

PSA 87:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.

PSA 87:1 Removed trailing space in v~: Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;

PSA 87:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anayapenda malango ya Sayuni

PSA 87:2 Removed trailing space in p~: kuliko makao yote ya Yakobo.

PSA 87:3 Removed trailing space in v~: Mambo matukufu yanasemwa juu yako,

PSA 87:3 Removed trailing space in p~: ee mji wa Mungu:

PSA 87:4 Removed trailing space in v~: “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu\f + \fr 87:4 \ft Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri.\f* na Babeli

PSA 87:4 Removed trailing space in p~: miongoni mwa wale wanaonikubali mimi:

PSA 87:4 Removed trailing space in p~: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi,\f + \fr 87:4 \ft Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.\f*

PSA 87:4 Removed trailing space in p~: nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’ ”

PSA 87:5 Removed trailing space in v~: Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,

PSA 87:5 Removed trailing space in p~: “Huyu na yule walizaliwa humo,

PSA 87:5 Removed trailing space in p~: naye Aliye Juu Sana mwenyewe

PSA 87:5 Removed trailing space in p~: atamwimarisha.”

PSA 87:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataandika katika orodha ya mataifa:

PSA 87:6 Removed trailing space in p~: “Huyu alizaliwa Sayuni.”

PSA 87:7 Removed trailing space in v~: Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,

PSA 87:7 Removed trailing space in p~: “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

PSA 88:0 Extra space after chapter number

PSA 88:0 Removed trailing space in c: 88

PSA 88:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 88

PSA 88:0 Removed trailing space in s1: Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada

PSA 88:0 Removed trailing space in d: Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.

PSA 88:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu uniokoaye,

PSA 88:1 Removed trailing space in p~: nimelia mbele zako usiku na mchana.

PSA 88:2 Removed trailing space in v~: Maombi yangu yafike mbele zako,

PSA 88:2 Removed trailing space in p~: utegee kilio changu sikio lako.

PSA 88:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu,

PSA 88:3 Removed trailing space in p~: na maisha yangu yanakaribia kaburi.\f + \fr 88:3 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f*

PSA 88:4 Removed trailing space in v~: Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni,

PSA 88:4 Removed trailing space in p~: niko kama mtu asiye na nguvu.

PSA 88:5 Removed trailing space in v~: Nimetengwa pamoja na wafu,

PSA 88:5 Removed trailing space in p~: kama waliochinjwa walalao kaburini,

PSA 88:5 Removed trailing space in p~: ambao huwakumbuki tena,

PSA 88:5 Removed trailing space in p~: ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.

PSA 88:6 Removed trailing space in v~: Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana,

PSA 88:6 Removed trailing space in p~: katika vina vya giza nene.

PSA 88:7 Removed trailing space in v~: Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu,

PSA 88:7 Removed trailing space in p~: umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.

PSA 88:8 Removed trailing space in v~: Umenitenga na rafiki zangu wa karibu

PSA 88:8 Removed trailing space in p~: na kunifanya chukizo kwao.

PSA 88:8 Removed trailing space in p~: Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;

PSA 88:9 Removed trailing space in v~: nuru ya macho yangu

PSA 88:9 Removed trailing space in p~: imefifia kwa ajili ya huzuni.

PSA 88:9 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakuita kila siku,

PSA 88:9 Removed trailing space in p~: ninakunyooshea wewe mikono yangu.

PSA 88:10 Removed trailing space in v~: Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?

PSA 88:10 Removed trailing space in p~: Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?

PSA 88:11 Removed trailing space in v~: Je, upendo wako hutangazwa kaburini,

PSA 88:11 Removed trailing space in p~: uaminifu wako katika Uharibifu?\f + \fr 88:11 \ft Yaani \fqa Abadon\ft . \f*

PSA 88:11 Found footnote ending with space in \p~: uaminifu wako katika Uharibifu?\f + \fr 88:11 \ft Yaani \fqa Abadon\ft . \f*

PSA 88:12 Removed trailing space in v~: Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,

PSA 88:12 Removed trailing space in p~: au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?

PSA 88:13 Removed trailing space in v~: Lakini ninakulilia wewe, Ee \nd Bwana\nd*, unisaidie;

PSA 88:13 Removed trailing space in p~: asubuhi maombi yangu huja mbele zako.

PSA 88:14 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa nini unanikataa

PSA 88:14 Removed trailing space in p~: na kunificha uso wako?

PSA 88:15 Removed trailing space in v~: Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo;

PSA 88:15 Removed trailing space in p~: nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.

PSA 88:16 Removed trailing space in v~: Ghadhabu yako imepita juu yangu;

PSA 88:16 Removed trailing space in p~: hofu zako zimeniangamiza.

PSA 88:17 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko;

PSA 88:17 Removed trailing space in p~: zimenimeza kabisa.

PSA 88:18 Removed trailing space in v~: Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu;

PSA 88:18 Removed trailing space in p~: giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.

PSA 89:0 Extra space after chapter number

PSA 89:0 Removed trailing space in c: 89

PSA 89:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 89

PSA 89:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa

PSA 89:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Ethani Mwezrahi.

PSA 89:1 Removed trailing space in v~: Nitaimba juu ya upendo mkuu wa \nd Bwana\nd* milele;

PSA 89:1 Removed trailing space in p~: kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako

PSA 89:1 Removed trailing space in p~: ujulikane kwa vizazi vyote.

PSA 89:2 Removed trailing space in v~: Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele

PSA 89:2 Removed trailing space in p~: na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.

PSA 89:3 Removed trailing space in v~: Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu,

PSA 89:3 Removed trailing space in p~: nimemwapia mtumishi wangu Daudi,

PSA 89:4 Removed trailing space in v~: ‘Nitaimarisha uzao wako milele

PSA 89:4 Removed trailing space in p~: na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’ ”

PSA 89:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mbingu zinayasifu maajabu yako,

PSA 89:5 Removed trailing space in p~: uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.

PSA 89:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ni nani katika mbingu

PSA 89:6 Removed trailing space in p~: anayeweza kulinganishwa na \nd Bwana\nd*?

PSA 89:6 Removed trailing space in p~: Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni

PSA 89:6 Removed trailing space in p~: aliye kama \nd Bwana\nd*?

PSA 89:7 Removed trailing space in v~: Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana,

PSA 89:7 Removed trailing space in p~: anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.

PSA 89:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 89:8 Removed trailing space in p~: ni nani aliye kama wewe?

PSA 89:8 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni mwenye nguvu,

PSA 89:8 Removed trailing space in p~: na uaminifu wako unakuzunguka.

PSA 89:9 Removed trailing space in v~: Wewe unatawala bahari yenye msukosuko;

PSA 89:9 Removed trailing space in p~: wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.

PSA 89:10 Removed trailing space in v~: Wewe ulimponda Rahabu\f + \fr 89:10 \ft Rahabu hapa ina maana jina la Misri kwa fumbo, yaani mwenye majivuno (lakini sio Rahabu wa Yos 2).\f*

PSA 89:10 Removed trailing space in p~: kama mmojawapo wa waliochinjwa;

PSA 89:10 Removed trailing space in p~: kwa mkono wako wenye nguvu,

PSA 89:10 Removed trailing space in p~: uliwatawanya adui zako.

PSA 89:11 Removed trailing space in v~: Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako,

PSA 89:11 Removed trailing space in p~: uliuwekea ulimwengu msingi

PSA 89:11 Removed trailing space in p~: pamoja na vyote vilivyomo.

PSA 89:12 Removed trailing space in v~: Uliumba kaskazini na kusini;

PSA 89:12 Removed trailing space in p~: Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.

PSA 89:13 Removed trailing space in v~: Mkono wako umejaa uwezo;

PSA 89:13 Removed trailing space in p~: mkono wako una nguvu,

PSA 89:13 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume umetukuzwa.

PSA 89:14 Removed trailing space in v~: Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi;

PSA 89:14 Removed trailing space in p~: upendo na uaminifu vinakutangulia.

PSA 89:15 Removed trailing space in v~: Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe,

PSA 89:15 Removed trailing space in p~: wanaotembea katika mwanga

PSA 89:15 Removed trailing space in p~: wa uwepo wako, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 89:16 Removed trailing space in v~: Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa,

PSA 89:16 Removed trailing space in p~: wanafurahi katika haki yako.

PSA 89:17 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao,

PSA 89:17 Removed trailing space in p~: kwa wema wako unatukuza pembe\f + \fr 89:17 \ft Pembe inawakilisha nguvu.\f* yetu.

PSA 89:18 Removed trailing space in v~: Naam, ngao yetu ni mali ya \nd Bwana\nd*,

PSA 89:18 Removed trailing space in p~: na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.

PSA 89:19 Removed trailing space in v~: Ulizungumza wakati fulani katika maono,

PSA 89:19 Removed trailing space in p~: kwa watu wako waaminifu, ukasema:

PSA 89:19 Removed trailing space in p~: “Nimeweka nguvu kwa shujaa,

PSA 89:19 Removed trailing space in p~: nimemwinua kijana miongoni mwa watu.

PSA 89:20 Removed trailing space in v~: Nimemwona Daudi, mtumishi wangu,

PSA 89:20 Removed trailing space in p~: na nimemtia mafuta yangu matakatifu.

PSA 89:21 Removed trailing space in v~: Kitanga changu kitamtegemeza,

PSA 89:21 Removed trailing space in p~: hakika mkono wangu utamtia nguvu.

PSA 89:22 Removed trailing space in v~: Hakuna adui atakayemtoza ushuru,

PSA 89:22 Removed trailing space in p~: hakuna mtu mwovu atakayemwonea.

PSA 89:23 Removed trailing space in v~: Nitawaponda adui zake mbele zake

PSA 89:23 Removed trailing space in p~: na kuwaangamiza watesi wake.

PSA 89:24 Removed trailing space in v~: Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye,

PSA 89:24 Removed trailing space in p~: kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.

PSA 89:25 Removed trailing space in v~: Nitauweka mkono wake juu ya bahari,

PSA 89:25 Removed trailing space in p~: mkono wake wa kuume juu ya mito.

PSA 89:26 Removed trailing space in v~: Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu,

PSA 89:26 Removed trailing space in p~: Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’

PSA 89:27 Removed trailing space in v~: Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza,

PSA 89:27 Removed trailing space in p~: aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.

PSA 89:28 Removed trailing space in v~: Nitadumisha upendo wangu kwake milele,

PSA 89:28 Removed trailing space in p~: na agano langu naye litakuwa imara.

PSA 89:29 Removed trailing space in v~: Nitaudumisha uzao wake milele,

PSA 89:29 Removed trailing space in p~: kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.

PSA 89:30 Removed trailing space in v~: “Kama wanae wataacha amri yangu

PSA 89:30 Removed trailing space in p~: na wasifuate sheria zangu,

PSA 89:31 Removed trailing space in v~: kama wakihalifu maagizo yangu

PSA 89:31 Removed trailing space in p~: na kutoshika amri zangu,

PSA 89:32 Removed trailing space in v~: nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo,

PSA 89:32 Removed trailing space in p~: uovu wao kwa kuwapiga,

PSA 89:33 Removed trailing space in v~: lakini sitauondoa upendo wangu kwake,

PSA 89:33 Removed trailing space in p~: wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.

PSA 89:34 Removed trailing space in v~: Mimi sitavunja agano langu

PSA 89:34 Removed trailing space in p~: wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.

PSA 89:35 Removed trailing space in v~: Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu,

PSA 89:35 Removed trailing space in p~: nami sitamdanganya Daudi:

PSA 89:36 Removed trailing space in v~: kwamba uzao wake utaendelea milele,

PSA 89:36 Removed trailing space in p~: na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;

PSA 89:37 Removed trailing space in v~: kitaimarishwa milele kama mwezi,

PSA 89:37 Removed trailing space in p~: shahidi mwaminifu angani.”

PSA 89:38 Removed trailing space in v~: Lakini wewe umemkataa, umemdharau,

PSA 89:38 Removed trailing space in p~: umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.

PSA 89:39 Removed trailing space in v~: Umelikana agano lako na mtumishi wako,

PSA 89:39 Removed trailing space in p~: na umeinajisi taji yake mavumbini.

PSA 89:40 Removed trailing space in v~: Umebomoa kuta zake zote,

PSA 89:40 Removed trailing space in p~: na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.

PSA 89:41 Removed trailing space in v~: Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake;

PSA 89:41 Removed trailing space in p~: amekuwa dharau kwa jirani zake.

PSA 89:42 Removed trailing space in v~: Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake,

PSA 89:42 Removed trailing space in p~: umewafanya watesi wake wote washangilie.

PSA 89:43 Removed trailing space in v~: Umegeuza makali ya upanga wake,

PSA 89:43 Removed trailing space in p~: na hukumpa msaada katika vita.

PSA 89:44 Removed trailing space in v~: Umeikomesha fahari yake,

PSA 89:44 Removed trailing space in p~: na kukiangusha kiti chake cha enzi.

PSA 89:45 Removed trailing space in v~: Umezifupisha siku za ujana wake,

PSA 89:45 Removed trailing space in p~: umemfunika kwa vazi la aibu.

PSA 89:46 Removed trailing space in v~: Hata lini, Ee \nd Bwana\nd*? Utajificha milele?

PSA 89:46 Removed trailing space in p~: Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?

PSA 89:47 Removed trailing space in v~: Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka.

PSA 89:47 Removed trailing space in p~: Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!

PSA 89:48 Removed trailing space in v~: Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo,

PSA 89:48 Removed trailing space in p~: au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi?\f + \fr 89:48 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f*

PSA 89:49 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni,

PSA 89:49 Removed trailing space in p~: ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?

PSA 89:50 Removed trailing space in v~: Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa,

PSA 89:50 Removed trailing space in p~: jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,

PSA 89:51 Removed trailing space in v~: dhihaka ambazo kwazo adui zako

PSA 89:51 Removed trailing space in p~: wamenisimanga, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 89:51 Removed trailing space in p~: ambazo kwazo wamesimanga

PSA 89:51 Removed trailing space in p~: kila hatua ya mpakwa mafuta wako.

PSA 89:52 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd* milele!

PSA 89:52 Removed trailing space in qc: Amen na Amen.

PSA 90:0 Extra space after chapter number

PSA 90:0 Removed trailing space in c: 90

PSA 90:0 Removed trailing space in ms1: KITABU CHA NNE

PSA 90:0 Removed trailing space in mr: (Zaburi 90–106)

PSA 90:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 90

PSA 90:0 Removed trailing space in s1: Umilele Wa Mungu Na Udhaifu Wa Mwanadamu

PSA 90:0 Removed trailing space in d: Maombi ya Mose, mtu wa Mungu.

PSA 90:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, wewe umekuwa makao yetu

PSA 90:1 Removed trailing space in p~: katika vizazi vyote.

PSA 90:2 Removed trailing space in v~: Kabla ya kuzaliwa milima

PSA 90:2 Removed trailing space in p~: au hujaumba dunia na ulimwengu,

PSA 90:2 Removed trailing space in p~: wewe ni Mungu tangu milele hata milele.

PSA 90:3 Removed trailing space in v~: Huwarudisha watu mavumbini,

PSA 90:3 Removed trailing space in p~: ukisema, “Rudini mavumbini, enyi wanadamu.”

PSA 90:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwako miaka elfu

PSA 90:4 Removed trailing space in p~: ni kama siku moja iliyokwisha pita,

PSA 90:4 Removed trailing space in p~: au kama kesha la usiku.

PSA 90:5 Removed trailing space in v~: Unawatowesha wanadamu katika usingizi wa kifo,

PSA 90:5 Removed trailing space in p~: nao ni kama majani machanga ya asubuhi:

PSA 90:6 Removed trailing space in v~: ingawa asubuhi yanachipua,

PSA 90:6 Removed trailing space in p~: ifikapo jioni huwa yamenyauka na kukauka.

PSA 90:7 Removed trailing space in v~: Tumeangamizwa kwa hasira yako

PSA 90:7 Removed trailing space in p~: na tumetishwa kwa ghadhabu yako.

PSA 90:8 Removed trailing space in v~: Umeyaweka maovu yetu mbele yako,

PSA 90:8 Removed trailing space in p~: dhambi zetu za siri katika nuru ya uwepo wako.

PSA 90:9 Removed trailing space in v~: Tumeishi siku zetu zote chini ya ghadhabu yako,

PSA 90:9 Removed trailing space in p~: tunamaliza miaka yetu kwa kuomboleza.

PSA 90:10 Removed trailing space in v~: Siku zetu za kuishi ni miaka sabini,

PSA 90:10 Removed trailing space in p~: au miaka themanini ikiwa tuna nguvu,

PSA 90:10 Removed trailing space in p~: lakini yote ni ya shida na taabu,

PSA 90:10 Removed trailing space in p~: nazo zapita haraka, nasi twatoweka.

PSA 90:11 Removed trailing space in v~: Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako?

PSA 90:11 Removed trailing space in p~: Kwa maana ghadhabu yako ni kubwa

PSA 90:11 Removed trailing space in p~: kama hofu tunayopaswa kuwa nayo kwako.

PSA 90:12 Removed trailing space in v~: Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri,

PSA 90:12 Removed trailing space in p~: ili tujipatie moyo wa hekima.

PSA 90:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uwe na huruma! Utakawia hata lini?

PSA 90:13 Removed trailing space in p~: Wahurumie watumishi wako.

PSA 90:14 Removed trailing space in v~: Tushibishe asubuhi kwa upendo wako usiokoma,

PSA 90:14 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuimba kwa shangwe na kufurahi siku zetu zote.

PSA 90:15 Removed trailing space in v~: Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu,

PSA 90:15 Removed trailing space in p~: kulingana na miaka tuliyotaabika.

PSA 90:16 Removed trailing space in v~: Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako,

PSA 90:16 Removed trailing space in p~: utukufu wako kwa watoto wao.

PSA 90:17 Removed trailing space in v~: Wema wa \nd Bwana\nd* Mungu wetu uwe juu yetu;

PSA 90:17 Removed trailing space in p~: uzithibitishe kazi za mikono yetu:

PSA 90:17 Removed trailing space in p~: naam, uzithibitishe kazi za mikono yetu.

PSA 91:0 Extra space after chapter number

PSA 91:0 Removed trailing space in c: 91

PSA 91:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 91

PSA 91:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mlinzi Wetu

PSA 91:1 Removed trailing space in v~: Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana,

PSA 91:1 Removed trailing space in p~: atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.\f + \fr 91:1 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f*

PSA 91:2 Removed trailing space in v~: Nitasema kumhusu \nd Bwana\nd*, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu,

PSA 91:2 Removed trailing space in p~: Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”

PSA 91:3 Removed trailing space in v~: Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji,

PSA 91:3 Removed trailing space in p~: na maradhi ya kuambukiza ya kuua.

PSA 91:4 Removed trailing space in v~: Atakufunika kwa manyoya yake,

PSA 91:4 Removed trailing space in p~: chini ya mbawa zake utapata kimbilio,

PSA 91:4 Removed trailing space in p~: uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.

PSA 91:5 Removed trailing space in v~: Hutaogopa vitisho vya usiku,

PSA 91:5 Removed trailing space in p~: wala mshale urukao mchana,

PSA 91:6 Removed trailing space in v~: wala maradhi ya kuambukiza

PSA 91:6 Removed trailing space in p~: yanayonyemelea gizani,

PSA 91:6 Removed trailing space in p~: wala tauni iharibuyo adhuhuri.

PSA 91:7 Removed trailing space in v~: Ijapo watu elfu wataangukia kando yako,

PSA 91:7 Removed trailing space in p~: kumi elfu mkono wako wa kuume,

PSA 91:7 Removed trailing space in p~: lakini haitakukaribia wewe.

PSA 91:8 Removed trailing space in v~: Utatazama tu kwa macho yako

PSA 91:8 Removed trailing space in p~: na kuona adhabu ya waovu.

PSA 91:9 Removed trailing space in v~: Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako:

PSA 91:9 Removed trailing space in p~: naam, \nd Bwana\nd* ambaye ni kimbilio langu,

PSA 91:10 Removed trailing space in v~: basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,

PSA 91:10 Removed trailing space in p~: hakuna maafa yataikaribia hema yako.

PSA 91:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako,

PSA 91:11 Removed trailing space in p~: wakulinde katika njia zako zote.

PSA 91:12 Removed trailing space in v~: Mikononi mwao watakuinua,

PSA 91:12 Removed trailing space in p~: ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.

PSA 91:13 Removed trailing space in v~: Utawakanyaga simba na nyoka wakali,

PSA 91:13 Removed trailing space in p~: simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.

PSA 91:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa;

PSA 91:14 Removed trailing space in p~: nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.

PSA 91:15 Removed trailing space in v~: Ataniita, nami nitamjibu;

PSA 91:15 Removed trailing space in p~: nitakuwa pamoja naye katika taabu,

PSA 91:15 Removed trailing space in p~: nitamwokoa na kumheshimu.

PSA 91:16 Removed trailing space in v~: Kwa siku nyingi nitamshibisha

PSA 91:16 Removed trailing space in p~: na kumwonyesha wokovu wangu.”

PSA 92:0 Extra space after chapter number

PSA 92:0 Removed trailing space in c: 92

PSA 92:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 92

PSA 92:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumsifu Mungu

PSA 92:0 Removed trailing space in d: Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato.

PSA 92:1 Removed trailing space in v~: Ni vyema kumshukuru \nd Bwana\nd*

PSA 92:1 Removed trailing space in p~: na kuliimbia jina lako, Ee Uliye Juu Sana,

PSA 92:2 Removed trailing space in v~: kuutangaza upendo wako asubuhi,

PSA 92:2 Removed trailing space in p~: na uaminifu wako wakati wa usiku,

PSA 92:3 Removed trailing space in v~: kwa zeze yenye nyuzi kumi

PSA 92:3 Removed trailing space in p~: na kwa sauti ya kinubi.

PSA 92:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa kuwa matendo yako yamenifurahisha,

PSA 92:4 Removed trailing space in p~: nitaziimba kwa shangwe kazi za mikono yako.

PSA 92:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tazama jinsi yalivyo makuu matendo yako,

PSA 92:5 Removed trailing space in p~: tazama jinsi yalivyo ya kina mawazo yako!

PSA 92:6 Removed trailing space in v~: Mjinga hafahamu,

PSA 92:6 Removed trailing space in p~: mpumbavu haelewi,

PSA 92:7 Removed trailing space in v~: ingawa waovu huchipua kama majani

PSA 92:7 Removed trailing space in p~: na wote watendao mabaya wanastawi,

PSA 92:7 Removed trailing space in p~: wataangamizwa milele.

PSA 92:8 Removed trailing space in v~: Bali wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 92:8 Removed trailing space in p~: utatukuzwa milele.

PSA 92:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, hakika adui zako,

PSA 92:9 Removed trailing space in p~: hakika adui zako wataangamia.

PSA 92:9 Removed trailing space in p~: Wote watendao mabaya watatawanyika.

PSA 92:10 Removed trailing space in v~: Umeitukuza pembe\f + \fr 92:10 \ft Pembe inawakilisha nguvu.\f* yangu kama ile ya nyati dume,

PSA 92:10 Removed trailing space in p~: mafuta mazuri yamemiminwa juu yangu.

PSA 92:11 Removed trailing space in v~: Macho yangu yamewaona adui zangu wakishindwa,

PSA 92:11 Removed trailing space in p~: masikio yangu yamesikia maangamizi ya adui zangu waovu.

PSA 92:12 Removed trailing space in v~: Wenye haki watastawi kama mtende,

PSA 92:12 Removed trailing space in p~: watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni,

PSA 92:13 Removed trailing space in v~: waliopandwa katika nyumba ya \nd Bwana\nd*,

PSA 92:13 Removed trailing space in p~: watastawi katika nyua za Mungu wetu.

PSA 92:14 Removed trailing space in v~: Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda,

PSA 92:14 Removed trailing space in p~: watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu,

PSA 92:15 Removed trailing space in v~: wakitangaza, “\nd Bwana\nd* ni mkamilifu;

PSA 92:15 Removed trailing space in p~: yeye ni Mwamba wangu,

PSA 92:15 Removed trailing space in p~: na ndani yake hamna uovu.”

PSA 93:0 Extra space after chapter number

PSA 93:0 Removed trailing space in c: 93

PSA 93:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 93

PSA 93:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mfalme

PSA 93:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatawala, amejivika utukufu;

PSA 93:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amejivika utukufu

PSA 93:1 Removed trailing space in p~: tena amejivika nguvu.

PSA 93:1 Removed trailing space in p~: Dunia imewekwa imara,

PSA 93:1 Removed trailing space in p~: haitaondoshwa.

PSA 93:2 Removed trailing space in v~: Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu zamani;

PSA 93:2 Removed trailing space in p~: wewe umekuwako tangu milele.

PSA 93:3 Removed trailing space in v~: Bahari zimeinua, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 93:3 Removed trailing space in p~: bahari zimeinua sauti zake;

PSA 93:3 Removed trailing space in p~: bahari zimeinua sauti za mawimbi yake.

PSA 93:4 Removed trailing space in v~: Yeye ni mkuu kuliko ngurumo ya maji makuu,

PSA 93:4 Removed trailing space in p~: ni mkuu kuliko mawimbi ya bahari:

PSA 93:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* aishiye juu sana ni mkuu.

PSA 93:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sheria zako ni imara;

PSA 93:5 Removed trailing space in p~: utakatifu umepamba nyumba yako

PSA 93:5 Removed trailing space in p~: pasipo mwisho.

PSA 94:0 Extra space after chapter number

PSA 94:0 Removed trailing space in c: 94

PSA 94:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 94

PSA 94:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mlipiza Kisasi Kwa Ajili Ya Wenye Haki

PSA 94:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ulipizaye kisasi,

PSA 94:1 Removed trailing space in p~: Ee Mungu ulipizaye kisasi, uangaze sasa.

PSA 94:2 Removed trailing space in v~: Ee Mhukumu wa dunia, inuka,

PSA 94:2 Removed trailing space in p~: uwalipize wenye kiburi kama wanavyostahili.

PSA 94:3 Removed trailing space in v~: Hata lini, waovu, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 94:3 Removed trailing space in p~: hata lini waovu watashangilia?

PSA 94:4 Removed trailing space in v~: Wanamimina maneno ya kiburi,

PSA 94:4 Removed trailing space in p~: watenda mabaya wote wamejaa majivuno.

PSA 94:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wanawaponda watu wako,

PSA 94:5 Removed trailing space in p~: wanawaonea urithi wako.

PSA 94:6 Removed trailing space in v~: Wanamchinja mjane na mgeni,

PSA 94:6 Removed trailing space in p~: na kuwaua yatima.

PSA 94:7 Removed trailing space in v~: Nao husema, “\nd Bwana\nd* haoni,

PSA 94:7 Removed trailing space in p~: Mungu wa Yakobo hafahamu.”

PSA 94:8 Removed trailing space in v~: Sikizeni, enyi wajinga miongoni mwa watu;

PSA 94:8 Removed trailing space in p~: enyi wapumbavu, lini mtakuwa na hekima?

PSA 94:9 Removed trailing space in v~: Je, aliyeweka sikio asisikie?

PSA 94:9 Removed trailing space in p~: Aliyeumba jicho asione?

PSA 94:10 Removed trailing space in v~: Je, anayeadhibisha mataifa asiadhibu?

PSA 94:10 Removed trailing space in p~: Je, awafundishaye wanadamu asiwe na maarifa?

PSA 94:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anajua mawazo ya mwanadamu;

PSA 94:11 Removed trailing space in p~: anajua kwamba ni ubatili.

PSA 94:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, heri mtu anayeadhibishwa na wewe,

PSA 94:12 Removed trailing space in p~: mtu unayemfundisha kwa sheria yako,

PSA 94:13 Removed trailing space in v~: unampa utulivu siku za shida,

PSA 94:13 Removed trailing space in p~: mpaka shimo litakapokuwa limechimbwa

PSA 94:13 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mwovu.

PSA 94:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* hatawakataa watu wake,

PSA 94:14 Removed trailing space in p~: hatauacha urithi wake.

PSA 94:15 Removed trailing space in v~: Hukumu itasimamishwa tena kwenye haki,

PSA 94:15 Removed trailing space in p~: wote walio na mioyo minyofu wataifuata.

PSA 94:16 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayeinuka dhidi ya mwovu kwa ajili yangu?

PSA 94:16 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayenikinga dhidi ya watenda maovu?

PSA 94:17 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* asingelinisaidia upesi,

PSA 94:17 Removed trailing space in p~: ningelikuwa ninaishi katika ukimya wa kifo.

PSA 94:18 Removed trailing space in v~: Niliposema, “Mguu wangu unateleza,”

PSA 94:18 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, upendo wako ulinishikilia.

PSA 94:19 Removed trailing space in v~: Wakati wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu,

PSA 94:19 Removed trailing space in p~: faraja yako ilinipa furaha nafsini mwangu.

PSA 94:20 Removed trailing space in v~: Je, kiti cha utawala wa udhalimu kitajiunga nawe,

PSA 94:20 Removed trailing space in p~: ule utawala uletao taabu kutokana na sheria zake?

PSA 94:21 Removed trailing space in v~: Huungana kuwashambulia wenye haki,

PSA 94:21 Removed trailing space in p~: kuwahukumu kufa wasio na hatia.

PSA 94:22 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* amekuwa ngome yangu,

PSA 94:22 Removed trailing space in p~: na Mungu wangu amekuwa mwamba ninaoukimbilia.

PSA 94:23 Removed trailing space in v~: Yeye atawalipa kwa ajili ya dhambi zao

PSA 94:23 Removed trailing space in p~: na atawaangamiza kwa ajili ya maovu yao;

PSA 94:23 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu atawaangamiza.

PSA 95:0 Extra space after chapter number

PSA 95:0 Removed trailing space in c: 95

PSA 95:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 95

PSA 95:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumsifu Mungu

PSA 95:1 Removed trailing space in v~: Njooni, tumwimbie \nd Bwana\nd* kwa furaha;

PSA 95:1 Removed trailing space in p~: tumfanyie kelele za shangwe

PSA 95:1 Removed trailing space in p~: Mwamba wa wokovu wetu.

PSA 95:2 Removed trailing space in v~: Tuje mbele zake kwa shukrani,

PSA 95:2 Removed trailing space in p~: tumtukuze kwa vinanda na nyimbo.

PSA 95:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni Mungu mkuu,

PSA 95:3 Removed trailing space in p~: mfalme mkuu juu ya miungu yote.

PSA 95:4 Removed trailing space in v~: Mkononi mwake mna vilindi vya dunia,

PSA 95:4 Removed trailing space in p~: na vilele vya milima ni mali yake.

PSA 95:5 Removed trailing space in v~: Bahari ni yake, kwani ndiye aliifanya,

PSA 95:5 Removed trailing space in p~: na mikono yake iliumba nchi kavu.

PSA 95:6 Removed trailing space in v~: Njooni, tusujudu, tumwabudu,

PSA 95:6 Removed trailing space in p~: tupige magoti mbele za \nd Bwana\nd* Muumba wetu,

PSA 95:7 Removed trailing space in v~: kwa maana yeye ndiye Mungu wetu,

PSA 95:7 Removed trailing space in p~: na sisi ni watu wa malisho yake,

PSA 95:7 Removed trailing space in p~: kondoo chini ya utunzaji wake.

PSA 95:7 Removed trailing space in p~: Kama mkiisikia sauti yake leo,

PSA 95:8 Removed trailing space in v~: msiifanye mioyo yenu migumu

PSA 95:8 Removed trailing space in p~: kama mlivyofanya kule Meriba,\f + \fr 95:8 \ft Meriba maana yake ni Kugombana.\f*

PSA 95:8 Removed trailing space in p~: kama mlivyofanya siku ile

PSA 95:8 Removed trailing space in p~: kule Masa\f + \fr 95:8 \ft Masa maana yake ni Kujaribiwa.\f* jangwani,

PSA 95:9 Removed trailing space in v~: ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima,

PSA 95:9 Removed trailing space in p~: ingawa walikuwa wameyaona matendo yangu.

PSA 95:10 Removed trailing space in v~: Kwa miaka arobaini nilikasirikia kizazi kile,

PSA 95:10 Removed trailing space in p~: nikasema, “Hawa ni taifa ambalo mioyo yao imepotoka,

PSA 95:10 Removed trailing space in p~: nao hawajazijua njia zangu.”

PSA 95:11 Removed trailing space in v~: Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu,

PSA 95:11 Removed trailing space in p~: “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”

PSA 96:0 Extra space after chapter number

PSA 96:0 Removed trailing space in c: 96

PSA 96:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 96

PSA 96:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mfalme Mkuu

PSA 96:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 16:23-33)

PSA 96:1 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* wimbo mpya;

PSA 96:1 Removed trailing space in p~: mwimbieni \nd Bwana\nd* dunia yote.

PSA 96:2 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd*, lisifuni jina lake;

PSA 96:2 Removed trailing space in p~: tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.

PSA 96:3 Removed trailing space in v~: Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

PSA 96:3 Removed trailing space in p~: matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

PSA 96:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

PSA 96:4 Removed trailing space in p~: yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.

PSA 96:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

PSA 96:5 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* aliziumba mbingu.

PSA 96:6 Removed trailing space in v~: Fahari na enzi viko mbele yake;

PSA 96:6 Removed trailing space in p~: nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.

PSA 96:7 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd*, enyi jamaa za mataifa,

PSA 96:7 Removed trailing space in p~: mpeni \nd Bwana\nd* utukufu na nguvu.

PSA 96:8 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd* utukufu unaostahili jina lake;

PSA 96:8 Removed trailing space in p~: leteni sadaka na mje katika nyua zake.

PSA 96:9 Removed trailing space in v~: Mwabuduni \nd Bwana\nd* katika uzuri wa utakatifu wake;

PSA 96:9 Removed trailing space in p~: dunia yote na itetemeke mbele zake.

PSA 96:10 Removed trailing space in v~: Katikati ya mataifa semeni, “\nd Bwana\nd* anatawala.”

PSA 96:10 Removed trailing space in p~: Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;

PSA 96:10 Removed trailing space in p~: atawahukumu watu kwa uadilifu.

PSA 96:11 Removed trailing space in v~: Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

PSA 96:11 Removed trailing space in p~: bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;

PSA 96:12 Removed trailing space in v~: mashamba na yashangilie,

PSA 96:12 Removed trailing space in p~: pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

PSA 96:12 Removed trailing space in p~: Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;

PSA 96:13 Removed trailing space in v~: itaimba mbele za \nd Bwana\nd* kwa maana anakuja,

PSA 96:13 Removed trailing space in p~: anakuja kuihukumu dunia.

PSA 96:13 Removed trailing space in p~: Ataihukumu dunia kwa haki,

PSA 96:13 Removed trailing space in p~: na mataifa katika kweli yake.

PSA 97:0 Extra space after chapter number

PSA 97:0 Removed trailing space in c: 97

PSA 97:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 97

PSA 97:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mtawala Mkuu

PSA 97:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatawala, nchi na ifurahi,

PSA 97:1 Removed trailing space in p~: visiwa vyote vishangilie.

PSA 97:2 Removed trailing space in v~: Mawingu na giza nene vinamzunguka,

PSA 97:2 Removed trailing space in p~: haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.

PSA 97:3 Removed trailing space in v~: Moto hutangulia mbele zake

PSA 97:3 Removed trailing space in p~: na huteketeza adui zake pande zote.

PSA 97:4 Removed trailing space in v~: Umeme wake wa radi humulika dunia,

PSA 97:4 Removed trailing space in p~: nchi huona na kutetemeka.

PSA 97:5 Removed trailing space in v~: Milima huyeyuka kama nta mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 97:5 Removed trailing space in p~: mbele za Bwana wa dunia yote.

PSA 97:6 Removed trailing space in v~: Mbingu zinatangaza haki yake,

PSA 97:6 Removed trailing space in p~: na mataifa yote huona utukufu wake.

PSA 97:7 Removed trailing space in v~: Wote waabuduo sanamu waaibishwa,

PSA 97:7 Removed trailing space in p~: wale wajisifiao sanamu:

PSA 97:7 Removed trailing space in p~: mwabuduni yeye, enyi miungu yote!

PSA 97:8 Removed trailing space in v~: Sayuni husikia na kushangilia,

PSA 97:8 Removed trailing space in p~: vijiji vya Yuda vinafurahi

PSA 97:8 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya hukumu zako, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 97:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote;

PSA 97:9 Removed trailing space in p~: umetukuka sana juu ya miungu yote.

PSA 97:10 Removed trailing space in v~: Wale wanaompenda \nd Bwana\nd* na wauchukie uovu,

PSA 97:10 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake

PSA 97:10 Removed trailing space in p~: na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.

PSA 97:11 Removed trailing space in v~: Nuru huangaza wenye haki

PSA 97:11 Removed trailing space in p~: na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.

PSA 97:12 Removed trailing space in v~: Furahini katika \nd Bwana\nd*, ninyi mlio wenye haki,

PSA 97:12 Removed trailing space in p~: lisifuni jina lake takatifu.

PSA 98:0 Extra space after chapter number

PSA 98:0 Removed trailing space in c: 98

PSA 98:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 98

PSA 98:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mtawala Wa Dunia

PSA 98:0 Removed trailing space in d: Zaburi.

PSA 98:1 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* wimbo mpya,

PSA 98:1 Removed trailing space in p~: kwa maana ametenda mambo ya ajabu;

PSA 98:1 Removed trailing space in p~: kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu

PSA 98:1 Removed trailing space in p~: umemfanyia wokovu.

PSA 98:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameufanya wokovu wake ujulikane

PSA 98:2 Removed trailing space in p~: na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.

PSA 98:3 Removed trailing space in v~: Ameukumbuka upendo wake

PSA 98:3 Removed trailing space in p~: na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli;

PSA 98:3 Removed trailing space in p~: miisho yote ya dunia imeuona

PSA 98:3 Removed trailing space in p~: wokovu wa Mungu wetu.

PSA 98:4 Removed trailing space in v~: Mpigieni \nd Bwana\nd* kelele za shangwe, dunia yote,

PSA 98:4 Removed trailing space in p~: ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;

PSA 98:5 Removed trailing space in v~: mwimbieni \nd Bwana\nd* kwa kinubi,

PSA 98:5 Removed trailing space in p~: kwa kinubi na sauti za kuimba,

PSA 98:6 Removed trailing space in v~: kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume:

PSA 98:6 Removed trailing space in p~: shangilieni kwa furaha mbele za \nd Bwana\nd*, aliye Mfalme.

PSA 98:7 Removed trailing space in v~: Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake,

PSA 98:7 Removed trailing space in p~: dunia na wote wakaao ndani yake.

PSA 98:8 Removed trailing space in v~: Mito na ipige makofi,

PSA 98:8 Removed trailing space in p~: milima na iimbe pamoja kwa furaha,

PSA 98:9 Removed trailing space in v~: vyote na viimbe mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 98:9 Removed trailing space in p~: kwa maana yuaja kuhukumu dunia.

PSA 98:9 Removed trailing space in p~: Atahukumu dunia kwa haki

PSA 98:9 Removed trailing space in p~: na mataifa kwa haki.

PSA 99:0 Extra space after chapter number

PSA 99:0 Removed trailing space in c: 99

PSA 99:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 99

PSA 99:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mfalme Mkuu

PSA 99:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatawala,

PSA 99:1 Removed trailing space in p~: mataifa na yatetemeke;

PSA 99:1 Removed trailing space in p~: anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi,

PSA 99:1 Removed trailing space in p~: dunia na itikisike.

PSA 99:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mkuu katika Sayuni;

PSA 99:2 Removed trailing space in p~: ametukuzwa juu ya mataifa yote.

PSA 99:3 Removed trailing space in v~: Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa:

PSA 99:3 Removed trailing space in p~: yeye ni mtakatifu!

PSA 99:4 Removed trailing space in v~: Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki,

PSA 99:4 Removed trailing space in p~: wewe umethibitisha adili;

PSA 99:4 Removed trailing space in p~: katika Yakobo umefanya

PSA 99:4 Removed trailing space in p~: yaliyo haki na sawa.

PSA 99:5 Removed trailing space in v~: Mtukuzeni \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 99:5 Removed trailing space in p~: na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake;

PSA 99:5 Removed trailing space in p~: yeye ni mtakatifu.

PSA 99:6 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,

PSA 99:6 Removed trailing space in p~: Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake;

PSA 99:6 Removed trailing space in p~: walimwita \nd Bwana\nd*,

PSA 99:6 Removed trailing space in p~: naye aliwajibu.

PSA 99:7 Removed trailing space in v~: Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu;

PSA 99:7 Removed trailing space in p~: walizishika sheria zake na amri alizowapa.

PSA 99:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wetu,

PSA 99:8 Removed trailing space in p~: ndiwe uliyewajibu,

PSA 99:8 Removed trailing space in p~: kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe,

PSA 99:8 Removed trailing space in p~: ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.

PSA 99:9 Removed trailing space in v~: Mtukuzeni \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 99:9 Removed trailing space in p~: mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu,

PSA 99:9 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wetu ni mtakatifu.

PSA 100:0 Extra space after chapter number

PSA 100:0 Removed trailing space in c: 100

PSA 100:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 100

PSA 100:0 Removed trailing space in s1: Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu

PSA 100:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya shukrani.

PSA 100:1 Removed trailing space in v~: Mpigieni \nd Bwana\nd* kelele za shangwe, dunia yote.

PSA 100:2 Removed trailing space in v~: Mwabuduni \nd Bwana\nd* kwa furaha;

PSA 100:2 Removed trailing space in p~: njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.

PSA 100:3 Removed trailing space in v~: Jueni kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu.

PSA 100:3 Removed trailing space in p~: Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake;

PSA 100:3 Removed trailing space in p~: sisi tu watu wake,

PSA 100:3 Removed trailing space in p~: kondoo wa malisho yake.

PSA 100:4 Removed trailing space in v~: Ingieni malangoni mwake kwa shukrani

PSA 100:4 Removed trailing space in p~: na katika nyua zake kwa kusifu,

PSA 100:4 Removed trailing space in p~: mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.

PSA 100:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* ni mwema

PSA 100:5 Removed trailing space in p~: na upendo wake wadumu milele;

PSA 100:5 Removed trailing space in p~: uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

PSA 101:0 Extra space after chapter number

PSA 101:0 Removed trailing space in c: 101

PSA 101:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 101

PSA 101:0 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Kuishi Kwa Uadilifu Na Kwa Haki

PSA 101:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 101:1 Removed trailing space in v~: Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako;

PSA 101:1 Removed trailing space in p~: kwako wewe, Ee \nd Bwana\nd*, nitaimba sifa.

PSA 101:2 Removed trailing space in v~: Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama:

PSA 101:2 Removed trailing space in p~: utakuja kwangu lini?

PSA 101:2 Removed trailing space in p~: Nitatembea nyumbani mwangu

PSA 101:2 Removed trailing space in p~: kwa moyo usio na lawama.

PSA 101:3 Removed trailing space in v~: Sitaweka mbele ya macho yangu

PSA 101:3 Removed trailing space in p~: kitu kiovu.

PSA 101:3 Removed trailing space in p~: Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani;

PSA 101:3 Removed trailing space in p~: hawatashikamana nami.

PSA 101:4 Removed trailing space in v~: Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami;

PSA 101:4 Removed trailing space in p~: nitajitenga na kila ubaya.

PSA 101:5 Removed trailing space in v~: Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri,

PSA 101:5 Removed trailing space in p~: huyo nitamnyamazisha;

PSA 101:5 Removed trailing space in p~: mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi

PSA 101:5 Removed trailing space in p~: huyo sitamvumilia.

PSA 101:6 Removed trailing space in v~: Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi,

PSA 101:6 Removed trailing space in p~: ili waweze kuishi pamoja nami;

PSA 101:6 Removed trailing space in p~: yeye ambaye moyo wake hauna lawama

PSA 101:6 Removed trailing space in p~: atanitumikia.

PSA 101:7 Removed trailing space in v~: Mdanganyifu hatakaa

PSA 101:7 Removed trailing space in p~: nyumbani mwangu,

PSA 101:7 Removed trailing space in p~: yeye asemaye kwa uongo

PSA 101:7 Removed trailing space in p~: hatasimama mbele yangu.

PSA 101:8 Removed trailing space in v~: Kila asubuhi nitawanyamazisha

PSA 101:8 Removed trailing space in p~: waovu wote katika nchi;

PSA 101:8 Removed trailing space in p~: nitamkatilia mbali kila mtenda mabaya

PSA 101:8 Removed trailing space in p~: kutoka mji wa \nd Bwana\nd*.

PSA 102:0 Extra space after chapter number

PSA 102:0 Removed trailing space in c: 102

PSA 102:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 102

PSA 102:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Mwenye Taabu

PSA 102:0 Removed trailing space in d: Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa \nd Bwana\nd*.

PSA 102:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usikie maombi yangu,

PSA 102:1 Removed trailing space in p~: kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.

PSA 102:2 Removed trailing space in v~: Usinifiche uso wako

PSA 102:2 Removed trailing space in p~: ninapokuwa katika shida.

PSA 102:2 Removed trailing space in p~: Unitegee sikio lako,

PSA 102:2 Removed trailing space in p~: ninapoita, unijibu kwa upesi.

PSA 102:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi,

PSA 102:3 Removed trailing space in p~: mifupa yangu inaungua kama kaa la moto.

PSA 102:4 Removed trailing space in v~: Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani,

PSA 102:4 Removed trailing space in p~: ninasahau kula chakula changu.

PSA 102:5 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu,

PSA 102:5 Removed trailing space in p~: nimebakia ngozi na mifupa.

PSA 102:6 Removed trailing space in v~: Nimekuwa kama bundi wa jangwani,

PSA 102:6 Removed trailing space in p~: kama bundi kwenye magofu.

PSA 102:7 Removed trailing space in v~: Nilalapo sipati usingizi,

PSA 102:7 Removed trailing space in p~: nimekuwa kama ndege mpweke

PSA 102:7 Removed trailing space in p~: kwenye paa la nyumba.

PSA 102:8 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki,

PSA 102:8 Removed trailing space in p~: wale wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana.

PSA 102:9 Removed trailing space in v~: Ninakula majivu kama chakula changu

PSA 102:9 Removed trailing space in p~: na nimechanganya kinywaji changu na machozi

PSA 102:10 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya ghadhabu yako kuu,

PSA 102:10 Removed trailing space in p~: kwa maana umeniinua na kunitupa kando.

PSA 102:11 Removed trailing space in v~: Siku zangu ni kama kivuli cha jioni,

PSA 102:11 Removed trailing space in p~: ninanyauka kama jani.

PSA 102:12 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*, umeketi katika kiti chako cha enzi milele,

PSA 102:12 Removed trailing space in p~: sifa zako za ukuu zaendelea vizazi vyote.

PSA 102:13 Removed trailing space in v~: Utainuka na kuihurumia Sayuni,

PSA 102:13 Removed trailing space in p~: kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema;

PSA 102:13 Removed trailing space in p~: wakati uliokubalika umewadia.

PSA 102:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa watumishi wako,

PSA 102:14 Removed trailing space in p~: vumbi lake lenyewe hulionea huruma.

PSA 102:15 Removed trailing space in v~: Mataifa wataogopa jina la \nd Bwana\nd*,

PSA 102:15 Removed trailing space in p~: wafalme wote wa dunia watauheshimu utukufu wako.

PSA 102:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* ataijenga tena Sayuni

PSA 102:16 Removed trailing space in p~: na kutokea katika utukufu wake.

PSA 102:17 Removed trailing space in v~: Ataitikia maombi ya mtu mkiwa,

PSA 102:17 Removed trailing space in p~: wala hatadharau hoja yao.

PSA 102:18 Removed trailing space in v~: Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho,

PSA 102:18 Removed trailing space in p~: ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu \nd Bwana\nd*:

PSA 102:19 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* alitazama chini kutoka patakatifu pake palipo juu,

PSA 102:19 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni alitazama dunia,

PSA 102:20 Removed trailing space in v~: kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa

PSA 102:20 Removed trailing space in p~: na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.”

PSA 102:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo jina la \nd Bwana\nd* latangazwa huko Sayuni

PSA 102:21 Removed trailing space in p~: na sifa zake katika Yerusalemu,

PSA 102:22 Removed trailing space in v~: wakati mataifa na falme zitakapokusanyika

PSA 102:22 Removed trailing space in p~: ili kumwabudu \nd Bwana\nd*.

PSA 102:23 Removed trailing space in v~: Katika kuishi kwangu alivunja nguvu zangu,

PSA 102:23 Removed trailing space in p~: akafupisha siku zangu.

PSA 102:24 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema:

PSA 102:24 Removed trailing space in p~: “Ee Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu;

PSA 102:24 Removed trailing space in p~: miaka yako inaendelea vizazi vyote.

PSA 102:25 Removed trailing space in v~: Hapo mwanzo uliweka misingi ya dunia,

PSA 102:25 Removed trailing space in p~: nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.

PSA 102:26 Removed trailing space in v~: Hizi zitatoweka, lakini wewe utadumu,

PSA 102:26 Removed trailing space in p~: zote zitachakaa kama vazi.

PSA 102:26 Removed trailing space in p~: Utazibadilisha kama nguo

PSA 102:26 Removed trailing space in p~: nazo zitaondoshwa.

PSA 102:27 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, U yeye yule,

PSA 102:27 Removed trailing space in p~: nayo miaka yako haikomi kamwe.

PSA 102:28 Removed trailing space in v~: Watoto wa watumishi wako wataishi mbele zako;

PSA 102:28 Removed trailing space in p~: wazao wao wataimarishwa mbele zako.”

PSA 103:0 Extra space after chapter number

PSA 103:0 Removed trailing space in c: 103

PSA 103:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 103

PSA 103:0 Removed trailing space in s1: Upendo Wa Mungu

PSA 103:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 103:1 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, umhimidi \nd Bwana\nd*.

PSA 103:1 Removed trailing space in p~: Vyote vilivyomo ndani yangu

PSA 103:1 Removed trailing space in p~: vilihimidi jina lake takatifu.

PSA 103:2 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, umhimidi \nd Bwana\nd*,

PSA 103:2 Removed trailing space in p~: wala usisahau wema wake wote,

PSA 103:3 Removed trailing space in v~: akusamehe dhambi zako zote,

PSA 103:3 Removed trailing space in p~: akuponya magonjwa yako yote,

PSA 103:4 Removed trailing space in v~: aukomboa uhai wako na kaburi,

PSA 103:4 Removed trailing space in p~: akuvika taji ya upendo na huruma,

PSA 103:5 Removed trailing space in v~: atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema,

PSA 103:5 Removed trailing space in p~: ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.

PSA 103:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hutenda haki,

PSA 103:6 Removed trailing space in p~: naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.

PSA 103:7 Removed trailing space in v~: Alijulisha Mose njia zake,

PSA 103:7 Removed trailing space in p~: na wana wa Israeli matendo yake.

PSA 103:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwingi wa huruma na mwenye neema;

PSA 103:8 Removed trailing space in p~: si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.

PSA 103:9 Removed trailing space in v~: Yeye hatalaumu siku zote,

PSA 103:9 Removed trailing space in p~: wala haweki hasira yake milele,

PSA 103:10 Removed trailing space in v~: yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu

PSA 103:10 Removed trailing space in p~: wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.

PSA 103:11 Removed trailing space in v~: Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana,

PSA 103:11 Removed trailing space in p~: ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;

PSA 103:12 Removed trailing space in v~: kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,

PSA 103:12 Removed trailing space in p~: ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.

PSA 103:13 Removed trailing space in v~: Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake,

PSA 103:13 Removed trailing space in p~: ndivyo \nd Bwana\nd* anavyowahurumia wale wanaomcha;

PSA 103:14 Removed trailing space in v~: kwa kuwa anajua tulivyoumbwa,

PSA 103:14 Removed trailing space in p~: anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.

PSA 103:15 Removed trailing space in v~: Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani,

PSA 103:15 Removed trailing space in p~: anachanua kama ua la shambani;

PSA 103:16 Removed trailing space in v~: upepo huvuma juu yake nalo hutoweka,

PSA 103:16 Removed trailing space in p~: mahali pake hapalikumbuki tena.

PSA 103:17 Removed trailing space in v~: Lakini kutoka milele hata milele

PSA 103:17 Removed trailing space in p~: upendo wa \nd Bwana\nd* uko kwa wale wamchao,

PSA 103:17 Removed trailing space in p~: nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:

PSA 103:18 Removed trailing space in v~: kwa wale walishikao agano lake

PSA 103:18 Removed trailing space in p~: na kukumbuka kuyatii mausia yake.

PSA 103:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,

PSA 103:19 Removed trailing space in p~: ufalme wake unatawala juu ya vyote.

PSA 103:20 Removed trailing space in v~: Mhimidini \nd Bwana\nd*, enyi malaika zake,

PSA 103:20 Removed trailing space in p~: ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake,

PSA 103:20 Removed trailing space in p~: ninyi mnaotii neno lake.

PSA 103:21 Removed trailing space in v~: Mhimidini \nd Bwana\nd*, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,

PSA 103:21 Removed trailing space in p~: ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.

PSA 103:22 Removed trailing space in v~: Mhimidini \nd Bwana\nd*, kazi zake zote

PSA 103:22 Removed trailing space in p~: kila mahali katika milki yake.

PSA 103:22 Removed trailing space in p~: Ee nafsi yangu, umhimidi \nd Bwana\nd*.

PSA 105:0 Extra space after chapter number

PSA 105:0 Removed trailing space in c: 105

PSA 105:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 105

PSA 105:0 Removed trailing space in s1: Uaminifu Wa Mungu Kwa Israeli

PSA 105:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 16:8-22)

PSA 105:1 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, liitieni jina lake,

PSA 105:1 Removed trailing space in p~: wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.

PSA 105:2 Removed trailing space in v~: Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa,

PSA 105:2 Removed trailing space in p~: waambieni matendo yake yote ya ajabu.

PSA 105:3 Removed trailing space in v~: Lishangilieni jina lake takatifu,

PSA 105:3 Removed trailing space in p~: mioyo ya wale wamtafutao \nd Bwana\nd* na ifurahi.

PSA 105:4 Removed trailing space in v~: Mtafuteni \nd Bwana\nd* na nguvu zake,

PSA 105:4 Removed trailing space in p~: utafuteni uso wake siku zote.

PSA 105:5 Removed trailing space in v~: Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya,

PSA 105:5 Removed trailing space in p~: miujiza yake na hukumu alizozitamka,

PSA 105:6 Removed trailing space in v~: enyi wazao wa Abrahamu mtumishi wake,

PSA 105:6 Removed trailing space in p~: enyi wana wa Yakobo, wateule wake.

PSA 105:7 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 105:7 Removed trailing space in p~: hukumu zake zimo duniani pote.

PSA 105:8 Removed trailing space in v~: Hulikumbuka agano lake milele,

PSA 105:8 Removed trailing space in p~: neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,

PSA 105:9 Removed trailing space in v~: agano alilolifanya na Abrahamu,

PSA 105:9 Removed trailing space in p~: kiapo alichomwapia Isaki.

PSA 105:10 Removed trailing space in v~: Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,

PSA 105:10 Removed trailing space in p~: kwa Israeli liwe agano la milele:

PSA 105:11 Removed trailing space in v~: “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani

PSA 105:11 Removed trailing space in p~: kuwa sehemu utakayoirithi.”

PSA 105:12 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wachache kwa idadi,

PSA 105:12 Removed trailing space in p~: wachache sana na wageni ndani yake,

PSA 105:13 Removed trailing space in v~: walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine,

PSA 105:13 Removed trailing space in p~: kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.

PSA 105:14 Removed trailing space in v~: Hakuruhusu mtu yeyote awaonee;

PSA 105:14 Removed trailing space in p~: kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:

PSA 105:15 Removed trailing space in v~: “Msiwaguse niliowatia mafuta;

PSA 105:15 Removed trailing space in p~: msiwadhuru manabii wangu.”

PSA 105:16 Removed trailing space in v~: Akaiita njaa juu ya nchi

PSA 105:16 Removed trailing space in p~: na kuharibu chakula chao chote,

PSA 105:17 Removed trailing space in v~: naye akatuma mtu mbele yao,

PSA 105:17 Removed trailing space in p~: Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa.

PSA 105:18 Removed trailing space in v~: Walichubua miguu yake kwa minyororo,

PSA 105:18 Removed trailing space in p~: shingo yake ilifungwa kwa chuma,

PSA 105:19 Removed trailing space in v~: hadi yale aliyotangulia kusema yalipotimia,

PSA 105:19 Removed trailing space in p~: hadi neno la \nd Bwana\nd* lilipomthibitisha.

PSA 105:20 Removed trailing space in v~: Mfalme alituma watu wakamfungua,

PSA 105:20 Removed trailing space in p~: mtawala wa watu alimwachia huru.

PSA 105:21 Removed trailing space in v~: Alimfanya mkuu wa nyumba yake,

PSA 105:21 Removed trailing space in p~: mtawala juu ya vyote alivyokuwa navyo,

PSA 105:22 Removed trailing space in v~: kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo

PSA 105:22 Removed trailing space in p~: na kuwafundisha wazee wake hekima.

PSA 105:23 Removed trailing space in v~: Kisha Israeli akaingia Misri,

PSA 105:23 Removed trailing space in p~: Yakobo akaishi kama mgeni katika nchi ya Hamu.

PSA 105:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* aliwafanya watu wake kuzaana sana,

PSA 105:24 Removed trailing space in p~: akawafanya kuwa wengi sana kuliko adui zao,

PSA 105:25 Removed trailing space in v~: ndiye aliigeuza mioyo yao iwachukie watu wake,

PSA 105:25 Removed trailing space in p~: wakatenda hila dhidi ya watumishi wake.

PSA 105:26 Removed trailing space in v~: Akamtuma Mose mtumishi wake,

PSA 105:26 Removed trailing space in p~: pamoja na Aroni, aliyemchagua.

PSA 105:27 Removed trailing space in v~: Walifanya ishara zake za ajabu miongoni mwao,

PSA 105:27 Removed trailing space in p~: miujiza yake katika nchi ya Hamu.

PSA 105:28 Removed trailing space in v~: Alituma giza na nchi ikajaa giza,

PSA 105:28 Removed trailing space in p~: kwani si walikuwa wameyaasi maneno yake?

PSA 105:29 Removed trailing space in v~: Aligeuza maji yao kuwa damu,

PSA 105:29 Removed trailing space in p~: ikasababisha samaki wao kufa.

PSA 105:30 Removed trailing space in v~: Nchi yao ilijaa vyura tele, ambao waliingia

PSA 105:30 Removed trailing space in p~: hadi kwenye vyumba vya kulala vya watawala wao.

PSA 105:31 Removed trailing space in v~: Alisema, yakaja makundi ya mainzi,

PSA 105:31 Removed trailing space in p~: na viroboto katika nchi yao yote.

PSA 105:32 Removed trailing space in v~: Alibadilisha mvua yao ikawa mvua ya mawe,

PSA 105:32 Removed trailing space in p~: yenye umeme wa radi nchini yao yote,

PSA 105:33 Removed trailing space in v~: akaharibu mizabibu yao na miti ya tini,

PSA 105:33 Removed trailing space in p~: na akaangamiza miti ya nchi yao.

PSA 105:34 Removed trailing space in v~: Alisema, nzige wakaja,

PSA 105:34 Removed trailing space in p~: tunutu wasio na idadi,

PSA 105:35 Removed trailing space in v~: wakala kila jani katika nchi yao,

PSA 105:35 Removed trailing space in p~: wakala mazao ya ardhi yao.

PSA 105:36 Removed trailing space in v~: Kisha akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika nchi yao,

PSA 105:36 Removed trailing space in p~: matunda ya kwanza ya ujana wao wote.

PSA 105:37 Removed trailing space in v~: Akawatoa Israeli katika nchi

PSA 105:37 Removed trailing space in p~: wakiwa na fedha na dhahabu nyingi,

PSA 105:37 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja

PSA 105:37 Removed trailing space in p~: kutoka kabila zao aliyejikwaa.

PSA 105:38 Removed trailing space in v~: Misri ilifurahi walipoondoka,

PSA 105:38 Removed trailing space in p~: kwa sababu hofu ya Israeli ilikuwa imewaangukia.

PSA 105:39 Removed trailing space in v~: Alitandaza wingu kama kifuniko,

PSA 105:39 Removed trailing space in p~: na moto kuwamulikia usiku.

PSA 105:40 Removed trailing space in v~: Waliomba, naye akawaletea kware,

PSA 105:40 Removed trailing space in p~: akawashibisha kwa mkate wa mbinguni.

PSA 105:41 Removed trailing space in v~: Alipasua mwamba, maji yakabubujika,

PSA 105:41 Removed trailing space in p~: yakatiririka jangwani kama mto.

PSA 105:42 Removed trailing space in v~: Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu,

PSA 105:42 Removed trailing space in p~: aliyompa Abrahamu mtumishi wake.

PSA 105:43 Removed trailing space in v~: Aliwatoa watu wake kwa furaha,

PSA 105:43 Removed trailing space in p~: wateule wake kwa kelele za shangwe,

PSA 105:44 Removed trailing space in v~: akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi

PSA 105:44 Removed trailing space in p~: wa mali wengine walikuwa wameitaabikia:

PSA 105:45 Removed trailing space in v~: alifanya haya ili wayashike mausia yake

PSA 105:45 Removed trailing space in p~: na kuzitii sheria zake.

PSA 105:45 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.\f + \fr 105:45 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.\f*

PSA 106:0 Extra space after chapter number

PSA 106:0 Removed trailing space in c: 106

PSA 106:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 106

PSA 106:0 Removed trailing space in s1: Wema Wa \nd Bwana\nd* Kwa Watu Wake

PSA 106:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 106:1 Removed trailing space in p~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa ni mwema;

PSA 106:1 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

PSA 106:2 Removed trailing space in v~: Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya \nd Bwana\nd*

PSA 106:2 Removed trailing space in p~: au kutangaza kikamilifu sifa zake?

PSA 106:3 Removed trailing space in v~: Heri wale wanaodumisha haki,

PSA 106:3 Removed trailing space in p~: ambao daima wanafanya yaliyo mema.

PSA 106:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unikumbuke unapowatendea mema watu wako,

PSA 106:4 Removed trailing space in p~: uwe msaada wangu unapowaokoa,

PSA 106:5 Removed trailing space in v~: ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako,

PSA 106:5 Removed trailing space in p~: niweze kushiriki katika furaha ya taifa lako,

PSA 106:5 Removed trailing space in p~: na kuungana na urithi wako katika kukusifu.

PSA 106:6 Removed trailing space in v~: Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda,

PSA 106:6 Removed trailing space in p~: tumekosa na tumetenda uovu.

PSA 106:7 Removed trailing space in v~: Wakati baba zetu walipokuwa Misri,

PSA 106:7 Removed trailing space in p~: hawakuzingatia maajabu yako,

PSA 106:7 Removed trailing space in p~: wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako,

PSA 106:7 Removed trailing space in p~: bali waliasi kando ya bahari, Bahari ya Shamu.

PSA 106:8 Removed trailing space in v~: Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,

PSA 106:8 Removed trailing space in p~: ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.

PSA 106:9 Removed trailing space in v~: Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka,

PSA 106:9 Removed trailing space in p~: akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.

PSA 106:10 Removed trailing space in v~: Aliwaokoa mikononi mwa adui;

PSA 106:10 Removed trailing space in p~: kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.

PSA 106:11 Removed trailing space in v~: Maji yaliwafunika adui zao,

PSA 106:11 Removed trailing space in p~: hakunusurika hata mmoja.

PSA 106:12 Removed trailing space in v~: Ndipo walipoamini ahadi zake,

PSA 106:12 Removed trailing space in p~: nao wakaimba sifa zake.

PSA 106:13 Removed trailing space in v~: Lakini mara walisahau aliyowatendea,

PSA 106:13 Removed trailing space in p~: wala hawakungojea shauri lake.

PSA 106:14 Removed trailing space in v~: Jangwani walitawaliwa na tamaa zao,

PSA 106:14 Removed trailing space in p~: walimjaribu Mungu nyikani.

PSA 106:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba,

PSA 106:15 Removed trailing space in p~: lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.

PSA 106:16 Removed trailing space in v~: Kambini walimwonea wivu Mose,

PSA 106:16 Removed trailing space in p~: na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd*.

PSA 106:17 Removed trailing space in v~: Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani,

PSA 106:17 Removed trailing space in p~: ikawazika Abiramu na kundi lake.

PSA 106:18 Removed trailing space in v~: Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao,

PSA 106:18 Removed trailing space in p~: mwali wa moto uliwateketeza waovu.

PSA 106:19 Removed trailing space in v~: Huko Horebu walitengeneza ndama,

PSA 106:19 Removed trailing space in p~: na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.

PSA 106:20 Removed trailing space in v~: Waliubadilisha Utukufu wao

PSA 106:20 Removed trailing space in p~: kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.

PSA 106:21 Removed trailing space in v~: Walimsahau Mungu aliyewaokoa,

PSA 106:21 Removed trailing space in p~: aliyekuwa ametenda mambo makuu huko Misri,

PSA 106:22 Removed trailing space in v~: miujiza katika nchi ya Hamu

PSA 106:22 Removed trailing space in p~: na mambo ya kutisha huko Bahari ya Shamu.

PSA 106:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza:

PSA 106:23 Removed trailing space in p~: kama Mose mteule wake,

PSA 106:23 Removed trailing space in p~: asingesimama kati yao na Mungu

PSA 106:23 Removed trailing space in p~: kuizuia ghadhabu yake kuwaangamiza.

PSA 106:24 Removed trailing space in v~: Kisha waliidharau ile nchi nzuri,

PSA 106:24 Removed trailing space in p~: hawakuiamini ahadi yake.

PSA 106:25 Removed trailing space in v~: Walinungʼunika ndani ya mahema yao,

PSA 106:25 Removed trailing space in p~: wala hawakumtii \nd Bwana\nd*.

PSA 106:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa

PSA 106:26 Removed trailing space in p~: kwamba atawafanya waanguke jangwani,

PSA 106:27 Removed trailing space in v~: kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa,

PSA 106:27 Removed trailing space in p~: na kuwatawanya katika nchi zote.

PSA 106:28 Removed trailing space in v~: Walijifunga nira na Baali wa Peori,

PSA 106:28 Removed trailing space in p~: wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.

PSA 106:29 Removed trailing space in v~: Waliichochea hasira ya \nd Bwana\nd*,

PSA 106:29 Removed trailing space in p~: wakamkasirisha kwa matendo yao maovu,

PSA 106:29 Removed trailing space in p~: nayo tauni ikazuka katikati yao.

PSA 106:30 Removed trailing space in v~: Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati,

PSA 106:30 Removed trailing space in p~: nayo tauni ikazuiliwa.

PSA 106:31 Removed trailing space in v~: Hili likahesabiwa kwake haki,

PSA 106:31 Removed trailing space in p~: kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.

PSA 106:32 Removed trailing space in v~: Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha \nd Bwana\nd*,

PSA 106:32 Removed trailing space in p~: janga likampata Mose kwa sababu yao;

PSA 106:33 Removed trailing space in v~: kwa maana walimwasi Roho wa Mungu,

PSA 106:33 Removed trailing space in p~: na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.

PSA 106:34 Removed trailing space in v~: Hawakuyaangamiza yale mataifa

PSA 106:34 Removed trailing space in p~: kama \nd Bwana\nd* alivyowaagiza,

PSA 106:35 Removed trailing space in v~: bali walijichanganya na mataifa

PSA 106:35 Removed trailing space in p~: na wakazikubali desturi zao.

PSA 106:36 Removed trailing space in v~: Waliabudu sanamu zao,

PSA 106:36 Removed trailing space in p~: zikawa mtego kwao.

PSA 106:37 Removed trailing space in v~: Wakawatoa wana wao

PSA 106:37 Removed trailing space in p~: na binti zao dhabihu kwa mashetani.

PSA 106:38 Removed trailing space in v~: Walimwaga damu isiyo na hatia,

PSA 106:38 Removed trailing space in p~: damu za wana wao na binti zao,

PSA 106:38 Removed trailing space in p~: ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani,

PSA 106:38 Removed trailing space in p~: nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.

PSA 106:39 Removed trailing space in v~: Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda;

PSA 106:39 Removed trailing space in p~: kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.

PSA 106:40 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akawakasirikia watu wake

PSA 106:40 Removed trailing space in p~: na akauchukia sana urithi wake.

PSA 106:41 Removed trailing space in v~: Akawakabidhi kwa mataifa

PSA 106:41 Removed trailing space in p~: na adui zao wakawatawala.

PSA 106:42 Removed trailing space in v~: Adui zao wakawaonea

PSA 106:42 Removed trailing space in p~: na kuwatia chini ya mamlaka yao.

PSA 106:43 Removed trailing space in v~: Mara nyingi aliwaokoa

PSA 106:43 Removed trailing space in p~: lakini walikuwa wamezama kwenye uasi,

PSA 106:43 Removed trailing space in p~: nao wakajiharibu katika dhambi zao.

PSA 106:44 Removed trailing space in v~: Lakini akaangalia mateso yao

PSA 106:44 Removed trailing space in p~: wakati aliposikia kilio chao;

PSA 106:45 Removed trailing space in v~: kwa ajili yao akakumbuka agano lake,

PSA 106:45 Removed trailing space in p~: na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.

PSA 106:46 Removed trailing space in v~: Akawafanya wahurumiwe

PSA 106:46 Removed trailing space in p~: na wote waliowashikilia mateka.

PSA 106:47 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu wetu, tuokoe.

PSA 106:47 Removed trailing space in p~: Tukusanye tena kutoka kwa mataifa,

PSA 106:47 Removed trailing space in p~: ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu,

PSA 106:47 Removed trailing space in p~: na kushangilia katika sifa zako.

PSA 106:48 Removed trailing space in v~: Atukuzwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

PSA 106:48 Removed trailing space in p~: tangu milele na hata milele.

PSA 106:48 Removed trailing space in p~: Watu wote na waseme, “Amen!”

PSA 106:48 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 107:0 Extra space after chapter number

PSA 107:0 Removed trailing space in c: 107

PSA 107:0 Removed trailing space in ms1: KITABU CHA TANO

PSA 107:0 Removed trailing space in mr: (Zaburi 107–150)

PSA 107:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 107

PSA 107:0 Removed trailing space in s1: Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake

PSA 107:1 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa yeye ni mwema,

PSA 107:1 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

PSA 107:2 Removed trailing space in v~: Waliokombolewa wa \nd Bwana\nd* na waseme hivi,

PSA 107:2 Removed trailing space in p~: wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,

PSA 107:3 Removed trailing space in v~: wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali,

PSA 107:3 Removed trailing space in p~: kutoka mashariki na magharibi,

PSA 107:3 Removed trailing space in p~: kutoka kaskazini na kusini.

PSA 107:4 Removed trailing space in v~: Baadhi yao walitangatanga jangwani,

PSA 107:4 Removed trailing space in p~: hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.

PSA 107:5 Removed trailing space in v~: Walikuwa na njaa na kiu,

PSA 107:5 Removed trailing space in p~: nafsi zao zikadhoofika.

PSA 107:6 Removed trailing space in v~: Ndipo walipomlilia \nd Bwana\nd* katika shida yao,

PSA 107:6 Removed trailing space in p~: naye akawaokoa kutoka taabu yao.

PSA 107:7 Removed trailing space in v~: Akawaongoza kwa njia iliyo sawa

PSA 107:7 Removed trailing space in p~: hadi mji ambao wangeweza kuishi.

PSA 107:8 Removed trailing space in v~: Basi na wamshukuru \nd Bwana\nd* kwa upendo wake usiokoma,

PSA 107:8 Removed trailing space in p~: na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,

PSA 107:9 Removed trailing space in v~: kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu,

PSA 107:9 Removed trailing space in p~: na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.

PSA 107:10 Removed trailing space in v~: Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu,

PSA 107:10 Removed trailing space in p~: wafungwa wakiteseka katika minyororo,

PSA 107:11 Removed trailing space in v~: kwa sababu walikuwa wameasi

PSA 107:11 Removed trailing space in p~: dhidi ya maneno ya Mungu

PSA 107:11 Removed trailing space in p~: na kudharau shauri

PSA 107:11 Removed trailing space in p~: la Aliye Juu Sana.

PSA 107:12 Removed trailing space in v~: Aliwatumikisha kwa kazi ngumu;

PSA 107:12 Removed trailing space in p~: walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.

PSA 107:13 Removed trailing space in v~: Ndipo walipomlilia \nd Bwana\nd* katika shida yao,

PSA 107:13 Removed trailing space in p~: naye akawaokoa kutoka taabu yao.

PSA 107:14 Removed trailing space in v~: Akawatoa katika giza na huzuni kuu

PSA 107:14 Removed trailing space in p~: na akavunja minyororo yao.

PSA 107:15 Removed trailing space in v~: Basi na wamshukuru \nd Bwana\nd* kwa upendo wake usiokoma,

PSA 107:15 Removed trailing space in p~: na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,

PSA 107:16 Removed trailing space in v~: kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba

PSA 107:16 Removed trailing space in p~: na kukata mapingo ya chuma.

PSA 107:17 Removed trailing space in v~: Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao,

PSA 107:17 Removed trailing space in p~: wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.

PSA 107:18 Removed trailing space in v~: Wakachukia kabisa vyakula vyote,

PSA 107:18 Removed trailing space in p~: wakakaribia malango ya mauti.

PSA 107:19 Removed trailing space in v~: Ndipo walipomlilia \nd Bwana\nd* katika shida yao,

PSA 107:19 Removed trailing space in p~: naye akawaokoa kutoka taabu yao.

PSA 107:20 Removed trailing space in v~: Akalituma neno lake na kuwaponya,

PSA 107:20 Removed trailing space in p~: akawaokoa kutoka maangamizo yao.

PSA 107:21 Removed trailing space in v~: Basi na wamshukuru \nd Bwana\nd* kwa upendo wake usiokoma,

PSA 107:21 Removed trailing space in p~: na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

PSA 107:22 Removed trailing space in v~: Na watoe dhabihu za kushukuru,

PSA 107:22 Removed trailing space in p~: na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.

PSA 107:23 Removed trailing space in v~: Wengine walisafiri baharini kwa meli,

PSA 107:23 Removed trailing space in p~: walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.

PSA 107:24 Removed trailing space in v~: Waliziona kazi za \nd Bwana\nd*,

PSA 107:24 Removed trailing space in p~: matendo yake ya ajabu kilindini.

PSA 107:25 Removed trailing space in v~: Kwa maana alisema na kuamsha tufani

PSA 107:25 Removed trailing space in p~: iliyoinua mawimbi juu.

PSA 107:26 Removed trailing space in v~: Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini,

PSA 107:26 Removed trailing space in p~: katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.

PSA 107:27 Removed trailing space in v~: Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi,

PSA 107:27 Removed trailing space in p~: ujanja wao ukafikia ukomo.

PSA 107:28 Removed trailing space in v~: Ndipo walipomlilia \nd Bwana\nd* katika shida yao,

PSA 107:28 Removed trailing space in p~: naye akawatoa kwenye taabu yao.

PSA 107:29 Removed trailing space in v~: Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,

PSA 107:29 Removed trailing space in p~: mawimbi ya bahari yakatulia.

PSA 107:30 Removed trailing space in v~: Walifurahi ilipokuwa shwari,

PSA 107:30 Removed trailing space in p~: naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.

PSA 107:31 Removed trailing space in v~: Basi na wamshukuru \nd Bwana\nd* kwa upendo wake usiokoma,

PSA 107:31 Removed trailing space in p~: na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

PSA 107:32 Removed trailing space in v~: Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu,

PSA 107:32 Removed trailing space in p~: na wamsifu katika baraza la wazee.

PSA 107:33 Removed trailing space in v~: Yeye aligeuza mito kuwa jangwa,

PSA 107:33 Removed trailing space in p~: chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,

PSA 107:34 Removed trailing space in v~: nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa,

PSA 107:34 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.

PSA 107:35 Removed trailing space in v~: Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji,

PSA 107:35 Removed trailing space in p~: nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;

PSA 107:36 Removed trailing space in v~: aliwaleta wenye njaa wakaishi humo,

PSA 107:36 Removed trailing space in p~: nao wakajenga mji wangeweza kuishi.

PSA 107:37 Removed trailing space in v~: Walilima mashamba na kupanda mizabibu,

PSA 107:37 Removed trailing space in p~: nayo ikazaa matunda mengi,

PSA 107:38 Removed trailing space in v~: Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana,

PSA 107:38 Removed trailing space in p~: wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.

PSA 107:39 Removed trailing space in v~: Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa

PSA 107:39 Removed trailing space in p~: kwa kuonewa, maafa na huzuni.

PSA 107:40 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu,

PSA 107:40 Removed trailing space in p~: aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.

PSA 107:41 Removed trailing space in v~: Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao,

PSA 107:41 Removed trailing space in p~: na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.

PSA 107:42 Removed trailing space in v~: Wanyofu wataona na kufurahi,

PSA 107:42 Removed trailing space in p~: lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.

PSA 107:43 Removed trailing space in v~: Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya,

PSA 107:43 Removed trailing space in p~: na atafakari upendo mkuu wa \nd Bwana\nd*.

PSA 108:0 Extra space after chapter number

PSA 108:0 Removed trailing space in c: 108

PSA 108:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 108

PSA 108:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada Dhidi Ya Adui

PSA 108:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 57:7-11; 60:5-12)

PSA 108:0 Removed trailing space in d: Wimbo. Zaburi ya Daudi.

PSA 108:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

PSA 108:1 Removed trailing space in p~: nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

PSA 108:2 Removed trailing space in v~: Amka, kinubi na zeze!

PSA 108:2 Removed trailing space in p~: Nitayaamsha mapambazuko.

PSA 108:3 Removed trailing space in v~: Nitakusifu wewe, Ee \nd Bwana\nd*, katikati ya mataifa;

PSA 108:3 Removed trailing space in p~: nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

PSA 108:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu;

PSA 108:4 Removed trailing space in p~: uaminifu wako unazifikia anga.

PSA 108:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

PSA 108:5 Removed trailing space in p~: utukufu wako na uenee duniani kote.

PSA 108:6 Removed trailing space in v~: Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,

PSA 108:6 Removed trailing space in p~: ili wale uwapendao wapate kuokolewa.

PSA 108:7 Removed trailing space in v~: Mungu amenena kutoka patakatifu pake:

PSA 108:7 Removed trailing space in p~: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi

PSA 108:7 Removed trailing space in p~: na kulipima Bonde la Sukothi.

PSA 108:8 Removed trailing space in v~: Gileadi ni yangu, Manase ni yangu,

PSA 108:8 Removed trailing space in p~: Efraimu ni kofia yangu ya chuma,

PSA 108:8 Removed trailing space in p~: nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.

PSA 108:9 Removed trailing space in v~: Moabu ni sinia langu la kunawia,

PSA 108:9 Removed trailing space in p~: juu ya Edomu natupa kiatu changu;

PSA 108:9 Removed trailing space in p~: nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”

PSA 108:10 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?

PSA 108:10 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?

PSA 108:11 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,

PSA 108:11 Removed trailing space in p~: na hutoki tena na majeshi yetu?

PSA 108:12 Removed trailing space in v~: Tuletee msaada dhidi ya adui,

PSA 108:12 Removed trailing space in p~: kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

PSA 108:13 Removed trailing space in v~: Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,

PSA 108:13 Removed trailing space in p~: naye atawaponda adui zetu.

PSA 109:0 Extra space after chapter number

PSA 109:0 Removed trailing space in c: 109

PSA 109:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 109

PSA 109:0 Removed trailing space in s1: Lalamiko La Mtu Aliyeko Kwenye Shida

PSA 109:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 109:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ambaye ninakusifu,

PSA 109:1 Removed trailing space in p~: usiwe kimya,

PSA 109:2 Removed trailing space in v~: kwa maana watu waovu na wadanganyifu

PSA 109:2 Removed trailing space in p~: wamefungua vinywa vyao dhidi yangu;

PSA 109:2 Removed trailing space in p~: wasema dhidi yangu

PSA 109:2 Removed trailing space in p~: kwa ndimi za udanganyifu.

PSA 109:3 Removed trailing space in v~: Wamenizunguka kwa maneno ya chuki,

PSA 109:3 Removed trailing space in p~: wananishambulia bila sababu.

PSA 109:4 Removed trailing space in v~: Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki,

PSA 109:4 Removed trailing space in p~: lakini mimi ninawaombea.

PSA 109:5 Removed trailing space in v~: Wananilipiza mabaya kwa mema,

PSA 109:5 Removed trailing space in p~: chuki badala ya urafiki wangu.

PSA 109:6 Removed trailing space in v~: Agiza mtu mwovu ampinge,

PSA 109:6 Removed trailing space in p~: mshtaki\f + \fr 109:6 \ft Mshtaki hapa maana yake ni Shetani.\f* asimame mkono wake wa kuume.

PSA 109:7 Removed trailing space in v~: Anapohukumiwa, apatikane na hatia,

PSA 109:7 Removed trailing space in p~: nayo maombi yake yamhukumu.

PSA 109:8 Removed trailing space in v~: Siku zake za kuishi na ziwe chache,

PSA 109:8 Removed trailing space in p~: nafasi yake ya uongozi ichukuliwe na mtu mwingine.

PSA 109:9 Removed trailing space in v~: Watoto wake na waachwe yatima,

PSA 109:9 Removed trailing space in p~: mke wake na awe mjane.

PSA 109:10 Removed trailing space in v~: Watoto wake na watangetange wakiomba,

PSA 109:10 Removed trailing space in p~: na wafukuzwe kwenye magofu ya nyumba zao.

PSA 109:11 Removed trailing space in v~: Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo,

PSA 109:11 Removed trailing space in p~: matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni.

PSA 109:12 Removed trailing space in v~: Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema

PSA 109:12 Removed trailing space in p~: wala wa kuwahurumia yatima wake.

PSA 109:13 Removed trailing space in v~: Uzao wake na ukatiliwe mbali,

PSA 109:13 Removed trailing space in p~: majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.

PSA 109:14 Removed trailing space in v~: Maovu ya baba zake na yakumbukwe

PSA 109:14 Removed trailing space in p~: mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 109:14 Removed trailing space in p~: dhambi ya mama yake

PSA 109:14 Removed trailing space in p~: isifutwe kamwe.

PSA 109:15 Removed trailing space in v~: Dhambi zao na zibaki daima mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 109:15 Removed trailing space in p~: ili apate kukatilia mbali kumbukumbu lao duniani.

PSA 109:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana kamwe hakuweza kutenda wema,

PSA 109:16 Removed trailing space in p~: bali alimfukuza mnyonge na mhitaji,

PSA 109:16 Removed trailing space in p~: aliwafanyia jeuri wahitaji na waliovunjika moyo.

PSA 109:17 Removed trailing space in v~: Alipenda kulaani,

PSA 109:17 Removed trailing space in p~: nayo laana ikampata;

PSA 109:17 Removed trailing space in p~: hakupenda kubariki,

PSA 109:17 Removed trailing space in p~: kwa hiyo baraka na ikae mbali naye.

PSA 109:18 Removed trailing space in v~: Alivaa kulaani kama vazi lake,

PSA 109:18 Removed trailing space in p~: nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji,

PSA 109:18 Removed trailing space in p~: kwenye mifupa yake kama mafuta.

PSA 109:19 Removed trailing space in v~: Na iwe kama joho alilozungushiwa,

PSA 109:19 Removed trailing space in p~: kama mshipi aliofungiwa daima.

PSA 109:20 Removed trailing space in v~: Haya na yawe malipo ya \nd Bwana\nd* kwa washtaki wangu,

PSA 109:20 Removed trailing space in p~: kwa wale wanaoninenea mabaya.

PSA 109:21 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi,

PSA 109:21 Removed trailing space in p~: unitendee wema kwa ajili ya jina lako,

PSA 109:21 Removed trailing space in p~: uniokoe kwa wema wa pendo lako.

PSA 109:22 Removed trailing space in v~: Maana mimi ni maskini na mhitaji,

PSA 109:22 Removed trailing space in p~: moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.

PSA 109:23 Removed trailing space in v~: Ninafifia kama kivuli cha jioni,

PSA 109:23 Removed trailing space in p~: nimerushwa-rushwa kama nzige.

PSA 109:24 Removed trailing space in v~: Magoti yangu yamelegea kwa kufunga,

PSA 109:24 Removed trailing space in p~: mwili wangu umedhoofika na kukonda.

PSA 109:25 Removed trailing space in v~: Nimekuwa kitu cha kudharauliwa kwa washtaki wangu,

PSA 109:25 Removed trailing space in p~: wanionapo, hutikisa vichwa vyao.

PSA 109:26 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu nisaidie,

PSA 109:26 Removed trailing space in p~: niokoe sawasawa na upendo wako.

PSA 109:27 Removed trailing space in v~: Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako,

PSA 109:27 Removed trailing space in p~: kwamba wewe, Ee \nd Bwana\nd*, umetenda hili.

PSA 109:28 Removed trailing space in v~: Wanaweza kulaani, lakini wewe utabariki,

PSA 109:28 Removed trailing space in p~: watakaposhambulia wataaibishwa,

PSA 109:28 Removed trailing space in p~: lakini mtumishi wako atashangilia.

PSA 109:29 Removed trailing space in v~: Washtaki wangu watavikwa fedheha,

PSA 109:29 Removed trailing space in p~: na kufunikwa na aibu kama joho.

PSA 109:30 Removed trailing space in v~: Kwa kinywa changu nitamtukuza sana \nd Bwana\nd*,

PSA 109:30 Removed trailing space in p~: katika umati mkubwa nitamsifu.

PSA 109:31 Removed trailing space in v~: Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji,

PSA 109:31 Removed trailing space in p~: kuokoa maisha yake kutoka kwa wale wanaomhukumu.

PSA 110:0 Extra space after chapter number

PSA 110:0 Removed trailing space in c: 110

PSA 110:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 110

PSA 110:0 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Na Mfalme Wake Mteule

PSA 110:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 110:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amwambia Bwana wangu:

PSA 110:1 Removed trailing space in p~: “Keti mkono wangu wa kuume,

PSA 110:1 Removed trailing space in p~: mpaka nitakapowafanya adui zako

PSA 110:1 Removed trailing space in p~: kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”

PSA 110:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni;

PSA 110:2 Removed trailing space in p~: utatawala katikati ya adui zako.

PSA 110:3 Removed trailing space in v~: Askari wako watajitolea kwa hiari

PSA 110:3 Removed trailing space in p~: katika siku yako ya vita.

PSA 110:3 Removed trailing space in p~: Ukiwa umevikwa fahari takatifu,

PSA 110:3 Removed trailing space in p~: kutoka tumbo la mapambazuko

PSA 110:3 Removed trailing space in p~: utapokea umande wa ujana wako.\f + \fr 110:3 \ft Au: vijana wako watakujia kama umande.\f*

PSA 110:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameapa,

PSA 110:4 Removed trailing space in p~: naye hatabadilisha mawazo yake:

PSA 110:4 Removed trailing space in p~: “Wewe ni kuhani milele,

PSA 110:4 Removed trailing space in p~: kwa mfano wa Melkizedeki.”

PSA 110:5 Removed trailing space in v~: Bwana yuko mkono wako wa kuume,

PSA 110:5 Removed trailing space in p~: atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.

PSA 110:6 Removed trailing space in v~: Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga

PSA 110:6 Removed trailing space in p~: na kuwaponda watawala wa dunia nzima.

PSA 110:7 Removed trailing space in v~: Atakunywa maji katika kijito kando ya njia,\f + \fr 110:7 \ft Au: Yeye atoaye mtu wa kurithi mwingine atamweka kwenye mamlaka.\f*

PSA 110:7 Removed trailing space in p~: kwa hiyo atainua kichwa chake juu.

PSA 111:0 Extra space after chapter number

PSA 111:0 Removed trailing space in c: 111

PSA 111:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 111\f + \fr 111 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 111:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za \nd Bwana\nd* Kwa Matendo Ya Ajabu

PSA 111:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 111:1 Removed trailing space in p~: Nitamtukuza \nd Bwana\nd* kwa moyo wangu wote,

PSA 111:1 Removed trailing space in p~: katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.

PSA 111:2 Removed trailing space in v~: Kazi za \nd Bwana\nd* ni kuu,

PSA 111:2 Removed trailing space in p~: wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.

PSA 111:3 Removed trailing space in v~: Kazi zake zimejaa fahari na utukufu,

PSA 111:3 Removed trailing space in p~: haki yake hudumu daima.

PSA 111:4 Removed trailing space in v~: Amefanya maajabu yake yakumbukwe,

PSA 111:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni mwenye neema na huruma.

PSA 111:5 Removed trailing space in v~: Huwapa chakula wale wanaomcha,

PSA 111:5 Removed trailing space in p~: hulikumbuka agano lake milele.

PSA 111:6 Removed trailing space in v~: Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake,

PSA 111:6 Removed trailing space in p~: akiwapa nchi za mataifa mengine.

PSA 111:7 Removed trailing space in v~: Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,

PSA 111:7 Removed trailing space in p~: mausia yake yote ni ya kuaminika.

PSA 111:8 Removed trailing space in v~: Zinadumu milele na milele,

PSA 111:8 Removed trailing space in p~: zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.

PSA 111:9 Removed trailing space in v~: Aliwapa watu wake ukombozi,

PSA 111:9 Removed trailing space in p~: aliamuru agano lake milele:

PSA 111:9 Removed trailing space in p~: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.

PSA 111:10 Removed trailing space in v~: Kumcha \nd Bwana\nd* ndicho chanzo cha hekima,

PSA 111:10 Removed trailing space in p~: wote wanaozifuata amri zake wana busara.

PSA 111:10 Removed trailing space in p~: Sifa zake zadumu milele.

PSA 112:0 Extra space after chapter number

PSA 112:0 Removed trailing space in c: 112

PSA 112:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 112\f + \fr 112 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 112:0 Removed trailing space in s1: Baraka Za Mwenye Haki

PSA 112:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 112:1 Removed trailing space in p~: Heri mtu yule amchaye \nd Bwana\nd*,

PSA 112:1 Removed trailing space in p~: mtu yule apendezwaye sana na amri zake.

PSA 112:2 Removed trailing space in v~: Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,

PSA 112:2 Removed trailing space in p~: kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.

PSA 112:3 Removed trailing space in v~: Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,

PSA 112:3 Removed trailing space in p~: haki yake hudumu milele.

PSA 112:4 Removed trailing space in v~: Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,

PSA 112:4 Removed trailing space in p~: yule mwenye rehema, huruma na haki.

PSA 112:5 Removed trailing space in v~: Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,

PSA 112:5 Removed trailing space in p~: anayefanya mambo yake kwa haki.

PSA 112:6 Removed trailing space in v~: Hakika hatatikisika kamwe,

PSA 112:6 Removed trailing space in p~: mtu mwenye haki atakumbukwa milele.

PSA 112:7 Removed trailing space in v~: Hataogopa habari mbaya,

PSA 112:7 Removed trailing space in p~: moyo wake ni thabiti, ukimtegemea \nd Bwana\nd*.

PSA 112:8 Removed trailing space in v~: Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,

PSA 112:8 Removed trailing space in p~: mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.

PSA 112:9 Removed trailing space in v~: Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;

PSA 112:9 Removed trailing space in p~: haki yake hudumu milele;

PSA 112:9 Removed trailing space in p~: pembe yake itatukuzwa kwa heshima.

PSA 112:10 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,

PSA 112:10 Removed trailing space in p~: atasaga meno yake na kutoweka,

PSA 112:10 Removed trailing space in p~: kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.

PSA 113:0 Extra space after chapter number

PSA 113:0 Removed trailing space in c: 113

PSA 113:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 113

PSA 113:0 Removed trailing space in s1: Kumsifu \nd Bwana\nd* Kwa Wema Wake

PSA 113:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 113:1 Removed trailing space in p~: Enyi watumishi wa \nd Bwana\nd* msifuni,

PSA 113:1 Removed trailing space in p~: lisifuni jina la \nd Bwana\nd*.

PSA 113:2 Removed trailing space in v~: Jina la \nd Bwana\nd* na lisifiwe,

PSA 113:2 Removed trailing space in p~: sasa na hata milele.

PSA 113:3 Removed trailing space in v~: Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake,

PSA 113:3 Removed trailing space in p~: jina la \nd Bwana\nd* linapaswa kusifiwa.

PSA 113:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametukuka juu ya mataifa yote,

PSA 113:4 Removed trailing space in p~: utukufu wake juu ya mbingu.

PSA 113:5 Removed trailing space in v~: Ni nani aliye kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 113:5 Removed trailing space in p~: Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,

PSA 113:6 Removed trailing space in v~: ambaye huinama atazame chini

PSA 113:6 Removed trailing space in p~: aone mbingu na nchi?

PSA 113:7 Removed trailing space in v~: Huwainua maskini kutoka mavumbini,

PSA 113:7 Removed trailing space in p~: na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,

PSA 113:8 Removed trailing space in v~: huwaketisha pamoja na wakuu,

PSA 113:8 Removed trailing space in p~: pamoja na wakuu wa watu wake.

PSA 113:9 Removed trailing space in v~: Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake,

PSA 113:9 Removed trailing space in p~: akiwa mama watoto mwenye furaha.

PSA 113:9 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 114:0 Extra space after chapter number

PSA 114:0 Removed trailing space in c: 114

PSA 114:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 114

PSA 114:0 Removed trailing space in s1: Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri

PSA 114:1 Removed trailing space in v~: Wakati Israeli walipotoka Misri,

PSA 114:1 Removed trailing space in p~: nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,

PSA 114:2 Removed trailing space in v~: Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,

PSA 114:2 Removed trailing space in p~: Israeli akawa milki yake.

PSA 114:3 Removed trailing space in v~: Bahari ilitazama ikakimbia,

PSA 114:3 Removed trailing space in p~: Yordani ulirudi nyuma,

PSA 114:4 Removed trailing space in v~: milima ilirukaruka kama kondoo dume,

PSA 114:4 Removed trailing space in p~: vilima kama wana-kondoo.

PSA 114:5 Removed trailing space in v~: Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,

PSA 114:5 Removed trailing space in p~: nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,

PSA 114:6 Removed trailing space in v~: enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,

PSA 114:6 Removed trailing space in p~: enyi vilima, kama wana-kondoo?

PSA 114:7 Removed trailing space in v~: Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,

PSA 114:7 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu wa Yakobo,

PSA 114:8 Removed trailing space in v~: aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,

PSA 114:8 Removed trailing space in p~: mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.

PSA 115:0 Extra space after chapter number

PSA 115:0 Removed trailing space in c: 115

PSA 115:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 115

PSA 115:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mmoja Wa Kweli

PSA 115:1 Removed trailing space in v~: Sio kwetu sisi, Ee \nd Bwana\nd*, sio kwetu sisi,

PSA 115:1 Removed trailing space in p~: bali utukufu ni kwa jina lako,

PSA 115:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya upendo

PSA 115:1 Removed trailing space in p~: na uaminifu wako.

PSA 115:2 Removed trailing space in v~: Kwa nini mataifa waseme,

PSA 115:2 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi Mungu wao?”

PSA 115:3 Removed trailing space in v~: Mungu wetu yuko mbinguni,

PSA 115:3 Removed trailing space in p~: naye hufanya lolote limpendezalo.

PSA 115:4 Removed trailing space in v~: Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu,

PSA 115:4 Removed trailing space in p~: zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

PSA 115:5 Removed trailing space in v~: Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,

PSA 115:5 Removed trailing space in p~: zina macho, lakini haziwezi kuona;

PSA 115:6 Removed trailing space in v~: zina masikio, lakini haziwezi kusikia,

PSA 115:6 Removed trailing space in p~: zina pua, lakini haziwezi kunusa;

PSA 115:7 Removed trailing space in v~: zina mikono, lakini haziwezi kupapasa,

PSA 115:7 Removed trailing space in p~: zina miguu, lakini haziwezi kutembea;

PSA 115:7 Removed trailing space in p~: wala koo zao haziwezi kutoa sauti.

PSA 115:8 Removed trailing space in v~: Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,

PSA 115:8 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.

PSA 115:9 Removed trailing space in v~: Ee nyumba ya Israeli, mtumainini \nd Bwana\nd*,

PSA 115:9 Removed trailing space in p~: yeye ni msaada na ngao yao.

PSA 115:10 Removed trailing space in v~: Ee nyumba ya Aroni, mtumainini \nd Bwana\nd*,

PSA 115:10 Removed trailing space in p~: yeye ni msaada na ngao yao.

PSA 115:11 Removed trailing space in v~: Ninyi mnaomcha, mtumainini \nd Bwana\nd*,

PSA 115:11 Removed trailing space in p~: yeye ni msaada na ngao yao.

PSA 115:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatukumbuka na atatubariki:

PSA 115:12 Removed trailing space in p~: ataibariki nyumba ya Israeli,

PSA 115:12 Removed trailing space in p~: ataibariki nyumba ya Aroni,

PSA 115:13 Removed trailing space in v~: atawabariki wale wanaomcha \nd Bwana\nd*,

PSA 115:13 Removed trailing space in p~: wadogo kwa wakubwa.

PSA 115:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na awawezeshe kuongezeka,

PSA 115:14 Removed trailing space in p~: ninyi na watoto wenu.

PSA 115:15 Removed trailing space in v~: Mbarikiwe na \nd Bwana\nd*

PSA 115:15 Removed trailing space in p~: Muumba wa mbingu na dunia.

PSA 115:16 Removed trailing space in v~: Mbingu zilizo juu sana ni mali ya \nd Bwana\nd*,

PSA 115:16 Removed trailing space in p~: lakini dunia amempa mwanadamu.

PSA 115:17 Removed trailing space in v~: Sio wafu wanaomsifu \nd Bwana\nd*,

PSA 115:17 Removed trailing space in p~: wale washukao mahali pa kimya,\f + \fr 115:17 \ft Mahali pa kimya maana yake ni Kuzimu, yaani Sheol kwa Kiebrania.\f*

PSA 115:18 Removed trailing space in v~: bali ni sisi tunaomtukuza \nd Bwana\nd*,

PSA 115:18 Removed trailing space in p~: sasa na hata milele.

PSA 115:18 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.\f + \fr 115:18 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* ni Kiebrania Hallelu Yah.\f*

PSA 116:0 Extra space after chapter number

PSA 116:0 Removed trailing space in c: 116

PSA 116:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 116

PSA 116:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti

PSA 116:1 Removed trailing space in v~: Ninampenda \nd Bwana\nd* kwa maana amesikia sauti yangu;

PSA 116:1 Removed trailing space in p~: amesikia kilio changu ili anihurumie.

PSA 116:2 Removed trailing space in v~: Kwa sababu amenitegea sikio lake,

PSA 116:2 Removed trailing space in p~: nitamwita siku zote za maisha yangu.

PSA 116:3 Removed trailing space in v~: Kamba za mauti zilinizunguka,

PSA 116:3 Removed trailing space in p~: maumivu makuu ya kuzimu yalinipata,

PSA 116:3 Removed trailing space in p~: nikalemewa na taabu na huzuni.

PSA 116:4 Removed trailing space in v~: Ndipo nikaliitia jina la \nd Bwana\nd*:

PSA 116:4 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, niokoe!”

PSA 116:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwenye neema na haki,

PSA 116:5 Removed trailing space in p~: Mungu wetu ni mwingi wa huruma.

PSA 116:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwalinda wanyenyekevu,

PSA 116:6 Removed trailing space in p~: nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.

PSA 116:7 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, tulia tena,

PSA 116:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* amekuwa mwema kwako.

PSA 116:8 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 116:8 Removed trailing space in p~: umeniokoa nafsi yangu na mauti,

PSA 116:8 Removed trailing space in p~: macho yangu kutokana na machozi,

PSA 116:8 Removed trailing space in p~: miguu yangu kutokana na kujikwaa,

PSA 116:9 Removed trailing space in v~: ili niweze kutembea mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 116:9 Removed trailing space in p~: katika nchi ya walio hai.

PSA 116:10 Removed trailing space in v~: Niliamini, kwa hiyo nilisema,

PSA 116:10 Removed trailing space in p~: “Mimi nimeteseka sana.”

PSA 116:11 Removed trailing space in v~: Katika taabu yangu nilisema,

PSA 116:11 Removed trailing space in p~: “Wanadamu wote ni waongo.”

PSA 116:12 Removed trailing space in v~: Nimrudishie \nd Bwana\nd* nini

PSA 116:12 Removed trailing space in p~: kwa wema wake wote alionitendea?

PSA 116:13 Removed trailing space in v~: Nitakiinua kikombe cha wokovu

PSA 116:13 Removed trailing space in p~: na kulitangaza jina la \nd Bwana\nd*.

PSA 116:14 Removed trailing space in v~: Nitazitimiza nadhiri zangu kwa \nd Bwana\nd*

PSA 116:14 Removed trailing space in p~: mbele za watu wake wote.

PSA 116:15 Removed trailing space in v~: Kifo cha watakatifu kina thamani

PSA 116:15 Removed trailing space in p~: machoni pa \nd Bwana\nd*.

PSA 116:16 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, hakika mimi ni mtumishi wako,

PSA 116:16 Removed trailing space in p~: mimi ni mtumishi wako,

PSA 116:16 Removed trailing space in p~: mwana wa mjakazi wako;\f + \fr 116:16 \ft Au: mwanao mwaminifu.\f*

PSA 116:16 Removed trailing space in p~: umeniweka huru

PSA 116:16 Removed trailing space in p~: toka katika minyororo yangu.

PSA 116:17 Removed trailing space in v~: Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru

PSA 116:17 Removed trailing space in p~: na kuliita jina la \nd Bwana\nd*.

PSA 116:18 Removed trailing space in v~: Nitazitimiza nadhiri zangu kwa \nd Bwana\nd*

PSA 116:18 Removed trailing space in p~: mbele za watu wake wote,

PSA 116:19 Removed trailing space in v~: katika nyua za nyumba ya \nd Bwana\nd*,

PSA 116:19 Removed trailing space in p~: katikati yako, ee Yerusalemu.

PSA 116:19 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 117:0 Extra space after chapter number

PSA 117:0 Removed trailing space in c: 117

PSA 117:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 117

PSA 117:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za \nd Bwana\nd*

PSA 117:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*, enyi mataifa yote;

PSA 117:1 Removed trailing space in p~: mtukuzeni yeye, enyi watu wote.

PSA 117:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,

PSA 117:2 Removed trailing space in p~: uaminifu wa \nd Bwana\nd* unadumu milele.

PSA 117:2 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 118:0 Extra space after chapter number

PSA 118:0 Removed trailing space in c: 118

PSA 118:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 118

PSA 118:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Ajili Ya Ushindi

PSA 118:1 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa ni mwema;

PSA 118:1 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

PSA 118:2 Removed trailing space in v~: Israeli na aseme sasa:

PSA 118:2 Removed trailing space in p~: “Upendo wake wadumu milele.”

PSA 118:3 Removed trailing space in v~: Nyumba ya Aroni na iseme sasa:

PSA 118:3 Removed trailing space in p~: “Upendo wake wadumu milele.”

PSA 118:4 Removed trailing space in v~: Wote wamchao \nd Bwana\nd* na waseme sasa:

PSA 118:4 Removed trailing space in p~: “Upendo wake wadumu milele.”

PSA 118:5 Removed trailing space in v~: Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia \nd Bwana\nd*,

PSA 118:5 Removed trailing space in p~: naye akanijibu kwa kuniweka huru.

PSA 118:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yuko pamoja nami, sitaogopa.

PSA 118:6 Removed trailing space in p~: Mwanadamu anaweza kunitenda nini?

PSA 118:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yuko pamoja nami,

PSA 118:7 Removed trailing space in p~: yeye ni msaidizi wangu.

PSA 118:7 Removed trailing space in p~: Nitawatazama adui zangu

PSA 118:7 Removed trailing space in p~: wakiwa wameshindwa.

PSA 118:8 Removed trailing space in v~: Ni bora kumkimbilia \nd Bwana\nd*

PSA 118:8 Removed trailing space in p~: kuliko kumtumainia mwanadamu.

PSA 118:9 Removed trailing space in v~: Ni bora kumkimbilia \nd Bwana\nd*

PSA 118:9 Removed trailing space in p~: kuliko kuwatumainia wakuu.

PSA 118:10 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yalinizunguka,

PSA 118:10 Removed trailing space in p~: lakini kwa jina la \nd Bwana\nd* naliwakatilia mbali.

PSA 118:11 Removed trailing space in v~: Walinizunguka pande zote,

PSA 118:11 Removed trailing space in p~: lakini kwa jina la \nd Bwana\nd* naliwakatilia mbali.

PSA 118:12 Removed trailing space in v~: Walinizunguka kama kundi la nyuki,

PSA 118:12 Removed trailing space in p~: lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo;

PSA 118:12 Removed trailing space in p~: kwa jina la \nd Bwana\nd* naliwakatilia mbali.

PSA 118:13 Removed trailing space in v~: Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka,

PSA 118:13 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* alinisaidia.

PSA 118:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nguvu yangu na wimbo wangu,

PSA 118:14 Removed trailing space in p~: yeye amefanyika wokovu wangu.

PSA 118:15 Removed trailing space in v~: Sauti za shangwe na ushindi

PSA 118:15 Removed trailing space in p~: zinavuma hemani mwa wenye haki:

PSA 118:15 Removed trailing space in p~: “Mkono wa kuume wa \nd Bwana\nd*

PSA 118:15 Removed trailing space in p~: umetenda mambo makuu!

PSA 118:16 Removed trailing space in v~: Mkono wa kuume wa \nd Bwana\nd*

PSA 118:16 Removed trailing space in p~: umeinuliwa juu,

PSA 118:16 Removed trailing space in p~: mkono wa kuume wa \nd Bwana\nd*

PSA 118:16 Removed trailing space in p~: umetenda mambo makuu!”

PSA 118:17 Removed trailing space in v~: Sitakufa, bali nitaishi,

PSA 118:17 Removed trailing space in p~: nami nitatangaza yale \nd Bwana\nd* aliyoyatenda.

PSA 118:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameniadhibu vikali,

PSA 118:18 Removed trailing space in p~: lakini hakuniacha nife.

PSA 118:19 Removed trailing space in v~: Nifungulie malango ya haki,

PSA 118:19 Removed trailing space in p~: nami nitaingia na kumshukuru \nd Bwana\nd*.

PSA 118:20 Removed trailing space in v~: Hili ni lango la \nd Bwana\nd*

PSA 118:20 Removed trailing space in p~: ambalo wenye haki wanaweza kuliingia.

PSA 118:21 Removed trailing space in v~: Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu,

PSA 118:21 Removed trailing space in p~: umekuwa wokovu wangu.

PSA 118:22 Removed trailing space in v~: Jiwe walilolikataa waashi,

PSA 118:22 Removed trailing space in p~: limekuwa jiwe kuu la pembeni.

PSA 118:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametenda hili,

PSA 118:23 Removed trailing space in p~: nalo ni la kushangaza machoni petu.

PSA 118:24 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo siku \nd Bwana\nd* aliyoifanya,

PSA 118:24 Removed trailing space in p~: tushangilie na kufurahi ndani yake.

PSA 118:25 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tuokoe,

PSA 118:25 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, utujalie mafanikio.

PSA 118:26 Removed trailing space in v~: Heri yule ajaye kwa jina la \nd Bwana\nd*.

PSA 118:26 Removed trailing space in p~: Kutoka nyumba ya \nd Bwana\nd* tunakubariki.

PSA 118:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ndiye Mungu,

PSA 118:27 Removed trailing space in p~: naye ametuangazia nuru yake.

PSA 118:27 Removed trailing space in p~: Mkiwa na matawi mkononi,

PSA 118:27 Removed trailing space in p~: unganeni kwenye maandamano ya sikukuu

PSA 118:27 Removed trailing space in p~: hadi kwenye pembe za madhabahu.

PSA 118:28 Removed trailing space in v~: Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,

PSA 118:28 Removed trailing space in p~: wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.

PSA 118:29 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd* kwa kuwa ni mwema;

PSA 118:29 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

PSA 119:0 Extra space after chapter number

PSA 119:0 Removed trailing space in c: 119

PSA 119:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 119\f + \fr 119:0 \ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi 22 za alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T).\f*

PSA 119:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:0 Removed trailing space in s2: Kujifunza Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:1 Removed trailing space in v~: Heri wale walio waadilifu katika njia zao,

PSA 119:1 Removed trailing space in p~: wanaoenenda katika sheria ya \nd Bwana\nd*.

PSA 119:2 Removed trailing space in v~: Heri wale wanaozishika shuhuda zake,

PSA 119:2 Removed trailing space in p~: wamtafutao kwa moyo wao wote.

PSA 119:3 Removed trailing space in v~: Wasiofanya lolote lililo baya,

PSA 119:3 Removed trailing space in p~: wanaoenenda katika njia zake.

PSA 119:4 Removed trailing space in v~: Umetoa maagizo yako

PSA 119:4 Removed trailing space in p~: ili tuyatii kwa ukamilifu.

PSA 119:5 Removed trailing space in v~: Laiti mwenendo wangu ungekuwa imara

PSA 119:5 Removed trailing space in p~: katika kuyatii maagizo yako!

PSA 119:6 Removed trailing space in v~: Hivyo mimi sitaaibishwa

PSA 119:6 Removed trailing space in p~: ninapozingatia amri zako zote.

PSA 119:7 Removed trailing space in v~: Nitakusifu kwa moyo mnyofu

PSA 119:7 Removed trailing space in p~: ninapojifunza sheria zako za haki.

PSA 119:8 Removed trailing space in v~: Nitayatii maagizo yako;

PSA 119:8 Removed trailing space in p~: usiniache kabisa.

PSA 119:8 Removed trailing space in s2: Kutii Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:9 Removed trailing space in v~: Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani?

PSA 119:9 Removed trailing space in p~: Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.

PSA 119:10 Removed trailing space in v~: Ninakutafuta kwa moyo wangu wote,

PSA 119:10 Removed trailing space in p~: usiniache niende mbali na amri zako.

PSA 119:11 Removed trailing space in v~: Nimelificha neno lako moyoni mwangu

PSA 119:11 Removed trailing space in p~: ili nisikutende dhambi.

PSA 119:12 Removed trailing space in v~: Sifa ni zako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 119:12 Removed trailing space in p~: nifundishe maagizo yako.

PSA 119:13 Removed trailing space in v~: Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote

PSA 119:13 Removed trailing space in p~: zinazotoka katika kinywa chako.

PSA 119:14 Removed trailing space in v~: Ninafurahia kufuata sheria zako

PSA 119:14 Removed trailing space in p~: kama mtu afurahiaye mali nyingi.

PSA 119:15 Removed trailing space in v~: Ninatafakari maagizo yako

PSA 119:15 Removed trailing space in p~: na kuziangalia njia zako.

PSA 119:16 Removed trailing space in v~: Ninafurahia maagizo yako,

PSA 119:16 Removed trailing space in p~: wala sitalipuuza neno lako.

PSA 119:16 Removed trailing space in s2: Furaha Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:17 Removed trailing space in v~: Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi;

PSA 119:17 Removed trailing space in p~: nitalitii neno lako.

PSA 119:18 Removed trailing space in v~: Yafungue macho yangu nipate kuona

PSA 119:18 Removed trailing space in p~: mambo ya ajabu katika sheria yako.

PSA 119:19 Removed trailing space in v~: Mimi ni mgeni duniani,

PSA 119:19 Removed trailing space in p~: usinifiche amri zako.

PSA 119:20 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa

PSA 119:20 Removed trailing space in p~: juu ya sheria zako wakati wote.

PSA 119:21 Removed trailing space in v~: Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa

PSA 119:21 Removed trailing space in p~: waendao mbali na amri zako.

PSA 119:22 Removed trailing space in v~: Niondolee dharau na dhihaka,

PSA 119:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninazishika sheria zako.

PSA 119:23 Removed trailing space in v~: Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia,

PSA 119:23 Removed trailing space in p~: mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.

PSA 119:24 Removed trailing space in v~: Sheria zako ni furaha yangu,

PSA 119:24 Removed trailing space in p~: nazo ni washauri wangu.

PSA 119:24 Removed trailing space in s2: Kuamua Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:25 Removed trailing space in v~: Nimelazwa chini mavumbini,

PSA 119:25 Removed trailing space in p~: yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

PSA 119:26 Removed trailing space in v~: Nilikueleza njia zangu ukanijibu,

PSA 119:26 Removed trailing space in p~: nifundishe sheria zako.

PSA 119:27 Removed trailing space in v~: Nijulishe mafundisho ya mausia yako,

PSA 119:27 Removed trailing space in p~: nami nitatafakari maajabu yako.

PSA 119:28 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni,

PSA 119:28 Removed trailing space in p~: uniimarishe sawasawa na neno lako.

PSA 119:29 Removed trailing space in v~: Niepushe na njia za udanganyifu,

PSA 119:29 Removed trailing space in p~: kwa neema unifundishe sheria zako.

PSA 119:30 Removed trailing space in v~: Nimechagua njia ya kweli,

PSA 119:30 Removed trailing space in p~: nimekaza moyo wangu katika sheria zako.

PSA 119:31 Removed trailing space in v~: Nimengʼangʼania sheria zako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 119:31 Removed trailing space in p~: usiniache niaibishwe.

PSA 119:32 Removed trailing space in v~: Nakimbilia katika njia ya maagizo yako,

PSA 119:32 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.

PSA 119:32 Removed trailing space in s2: Maombi Ili Kupata Ufahamu Wa Sheria

PSA 119:33 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nifundishe kuyafuata maagizo yako,

PSA 119:33 Removed trailing space in p~: nami nitayashika mpaka mwisho.

PSA 119:34 Removed trailing space in v~: Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako

PSA 119:34 Removed trailing space in p~: na kuitii kwa moyo wangu wote.

PSA 119:35 Removed trailing space in v~: Niongoze kwenye njia ya amri zako,

PSA 119:35 Removed trailing space in p~: kwa kuwa huko napata furaha.

PSA 119:36 Removed trailing space in v~: Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako,

PSA 119:36 Removed trailing space in p~: na siyo kwenye mambo ya ubinafsi.

PSA 119:37 Removed trailing space in v~: Geuza macho yangu kutoka kwenye mambo yasiyofaa,

PSA 119:37 Removed trailing space in p~: uyahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

PSA 119:38 Removed trailing space in v~: Mtimizie mtumishi wako ahadi yako,

PSA 119:38 Removed trailing space in p~: ili upate kuogopwa.

PSA 119:39 Removed trailing space in v~: Niondolee aibu ninayoiogopa,

PSA 119:39 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sheria zako ni njema.

PSA 119:40 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ninavyoonea shauku mausia yako!

PSA 119:40 Removed trailing space in p~: Hifadhi maisha yangu katika haki yako.

PSA 119:40 Removed trailing space in s2: Kuitumainia Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:41 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, upendo wako usiokoma unijie,

PSA 119:41 Removed trailing space in p~: wokovu wako sawasawa na ahadi yako,

PSA 119:42 Removed trailing space in v~: ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki,

PSA 119:42 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninalitumainia neno lako.

PSA 119:43 Removed trailing space in v~: Usilinyakue neno la kweli kutoka kinywani mwangu,

PSA 119:43 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika amri zako.

PSA 119:44 Removed trailing space in v~: Nitaitii amri yako daima,

PSA 119:44 Removed trailing space in p~: naam, milele na milele.

PSA 119:45 Removed trailing space in v~: Nitatembea nikiwa huru,

PSA 119:45 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimejifunza mausia yako.

PSA 119:46 Removed trailing space in v~: Nitasema sheria zako mbele za wafalme

PSA 119:46 Removed trailing space in p~: wala sitaaibishwa,

PSA 119:47 Removed trailing space in v~: kwa kuwa ninazifurahia amri zako

PSA 119:47 Removed trailing space in p~: kwa sababu ninazipenda.

PSA 119:48 Removed trailing space in v~: Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu,

PSA 119:48 Removed trailing space in p~: nami ninatafakari juu ya maagizo yako.

PSA 119:48 Removed trailing space in s2: Matumaini Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:49 Removed trailing space in v~: Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako,

PSA 119:49 Removed trailing space in p~: kwa sababu umenipa tumaini.

PSA 119:50 Removed trailing space in v~: Faraja yangu katika mateso yangu ni hii:

PSA 119:50 Removed trailing space in p~: Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.

PSA 119:51 Removed trailing space in v~: Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka,

PSA 119:51 Removed trailing space in p~: hata hivyo sitaiacha sheria yako.

PSA 119:52 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninazikumbuka sheria zako za zamani,

PSA 119:52 Removed trailing space in p~: nazo zinanifariji.

PSA 119:53 Removed trailing space in v~: Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu,

PSA 119:53 Removed trailing space in p~: ambao wameacha sheria yako.

PSA 119:54 Removed trailing space in v~: Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu

PSA 119:54 Removed trailing space in p~: popote ninapoishi.

PSA 119:55 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako,

PSA 119:55 Removed trailing space in p~: nami nitatii sheria yako.

PSA 119:56 Removed trailing space in v~: Hili limekuwa zoezi langu:

PSA 119:56 Removed trailing space in p~: nami ninayatii mausia yako.

PSA 119:56 Removed trailing space in s2: Kujitolea Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:57 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni fungu langu,

PSA 119:57 Removed trailing space in p~: nimeahidi kuyatii maneno yako.

PSA 119:58 Removed trailing space in v~: Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote,

PSA 119:58 Removed trailing space in p~: nihurumie sawasawa na ahadi yako.

PSA 119:59 Removed trailing space in v~: Nimezifikiri njia zangu

PSA 119:59 Removed trailing space in p~: na nimeelekeza hatua zangu katika mausia yako.

PSA 119:60 Removed trailing space in v~: Nitafanya haraka bila kuchelewa

PSA 119:60 Removed trailing space in p~: kuzitii amri zako.

PSA 119:61 Removed trailing space in v~: Hata waovu wanifunge kwa kamba,

PSA 119:61 Removed trailing space in p~: sitasahau sheria yako.

PSA 119:62 Removed trailing space in v~: Usiku wa manane ninaamka kukushukuru

PSA 119:62 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya sheria zako za haki.

PSA 119:63 Removed trailing space in v~: Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao,

PSA 119:63 Removed trailing space in p~: kwa wote wanaofuata mausia yako.

PSA 119:64 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, dunia imejaa upendo wako,

PSA 119:64 Removed trailing space in p~: nifundishe maagizo yako.

PSA 119:64 Removed trailing space in s2: Thamani Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:65 Removed trailing space in v~: Mtendee wema mtumishi wako

PSA 119:65 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, sawasawa na neno lako.

PSA 119:66 Removed trailing space in v~: Nifundishe maarifa na uamuzi mzuri,

PSA 119:66 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninaamini amri zako.

PSA 119:67 Removed trailing space in v~: Kabla sijapata shida nilipotea njia,

PSA 119:67 Removed trailing space in p~: lakini sasa ninalitii neno lako.

PSA 119:68 Removed trailing space in v~: Wewe ni mwema, unalotenda ni jema,

PSA 119:68 Removed trailing space in p~: nifundishe maagizo yako.

PSA 119:69 Removed trailing space in v~: Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo,

PSA 119:69 Removed trailing space in p~: nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.

PSA 119:70 Removed trailing space in v~: Mioyo yao ni katili na migumu,

PSA 119:70 Removed trailing space in p~: bali mimi napendezwa na sheria yako.

PSA 119:71 Removed trailing space in v~: Ilikuwa vyema mimi kupata shida

PSA 119:71 Removed trailing space in p~: ili nipate kujifunza maagizo yako.

PSA 119:72 Removed trailing space in v~: Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani kubwa kwangu

PSA 119:72 Removed trailing space in p~: kuliko maelfu ya vipande vya fedha na dhahabu.

PSA 119:72 Removed trailing space in s2: Haki Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:73 Removed trailing space in v~: Mikono yako ilinifanya na kuniumba,

PSA 119:73 Removed trailing space in p~: nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.

PSA 119:74 Removed trailing space in v~: Wakuchao wafurahie wanaponiona,

PSA 119:74 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.

PSA 119:75 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninajua kwamba sheria zako ni za haki,

PSA 119:75 Removed trailing space in p~: katika uaminifu wako umeniadhibu.

PSA 119:76 Removed trailing space in v~: Upendo wako usiokoma uwe faraja yangu,

PSA 119:76 Removed trailing space in p~: sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi wako.

PSA 119:77 Removed trailing space in v~: Huruma yako na inijie ili nipate kuishi,

PSA 119:77 Removed trailing space in p~: kwa kuwa naifurahia sheria yako.

PSA 119:78 Removed trailing space in v~: Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu,

PSA 119:78 Removed trailing space in p~: lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.

PSA 119:79 Removed trailing space in v~: Wale wakuchao na wanigeukie mimi,

PSA 119:79 Removed trailing space in p~: hao ambao wanazielewa sheria zako.

PSA 119:80 Removed trailing space in v~: Moyo wangu usiwe na lawama katika kutii maagizo yako,

PSA 119:80 Removed trailing space in p~: ili nisiaibishwe.

PSA 119:80 Removed trailing space in s2: Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa

PSA 119:81 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inazimia kwa kutamani wokovu wako,

PSA 119:81 Removed trailing space in p~: lakini nimeweka tumaini langu katika neno lako.

PSA 119:82 Removed trailing space in v~: Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako;

PSA 119:82 Removed trailing space in p~: ninasema, “Utanifajiri lini?”

PSA 119:83 Removed trailing space in v~: Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi,

PSA 119:83 Removed trailing space in p~: bado sijasahau maagizo yako.

PSA 119:84 Removed trailing space in v~: Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini?

PSA 119:84 Removed trailing space in p~: Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?

PSA 119:85 Removed trailing space in v~: Wenye majivuno wananichimbia mashimo,

PSA 119:85 Removed trailing space in p~: kinyume na sheria yako.

PSA 119:86 Removed trailing space in v~: Amri zako zote ni za kuaminika;

PSA 119:86 Removed trailing space in p~: unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.

PSA 119:87 Removed trailing space in v~: Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia,

PSA 119:87 Removed trailing space in p~: lakini sijaacha mausia yako.

PSA 119:88 Removed trailing space in v~: Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako,

PSA 119:88 Removed trailing space in p~: nami nitatii sheria za kinywa chako.

PSA 119:88 Removed trailing space in s2: Imani Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:89 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, neno lako ni la milele,

PSA 119:89 Removed trailing space in p~: linasimama imara mbinguni.

PSA 119:90 Removed trailing space in v~: Uaminifu wako unaendelea kwa vizazi vyote,

PSA 119:90 Removed trailing space in p~: umeiumba dunia, nayo inadumu.

PSA 119:91 Removed trailing space in v~: Sheria zako zinadumu hadi leo,

PSA 119:91 Removed trailing space in p~: kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.

PSA 119:92 Removed trailing space in v~: Kama nisingefurahia sheria yako,

PSA 119:92 Removed trailing space in p~: ningeangamia katika taabu zangu.

PSA 119:93 Removed trailing space in v~: Sitasahau mausia yako kamwe,

PSA 119:93 Removed trailing space in p~: kwa maana kwayo umehifadhi maisha yangu.

PSA 119:94 Removed trailing space in v~: Uniokoe, kwa maana mimi ni wako,

PSA 119:94 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimetafuta mausia yako.

PSA 119:95 Removed trailing space in v~: Waovu wanangojea kuniangamiza,

PSA 119:95 Removed trailing space in p~: bali mimi ninatafakari sheria zako.

PSA 119:96 Removed trailing space in v~: Katika ukamilifu wote ninaona mna kikomo,

PSA 119:96 Removed trailing space in p~: lakini amri zako hazina mpaka.

PSA 119:96 Removed trailing space in s2: Kuipenda Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:97 Removed trailing space in v~: Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu.

PSA 119:97 Removed trailing space in p~: Ninaitafakari mchana kutwa.

PSA 119:98 Removed trailing space in v~: Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu,

PSA 119:98 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimezishika daima.

PSA 119:99 Removed trailing space in v~: Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote,

PSA 119:99 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.

PSA 119:100 Removed trailing space in v~: Nina ufahamu zaidi kuliko wazee,

PSA 119:100 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninayatii mausia yako.

PSA 119:101 Removed trailing space in v~: Nimezuia miguu yangu isiende kwenye kila njia mbaya,

PSA 119:101 Removed trailing space in p~: ili niweze kutii neno lako.

PSA 119:102 Removed trailing space in v~: Sijaziacha sheria zako,

PSA 119:102 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe.

PSA 119:103 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi maneno yako yalivyo matamu kwangu,

PSA 119:103 Removed trailing space in p~: matamu kuliko asali katika kinywa changu!

PSA 119:104 Removed trailing space in v~: Ninapata ufahamu kutoka mausia yako,

PSA 119:104 Removed trailing space in p~: kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.

PSA 119:104 Removed trailing space in s2: Nuru Kutoka Kwenye Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:105 Removed trailing space in v~: Neno lako ni taa ya miguu yangu

PSA 119:105 Removed trailing space in p~: na mwanga katika njia yangu.

PSA 119:106 Removed trailing space in v~: Nimeapa na nimethibitisha,

PSA 119:106 Removed trailing space in p~: kwamba nitafuata sheria zako za haki.

PSA 119:107 Removed trailing space in v~: Nimeteseka sana, uhifadhi maisha yangu, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 119:107 Removed trailing space in p~: sawasawa na neno lako.

PSA 119:108 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, pokea sifa za hiari za kinywa changu,

PSA 119:108 Removed trailing space in p~: nifundishe sheria zako.

PSA 119:109 Removed trailing space in v~: Ingawa maisha yangu yako hatarini siku zote,

PSA 119:109 Removed trailing space in p~: sitasahau sheria yako.

PSA 119:110 Removed trailing space in v~: Waovu wamenitegea mtego,

PSA 119:110 Removed trailing space in p~: lakini sijayakiuka maagizo yako.

PSA 119:111 Removed trailing space in v~: Sheria zako ni urithi wangu milele,

PSA 119:111 Removed trailing space in p~: naam ni furaha ya moyo wangu.

PSA 119:112 Removed trailing space in v~: Nimekusudia moyoni mwangu

PSA 119:112 Removed trailing space in p~: kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.

PSA 119:112 Removed trailing space in s2: Usalama Ndani Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:113 Removed trailing space in v~: Ninachukia watu wa nia mbili,

PSA 119:113 Removed trailing space in p~: lakini ninapenda sheria yako.

PSA 119:114 Removed trailing space in v~: Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu,

PSA 119:114 Removed trailing space in p~: nimeweka tumaini langu katika neno lako.

PSA 119:115 Removed trailing space in v~: Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya,

PSA 119:115 Removed trailing space in p~: ili niweze kushika amri za Mungu wangu!

PSA 119:116 Removed trailing space in v~: Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi;

PSA 119:116 Removed trailing space in p~: usiache matumaini yangu yakavunjwa.

PSA 119:117 Removed trailing space in v~: Nitegemeze, nami nitaokolewa,

PSA 119:117 Removed trailing space in p~: nami daima nitayaheshimu maagizo yako.

PSA 119:118 Removed trailing space in v~: Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako,

PSA 119:118 Removed trailing space in p~: kwa maana udanganyifu wao ni bure.

PSA 119:119 Removed trailing space in v~: Waovu wa nchi unawatupa kama takataka,

PSA 119:119 Removed trailing space in p~: kwa hivyo nazipenda sheria zako.

PSA 119:120 Removed trailing space in v~: Mwili wangu unatetemeka kwa kukuogopa wewe,

PSA 119:120 Removed trailing space in p~: ninaziogopa sheria zako.

PSA 119:120 Removed trailing space in s2: Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:121 Removed trailing space in v~: Nimetenda yaliyo haki na sawa,

PSA 119:121 Removed trailing space in p~: usiniache mikononi mwa watesi wangu.

PSA 119:122 Removed trailing space in v~: Mhakikishie mtumishi wako usalama,

PSA 119:122 Removed trailing space in p~: usiache wenye kiburi wanionee.

PSA 119:123 Removed trailing space in v~: Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako,

PSA 119:123 Removed trailing space in p~: na kuitazamia ahadi yako ya kweli.

PSA 119:124 Removed trailing space in v~: Mfanyie mtumishi wako kulingana na upendo wako

PSA 119:124 Removed trailing space in p~: na unifundishe maagizo yako.

PSA 119:125 Removed trailing space in v~: Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu

PSA 119:125 Removed trailing space in p~: ili niweze kuelewa sheria zako.

PSA 119:126 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wakati wako wa kutenda umewadia,

PSA 119:126 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sheria yako inavunjwa.

PSA 119:127 Removed trailing space in v~: Kwa sababu nazipenda amri zako zaidi ya dhahabu,

PSA 119:127 Removed trailing space in p~: naam, zaidi ya dhahabu safi,

PSA 119:128 Removed trailing space in v~: na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili,

PSA 119:128 Removed trailing space in p~: nachukia kila njia potovu.

PSA 119:128 Removed trailing space in s2: Shauku Ya Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:129 Removed trailing space in v~: Sheria zako ni za ajabu,

PSA 119:129 Removed trailing space in p~: hivyo ninazitii.

PSA 119:130 Removed trailing space in v~: Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru,

PSA 119:130 Removed trailing space in p~: kunampa mjinga ufahamu.

PSA 119:131 Removed trailing space in v~: Nimefungua kinywa changu na kuhema,

PSA 119:131 Removed trailing space in p~: nikitamani amri zako.

PSA 119:132 Removed trailing space in v~: Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote

PSA 119:132 Removed trailing space in p~: wale wanaolipenda jina lako.

PSA 119:133 Removed trailing space in v~: Ongoza hatua zangu kulingana na neno lako,

PSA 119:133 Removed trailing space in p~: usiache dhambi yoyote initawale.

PSA 119:134 Removed trailing space in v~: Niokoe na uonevu wa wanadamu,

PSA 119:134 Removed trailing space in p~: ili niweze kutii mausia yako.

PSA 119:135 Removed trailing space in v~: Mwangazie mtumishi wako uso wako

PSA 119:135 Removed trailing space in p~: na unifundishe amri zako.

PSA 119:136 Removed trailing space in v~: Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu,

PSA 119:136 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sheria yako haifuatwi.

PSA 119:136 Removed trailing space in s2: Haki Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:137 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni mwenye haki,

PSA 119:137 Removed trailing space in p~: sheria zako ni sahihi.

PSA 119:138 Removed trailing space in v~: Sheria ulizoziweka ni za haki,

PSA 119:138 Removed trailing space in p~: ni za kuaminika kikamilifu.

PSA 119:139 Removed trailing space in v~: Jitihada yangu imenidhoofisha, kwa kuwa adui zangu

PSA 119:139 Removed trailing space in p~: wanayapuuza maneno yako.

PSA 119:140 Removed trailing space in v~: Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu,

PSA 119:140 Removed trailing space in p~: mtumishi wako anazipenda.

PSA 119:141 Removed trailing space in v~: Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa,

PSA 119:141 Removed trailing space in p~: sisahau mausia yako.

PSA 119:142 Removed trailing space in v~: Haki yako ni ya milele,

PSA 119:142 Removed trailing space in p~: na sheria yako ni kweli.

PSA 119:143 Removed trailing space in v~: Shida na dhiki zimenipata,

PSA 119:143 Removed trailing space in p~: lakini amri zako ni furaha yangu.

PSA 119:144 Removed trailing space in v~: Sheria zako ni sahihi milele,

PSA 119:144 Removed trailing space in p~: hunipa ufahamu ili nipate kuishi.

PSA 119:144 Removed trailing space in s2: Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa

PSA 119:145 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakuita kwa moyo wangu wote,

PSA 119:145 Removed trailing space in p~: nami nitayatii maagizo yako.

PSA 119:146 Removed trailing space in v~: Ninakuita; niokoe

PSA 119:146 Removed trailing space in p~: nami nitazishika sheria zako.

PSA 119:147 Removed trailing space in v~: Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada;

PSA 119:147 Removed trailing space in p~: nimeweka tumaini langu katika neno lako.

PSA 119:148 Removed trailing space in v~: Sikufumba macho yangu usiku kucha,

PSA 119:148 Removed trailing space in p~: ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.

PSA 119:149 Removed trailing space in v~: Usikie sauti yangu sawasawa na upendo wako,

PSA 119:149 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.

PSA 119:150 Removed trailing space in v~: Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami,

PSA 119:150 Removed trailing space in p~: lakini wako mbali na sheria yako.

PSA 119:151 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, hata hivyo wewe u karibu,

PSA 119:151 Removed trailing space in p~: na amri zako zote ni za kweli.

PSA 119:152 Removed trailing space in v~: Tangu zamani nimejifunza kutoka shuhuda zako

PSA 119:152 Removed trailing space in p~: kwamba umezithibitisha ili zidumu milele.

PSA 119:152 Removed trailing space in s2: Maombi Kwa Ajili Ya Msaada

PSA 119:153 Removed trailing space in v~: Yaangalie mateso yangu, uniokoe,

PSA 119:153 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sijasahau sheria yako.

PSA 119:154 Removed trailing space in v~: Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe,

PSA 119:154 Removed trailing space in p~: uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.

PSA 119:155 Removed trailing space in v~: Wokovu uko mbali na waovu,

PSA 119:155 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.

PSA 119:156 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, huruma zako ni kuu,

PSA 119:156 Removed trailing space in p~: uyahifadhi maisha yangu sawasawa na sheria zako.

PSA 119:157 Removed trailing space in v~: Adui wanaonitesa ni wengi,

PSA 119:157 Removed trailing space in p~: lakini mimi sitaziacha sheria zako.

PSA 119:158 Removed trailing space in v~: Ninawatazama wasioamini kwa chuki,

PSA 119:158 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hawalitii neno lako.

PSA 119:159 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ninavyopenda mausia yako;

PSA 119:159 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako.

PSA 119:160 Removed trailing space in v~: Maneno yako yote ni kweli,

PSA 119:160 Removed trailing space in p~: sheria zako zote za haki ni za milele.

PSA 119:160 Removed trailing space in s2: Kujiweka Wakfu Kwa Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:161 Removed trailing space in v~: Watawala wamenitesa bila sababu,

PSA 119:161 Removed trailing space in p~: lakini moyo wangu unatetemeka kwa neno lako.

PSA 119:162 Removed trailing space in v~: Nafurahia ahadi zako

PSA 119:162 Removed trailing space in p~: kama mtu aliyepata mateka mengi.

PSA 119:163 Removed trailing space in v~: Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo,

PSA 119:163 Removed trailing space in p~: lakini napenda sheria yako.

PSA 119:164 Removed trailing space in v~: Ninakusifu mara saba kwa siku,

PSA 119:164 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya sheria zako za haki.

PSA 119:165 Removed trailing space in v~: Wanaopenda sheria yako wana amani tele,

PSA 119:165 Removed trailing space in p~: wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.

PSA 119:166 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninangojea wokovu wako,

PSA 119:166 Removed trailing space in p~: nami ninafuata amri zako,

PSA 119:167 Removed trailing space in v~: Ninazitii sheria zako,

PSA 119:167 Removed trailing space in p~: kwa sababu ninazipenda mno.

PSA 119:168 Removed trailing space in v~: Nimetii mausia yako na sheria zako,

PSA 119:168 Removed trailing space in p~: kwa kuwa njia zangu zote zinajulikana kwako.

PSA 119:168 Removed trailing space in s2: Kuomba Msaada

PSA 119:169 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kilio changu na kifike mbele zako,

PSA 119:169 Removed trailing space in p~: nipe ufahamu sawasawa na neno lako.

PSA 119:170 Removed trailing space in v~: Maombi yangu na yafike mbele zako,

PSA 119:170 Removed trailing space in p~: niokoe sawasawa na ahadi yako.

PSA 119:171 Removed trailing space in v~: Midomo yangu na ibubujike sifa,

PSA 119:171 Removed trailing space in p~: kwa kuwa unanifundisha maagizo yako.

PSA 119:172 Removed trailing space in v~: Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako,

PSA 119:172 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amri zako zote ni za haki.

PSA 119:173 Removed trailing space in v~: Mkono wako uwe tayari kunisaidia,

PSA 119:173 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimechagua mausia yako.

PSA 119:174 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninatamani wokovu wako,

PSA 119:174 Removed trailing space in p~: na sheria yako ni furaha yangu.

PSA 119:175 Removed trailing space in v~: Nijalie kuishi ili nipate kukusifu,

PSA 119:175 Removed trailing space in p~: na sheria zako zinitegemeze.

PSA 119:176 Removed trailing space in v~: Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea.

PSA 119:176 Removed trailing space in p~: Mtafute mtumishi wako,

PSA 119:176 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sijasahau amri zako.

PSA 120:0 Extra space after chapter number

PSA 120:0 Removed trailing space in c: 120

PSA 120:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 120

PSA 120:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 120:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 120:1 Removed trailing space in v~: Katika dhiki yangu namwita \nd Bwana\nd*,

PSA 120:1 Removed trailing space in p~: naye hunijibu.

PSA 120:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uniokoe kutoka midomo ya uongo

PSA 120:2 Removed trailing space in p~: na ndimi za udanganyifu.

PSA 120:3 Removed trailing space in v~: Atakufanyia nini,

PSA 120:3 Removed trailing space in p~: au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?

PSA 120:4 Removed trailing space in v~: Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa,

PSA 120:4 Removed trailing space in p~: kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.

PSA 120:5 Removed trailing space in v~: Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki,

PSA 120:5 Removed trailing space in p~: kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!

PSA 120:6 Removed trailing space in v~: Nimeishi muda mrefu mno

PSA 120:6 Removed trailing space in p~: miongoni mwa wale wanaochukia amani.

PSA 120:7 Removed trailing space in v~: Mimi ni mtu wa amani;

PSA 120:7 Removed trailing space in p~: lakini ninaposema, wao wanataka vita.

PSA 121:0 Extra space after chapter number

PSA 121:0 Removed trailing space in c: 121

PSA 121:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 121

PSA 121:0 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Mlinzi Wetu

PSA 121:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 121:1 Removed trailing space in v~: Nayainua macho yangu nitazame vilima,

PSA 121:1 Removed trailing space in p~: msaada wangu utatoka wapi?

PSA 121:2 Removed trailing space in v~: Msaada wangu hutoka kwa \nd Bwana\nd*,

PSA 121:2 Removed trailing space in p~: Muumba wa mbingu na dunia.

PSA 121:3 Removed trailing space in v~: Hatauacha mguu wako uteleze,

PSA 121:3 Removed trailing space in p~: yeye akulindaye hatasinzia,

PSA 121:4 Removed trailing space in v~: hakika, yeye alindaye Israeli

PSA 121:4 Removed trailing space in p~: hatasinzia wala hatalala usingizi.

PSA 121:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anakulinda,

PSA 121:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni uvuli wako mkono wako wa kuume,

PSA 121:6 Removed trailing space in v~: jua halitakudhuru mchana,

PSA 121:6 Removed trailing space in p~: wala mwezi wakati wa usiku.

PSA 121:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakukinga na madhara yote,

PSA 121:7 Removed trailing space in p~: atayalinda maisha yako,

PSA 121:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakulinda unapoingia na unapotoka,

PSA 121:8 Removed trailing space in p~: tangu sasa na hata milele.

PSA 122:0 Extra space after chapter number

PSA 122:0 Removed trailing space in c: 122

PSA 122:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 122

PSA 122:0 Removed trailing space in s1: Sifa Kwa Yerusalemu

PSA 122:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

PSA 122:1 Removed trailing space in v~: Nilishangilia pamoja na wale walioniambia,

PSA 122:1 Removed trailing space in p~: “Twende nyumbani ya \nd Bwana\nd*.”

PSA 122:2 Removed trailing space in v~: Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama

PSA 122:2 Removed trailing space in p~: malangoni mwako.

PSA 122:3 Removed trailing space in v~: Yerusalemu imejengwa vyema kama mji

PSA 122:3 Removed trailing space in p~: ambao umeshikamanishwa pamoja.

PSA 122:4 Removed trailing space in v~: Huko ndiko makabila hukwea,

PSA 122:4 Removed trailing space in p~: makabila ya \nd Bwana\nd*,

PSA 122:4 Removed trailing space in p~: kulisifu jina la \nd Bwana\nd* kulingana na maagizo

PSA 122:4 Removed trailing space in p~: waliopewa Israeli.

PSA 122:5 Removed trailing space in v~: Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa,

PSA 122:5 Removed trailing space in p~: viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.

PSA 122:6 Removed trailing space in v~: Omba kwa ajili ya amani ya Yerusalemu:

PSA 122:6 Removed trailing space in p~: “Wote wakupendao na wawe salama.

PSA 122:7 Removed trailing space in v~: Amani na iwepo ndani ya kuta zako

PSA 122:7 Removed trailing space in p~: na usalama ndani ya ngome zako.”

PSA 122:8 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya ndugu zangu na marafiki,

PSA 122:8 Removed trailing space in p~: nitasema, “Amani iwe ndani yako.”

PSA 122:9 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 122:9 Removed trailing space in p~: nitatafuta mafanikio yako.

PSA 123:0 Extra space after chapter number

PSA 123:0 Removed trailing space in c: 123

PSA 123:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 123

PSA 123:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Rehema

PSA 123:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 123:1 Removed trailing space in v~: Ninayainua macho yangu kwako,

PSA 123:1 Removed trailing space in p~: kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.

PSA 123:2 Removed trailing space in v~: Kama vile macho ya watumwa

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: yatazamavyo mkono wa bwana wao,

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: kama vile macho ya mtumishi wa kike

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: yatazamavyo mkono wa bibi yake,

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: ndivyo macho yetu yamtazamavyo \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: mpaka atakapotuhurumia.

PSA 123:3 Removed trailing space in v~: Uturehemu, Ee \nd Bwana\nd*, uturehemu,

PSA 123:3 Removed trailing space in p~: kwa maana tumevumilia dharau nyingi.

PSA 123:4 Removed trailing space in v~: Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi,

PSA 123:4 Removed trailing space in p~: dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.

PSA 124:0 Extra space after chapter number

PSA 124:0 Removed trailing space in c: 124

PSA 124:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 124

PSA 124:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli

PSA 124:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

PSA 124:1 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* asingalikuwa upande wetu;

PSA 124:1 Removed trailing space in p~: Israeli na aseme sasa:

PSA 124:2 Removed trailing space in v~: kama \nd Bwana\nd* asingalikuwa upande wetu,

PSA 124:2 Removed trailing space in p~: wakati watu walipotushambulia,

PSA 124:3 Removed trailing space in v~: wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu,

PSA 124:3 Removed trailing space in p~: wangalitumeza tungali hai,

PSA 124:4 Removed trailing space in v~: mafuriko yangalitugharikisha,

PSA 124:4 Removed trailing space in p~: maji mengi yangalitufunika,

PSA 124:5 Removed trailing space in v~: maji yaendayo kasi

PSA 124:5 Removed trailing space in p~: yangalituchukua.

PSA 124:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asifiwe,

PSA 124:6 Removed trailing space in p~: yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.

PSA 124:7 Removed trailing space in v~: Tumeponyoka kama ndege

PSA 124:7 Removed trailing space in p~: kutoka mtego wa mwindaji;

PSA 124:7 Removed trailing space in p~: mtego umevunjika,

PSA 124:7 Removed trailing space in p~: nasi tukaokoka.

PSA 124:8 Removed trailing space in v~: Msaada wetu ni katika jina la \nd Bwana\nd*,

PSA 124:8 Removed trailing space in p~: Muumba wa mbingu na dunia.

PSA 125:0 Extra space after chapter number

PSA 125:0 Removed trailing space in c: 125

PSA 125:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 125

PSA 125:0 Removed trailing space in s1: Usalama Wa Watu Wa Mungu

PSA 125:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 125:1 Removed trailing space in v~: Wale wamtumainio \nd Bwana\nd* ni kama mlima Sayuni,

PSA 125:1 Removed trailing space in p~: ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.

PSA 125:2 Removed trailing space in v~: Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,

PSA 125:2 Removed trailing space in p~: ndivyo \nd Bwana\nd* anavyowazunguka watu wake

PSA 125:2 Removed trailing space in p~: sasa na hata milele.

PSA 125:3 Removed trailing space in v~: Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi

PSA 125:3 Removed trailing space in p~: waliopewa wenye haki,

PSA 125:3 Removed trailing space in p~: ili wenye haki wasije wakatumia

PSA 125:3 Removed trailing space in p~: mikono yao kutenda ubaya.

PSA 125:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, watendee mema walio wema,

PSA 125:4 Removed trailing space in p~: wale walio wanyofu wa moyo.

PSA 125:5 Removed trailing space in v~: Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka,

PSA 125:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atawafukuza pamoja na watenda mabaya.

PSA 125:5 Removed trailing space in p~: Amani iwe juu ya Israeli.

PSA 126:0 Extra space after chapter number

PSA 126:0 Removed trailing space in c: 126

PSA 126:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 126

PSA 126:0 Removed trailing space in s1: Kurejezwa Kutoka Utumwani

PSA 126:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 126:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipowarejeza mateka Sayuni,

PSA 126:1 Removed trailing space in p~: tulikuwa kama watu walioota ndoto.

PSA 126:2 Removed trailing space in v~: Vinywa vyetu vilijaa kicheko,

PSA 126:2 Removed trailing space in p~: ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe.

PSA 126:2 Removed trailing space in p~: Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa,

PSA 126:2 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* amewatendea mambo makuu.”

PSA 126:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametutendea mambo makuu,

PSA 126:3 Removed trailing space in p~: nasi tumejaa furaha.

PSA 126:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, turejeshee watu wetu waliotekwa,

PSA 126:4 Removed trailing space in p~: kama vijito katika Negebu.

PSA 126:5 Removed trailing space in v~: Wapandao kwa machozi

PSA 126:5 Removed trailing space in p~: watavuna kwa nyimbo za shangwe.

PSA 126:6 Removed trailing space in v~: Yeye azichukuaye mbegu zake

PSA 126:6 Removed trailing space in p~: kwenda kupanda, huku akilia,

PSA 126:6 Removed trailing space in p~: atarudi kwa nyimbo za shangwe,

PSA 126:6 Removed trailing space in p~: akichukua miganda ya mavuno yake.

PSA 127:0 Extra space after chapter number

PSA 127:0 Removed trailing space in c: 127

PSA 127:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 127

PSA 127:0 Removed trailing space in s1: Bila Mungu, Kazi Ya Mwanadamu Haifai

PSA 127:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Solomoni.

PSA 127:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asipoijenga nyumba,

PSA 127:1 Removed trailing space in p~: wajengao hufanya kazi bure.

PSA 127:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* asipoulinda mji,

PSA 127:1 Removed trailing space in p~: walinzi wakesha bure.

PSA 127:2 Removed trailing space in v~: Mnajisumbua bure kuamka mapema

PSA 127:2 Removed trailing space in p~: na kuchelewa kulala,

PSA 127:2 Removed trailing space in p~: mkitaabikia chakula:

PSA 127:2 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye huwapa usingizi wapenzi wake.

PSA 127:3 Removed trailing space in v~: Wana ni urithi utokao kwa \nd Bwana\nd*,

PSA 127:3 Removed trailing space in p~: watoto ni zawadi kutoka kwake.

PSA 127:4 Removed trailing space in v~: Kama mishale mikononi mwa shujaa

PSA 127:4 Removed trailing space in p~: ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.

PSA 127:5 Removed trailing space in v~: Heri mtu ambaye podo lake

PSA 127:5 Removed trailing space in p~: limejazwa nao.

PSA 127:5 Removed trailing space in p~: Hawataaibishwa wanaposhindana

PSA 127:5 Removed trailing space in p~: na adui zao langoni.

PSA 128:0 Extra space after chapter number

PSA 128:0 Removed trailing space in c: 128

PSA 128:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 128

PSA 128:0 Removed trailing space in s1: Thawabu Ya Kumtii \nd Bwana\nd*

PSA 128:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 128:1 Removed trailing space in v~: Heri ni wale wote wamchao \nd Bwana\nd*,

PSA 128:1 Removed trailing space in p~: waendao katika njia zake.

PSA 128:2 Removed trailing space in v~: Utakula matunda ya kazi yako;

PSA 128:2 Removed trailing space in p~: baraka na mafanikio vitakuwa vyako.

PSA 128:3 Removed trailing space in v~: Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao

PSA 128:3 Removed trailing space in p~: ndani ya nyumba yako;

PSA 128:3 Removed trailing space in p~: wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni

PSA 128:3 Removed trailing space in p~: kuizunguka meza yako.

PSA 128:4 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa

PSA 128:4 Removed trailing space in p~: mtu amchaye \nd Bwana\nd*.

PSA 128:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na akubariki kutoka Sayuni

PSA 128:5 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yako,

PSA 128:5 Removed trailing space in p~: na uone mafanikio ya Yerusalemu,

PSA 128:6 Removed trailing space in v~: nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako.

PSA 128:6 Removed trailing space in p~: Amani iwe juu ya Israeli.

PSA 129:0 Extra space after chapter number

PSA 129:0 Removed trailing space in c: 129

PSA 129:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 129

PSA 129:0 Removed trailing space in s1: Maombi Dhidi Ya Adui Za Israeli

PSA 129:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 129:1 Removed trailing space in v~: Wamenionea mno tangu ujana wangu;

PSA 129:1 Removed trailing space in p~: Israeli na aseme sasa:

PSA 129:2 Removed trailing space in v~: wamenionea mno tangu ujana wangu,

PSA 129:2 Removed trailing space in p~: lakini bado hawajanishinda.

PSA 129:3 Removed trailing space in v~: Wakulima wamelima mgongo wangu,

PSA 129:3 Removed trailing space in p~: na kufanya mifereji yao mirefu.

PSA 129:4 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* ni mwenye haki;

PSA 129:4 Removed trailing space in p~: amenifungua toka kamba za waovu.

PSA 129:5 Removed trailing space in v~: Wale wote waichukiao Sayuni

PSA 129:5 Removed trailing space in p~: na warudishwe nyuma kwa aibu.

PSA 129:6 Removed trailing space in v~: Wawe kama majani juu ya paa,

PSA 129:6 Removed trailing space in p~: ambayo hunyauka kabla hayajakua;

PSA 129:7 Removed trailing space in v~: kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,

PSA 129:7 Removed trailing space in p~: wala akusanyaye kujaza mikono yake.

PSA 129:8 Removed trailing space in v~: Wale wapitao karibu na wasiseme,

PSA 129:8 Removed trailing space in p~: “Baraka ya \nd Bwana\nd* iwe juu yako;

PSA 129:8 Removed trailing space in p~: tunakubariki katika jina la \nd Bwana\nd*.”

PSA 130:0 Extra space after chapter number

PSA 130:0 Removed trailing space in c: 130

PSA 130:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 130

PSA 130:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 130:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 130:1 Removed trailing space in v~: Kutoka vilindini ninakulilia, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 130:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sikia sauti yangu.

PSA 130:2 Removed trailing space in p~: Masikio yako na yawe masikivu

PSA 130:2 Removed trailing space in p~: kwa kilio changu unihurumie.

PSA 130:3 Removed trailing space in v~: Kama wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,

PSA 130:3 Removed trailing space in p~: Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?

PSA 130:4 Removed trailing space in v~: Lakini kwako kuna msamaha,

PSA 130:4 Removed trailing space in p~: kwa hiyo wewe unaogopwa.

PSA 130:5 Removed trailing space in v~: Namngojea \nd Bwana\nd*, nafsi yangu inangojea,

PSA 130:5 Removed trailing space in p~: katika neno lake naweka tumaini langu.

PSA 130:6 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inamngojea Bwana

PSA 130:6 Removed trailing space in p~: kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi,

PSA 130:6 Removed trailing space in p~: naam, kuliko walinzi

PSA 130:6 Removed trailing space in p~: waingojeavyo asubuhi.

PSA 130:7 Removed trailing space in v~: Ee Israeli, mtumaini \nd Bwana\nd*,

PSA 130:7 Removed trailing space in p~: maana kwa \nd Bwana\nd* kuna upendo usiokoma,

PSA 130:7 Removed trailing space in p~: na kwake kuna ukombozi kamili.

PSA 130:8 Removed trailing space in v~: Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli

PSA 130:8 Removed trailing space in p~: kutoka dhambi zao zote.

PSA 131:0 Extra space after chapter number

PSA 131:0 Removed trailing space in c: 131

PSA 131:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 131

PSA 131:0 Removed trailing space in s1: Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu

PSA 131:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

PSA 131:1 Removed trailing space in v~: Moyo wangu hauna kiburi, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 131:1 Removed trailing space in p~: macho yangu hayajivuni;

PSA 131:1 Removed trailing space in p~: sijishughulishi na mambo makuu kunizidi

PSA 131:1 Removed trailing space in p~: wala mambo ya ajabu mno kwangu.

PSA 131:2 Removed trailing space in v~: Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu;

PSA 131:2 Removed trailing space in p~: kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake,

PSA 131:2 Removed trailing space in p~: kama mtoto aliyeachishwa kunyonya

PSA 131:2 Removed trailing space in p~: ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.

PSA 131:3 Removed trailing space in v~: Ee Israeli, mtumaini \nd Bwana\nd*

PSA 131:3 Removed trailing space in p~: tangu sasa na hata milele.

PSA 132:0 Extra space after chapter number

PSA 132:0 Removed trailing space in c: 132

PSA 132:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 132

PSA 132:0 Removed trailing space in s1: Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni

PSA 132:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 132:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mkumbuke Daudi

PSA 132:1 Removed trailing space in p~: na taabu zote alizozistahimili.

PSA 132:2 Removed trailing space in v~: Aliapa kiapo kwa \nd Bwana\nd*

PSA 132:2 Removed trailing space in p~: na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:

PSA 132:3 Removed trailing space in v~: “Sitaingia nyumbani mwangu

PSA 132:3 Removed trailing space in p~: au kwenda kitandani mwangu:

PSA 132:4 Removed trailing space in v~: sitaruhusu usingizi katika macho yangu,

PSA 132:4 Removed trailing space in p~: wala kope zangu kusinzia,

PSA 132:5 Removed trailing space in v~: mpaka nitakapompatia \nd Bwana\nd* mahali,

PSA 132:5 Removed trailing space in p~: makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

PSA 132:6 Removed trailing space in v~: Tulisikia habari hii huko Efrathi,

PSA 132:6 Removed trailing space in p~: tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:\f + \fr 132:6 \ft Yaani Kiriath-Yearimu.\f*

PSA 132:7 Removed trailing space in v~: “Twendeni kwenye makao yake,

PSA 132:7 Removed trailing space in p~: na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;

PSA 132:8 Removed trailing space in v~: inuka, Ee \nd Bwana\nd*, uje mahali pako pa kupumzikia,

PSA 132:8 Removed trailing space in p~: wewe na Sanduku la nguvu zako.

PSA 132:9 Removed trailing space in v~: Makuhani wako na wavikwe haki,

PSA 132:9 Removed trailing space in p~: watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”

PSA 132:10 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,

PSA 132:10 Removed trailing space in p~: usimkatae mpakwa mafuta wako.

PSA 132:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alimwapia Daudi kiapo,

PSA 132:11 Removed trailing space in p~: kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua:

PSA 132:11 Removed trailing space in p~: “Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe

PSA 132:11 Removed trailing space in p~: katika kiti chako cha enzi,

PSA 132:12 Removed trailing space in v~: kama wanao watashika Agano langu

PSA 132:12 Removed trailing space in p~: na sheria ninazowafundisha,

PSA 132:12 Removed trailing space in p~: ndipo wana wao watarithi

PSA 132:12 Removed trailing space in p~: kiti chako cha enzi milele na milele.”

PSA 132:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* ameichagua Sayuni,

PSA 132:13 Removed trailing space in p~: amepaonea shauku pawe maskani yake:

PSA 132:14 Removed trailing space in v~: “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;

PSA 132:14 Removed trailing space in p~: hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:

PSA 132:15 Removed trailing space in v~: Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:

PSA 132:15 Removed trailing space in p~: nitashibisha maskini wake kwa chakula.

PSA 132:16 Removed trailing space in v~: Nitawavika makuhani wake wokovu,

PSA 132:16 Removed trailing space in p~: nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.

PSA 132:17 Removed trailing space in v~: “Hapa nitamchipushia Daudi pembe,\f + \fr 132:17 \ft Pembe inawakilisha nguvu.\f*

PSA 132:17 Removed trailing space in p~: na kuweka taa kwa ajili ya masiya\f + \fr 132:17 \ft Masiya yaani mpakwa mafuta.\f* wangu.

PSA 132:18 Removed trailing space in v~: Adui zake nitawavika aibu,

PSA 132:18 Removed trailing space in p~: bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”

PSA 133:0 Extra space after chapter number

PSA 133:0 Removed trailing space in c: 133

PSA 133:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 133

PSA 133:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za Pendo La Undugu

PSA 133:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

PSA 133:1 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza

PSA 133:1 Removed trailing space in p~: wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!

PSA 133:2 Removed trailing space in v~: Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani,

PSA 133:2 Removed trailing space in p~: yakitiririka kwenye ndevu,

PSA 133:2 Removed trailing space in p~: yakitiririka kwenye ndevu za Aroni,

PSA 133:2 Removed trailing space in p~: mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.

PSA 133:3 Removed trailing space in v~: Ni kama vile umande wa Hermoni

PSA 133:3 Removed trailing space in p~: unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni.

PSA 133:3 Removed trailing space in p~: Kwa maana huko ndiko \nd Bwana\nd* alikoamuru baraka yake,

PSA 133:3 Removed trailing space in p~: naam, hata uzima milele.

PSA 134:0 Extra space after chapter number

PSA 134:0 Removed trailing space in c: 134

PSA 134:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 134

PSA 134:0 Removed trailing space in s1: Wito Wa Kumsifu Mungu

PSA 134:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 134:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*, ninyi nyote watumishi wa \nd Bwana\nd*,

PSA 134:1 Removed trailing space in p~: ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

PSA 134:2 Removed trailing space in v~: Inueni mikono yenu katika pale patakatifu

PSA 134:2 Removed trailing space in p~: na kumsifu \nd Bwana\nd*.

PSA 134:3 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd*, Muumba wa mbingu na dunia,

PSA 134:3 Removed trailing space in p~: awabariki kutoka Sayuni.

PSA 135:0 Extra space after chapter number

PSA 135:0 Removed trailing space in c: 135

PSA 135:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 135

PSA 135:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu

PSA 135:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 135:1 Removed trailing space in p~: Lisifuni jina la \nd Bwana\nd*,

PSA 135:1 Removed trailing space in p~: msifuni, enyi watumishi wa \nd Bwana\nd*,

PSA 135:2 Removed trailing space in v~: ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*,

PSA 135:2 Removed trailing space in p~: katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.

PSA 135:3 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mwema,

PSA 135:3 Removed trailing space in p~: liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.

PSA 135:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,

PSA 135:4 Removed trailing space in p~: Israeli kuwa mali yake ya thamani.

PSA 135:5 Removed trailing space in v~: Ninajua ya kuwa \nd Bwana\nd* ni mkuu,

PSA 135:5 Removed trailing space in p~: kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.

PSA 135:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hufanya lolote apendalo,

PSA 135:6 Removed trailing space in p~: mbinguni na duniani,

PSA 135:6 Removed trailing space in p~: katika bahari na vilindi vyake vyote.

PSA 135:7 Removed trailing space in v~: Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;

PSA 135:7 Removed trailing space in p~: hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua

PSA 135:7 Removed trailing space in p~: na huleta upepo kutoka ghala zake.

PSA 135:8 Removed trailing space in v~: Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,

PSA 135:8 Removed trailing space in p~: mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.

PSA 135:9 Removed trailing space in v~: Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,

PSA 135:9 Removed trailing space in p~: dhidi ya Farao na watumishi wake wote.

PSA 135:10 Removed trailing space in v~: Aliyapiga mataifa mengi,

PSA 135:10 Removed trailing space in p~: na akaua wafalme wenye nguvu:

PSA 135:11 Removed trailing space in v~: Mfalme Sihoni na Waamori,

PSA 135:11 Removed trailing space in p~: Ogu mfalme wa Bashani

PSA 135:11 Removed trailing space in p~: na wafalme wote wa Kanaani:

PSA 135:12 Removed trailing space in v~: akatoa nchi yao kuwa urithi,

PSA 135:12 Removed trailing space in p~: urithi kwa watu wake Israeli.

PSA 135:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, jina lako ladumu milele,

PSA 135:13 Removed trailing space in p~: kumbukumbu za fahari zako, Ee \nd Bwana\nd*, kwa vizazi vyote.

PSA 135:14 Removed trailing space in v~: Maana \nd Bwana\nd* atawathibitisha watu wake,

PSA 135:14 Removed trailing space in p~: na kuwahurumia watumishi wake.

PSA 135:15 Removed trailing space in v~: Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,

PSA 135:15 Removed trailing space in p~: zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

PSA 135:16 Removed trailing space in v~: Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,

PSA 135:16 Removed trailing space in p~: zina macho, lakini haziwezi kuona;

PSA 135:17 Removed trailing space in v~: zina masikio, lakini haziwezi kusikia,

PSA 135:17 Removed trailing space in p~: wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.

PSA 135:18 Removed trailing space in v~: Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,

PSA 135:18 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.

PSA 135:19 Removed trailing space in v~: Ee nyumba ya Israeli, msifuni \nd Bwana\nd*;

PSA 135:19 Removed trailing space in p~: ee nyumba ya Aroni, msifuni \nd Bwana\nd*;

PSA 135:20 Removed trailing space in v~: ee nyumba ya Lawi, msifuni \nd Bwana\nd*;

PSA 135:20 Removed trailing space in p~: ninyi mnaomcha, msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 135:21 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd* kutoka Sayuni,

PSA 135:21 Removed trailing space in p~: msifuni yeye aishiye Yerusalemu.

PSA 135:21 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 136:0 Extra space after chapter number

PSA 136:0 Removed trailing space in c: 136

PSA 136:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 136

PSA 136:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumshukuru Mungu

PSA 136:1 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa ni mwema.

PSA 136:1 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:2 Removed trailing space in v~: Mshukuruni Mungu wa miungu.

PSA 136:2 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:3 Removed trailing space in v~: Mshukuruni Bwana wa mabwana:

PSA 136:3 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:4 Removed trailing space in v~: Kwake yeye pekee atendaye maajabu makuu,

PSA 136:4 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:5 Removed trailing space in v~: Ambaye kwa ufahamu wake aliziumba mbingu,

PSA 136:5 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:6 Removed trailing space in v~: Ambaye aliitandaza dunia juu ya maji,

PSA 136:6 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:7 Removed trailing space in v~: Ambaye aliumba mianga mikubwa,

PSA 136:7 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:8 Removed trailing space in v~: Jua litawale mchana,

PSA 136:8 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:9 Removed trailing space in v~: Mwezi na nyota vitawale usiku,

PSA 136:9 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:10 Removed trailing space in v~: Kwake yeye aliyemuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,

PSA 136:10 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:11 Removed trailing space in v~: Na kuwatoa Israeli katikati yao,

PSA 136:11 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:12 Removed trailing space in v~: Kwa mkono wenye nguvu ulionyooshwa,

PSA 136:12 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:13 Removed trailing space in v~: Kwake yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu,

PSA 136:13 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:14 Removed trailing space in v~: Na kuwapitisha Israeli katikati yake,

PSA 136:14 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:15 Removed trailing space in v~: Lakini alimfagia Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu,

PSA 136:15 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:16 Removed trailing space in v~: Kwake yeye aliyewaongoza watu wake katika jangwa,

PSA 136:16 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:17 Removed trailing space in v~: Ambaye aliwapiga wafalme wenye nguvu,

PSA 136:17 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:18 Removed trailing space in v~: Naye aliwaua wafalme wenye nguvu,

PSA 136:18 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:19 Removed trailing space in v~: Sihoni mfalme wa Waamori,

PSA 136:19 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:20 Removed trailing space in v~: Ogu mfalme wa Bashani,

PSA 136:20 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:21 Removed trailing space in v~: Akatoa nchi yao kuwa urithi,

PSA 136:21 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:22 Removed trailing space in v~: Urithi kwa Israeli mtumishi wake,

PSA 136:22 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:23 Removed trailing space in v~: Aliyetukumbuka katika unyonge wetu,

PSA 136:23 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:24 Removed trailing space in v~: Alituweka huru toka adui zetu,

PSA 136:24 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:25 Removed trailing space in v~: Ambaye humpa chakula kila kiumbe.

PSA 136:25 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:26 Removed trailing space in v~: Mshukuruni Mungu wa mbinguni,

PSA 136:26 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 137:0 Extra space after chapter number

PSA 137:0 Removed trailing space in c: 137

PSA 137:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 137

PSA 137:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Ya Israeli Uhamishoni

PSA 137:1 Removed trailing space in v~: Kando ya mito ya Babeli tuliketi, tukaomboleza

PSA 137:1 Removed trailing space in p~: tulipokumbuka Sayuni.

PSA 137:2 Removed trailing space in v~: Kwenye miti ya huko

PSA 137:2 Removed trailing space in p~: tulitundika vinubi vyetu,

PSA 137:3 Removed trailing space in v~: kwa maana huko hao waliotuteka

PSA 137:3 Removed trailing space in p~: walitaka tuwaimbie nyimbo,

PSA 137:3 Removed trailing space in p~: watesi wetu walidai nyimbo za furaha;

PSA 137:3 Removed trailing space in p~: walisema, “Tuimbieni wimbo mmoja kati ya nyimbo za Sayuni!”

PSA 137:4 Removed trailing space in v~: Tutaimbaje nyimbo za \nd Bwana\nd*,

PSA 137:4 Removed trailing space in p~: tukiwa nchi ya kigeni?

PSA 137:5 Removed trailing space in v~: Nikikusahau wewe, ee Yerusalemu,

PSA 137:5 Removed trailing space in p~: basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.

PSA 137:6 Removed trailing space in v~: Ulimi wangu ushikamane na kaakaa la kinywa changu

PSA 137:6 Removed trailing space in p~: kama sitakukumbuka wewe,

PSA 137:6 Removed trailing space in p~: kama nisipokufikiri Yerusalemu

PSA 137:6 Removed trailing space in p~: kuwa furaha yangu kubwa.

PSA 137:7 Removed trailing space in v~: Kumbuka, Ee \nd Bwana\nd*, walichokifanya Waedomu,

PSA 137:7 Removed trailing space in p~: siku ile Yerusalemu ilipoanguka.

PSA 137:7 Removed trailing space in p~: Walisema, “Bomoa, Bomoa

PSA 137:7 Removed trailing space in p~: mpaka kwenye misingi yake!”

PSA 137:8 Removed trailing space in v~: Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa,

PSA 137:8 Removed trailing space in p~: heri yeye atakayekulipiza wewe

PSA 137:8 Removed trailing space in p~: kwa yale uliyotutenda sisi:

PSA 137:9 Removed trailing space in v~: yeye ambaye atawakamata watoto wako wachanga

PSA 137:9 Removed trailing space in p~: na kuwaponda juu ya miamba.

PSA 138:0 Extra space after chapter number

PSA 138:0 Removed trailing space in c: 138

PSA 138:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 138

PSA 138:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Shukrani

PSA 138:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 138:1 Removed trailing space in v~: Nitakusifu wewe, Ee \nd Bwana\nd*, kwa moyo wangu wote,

PSA 138:1 Removed trailing space in p~: mbele ya “miungu” nitaimba sifa zako.

PSA 138:2 Removed trailing space in v~: Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu,

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: nami nitalisifu jina lako

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya upendo wako

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: na uaminifu,

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umelikuza jina lako na neno lako

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: juu ya vitu vyote.

PSA 138:3 Removed trailing space in v~: Nilipoita, ulinijibu;

PSA 138:3 Removed trailing space in p~: ulinifanya jasiri na mwenye moyo hodari.

PSA 138:4 Removed trailing space in v~: Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 138:4 Removed trailing space in p~: wakati wanaposikia maneno ya kinywa chako.

PSA 138:5 Removed trailing space in v~: Wao na waimbe kuhusu njia za \nd Bwana\nd*,

PSA 138:5 Removed trailing space in p~: kwa maana utukufu wa \nd Bwana\nd* ni mkuu.

PSA 138:6 Removed trailing space in v~: Ingawa \nd Bwana\nd* yuko juu,

PSA 138:6 Removed trailing space in p~: humwangalia mnyonge,

PSA 138:6 Removed trailing space in p~: bali mwenye kiburi

PSA 138:6 Removed trailing space in p~: yeye anamjua kutokea mbali.

PSA 138:7 Removed trailing space in v~: Nijapopita katikati ya shida,

PSA 138:7 Removed trailing space in p~: wewe unayahifadhi maisha yangu,

PSA 138:7 Removed trailing space in p~: unanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu,

PSA 138:7 Removed trailing space in p~: kwa mkono wako wa kuume unaniokoa.

PSA 138:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atatimiza kusudi lake kwangu,

PSA 138:8 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, upendo wako wadumu milele:

PSA 138:8 Removed trailing space in p~: usiziache kazi za mikono yako.

PSA 139:0 Extra space after chapter number

PSA 139:0 Removed trailing space in c: 139

PSA 139:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 139

PSA 139:0 Removed trailing space in s1: Mungu Asiyeweza Kukwepwa

PSA 139:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 139:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, umenichunguza

PSA 139:1 Removed trailing space in p~: na kunijua.

PSA 139:2 Removed trailing space in v~: Unajua ninapoketi na ninapoinuka;

PSA 139:2 Removed trailing space in p~: unatambua mawazo yangu tokea mbali.

PSA 139:3 Removed trailing space in v~: Unafahamu kutoka kwangu na kulala kwangu;

PSA 139:3 Removed trailing space in p~: unaelewa njia zangu zote.

PSA 139:4 Removed trailing space in v~: Kabla neno halijafika katika ulimi wangu,

PSA 139:4 Removed trailing space in p~: wewe walijua kikamilifu, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 139:5 Removed trailing space in v~: Umenizunguka nyuma na mbele;

PSA 139:5 Removed trailing space in p~: umeweka mkono wako juu yangu.

PSA 139:6 Removed trailing space in v~: Maarifa haya ni ya ajabu mno kwangu,

PSA 139:6 Removed trailing space in p~: ni ya juu sana kwangu kuyafikia.

PSA 139:7 Removed trailing space in v~: Niende wapi nijiepushe na Roho yako?

PSA 139:7 Removed trailing space in p~: Niende wapi niukimbie uso wako?

PSA 139:8 Removed trailing space in v~: Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko;

PSA 139:8 Removed trailing space in p~: nikifanya vilindi\f + \fr 139:8 \ft Vilindi ina maana ya Kuzimu, ambayo ni Sheol kwa Kiebrania.\f* kuwa kitanda changu,

PSA 139:8 Removed trailing space in p~: wewe uko huko.

PSA 139:9 Removed trailing space in v~: Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko,

PSA 139:9 Removed trailing space in p~: kama nikikaa pande za mbali za bahari,

PSA 139:10 Removed trailing space in v~: hata huko mkono wako utaniongoza,

PSA 139:10 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.

PSA 139:11 Removed trailing space in v~: Kama nikisema, “Hakika giza litanificha

PSA 139:11 Removed trailing space in p~: na nuru inayonizunguka iwe usiku,”

PSA 139:12 Removed trailing space in v~: hata giza halitakuwa giza kwako,

PSA 139:12 Removed trailing space in p~: usiku utangʼaa kama mchana,

PSA 139:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.

PSA 139:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana wewe ndiwe uliyeumba utu wangu wa ndani;

PSA 139:13 Removed trailing space in p~: uliniunga pamoja tumboni mwa mama yangu.

PSA 139:14 Removed trailing space in v~: Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa

PSA 139:14 Removed trailing space in p~: kwa namna ya ajabu na ya kutisha;

PSA 139:14 Removed trailing space in p~: kazi zako ni za ajabu,

PSA 139:14 Removed trailing space in p~: ninajua hayo kikamilifu.

PSA 139:15 Removed trailing space in v~: Umbile langu halikufichika kwako,

PSA 139:15 Removed trailing space in p~: nilipoumbwa mahali pa siri.

PSA 139:15 Removed trailing space in p~: Nilipoungwa pamoja kwa ustadi katika vilindi vya nchi,

PSA 139:16 Removed trailing space in v~: macho yako yaliniona kabla mwili wangu haujakamilika.

PSA 139:16 Removed trailing space in p~: Siku zangu zote ulizonipangia

PSA 139:16 Removed trailing space in p~: ziliandikwa katika kitabu chako

PSA 139:16 Removed trailing space in p~: kabla haijakuwepo hata moja.

PSA 139:17 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi yalivyo ya thamani mawazo yako kwangu, Ee Mungu!

PSA 139:17 Removed trailing space in p~: Jinsi jumla yake ilivyo kubwa!

PSA 139:18 Removed trailing space in v~: Kama ningezihesabu,

PSA 139:18 Removed trailing space in p~: zingekuwa nyingi kuliko mchanga.

PSA 139:18 Removed trailing space in p~: Niamkapo,

PSA 139:18 Removed trailing space in p~: bado niko pamoja nawe.

PSA 139:19 Removed trailing space in v~: Laiti ungewachinja waovu, Ee Mungu!

PSA 139:19 Removed trailing space in p~: Ondokeni kwangu, ninyi wamwaga damu!

PSA 139:20 Removed trailing space in v~: Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya,

PSA 139:20 Removed trailing space in p~: adui zako wanatumia vibaya jina lako.

PSA 139:21 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, je, nisiwachukie wanaokuchukia?

PSA 139:21 Removed trailing space in p~: Nisiwachukie sana wanaoinuka dhidi yako?

PSA 139:22 Removed trailing space in v~: Sina kitu zaidi ya chuki dhidi yao,

PSA 139:22 Removed trailing space in p~: ninawahesabu ni adui zangu.

PSA 139:23 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu,

PSA 139:23 Removed trailing space in p~: nijaribu na ujue mawazo yangu.

PSA 139:24 Removed trailing space in v~: Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu,

PSA 139:24 Removed trailing space in p~: uniongoze katika njia ya milele.

PSA 140:0 Extra space after chapter number

PSA 140:0 Removed trailing space in c: 140

PSA 140:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 140

PSA 140:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Wa Mungu

PSA 140:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 140:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, niokoe, kutoka kwa watu waovu;

PSA 140:1 Removed trailing space in p~: nilinde na watu wenye jeuri,

PSA 140:2 Removed trailing space in v~: ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao,

PSA 140:2 Removed trailing space in p~: na kuchochea vita siku zote.

PSA 140:3 Removed trailing space in v~: Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,

PSA 140:3 Removed trailing space in p~: sumu ya nyoka iko midomoni mwao.

PSA 140:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, niepushe na mikono ya waovu;

PSA 140:4 Removed trailing space in p~: nilinde na watu wenye jeuri

PSA 140:4 Removed trailing space in p~: wanaopanga kunikwaza miguu yangu.

PSA 140:5 Removed trailing space in v~: Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa,

PSA 140:5 Removed trailing space in p~: wametandaza kamba za wavu wao,

PSA 140:5 Removed trailing space in p~: wametega mitego kwenye njia yangu.

PSA 140:6 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”

PSA 140:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, usikie kilio changu na kunihurumia.

PSA 140:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,

PSA 140:7 Removed trailing space in p~: unikingaye kichwa changu siku ya vita:

PSA 140:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usiwape waovu matakwa yao,

PSA 140:8 Removed trailing space in p~: usiache mipango yao ikafanikiwa,

PSA 140:8 Removed trailing space in p~: wasije wakajisifu.

PSA 140:9 Removed trailing space in v~: Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe

PSA 140:9 Removed trailing space in p~: na shida zinazosababishwa na midomo yao.

PSA 140:10 Removed trailing space in v~: Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie!

PSA 140:10 Removed trailing space in p~: Na watupwe motoni,

PSA 140:10 Removed trailing space in p~: katika mashimo ya matope,

PSA 140:10 Removed trailing space in p~: wasiinuke tena kamwe.

PSA 140:11 Removed trailing space in v~: Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi;

PSA 140:11 Removed trailing space in p~: maafa na yawawinde watu wenye jeuri.

PSA 140:12 Removed trailing space in v~: Najua kwamba \nd Bwana\nd* huwapatia maskini haki,

PSA 140:12 Removed trailing space in p~: na kuitegemeza njia ya mhitaji.

PSA 140:13 Removed trailing space in v~: Hakika wenye haki watalisifu jina lako,

PSA 140:13 Removed trailing space in p~: na waadilifu wataishi mbele zako.

PSA 141:0 Extra space after chapter number

PSA 141:0 Removed trailing space in c: 141

PSA 141:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 141

PSA 141:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Kuhifadhiwa Dhidi Ya Uovu

PSA 141:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 141:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakuita wewe, uje kwangu hima.

PSA 141:1 Removed trailing space in p~: Sikia sauti yangu ninapokuita.

PSA 141:2 Removed trailing space in v~: Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;

PSA 141:2 Removed trailing space in p~: kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.

PSA 141:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, weka mlinzi kinywani mwangu,

PSA 141:3 Removed trailing space in p~: weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.

PSA 141:4 Removed trailing space in v~: Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,

PSA 141:4 Removed trailing space in p~: nisije nikashiriki katika matendo maovu

PSA 141:4 Removed trailing space in p~: pamoja na watu watendao mabaya,

PSA 141:4 Removed trailing space in p~: wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.

PSA 141:5 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;

PSA 141:5 Removed trailing space in p~: na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu.

PSA 141:5 Removed trailing space in p~: Kichwa changu hakitalikataa.

PSA 141:5 Removed trailing space in p~: Hata hivyo, maombi yangu daima

PSA 141:5 Removed trailing space in p~: ni kinyume cha watenda mabaya,

PSA 141:6 Removed trailing space in v~: watawala wao watatupwa chini

PSA 141:6 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye majabali,

PSA 141:6 Removed trailing space in p~: waovu watajifunza kwamba maneno yangu

PSA 141:6 Removed trailing space in p~: yalikuwa kweli.

PSA 141:7 Removed trailing space in v~: Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,

PSA 141:7 Removed trailing space in p~: ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.”

PSA 141:8 Removed trailing space in v~: Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi,

PSA 141:8 Removed trailing space in p~: ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.

PSA 141:9 Removed trailing space in v~: Niepushe na mitego waliyonitegea,

PSA 141:9 Removed trailing space in p~: kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.

PSA 141:10 Removed trailing space in v~: Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,

PSA 141:10 Removed trailing space in p~: wakati mimi ninapita salama.

PSA 142:0 Extra space after chapter number

PSA 142:0 Removed trailing space in c: 142

PSA 142:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 142

PSA 142:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Watesi

PSA 142:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi.

PSA 142:1 Removed trailing space in v~: Namlilia \nd Bwana\nd* kwa sauti,

PSA 142:1 Removed trailing space in p~: nainua sauti yangu kwa \nd Bwana\nd* anihurumie.

PSA 142:2 Removed trailing space in v~: Namimina malalamiko yangu mbele zake,

PSA 142:2 Removed trailing space in p~: mbele zake naeleza shida zangu.

PSA 142:3 Removed trailing space in v~: Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu,

PSA 142:3 Removed trailing space in p~: wewe ndiwe unajua njia zangu.

PSA 142:3 Removed trailing space in p~: Katika njia ninayopita

PSA 142:3 Removed trailing space in p~: watu wameniwekea mtego.

PSA 142:4 Removed trailing space in v~: Tazama kuume kwangu na uone,

PSA 142:4 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja anayejihusisha nami.

PSA 142:4 Removed trailing space in p~: Sina kimbilio,

PSA 142:4 Removed trailing space in p~: hakuna anayejali maisha yangu.

PSA 142:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nakulilia wewe,

PSA 142:5 Removed trailing space in p~: nasema, “Wewe ni kimbilio langu,

PSA 142:5 Removed trailing space in p~: fungu langu katika nchi ya walio hai.”

PSA 142:6 Removed trailing space in v~: Sikiliza kilio changu,

PSA 142:6 Removed trailing space in p~: kwa sababu mimi ni mhitaji sana;

PSA 142:6 Removed trailing space in p~: niokoe na wale wanaonifuatilia,

PSA 142:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamenizidi nguvu.

PSA 142:7 Removed trailing space in v~: Nifungue kutoka kifungo changu,

PSA 142:7 Removed trailing space in p~: ili niweze kulisifu jina lako.

PSA 142:7 Removed trailing space in p~: Ndipo wenye haki watanizunguka,

PSA 142:7 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya wema wako kwangu.

PSA 143:0 Extra space after chapter number

PSA 143:0 Removed trailing space in c: 143

PSA 143:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 143

PSA 143:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Adui

PSA 143:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 143:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sikia sala yangu,

PSA 143:1 Removed trailing space in p~: sikiliza kilio changu unihurumie;

PSA 143:1 Removed trailing space in p~: katika uaminifu na haki yako

PSA 143:1 Removed trailing space in p~: njoo unisaidie.

PSA 143:2 Removed trailing space in v~: Usimhukumu mtumishi wako,

PSA 143:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.

PSA 143:3 Removed trailing space in v~: Adui hunifuatilia,

PSA 143:3 Removed trailing space in p~: hunipondaponda chini;

PSA 143:3 Removed trailing space in p~: hunifanya niishi gizani

PSA 143:3 Removed trailing space in p~: kama wale waliokufa zamani.

PSA 143:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu,

PSA 143:4 Removed trailing space in p~: moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.

PSA 143:5 Removed trailing space in v~: Nakumbuka siku za zamani;

PSA 143:5 Removed trailing space in p~: natafakari juu ya kazi zako zote,

PSA 143:5 Removed trailing space in p~: naangalia juu ya kazi

PSA 143:5 Removed trailing space in p~: ambazo mikono yako imezifanya.

PSA 143:6 Removed trailing space in v~: Nanyoosha mikono yangu kwako,

PSA 143:6 Removed trailing space in p~: nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.

PSA 143:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unijibu haraka,

PSA 143:7 Removed trailing space in p~: roho yangu inazimia.

PSA 143:7 Removed trailing space in p~: Usinifiche uso wako,

PSA 143:7 Removed trailing space in p~: ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.

PSA 143:8 Removed trailing space in v~: Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma,

PSA 143:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako.

PSA 143:8 Removed trailing space in p~: Nionyeshe njia nitakayoiendea,

PSA 143:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.

PSA 143:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uniokoe na adui zangu,

PSA 143:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimejificha kwako.

PSA 143:10 Removed trailing space in v~: Nifundishe kufanya mapenzi yako,

PSA 143:10 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu,

PSA 143:10 Removed trailing space in p~: Roho wako mwema na aniongoze

PSA 143:10 Removed trailing space in p~: katika nchi tambarare.

PSA 143:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu,

PSA 143:11 Removed trailing space in p~: kwa haki yako nitoe katika taabu.

PSA 143:12 Removed trailing space in v~: Kwa upendo wako usiokoma,

PSA 143:12 Removed trailing space in p~: nyamazisha adui zangu;

PSA 143:12 Removed trailing space in p~: waangamize watesi wangu wote,

PSA 143:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.

PSA 144:0 Extra space after chapter number

PSA 144:0 Removed trailing space in c: 144

PSA 144:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 144

PSA 144:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Amshukuru Mungu Kwa Ushindi

PSA 144:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 144:1 Removed trailing space in v~: Sifa ni kwa \nd Bwana\nd* Mwamba wangu,

PSA 144:1 Removed trailing space in p~: aifundishaye mikono yangu vita,

PSA 144:1 Removed trailing space in p~: na vidole vyangu kupigana.

PSA 144:2 Removed trailing space in v~: Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu,

PSA 144:2 Removed trailing space in p~: ngome yangu na mwokozi wangu,

PSA 144:2 Removed trailing space in p~: ngao yangu ninayemkimbilia,

PSA 144:2 Removed trailing space in p~: ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.

PSA 144:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mwanadamu ni nini hata umjali,

PSA 144:3 Removed trailing space in p~: Binadamu ni nini hata umfikirie?

PSA 144:4 Removed trailing space in v~: Mwanadamu ni kama pumzi,

PSA 144:4 Removed trailing space in p~: siku zake ni kama kivuli kinachopita.

PSA 144:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, pasua mbingu zako, ushuke,

PSA 144:5 Removed trailing space in p~: gusa milima ili itoe moshi.

PSA 144:6 Removed trailing space in v~: Peleka umeme uwatawanye adui,

PSA 144:6 Removed trailing space in p~: lenga mishale yako uwashinde.

PSA 144:7 Removed trailing space in v~: Nyoosha mkono wako kutoka juu,

PSA 144:7 Removed trailing space in p~: nikomboe na kuniokoa

PSA 144:7 Removed trailing space in p~: kutoka maji makuu,

PSA 144:7 Removed trailing space in p~: kutoka mikononi mwa wageni

PSA 144:8 Removed trailing space in v~: ambao vinywa vyao vimejaa uongo,

PSA 144:8 Removed trailing space in p~: na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

PSA 144:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya,

PSA 144:9 Removed trailing space in p~: kwa zeze yenye nyuzi kumi nitakuimbia,

PSA 144:10 Removed trailing space in v~: kwa Yule awapaye wafalme ushindi,

PSA 144:10 Removed trailing space in p~: ambaye humwokoa Daudi, mtumishi wake kutokana na upanga hatari.

PSA 144:11 Removed trailing space in v~: Nikomboe na uniokoe

PSA 144:11 Removed trailing space in p~: kutoka mikononi mwa wageni

PSA 144:11 Removed trailing space in p~: ambao vinywa vyao vimejaa uongo,

PSA 144:11 Removed trailing space in p~: na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

PSA 144:12 Removed trailing space in v~: Kisha wana wetu wakati wa ujana wao

PSA 144:12 Removed trailing space in p~: watakuwa kama mimea iliyotunzwa vizuri,

PSA 144:12 Removed trailing space in p~: binti zetu watakuwa kama nguzo zilizoviringwa

PSA 144:12 Removed trailing space in p~: kurembesha jumba la kifalme.

PSA 144:13 Removed trailing space in v~: Ghala zetu zitajazwa

PSA 144:13 Removed trailing space in p~: aina zote za mahitaji.

PSA 144:13 Removed trailing space in p~: Kondoo zetu watazaa kwa maelfu,

PSA 144:13 Removed trailing space in p~: kwa makumi ya maelfu katika mashamba yetu;

PSA 144:14 Removed trailing space in v~: maksai wetu watakokota

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: mizigo mizito.

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: Hakutakuwa na kubomoka kuta,

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: hakuna kuchukuliwa mateka,

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: wala kilio cha taabu

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: katika barabara zetu.

PSA 144:15 Removed trailing space in v~: Heri watu ambao hili ni kweli;

PSA 144:15 Removed trailing space in p~: heri wale ambao \nd Bwana\nd* ni Mungu wao.

PSA 145:0 Extra space after chapter number

PSA 145:0 Removed trailing space in c: 145

PSA 145:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 145\f + \fr 145:1 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari (ikiwa ni pamoja na 13b) ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 145:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kusifu Ukuu Na Wema Wa Mungu

PSA 145:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa Sifa. Wa Daudi.

PSA 145:1 Removed trailing space in v~: Nitakutukuza wewe, Mungu wangu Mfalme,

PSA 145:1 Removed trailing space in p~: nitalisifu jina lako milele na milele.

PSA 145:2 Removed trailing space in v~: Kila siku nitakusifu

PSA 145:2 Removed trailing space in p~: na kulitukuza jina lako milele na milele.

PSA 145:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,

PSA 145:3 Removed trailing space in p~: ukuu wake haupimiki.

PSA 145:4 Removed trailing space in v~: Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine,

PSA 145:4 Removed trailing space in p~: watasimulia matendo yako makuu.

PSA 145:5 Removed trailing space in v~: Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako,

PSA 145:5 Removed trailing space in p~: nami nitatafakari juu ya kazi zako za ajabu.

PSA 145:6 Removed trailing space in v~: Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha,

PSA 145:6 Removed trailing space in p~: nami nitatangaza matendo yako makuu.

PSA 145:7 Removed trailing space in v~: Wataadhimisha wema wako mwingi,

PSA 145:7 Removed trailing space in p~: na wataimba kwa shangwe juu ya haki yako.

PSA 145:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwenye neema na mwingi wa huruma,

PSA 145:8 Removed trailing space in p~: si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo.

PSA 145:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwema kwa wote,

PSA 145:9 Removed trailing space in p~: ana huruma kwa vyote alivyovifanya.

PSA 145:10 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, vyote ulivyovifanya vitakusifu,

PSA 145:10 Removed trailing space in p~: watakatifu wako watakutukuza.

PSA 145:11 Removed trailing space in v~: Watasimulia utukufu wa ufalme wako

PSA 145:11 Removed trailing space in p~: na kusema juu ya ukuu wako,

PSA 145:12 Removed trailing space in v~: ili watu wote wajue matendo yako makuu

PSA 145:12 Removed trailing space in p~: na utukufu wa fahari ya ufalme wako.

PSA 145:13 Removed trailing space in v~: Ufalme wako ni ufalme wa milele,

PSA 145:13 Removed trailing space in p~: mamlaka yako hudumu vizazi vyote.

PSA 145:13 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni mwaminifu kwa ahadi zake zote

PSA 145:13 Removed trailing space in p~: na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.

PSA 145:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwategemeza wote waangukao,

PSA 145:14 Removed trailing space in p~: na huwainua wote waliolemewa na mizigo yao.

PSA 145:15 Removed trailing space in v~: Macho yao wote yanakutazama wewe,

PSA 145:15 Removed trailing space in p~: nawe huwapa chakula chao wakati wake.

PSA 145:16 Removed trailing space in v~: Waufumbua mkono wako,

PSA 145:16 Removed trailing space in p~: watosheleza haja ya kila kitu kilicho hai.

PSA 145:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwenye haki katika njia zake zote,

PSA 145:17 Removed trailing space in p~: na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.

PSA 145:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yu karibu na wote wamwitao,

PSA 145:18 Removed trailing space in p~: karibu na wote wamwitao kwa uaminifu.

PSA 145:19 Removed trailing space in v~: Huwatimizia wamchao matakwa yao,

PSA 145:19 Removed trailing space in p~: husikia kilio chao na kuwaokoa.

PSA 145:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwalinda wote wampendao,

PSA 145:20 Removed trailing space in p~: bali waovu wote atawaangamiza.

PSA 145:21 Removed trailing space in v~: Kinywa changu kitazinena sifa za \nd Bwana\nd*.

PSA 145:21 Removed trailing space in p~: Kila kiumbe na kilisifu jina lake takatifu

PSA 145:21 Removed trailing space in p~: milele na milele.

PSA 146:0 Extra space after chapter number

PSA 146:0 Removed trailing space in c: 146

PSA 146:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 146

PSA 146:0 Removed trailing space in s1: Kumsifu Mungu Mwokozi

PSA 146:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*!\f + \fr 146:1 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.\f*

PSA 146:1 Removed trailing space in p~: Ee nafsi yangu, umsifu \nd Bwana\nd*,

PSA 146:2 Removed trailing space in v~: Nitamsifu \nd Bwana\nd* maisha yangu yote;

PSA 146:2 Removed trailing space in p~: nitamwimbia Mungu wangu sifa

PSA 146:2 Removed trailing space in p~: wakati wote niishipo.

PSA 146:3 Removed trailing space in v~: Usiweke tumaini lako kwa wakuu,

PSA 146:3 Removed trailing space in p~: kwa wanadamu ambao hufa,

PSA 146:3 Removed trailing space in p~: ambao hawawezi kuokoa.

PSA 146:4 Removed trailing space in v~: Roho yao itokapo hurudi mavumbini,

PSA 146:4 Removed trailing space in p~: siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.

PSA 146:5 Removed trailing space in v~: Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,

PSA 146:5 Removed trailing space in p~: ambaye tumaini lake ni katika \nd Bwana\nd*, Mungu wake,

PSA 146:6 Removed trailing space in v~: Muumba wa mbingu na nchi,

PSA 146:6 Removed trailing space in p~: na bahari na vyote vilivyomo ndani yake:

PSA 146:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* anayedumu kuwa mwaminifu

PSA 146:6 Removed trailing space in p~: milele na milele.

PSA 146:7 Removed trailing space in v~: Naye huwapatia haki walioonewa

PSA 146:7 Removed trailing space in p~: na kuwapa wenye njaa chakula.

PSA 146:7 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwaweka wafungwa huru,

PSA 146:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwafumbua vipofu macho,

PSA 146:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwainua waliolemewa na mizigo yao,

PSA 146:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwapenda wenye haki.

PSA 146:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwalinda wageni

PSA 146:9 Removed trailing space in p~: na kuwategemeza yatima na wajane,

PSA 146:9 Removed trailing space in p~: lakini hupinga njia za waovu.

PSA 146:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamiliki milele,

PSA 146:10 Removed trailing space in p~: Mungu wako, ee Sayuni,

PSA 146:10 Removed trailing space in p~: kwa vizazi vyote.

PSA 146:10 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 147:0 Extra space after chapter number

PSA 147:0 Removed trailing space in c: 147

PSA 147:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 147

PSA 147:0 Removed trailing space in s1: Kumsifu Mungu Mwenye Nguvu Zote

PSA 147:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 147:1 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ilivyo vyema kumwimbia Mungu wetu sifa,

PSA 147:1 Removed trailing space in p~: jinsi inavyopendeza na kustahili kumsifu yeye!

PSA 147:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hujenga Yerusalemu,

PSA 147:2 Removed trailing space in p~: huwakusanya Israeli walio uhamishoni.

PSA 147:3 Removed trailing space in v~: Anawaponya waliovunjika mioyo

PSA 147:3 Removed trailing space in p~: na kuvifunga vidonda vyao.

PSA 147:4 Removed trailing space in v~: Huzihesabu nyota

PSA 147:4 Removed trailing space in p~: na huipa kila moja jina lake.

PSA 147:5 Removed trailing space in v~: Bwana wetu ni mkuu na mwenye uwezo mwingi,

PSA 147:5 Removed trailing space in p~: ufahamu wake hauna kikomo.

PSA 147:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwahifadhi wanyenyekevu

PSA 147:6 Removed trailing space in p~: lakini huwashusha waovu mpaka mavumbini.

PSA 147:7 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* kwa shukrani,

PSA 147:7 Removed trailing space in p~: mpigieni Mungu wetu kinubi.

PSA 147:8 Removed trailing space in v~: Yeye huzifunika anga kwa mawingu,

PSA 147:8 Removed trailing space in p~: huinyeshea ardhi mvua,

PSA 147:8 Removed trailing space in p~: na kuzifanya nyasi kuota juu ya vilima.

PSA 147:9 Removed trailing space in v~: Huwapa chakula mifugo

PSA 147:9 Removed trailing space in p~: na pia makinda ya kunguru yanapolia.

PSA 147:10 Removed trailing space in v~: Furaha yake haipo katika nguvu za farasi,

PSA 147:10 Removed trailing space in p~: wala furaha yake kwenye miguu ya mwanadamu.

PSA 147:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hupendezwa na wale wamchao,

PSA 147:11 Removed trailing space in p~: wale wanaoweka tumaini lao katika upendo wake usiokoma.

PSA 147:12 Removed trailing space in v~: Mtukuze \nd Bwana\nd*, ee Yerusalemu,

PSA 147:12 Removed trailing space in p~: msifu Mungu wako, ee Sayuni,

PSA 147:13 Removed trailing space in v~: kwa maana huimarisha makomeo ya malango yako

PSA 147:13 Removed trailing space in p~: na huwabariki watu wako walio ndani yako.

PSA 147:14 Removed trailing space in v~: Huwapa amani mipakani mwenu

PSA 147:14 Removed trailing space in p~: na kukushibisha kwa ngano safi kabisa.

PSA 147:15 Removed trailing space in v~: Hutuma amri yake duniani,

PSA 147:15 Removed trailing space in p~: neno lake hukimbia kasi.

PSA 147:16 Removed trailing space in v~: Anatandaza theluji kama sufu

PSA 147:16 Removed trailing space in p~: na kutawanya umande kama majivu.

PSA 147:17 Removed trailing space in v~: Huvurumisha mvua yake ya mawe kama changarawe.

PSA 147:17 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kustahimili ukali wa baridi yake?

PSA 147:18 Removed trailing space in v~: Hutuma neno lake na kuviyeyusha,

PSA 147:18 Removed trailing space in p~: huvumisha upepo wake, nayo maji hutiririka.

PSA 147:19 Removed trailing space in v~: Amemfunulia Yakobo neno lake,

PSA 147:19 Removed trailing space in p~: sheria zake na maagizo yake kwa Israeli.

PSA 147:20 Removed trailing space in v~: Hajafanya hivyo kwa taifa lingine lolote,

PSA 147:20 Removed trailing space in p~: hawazijui sheria zake.

PSA 147:20 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 148:0 Extra space after chapter number

PSA 148:0 Removed trailing space in c: 148

PSA 148:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 148

PSA 148:0 Removed trailing space in s1: Mwito Kwa Ulimwengu Kumsifu Mungu

PSA 148:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 148:1 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd* kutoka mbinguni,

PSA 148:1 Removed trailing space in p~: msifuni juu vileleni.

PSA 148:2 Removed trailing space in v~: Msifuni, enyi malaika wake wote,

PSA 148:2 Removed trailing space in p~: msifuni yeye, enyi jeshi lake lote la mbinguni.

PSA 148:3 Removed trailing space in v~: Msifuni yeye, enyi jua na mwezi,

PSA 148:3 Removed trailing space in p~: msifuni yeye, enyi nyota zote zingʼaazo.

PSA 148:4 Removed trailing space in v~: Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu sana,

PSA 148:4 Removed trailing space in p~: na ninyi maji juu ya anga.

PSA 148:5 Removed trailing space in v~: Vilisifu jina la \nd Bwana\nd*

PSA 148:5 Removed trailing space in p~: kwa maana aliamuru navyo vikaumbwa.

PSA 148:6 Removed trailing space in v~: Aliviweka mahali pake milele na milele,

PSA 148:6 Removed trailing space in p~: alitoa amri ambayo haibadiliki milele.

PSA 148:7 Removed trailing space in v~: Mtukuzeni \nd Bwana\nd* kutoka duniani,

PSA 148:7 Removed trailing space in p~: ninyi viumbe vikubwa vya baharini na vilindi vyote vya bahari,

PSA 148:8 Removed trailing space in v~: umeme wa radi na mvua ya mawe, theluji na mawingu,

PSA 148:8 Removed trailing space in p~: pepo za dhoruba zinazofanya amri zake,

PSA 148:9 Removed trailing space in v~: ninyi milima na vilima vyote,

PSA 148:9 Removed trailing space in p~: miti ya matunda na mierezi yote,

PSA 148:10 Removed trailing space in v~: wanyama wa mwituni na mifugo yote,

PSA 148:10 Removed trailing space in p~: viumbe vidogo na ndege warukao,

PSA 148:11 Removed trailing space in v~: wafalme wa dunia na mataifa yote,

PSA 148:11 Removed trailing space in p~: ninyi wakuu na watawala wote wa dunia,

PSA 148:12 Removed trailing space in v~: wanaume vijana na wanawali,

PSA 148:12 Removed trailing space in p~: wazee na watoto.

PSA 148:13 Removed trailing space in v~: Wote na walisifu jina la \nd Bwana\nd*,

PSA 148:13 Removed trailing space in p~: kwa maana jina lake pekee limetukuka,

PSA 148:13 Removed trailing space in p~: utukufu wake uko juu ya nchi na mbingu.

PSA 148:14 Removed trailing space in v~: Amewainulia watu wake pembe,\f + \fr 148:14 \ft Pembe hapa inawakilisha mwenye nguvu, yaani mfalme.\f*

PSA 148:14 Removed trailing space in p~: sifa ya watakatifu wake wote,

PSA 148:14 Removed trailing space in p~: ya Israeli, watu walio karibu na moyo wake.

PSA 148:14 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 149:0 Extra space after chapter number

PSA 149:0 Removed trailing space in c: 149

PSA 149:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 149

PSA 149:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake

PSA 149:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 149:1 Removed trailing space in p~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* wimbo mpya,

PSA 149:1 Removed trailing space in p~: sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.

PSA 149:2 Removed trailing space in v~: Israeli na washangilie katika Muumba wao,

PSA 149:2 Removed trailing space in p~: watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.

PSA 149:3 Removed trailing space in v~: Na walisifu jina lake kwa kucheza

PSA 149:3 Removed trailing space in p~: na wampigie muziki kwa matari na kinubi.

PSA 149:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* anapendezwa na watu wake,

PSA 149:4 Removed trailing space in p~: anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.

PSA 149:5 Removed trailing space in v~: Watakatifu washangilie katika heshima hii,

PSA 149:5 Removed trailing space in p~: na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.

PSA 149:6 Removed trailing space in v~: Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao

PSA 149:6 Removed trailing space in p~: na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,

PSA 149:7 Removed trailing space in v~: ili walipize mataifa kisasi

PSA 149:7 Removed trailing space in p~: na adhabu juu ya mataifa,

PSA 149:8 Removed trailing space in v~: wawafunge wafalme wao kwa minyororo,

PSA 149:8 Removed trailing space in p~: wakuu wao kwa pingu za chuma,

PSA 149:9 Removed trailing space in v~: ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao.

PSA 149:9 Removed trailing space in p~: Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote.

PSA 149:9 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 150:0 Extra space after chapter number

PSA 150:0 Removed trailing space in c: 150

PSA 150:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 150

PSA 150:0 Removed trailing space in s1: Msifuni \nd Bwana\nd* Kwa Ukuu Wake

PSA 150:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 150:1 Removed trailing space in p~: Msifuni Mungu katika patakatifu pake,

PSA 150:1 Removed trailing space in p~: msifuni katika mbingu zake kuu.

PSA 150:2 Removed trailing space in v~: Msifuni kwa matendo yake makuu,

PSA 150:2 Removed trailing space in p~: msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.

PSA 150:3 Removed trailing space in v~: Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,

PSA 150:3 Removed trailing space in p~: msifuni kwa kinubi na zeze,

PSA 150:4 Removed trailing space in v~: msifuni kwa matari na kucheza,

PSA 150:4 Removed trailing space in p~: msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,

PSA 150:5 Removed trailing space in v~: msifuni kwa matoazi yaliayo,

PSA 150:5 Removed trailing space in p~: msifuni kwa matoazi yavumayo sana.

PSA 150:6 Removed trailing space in v~: Kila chenye pumzi na kimsifu \nd Bwana\nd*.

PSA 150:6 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*!

Validation Errors

PSA 42:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

PSA 73:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

PSA 90:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

PSA 107:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

PSA 150:6 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

USFMs

Newline Marker Errors

PSA 1:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 42:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 73:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 90:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 107:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 136:1 Marker 'qr' has no content

PSA 136:2 Marker 'qr' has no content

PSA 136:3 Marker 'qr' has no content

PSA 136:4 Marker 'qr' has no content

PSA 136:5 Marker 'qr' has no content

PSA 136:6 Marker 'qr' has no content

PSA 136:7 Marker 'qr' has no content

PSA 136:8 Marker 'qr' has no content

PSA 136:9 Marker 'qr' has no content

PSA 136:10 Marker 'qr' has no content

PSA 136:11 Marker 'qr' has no content

PSA 136:12 Marker 'qr' has no content

PSA 136:13 Marker 'qr' has no content

PSA 136:14 Marker 'qr' has no content

PSA 136:15 Marker 'qr' has no content

PSA 136:16 Marker 'qr' has no content

PSA 136:17 Marker 'qr' has no content

PSA 136:18 Marker 'qr' has no content

PSA 136:19 Marker 'qr' has no content

PSA 136:20 Marker 'qr' has no content

PSA 136:21 Marker 'qr' has no content

PSA 136:22 Marker 'qr' has no content

PSA 136:23 Marker 'qr' has no content

PSA 136:24 Marker 'qr' has no content

PSA 136:25 Marker 'qr' has no content

PSA 136:26 Marker 'qr' has no content

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 626    c: 150    cl: 150    d: 116    h: 1    id: 1    mr: 5    ms1: 5    mt1: 1    p: 1    q1: 2870    q2: 3188    qc: 3    qr: 26    r: 7    rem: 1    s1: 153    s2: 22    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 9790    v: 2461  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    p: 1    qc: 3    ms1: 5    mr: 5    r: 7    s2: 22    qr: 26    d: 116    c: 150    cl: 150    s1: 153    b: 626    v: 2461    q1: 2870    q2: 3188    Total: 9790  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 35    nd*: 35    Total: 70  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 35    nd*: 35    Total: 70  

All Footnote and Cross-Reference Internal Marker Counts

 fq: 1    fr: 11    ft: 11    Total: 23  

All Footnote and Cross-Reference Internal Marker Counts (sorted by count)

 fq: 1    fr: 11    ft: 11    Total: 23  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 150    Footnotes: 11    Paragraphs: 1    Section Cross-References: 7    Verses: 2461  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Paragraphs: 1    Section Cross-References: 7    Footnotes: 11    Chapters: 150    Verses: 2461  

Characters

Possible Character Errors

PSA 104:35 Multiple spaces in '104:35 Msifuni··Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.'

PSA 105:45 Multiple spaces in '105:45 Msifuni··Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.'

PSA 115:18 Multiple spaces in '115:18 Msifuni··Bwana ni Kiebrania Hallelu Yah.'

PSA 146:1 Multiple spaces in '146:1 Msifuni··Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.'

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

Letter Counts (sorted by count)

Punctuation Counts

 !: 4    (: 31    ): 31    ,: 15    .: 246    :: 13    ;: 9    ?: 1    Total: 379    : 5    : 12    : 12  

Punctuation Counts (sorted by count)

 ?: 1    !: 4    : 5    ;: 9    : 12    : 12    :: 13    ,: 15    (: 31    ): 31    .: 246    Total: 379  

Words

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

PSA -1:6 Main Title 1:Zaburi

Section Heading Lines

PSA 1:0Furaha Ya Kweli
PSA 1:3Huzuni Ya Waovu
PSA 2:0Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu
PSA 2:6Ushindi Wa Mfalme
PSA 3:0Sala Ya Asubuhi Ya Kuomba Msaada
PSA 4:0Sala Ya Jioni Ya Kuomba Msaada
PSA 5:0Sala Kwa Ajili Ya Ulinzi Wakati Wa Hatari
PSA 6:0Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu
PSA 7:0Sala Ya Mtu Anayedhulumiwa
PSA 8:0Utukufu Wa Mungu Na Heshima Ya Mwanadamu
PSA 9:0Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake
PSA 10:0Sala Kwa Ajili Ya Haki
PSA 11:0Kumtumaini \nd Bwana\nd*
PSA 12:0Kuomba Msaada
PSA 13:0Sala Ya Kuomba Msaada
PSA 14:0Uovu Wa Wanadamu
PSA 15:0Kitu Mungu Anachotaka
PSA 16:0Sala Ya Matumaini
PSA 17:0Sala Ya Mtu Asiye Na Hatia
PSA 18:0Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi
PSA 19:0Utukufu Wa Mungu Katika Uumbaji
PSA 20:0Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi
PSA 21:0Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Ushindi
PSA 22:0Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa
PSA 23:0\nd Bwana\nd* Mchungaji Wetu
PSA 24:0Mfalme Mkuu
PSA 25:0Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi
PSA 26:0Maombi Ya Mtu Mwema
PSA 27:0Sala Ya Kusifu
PSA 28:0Kuomba Msaada
PSA 29:0Sauti Ya \nd Bwana\nd* Wakati Wa Dhoruba
PSA 30:0Maombi Ya Shukrani
PSA 31:0Maombi Na Sifa Kwa Kuokolewa Kutoka Kwa Adui
PSA 32:0Furaha Ya Msamaha
PSA 33:0Ukuu Na Wema Wa Mungu
PSA 34:0Sifa Na Wema Wa Mungu
PSA 35:0Kuomba Msaada: Kuokolewa Kutokana Na Maadui
PSA 36:0Uovu Wa Mwanadamu
PSA 37:0Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki
PSA 38:0Maombi Ya Mtu Anayeteseka
PSA 39:0Maombi Ya Mtu Anayeteseka
PSA 40:0Wimbo Wa Sifa
PSA 41:0Maombi Ya Mtu Mgonjwa
PSA 42:0Maombi Ya Mtu Aliye Uhamishoni
PSA 43:0Maombi Ya Mtu Aliyeko Uhamishoni Yanaendelea
PSA 44:0Kuomba Ulinzi Wa Mungu
PSA 45:0Wimbo Wa Arusi Ya Kifalme
PSA 46:0Mungu Yuko Pamoja Nasi
PSA 47:0Mtawala Mwenye Enzi Yote
PSA 48:0Sayuni, Mji Wa Mungu
PSA 49:0Upumbavu Wa Kutegemea Mali
PSA 50:0Ibada Ya Kweli
PSA 51:0Kuomba Msamaha
PSA 52:0Hukumu Ya Mungu
PSA 52:7Neema Ya Mungu
PSA 53:0Uovu Wa Wanadamu
PSA 54:0Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui
PSA 55:0Maombi Ya Mtu Aliyesalitiwa Na Rafiki
PSA 56:0Kumtumaini Mungu
PSA 57:0Kuomba Msaada
PSA 58:0Mungu Kuwaadhibu Waovu
PSA 59:0Kuomba Ulinzi Wa Mungu
PSA 60:0Kuomba Kuokolewa
PSA 61:0Kuomba Ulinzi
PSA 62:0Mungu Kimbilio La Pekee
PSA 63:0Shauku Kwa Ajili Ya Uwepo Wa Mungu
PSA 64:0Kuomba Ulinzi Dhidi Ya Maadui
PSA 65:0Kusifu Na Kushukuru
PSA 66:0Kusifu Mungu Kwa Ajili Ya Wema Wake
PSA 67:0Mataifa Yahimizwa Kumsifu Mungu
PSA 68:0Wimbo Wa Taifa Wa Shangwe Kwa Ushindi
PSA 69:0Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki
PSA 70:0Kuomba Msaada
PSA 71:0Kuomba Ulinzi Na Msaada Siku Zote Za Maisha
PSA 72:0Maombi Kwa Ajili Ya Mfalme
PSA 73:0Haki Ya Mungu
PSA 74:0Maombi Kwa Ajili Ya Taifa Kuokolewa
PSA 75:0Mungu Ni Mwamuzi
PSA 76:0Mungu Wa Israeli Ni Mhukumu Wa Dunia Yote
PSA 77:0Matendo Makuu Ya Mungu Yanakumbukwa
PSA 78:0Mungu Na Watu Wake
PSA 79:0Maombi Kwa Ajili Ya Wokovu Wa Taifa
PSA 80:0Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa
PSA 81:0Wimbo Wa Sikukuu
PSA 82:0Maombi Kwa Ajili Ya Kutaka Haki
PSA 83:0Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli
PSA 84:0Kuionea Shauku Nyumba Ya Mungu
PSA 85:0Maombi Kwa Ajili Ya Ustawi Wa Taifa
PSA 86:0Kuomba Msaada
PSA 87:0Sifa Za Yerusalemu
PSA 88:0Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada
PSA 89:0Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa
PSA 90:0Umilele Wa Mungu Na Udhaifu Wa Mwanadamu
PSA 91:0Mungu Mlinzi Wetu
PSA 92:0Wimbo Wa Kumsifu Mungu
PSA 93:0Mungu Mfalme
PSA 94:0Mungu Mlipiza Kisasi Kwa Ajili Ya Wenye Haki
PSA 95:0Wimbo Wa Kumsifu Mungu
PSA 96:0Mungu Mfalme Mkuu
PSA 97:0Mungu Mtawala Mkuu
PSA 98:0Mungu Mtawala Wa Dunia
PSA 99:0Mungu Mfalme Mkuu
PSA 100:0Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu
PSA 101:0Ahadi Ya Kuishi Kwa Uadilifu Na Kwa Haki
PSA 102:0Maombi Ya Mtu Mwenye Taabu
PSA 103:0Upendo Wa Mungu
PSA 104:0Kumsifu Muumba
PSA 105:0Uaminifu Wa Mungu Kwa Israeli
PSA 106:0Wema Wa \nd Bwana\nd* Kwa Watu Wake
PSA 107:0Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake
PSA 108:0Kuomba Msaada Dhidi Ya Adui
PSA 109:0Lalamiko La Mtu Aliyeko Kwenye Shida
PSA 110:0\nd Bwana\nd* Na Mfalme Wake Mteule
PSA 111:0Sifa Za \nd Bwana\nd* Kwa Matendo Ya Ajabu
PSA 112:0Baraka Za Mwenye Haki
PSA 113:0Kumsifu \nd Bwana\nd* Kwa Wema Wake
PSA 114:0Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri
PSA 115:0Mungu Mmoja Wa Kweli
PSA 116:0Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti
PSA 117:0Sifa Za \nd Bwana\nd*
PSA 118:0Shukrani Kwa Ajili Ya Ushindi
PSA 119:0Sifa Za Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:0 (s2)Kujifunza Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:8 (s2)Kutii Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:16 (s2)Furaha Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:24 (s2)Kuamua Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:32 (s2)Maombi Ili Kupata Ufahamu Wa Sheria
PSA 119:40 (s2)Kuitumainia Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:48 (s2)Matumaini Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:56 (s2)Kujitolea Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:64 (s2)Thamani Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:72 (s2)Haki Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:80 (s2)Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa
PSA 119:88 (s2)Imani Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:96 (s2)Kuipenda Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:104 (s2)Nuru Kutoka Kwenye Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:112 (s2)Usalama Ndani Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:120 (s2)Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:128 (s2)Shauku Ya Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:136 (s2)Haki Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:144 (s2)Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa
PSA 119:152 (s2)Maombi Kwa Ajili Ya Msaada
PSA 119:160 (s2)Kujiweka Wakfu Kwa Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:168 (s2)Kuomba Msaada
PSA 120:0Kuomba Msaada
PSA 121:0\nd Bwana\nd* Mlinzi Wetu
PSA 122:0Sifa Kwa Yerusalemu
PSA 123:0Kuomba Rehema
PSA 124:0Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli
PSA 125:0Usalama Wa Watu Wa Mungu
PSA 126:0Kurejezwa Kutoka Utumwani
PSA 127:0Bila Mungu, Kazi Ya Mwanadamu Haifai
PSA 128:0Thawabu Ya Kumtii \nd Bwana\nd*
PSA 129:0Maombi Dhidi Ya Adui Za Israeli
PSA 130:0Kuomba Msaada
PSA 131:0Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu
PSA 132:0Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni
PSA 133:0Sifa Za Pendo La Undugu
PSA 134:0Wito Wa Kumsifu Mungu
PSA 135:0Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu
PSA 136:0Wimbo Wa Kumshukuru Mungu
PSA 137:0Maombolezo Ya Israeli Uhamishoni
PSA 138:0Maombi Ya Shukrani
PSA 139:0Mungu Asiyeweza Kukwepwa
PSA 140:0Kuomba Ulinzi Wa Mungu
PSA 141:0Maombi Ya Kuhifadhiwa Dhidi Ya Uovu
PSA 142:0Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Watesi
PSA 143:0Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Adui
PSA 144:0Mfalme Amshukuru Mungu Kwa Ushindi
PSA 145:0Wimbo Wa Kusifu Ukuu Na Wema Wa Mungu
PSA 146:0Kumsifu Mungu Mwokozi
PSA 147:0Kumsifu Mungu Mwenye Nguvu Zote
PSA 148:0Mwito Kwa Ulimwengu Kumsifu Mungu
PSA 149:0Wimbo Wa Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake
PSA 150:0Msifuni \nd Bwana\nd* Kwa Ukuu Wake

Descriptive Heading Lines

PSA 3:0Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu.
PSA 4:0Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi.
PSA 5:0Kwa mwimbishaji. Kwa filimbi. Zaburi ya Daudi.
PSA 6:0Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.
PSA 7:0Ombolezo la Daudi kwa \nd Bwana\nd* kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini.
PSA 8:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi.
PSA 9:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni. Zaburi ya Daudi.
PSA 11:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 12:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.
PSA 13:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 14:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 15:0Zaburi ya Daudi.
PSA 16:0Utenzi wa Daudi.
PSA 17:0Sala ya Daudi.
PSA 18:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliyomwimbia \nd Bwana\nd* wakati \nd Bwana\nd* alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:
PSA 19:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 20:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 21:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 22:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi.
PSA 23:0Zaburi ya Daudi.
PSA 24:0Zaburi ya Daudi.
PSA 25:0Zaburi ya Daudi.
PSA 26:0Zaburi ya Daudi.
PSA 27:0Zaburi ya Daudi.
PSA 28:0Zaburi ya Daudi.
PSA 29:0Zaburi ya Daudi.
PSA 30:0Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi.
PSA 31:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 32:0Zaburi ya Daudi. Funzo.
PSA 34:0Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka.
PSA 35:0Zaburi ya Daudi.
PSA 36:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \nd Bwana\nd*.
PSA 37:0Zaburi ya Daudi.
PSA 38:0Zaburi ya Daudi. Maombi.
PSA 39:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
PSA 40:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 41:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 42:0Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.
PSA 44:0Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.
PSA 45:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi.
PSA 46:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi.
PSA 47:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 48:0Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 49:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 50:0Zaburi ya Asafu.
PSA 51:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kuzini na Bathsheba.
PSA 52:0Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.”
PSA 53:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.
PSA 54:0Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?”
PSA 55:0Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi.
PSA 56:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi.
PSA 57:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.
PSA 58:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi.
PSA 59:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue.
PSA 60:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.
PSA 61:0Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 62:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
PSA 63:0Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda.
PSA 64:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 65:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
PSA 66:0Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi.
PSA 67:0Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo.
PSA 68:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
PSA 69:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.
PSA 70:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi.
PSA 72:0Zaburi ya Solomoni.
PSA 73:0Zaburi ya Asafu.
PSA 74:0Utenzi wa Asafu.
PSA 75:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo.
PSA 76:0Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.
PSA 77:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu.
PSA 78:0Utenzi wa Asafu.
PSA 79:0Zaburi ya Asafu.
PSA 80:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.
PSA 81:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.
PSA 82:0Zaburi ya Asafu.
PSA 83:0Wimbo. Zaburi ya Asafu.
PSA 84:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 85:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 86:0Maombi ya Daudi.
PSA 87:0Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.
PSA 88:0Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.
PSA 89:0Utenzi wa Ethani Mwezrahi.
PSA 90:0Maombi ya Mose, mtu wa Mungu.
PSA 92:0Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato.
PSA 98:0Zaburi.
PSA 100:0Zaburi ya shukrani.
PSA 101:0Zaburi ya Daudi.
PSA 102:0Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa \nd Bwana\nd*.
PSA 103:0Zaburi ya Daudi.
PSA 108:0Wimbo. Zaburi ya Daudi.
PSA 109:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 110:0Zaburi ya Daudi.
PSA 120:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 121:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 122:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
PSA 123:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 124:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
PSA 125:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 126:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 127:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Solomoni.
PSA 128:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 129:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 130:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 131:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
PSA 132:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 133:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
PSA 134:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 138:0Zaburi ya Daudi.
PSA 139:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 140:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 141:0Zaburi ya Daudi.
PSA 142:0Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi.
PSA 143:0Zaburi ya Daudi.
PSA 144:0Zaburi ya Daudi.
PSA 145:0Wimbo wa Sifa. Wa Daudi.

Section Cross-reference Lines

PSA 14:0(Zaburi 53)
PSA 18:0(2 Samweli 22:1-51)
PSA 53:0(Zaburi 14)
PSA 70:0(Zaburi 40:13-17)
PSA 96:0(1 Nyakati 16:23-33)
PSA 105:0(1 Nyakati 16:8-22)
PSA 108:0(Zaburi 57:7-11; 60:5-12)

Notes

Footnote Errors

PSA 9:0 Footnote anchor reference seems not to match: '9'

PSA 10:0 Footnote anchor reference seems not to match: '10'

PSA 25:0 Footnote anchor reference seems not to match: '25'

PSA 34:0 Footnote anchor reference seems not to match: '34'

PSA 37:0 Footnote anchor reference seems not to match: '37'

PSA 111:0 Footnote anchor reference seems not to match: '111'

PSA 112:0 Footnote anchor reference seems not to match: '112'

PSA 145:0 Footnote anchor reference seems not to match: '145:1'

Footnote Lines

PSA 6:0+ \fr 6:0 \fq Sheminithi \ft ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji.
PSA 9:0+ \fr 9 \ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 10 zimetungwa kila beti lik…i 22.
PSA 9:0+ \fr 9:0 \ft Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki.
PSA 10:0+ \fr 10 \ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 9 zimetungwa kila beti lik…i 22.
PSA 22:3+ \fr 22:3 \ft Tafsiri zingine zinasema: uketiye juu ya sifa za Israeli.
PSA 25:0+ \fr 25 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya al…i 22.
PSA 29:6+ \fr 29:6 \ft Yaani Mlima Hermoni.
PSA 34:0+ \fr 34 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya al…i 22.
PSA 35:3+ \fr 35:3 \ft Fumo ni sawa na sagai, maana yake ni mkuki mfupi.
PSA 37:0+ \fr 37 \ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia na herufi ya alf…i 22.
PSA 40:6+ \fr 40:6 \ft Au: bali mwili uliniandalia.
PSA 48:2+ \fr 48:2 \ft Safoni inaweza ikawa na maana ya mlima mtakatifu au upa…zini.
PSA 49:14+ \fr 49:14 \ft Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.
PSA 49:15+ \fr 49:15 \ft Au: nafsi.
PSA 68:14+ \fr 68:14 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
PSA 68:31+ \fr 68:31 \ft Kushi hapa ina maana maeneo ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.
PSA 72:8+ \fr 72:8 \ft Yaani Mto Frati.
PSA 73:4+ \fr 73:4 \ft Tafsiri nyingine zinasema: hawana maumivu katika kufa kwao.
PSA 73:10+ \fr 73:10 \ft Au: na kupokea yote wasemayo.
PSA 74:14+ \fr 74:14 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba…liwa.
PSA 80:11+ \fr 80:11 \ft Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.
PSA 80:11+ \fr 80:11 \ft Yaani Mto Frati.
PSA 83:7+ \fr 83:7 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilo…uti).
PSA 84:6+ \fr 84:6 \ft Yaani Bonde la Vilio.
PSA 84:6+ \fr 84:6 \ft Au: baraka.
PSA 85:1+ \fr 85:1 \ft Au: Uliwarudisha mateka wa Yakobo.
PSA 86:13+ \fr 86:13 \ft Yaani Kuzimu.
PSA 86:16+ \fr 86:16 \ft Au: mwokoe mwanao mwaminifu.
PSA 87:4+ \fr 87:4 \ft Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri.
PSA 87:4+ \fr 87:4 \ft Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.
PSA 88:3+ \fr 88:3 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
PSA 88:11+ \fr 88:11 \ft Yaani \fqa Abadon\ft .
PSA 89:10+ \fr 89:10 \ft Rahabu hapa ina maana jina la Misri kwa fumbo, yaani m…s 2).
PSA 89:17+ \fr 89:17 \ft Pembe inawakilisha nguvu.
PSA 89:48+ \fr 89:48 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
PSA 91:1+ \fr 91:1 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
PSA 92:10+ \fr 92:10 \ft Pembe inawakilisha nguvu.
PSA 95:8+ \fr 95:8 \ft Meriba maana yake ni Kugombana.
PSA 95:8+ \fr 95:8 \ft Masa maana yake ni Kujaribiwa.
PSA 104:4+ \fr 104:4 \ft Au: malaika.
PSA 104:26+ \fr 104:26 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamb…liwa.
PSA 104:35+ \fr 104:35 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
PSA 105:45+ \fr 105:45 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
PSA 109:6+ \fr 109:6 \ft Mshtaki hapa maana yake ni Shetani.
PSA 110:3+ \fr 110:3 \ft Au: vijana wako watakujia kama umande.
PSA 110:7+ \fr 110:7 \ft Au: Yeye atoaye mtu wa kurithi mwingine atamweka kwenye mamlaka.
PSA 111:0+ \fr 111 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya a…i 22.
PSA 112:0+ \fr 112 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya a…i 22.
PSA 115:17+ \fr 115:17 \ft Mahali pa kimya maana yake ni Kuzimu, yaani Sheol kwa…ania.
PSA 115:18+ \fr 115:18 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* ni Kiebrania Hallelu Yah.
PSA 116:16+ \fr 116:16 \ft Au: mwanao mwaminifu.
PSA 119:0+ \fr 119:0 \ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila … (T).
PSA 132:6+ \fr 132:6 \ft Yaani Kiriath-Yearimu.
PSA 132:17+ \fr 132:17 \ft Pembe inawakilisha nguvu.
PSA 132:17+ \fr 132:17 \ft Masiya yaani mpakwa mafuta.
PSA 139:8+ \fr 139:8 \ft Vilindi ina maana ya Kuzimu, ambayo ni Sheol kwa Kiebrania.
PSA 145:0+ \fr 145:1 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari (ikiwa ni pamoja na 1…i 22.
PSA 146:1+ \fr 146:1 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
PSA 148:14+ \fr 148:14 \ft Pembe hapa inawakilisha mwenye nguvu, yaani mfalme.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 59    Footnotes: 59  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 59    Footnote leader '+': 59