Freely-Given.org Bible ROM Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in ROM -1:0

Showing 1 out of 608 priority errors

Fix Text Errors

ROM -1:0 Removed trailing space in id: ROM - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

ROM -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

ROM -1:2 Removed trailing space in h: Warumi

ROM -1:3 Removed trailing space in toc1: Warumi

ROM -1:4 Removed trailing space in toc2: Warumi

ROM -1:5 Removed trailing space in toc3: Rum

ROM -1:6 Removed trailing space in mt1: Warumi

ROM 1:0 Extra space after chapter number

ROM 1:0 Removed trailing space in c: 1

ROM 1:1 Removed trailing space in v~: Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu,

ROM 1:2 Removed trailing space in v~: Injili ambayo Mungu alitangulia kuiahidi kwa vinywa vya manabii wake katika Maandiko Matakatifu,

ROM 1:3 Removed trailing space in v~: yaani, Injili inayomhusu Mwanawe, yeye ambaye kwa uzao wa mwili alikuwa mzao wa Daudi,

ROM 1:4 Removed trailing space in v~: na ambaye kwa uwezo wa Roho wa utakatifu alidhihirishwa kuwa Mwana wa Mungu kwa ufufuo wake kutoka kwa wafu, yaani, Yesu Kristo, Bwana wetu.

ROM 1:5 Removed trailing space in v~: Kwa kupitia kwake na kwa ajili ya Jina lake, tumepokea neema na utume ili kuwaita watu miongoni mwa watu wa mataifa yote, waje kwenye utii utokanao na imani.

ROM 1:6 Removed trailing space in v~: Ninyi nyote pia mko miongoni mwa watu walioitwa ili mpate kuwa mali ya Yesu Kristo.

ROM 1:7 Removed trailing space in v~: Kwa wote walioko Rumi wapendwao na Mungu na kuitwa kuwa watakatifu:

ROM 1:7 Removed trailing space in p~: Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.

ROM 1:7 Removed trailing space in s1: Maombi Na Shukrani

ROM 1:8 Removed trailing space in v~: Kwanza kabisa, namshukuru Mungu wangu kwa njia ya Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa sababu imani yenu inatangazwa duniani kote.

ROM 1:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu ninayemtumikia kwa moyo wangu wote katika kuhubiri Injili ya Mwanawe, ni shahidi wangu jinsi ninavyowakumbuka

ROM 1:10 Removed trailing space in v~: katika maombi yangu siku zote, nami ninaomba kwamba hatimaye sasa kwa mapenzi ya Mungu, njia ipate kufunguliwa kwa ajili yangu ili nije kwenu.

ROM 1:11 Removed trailing space in v~: Ninatamani sana kuwaona ili nipate kuweka juu yenu karama za rohoni ili mwe imara,

ROM 1:12 Removed trailing space in v~: au zaidi, ninyi pamoja nami tuweze kutiana moyo katika imani sisi kwa sisi.

ROM 1:13 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, napenda mfahamu kwamba mara nyingi nimekusudia kuja kwenu (ingawa mpaka sasa nimezuiliwa), ili nipate kuvuna mavuno miongoni mwenu kama nilivyovuna miongoni mwa wengine ambao ni watu wa Mataifa wasiomjua Mungu.

ROM 1:14 Removed trailing space in v~: Mimi ni mdeni kwa Wayunani na kwa wasio Wayunani, kwa wenye hekima na kwa wasio na hekima.

ROM 1:15 Removed trailing space in v~: Ndiyo sababu ninatamani sana kuihubiri Injili kwenu pia ninyi mlioko Rumi.

ROM 1:16 Removed trailing space in v~: Mimi siionei haya Injili ya Kristo kwa maana ni uweza wa Mungu uletao wokovu kwa kila aaminiye, kwanza kwa Myahudi na kwa Myunani pia.

ROM 1:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana katika Injili haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa, haki ile iliyo kwa njia ya imani hadi imani. Kama ilivyoandikwa: “Mwenye haki ataishi kwa imani.”

ROM 1:17 Removed trailing space in s1: Ghadhabu Ya Mungu Kwa Wanadamu

ROM 1:18 Removed trailing space in v~: Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi wote na uovu wa wanadamu ambao huipinga kweli kwa uovu wao,

ROM 1:19 Removed trailing space in v~: kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu mwenyewe ameyadhihirisha kwao.

ROM 1:20 Removed trailing space in v~: Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru.

ROM 1:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kama ndiye Mungu wala hawakumshukuru, bali fikira zao zimekuwa batili na mioyo yao ya ujinga ikatiwa giza.

ROM 1:22 Removed trailing space in v~: Ingawa walijidai kuwa wenye hekima, wakawa wajinga

ROM 1:23 Removed trailing space in v~: na kubadili utukufu wa Mungu aishiye milele kwa sanamu zilizofanywa zifanane na mwanadamu ambaye hufa, na mfano wa ndege, wanyama na viumbe vitambaavyo.

ROM 1:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, Mungu akawaacha wazifuate tamaa mbaya za mioyo yao katika uasherati, hata wakavunjiana heshima miili yao wao kwa wao.

ROM 1:25 Removed trailing space in v~: Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen.

ROM 1:26 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, Mungu aliwaacha wavunjiane heshima kwa kufuata tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao wakabadili matumizi ya asili ya miili yao wakaitumia isivyokusudiwa.

ROM 1:27 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo wanaume pia wakiacha matumizi ya asili ya wanawake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume wakafanyiana matendo ya aibu na wanaume wengine nao wakapata katika maisha yao adhabu iliyowastahili kwa ajili ya upotovu wao.

ROM 1:28 Removed trailing space in v~: Nao kwa kuwa hawakuona umuhimu wa kudumisha ufahamu wa Mungu, yeye akawaachilia wafuate akili za upotovu, watende mambo yale yasiyostahili kutendwa.

ROM 1:29 Removed trailing space in v~: Wakiwa wamejawa na udhalimu wa kila namna, uasherati, uovu, tamaa mbaya na hila. Wamejawa na husuda, uuaji, ugomvi, udanganyifu, hadaa na nia mbaya. Wao pia ni wasengenyaji,

ROM 1:30 Removed trailing space in v~: wasingiziaji, wanaomchukia Mungu, wajeuri, wenye kiburi na majivuno, wenye hila, wasiotii wazazi wao,

ROM 1:31 Removed trailing space in v~: wajinga, wasioamini, wasio na huruma na wakatili.

ROM 1:32 Removed trailing space in v~: Ingawa wanafahamu sheria ya haki ya Mungu kwamba watu wanaofanya mambo kama hayo wanastahili mauti, si kwamba wanaendelea kutenda hayo tu, bali pia wanakubaliana na wale wanaoyatenda.

ROM 2:0 Extra space after chapter number

ROM 2:0 Removed trailing space in c: 2

ROM 2:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Ya Mungu

ROM 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo huna udhuru wowote, wewe utoaye hukumu kwa mwingine, kwa maana katika jambo lolote unalowahukumu wengine, unajihukumu wewe mwenyewe kwa sababu wewe unayehukumu unafanya mambo hayo hayo.

ROM 2:2 Removed trailing space in v~: Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli.

ROM 2:3 Removed trailing space in v~: Hivyo wewe mwanadamu, utoapo hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu?

ROM 2:4 Removed trailing space in v~: Au waudharau wingi wa wema, ustahimili na uvumilivu wake, bila kujua kuwa wema wa Mungu wakuelekeza kwenye toba?

ROM 2:5 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na mioyo yenu isiyotaka kutubu, mnajiwekea akiba ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu yake ya haki itakapodhihirishwa.

ROM 2:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.

ROM 2:7 Removed trailing space in v~: Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele.

ROM 2:8 Removed trailing space in v~: Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.

ROM 2:9 Removed trailing space in v~: Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia,

ROM 2:10 Removed trailing space in v~: bali utukufu, heshima na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa mtu wa Mataifa.

ROM 2:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu hana upendeleo.

ROM 2:12 Removed trailing space in v~: Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote wale waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.

ROM 2:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana si wale wanaoisikia sheria ambao ni wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale wanaoitii sheria ndio watakaohesabiwa haki.

ROM 2:14 Removed trailing space in v~: (Naam, wakati wa watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, hata ingawa hawana sheria.

ROM 2:15 Removed trailing space in v~: Wao wanaonyesha kwamba lile linalotakiwa na sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo yao yenye kupingana yatawashtaki au kuwatetea.)

ROM 2:16 Removed trailing space in v~: Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama isemavyo Injili yangu.

ROM 2:16 Removed trailing space in s1: Wayahudi Na Sheria

ROM 2:17 Removed trailing space in v~: Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea sheria na kujisifia uhusiano wako na Mungu,

ROM 2:18 Removed trailing space in v~: kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria,

ROM 2:19 Removed trailing space in v~: kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,

ROM 2:20 Removed trailing space in v~: mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria,

ROM 2:21 Removed trailing space in v~: basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba?

ROM 2:22 Removed trailing space in v~: Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu?

ROM 2:23 Removed trailing space in v~: Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?

ROM 2:24 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”

ROM 2:25 Removed trailing space in v~: Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii sheria, lakini kama unavunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa.

ROM 2:26 Removed trailing space in v~: Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?

ROM 2:27 Removed trailing space in v~: Ndipo wale ambao hawakutahiriwa kimwili lakini wanaitii sheria watawahukumu ninyi, ambao ingawa mmetahiriwa na kuijua sana sheria ya Mungu iliyoandikwa, lakini mwaivunja.

ROM 2:28 Removed trailing space in v~: Kwa maana mtu si Myahudi kwa vile alivyo kwa nje, wala tohara ya kweli si kitu cha nje au cha kimwili.

ROM 2:29 Removed trailing space in v~: Lakini mtu ni Myahudi alivyo ndani, nayo tohara ya kweli ni jambo la moyoni, ni la Roho, wala si la sheria iliyoandikwa. Mtu wa namna hiyo hapokei sifa kutoka kwa wanadamu bali kwa Mungu.

ROM 3:0 Extra space after chapter number

ROM 3:0 Removed trailing space in c: 3

ROM 3:0 Removed trailing space in s1: Uaminifu Wa Mungu

ROM 3:1 Removed trailing space in v~: Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Au kuna thamani gani katika tohara?

ROM 3:2 Removed trailing space in v~: Kuna faida kubwa kwa kila namna! Kwanza kabisa, Wayahudi wamekabidhiwa lile Neno halisi la Mungu.

ROM 3:3 Removed trailing space in v~: Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu?

ROM 3:4 Removed trailing space in v~: La hasha! Mungu na aonekane mwenye haki, na kila mwanadamu kuwa mwongo, kama ilivyoandikwa:

ROM 3:4 Removed trailing space in p~: “Ili uthibitike kuwa wa kweli unaponena,

ROM 3:4 Removed trailing space in p~: na ukashinde utoapo hukumu.”

ROM 3:5 Removed trailing space in v~: Ikiwa uovu wetu unathibitisha haki ya Mungu waziwazi, tuseme nini basi? Je, Mungu kuileta ghadhabu yake juu yetu ni kwamba yeye si mwenye haki? (Nanena kibinadamu.)

ROM 3:6 Removed trailing space in v~: La hasha! Kama hivyo ndivyo ilivyo, Mungu angehukumuje ulimwengu?

ROM 3:7 Removed trailing space in v~: Mtu aweza kuuliza, “Kama uongo wangu unasaidia kuonyesha kweli ya Mungu na kuzidisha utukufu wake, kwa nini basi mimi nahukumiwa kuwa mwenye dhambi?”

ROM 3:8 Removed trailing space in v~: Nasi kwa nini tusiseme, kama wengine wanavyotusingizia kuwa tunasema, “Tutende maovu ili mema yapate kuja?” Wao wanastahili hukumu yao.

ROM 3:8 Removed trailing space in s1: Wote Wametenda Dhambi

ROM 3:9 Removed trailing space in v~: Tusemeje basi? Je, sisi ni bora kuwaliko wao? La hasha! Kwa maana tumekwisha kuhakikisha kwa vyovyote kwamba Wayahudi na watu wa Mataifa wote wako chini ya nguvu ya dhambi.

ROM 3:10 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa:

ROM 3:10 Removed trailing space in p~: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.

ROM 3:11 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu,

ROM 3:11 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.

ROM 3:12 Removed trailing space in v~: Wote wamepotoka,

ROM 3:12 Removed trailing space in p~: wote wameoza pamoja;

ROM 3:12 Removed trailing space in p~: hakuna atendaye mema,

ROM 3:12 Removed trailing space in p~: naam, hakuna hata mmoja.”

ROM 3:13 Removed trailing space in v~: “Makoo yao ni makaburi wazi;

ROM 3:13 Removed trailing space in p~: kwa ndimi zao wao hufanya udanganyifu.”

ROM 3:13 Removed trailing space in p~: “Sumu ya nyoka iko midomoni mwao.”

ROM 3:14 Removed trailing space in v~: “Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.”

ROM 3:15 Removed trailing space in v~: “Miguu yao ina haraka kumwaga damu;

ROM 3:16 Removed trailing space in v~: maangamizi na taabu viko katika njia zao,

ROM 3:17 Removed trailing space in v~: wala njia ya amani hawaijui.”

ROM 3:18 Removed trailing space in v~: “Hakuna hofu ya Mungu machoni pao.”

ROM 3:19 Removed trailing space in v~: Basi tunajua ya kwamba chochote sheria inachosema, inawaambia wale walio chini ya sheria ili kila kinywa kinyamazishwe na ulimwengu wote uwajibike kwa Mungu.

ROM 3:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hakuna binadamu hata mmoja atakayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa matendo ya sheria, kwa maana sheria hutufanya tuitambue dhambi.

ROM 3:20 Removed trailing space in s1: Haki Kwa Njia Ya Imani

ROM 3:21 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa pasipo sheria, ambayo Sheria na Manabii wanaishuhudia.

ROM 3:22 Removed trailing space in v~: Haki hii itokayo kwa Mungu hupatikana kwa Yesu Kristo kwa wote wamwaminio. Kwa maana hapo hakuna tofauti,

ROM 3:23 Removed trailing space in v~: kwa kuwa wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,

ROM 3:24 Removed trailing space in v~: wanahesabiwa haki bure kwa neema yake kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu.

ROM 3:25 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabihu ya upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake. Alifanya hivi ili kuonyesha haki yake, kwa sababu kwa ustahimili wake aliziachilia zile dhambi zilizotangulia kufanywa.

ROM 3:26 Removed trailing space in v~: Alifanya hivyo ili kuonyesha haki yake wakati huu, ili yeye awe mwenye haki na mwenye kumhesabia haki yule anayemwamini Yesu.

ROM 3:26 Removed trailing space in s1: Umuhimu Wa Kuwa Na Imani

ROM 3:27 Removed trailing space in v~: Basi, kujivuna kuko wapi? Kumewekwa mbali. Kwa sheria gani? Je, ni kwa ile ya matendo? La hasha, bali kwa ile sheria ya imani.

ROM 3:28 Removed trailing space in v~: Kwa maana twaona kwamba mwanadamu huhesabiwa haki kwa njia ya imani wala si kwa matendo ya sheria.

ROM 3:29 Removed trailing space in v~: Je, Mungu ni Mungu wa Wayahudi peke yao? Je, yeye si Mungu wa watu wa Mataifa pia? Naam, yeye ni Mungu wa watu wa Mataifa pia.

ROM 3:30 Removed trailing space in v~: Basi kwa kuwa tuna Mungu mmoja tu, atawahesabia haki wale waliotahiriwa kwa imani na wale wasiotahiriwa kwa imani iyo hiyo.

ROM 3:31 Removed trailing space in v~: Je, basi ni kwamba tunaibatilisha sheria kwa imani hii? La, hasha! Badala yake tunaithibitisha sheria.

ROM 4:0 Extra space after chapter number

ROM 4:0 Removed trailing space in c: 4

ROM 4:0 Removed trailing space in s1: Abrahamu Alihesabiwa Haki Kwa Imani

ROM 4:1 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi, kuhusu Abrahamu baba yetu kwa jinsi ya mwili: yeye alipataje kujua jambo hili?

ROM 4:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, basi, anacho kitu cha kujivunia, lakini si mbele za Mungu.

ROM 4:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana Maandiko yasemaje? “Abrahamu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”

ROM 4:4 Removed trailing space in v~: Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.

ROM 4:5 Removed trailing space in v~: Lakini kwa mtu ambaye hafanyi kazi na anamtumaini Mungu, yeye ambaye huwahesabia waovu haki, imani yake inahesabiwa kuwa haki.

ROM 4:6 Removed trailing space in v~: Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena juu ya baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo:

ROM 4:7 Removed trailing space in v~: “Wamebarikiwa wale

ROM 4:7 Removed trailing space in p~: ambao wamesamehewa makosa yao,

ROM 4:7 Removed trailing space in p~: ambao dhambi zao zimefunikwa.

ROM 4:8 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule

ROM 4:8 Removed trailing space in p~: Bwana hamhesabii dhambi zake.”

ROM 4:8 Removed trailing space in s1: Haki Kabla Ya Tohara

ROM 4:9 Removed trailing space in v~: Je, huku kubarikiwa ni kwa wale waliotahiriwa peke yao, au pia na kwa wale wasiotahiriwa? Tunasema, “Imani ya Abrahamu ilihesabiwa kwake kuwa haki.”

ROM 4:10 Removed trailing space in v~: Je, ni lini basi ilipohesabiwa kwake kuwa haki? Je, ilikuwa kabla au baada ya kutahiriwa kwake? Haikuwa baada, ila kabla hajatahiriwa.

ROM 4:11 Removed trailing space in v~: Alipewa ishara ya tohara kuwa muhuri wa haki aliyokuwa nayo kwa imani hata alipokuwa bado hajatahiriwa. Kusudi lilikuwa kumfanya baba wa wote wale waaminio pasipo kutahiriwa na ambao wamehesabiwa haki.

ROM 4:12 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo awe baba wa wale waliotahiriwa ambao si kwamba wametahiriwa tu, bali pia wanafuata mfano wa imani ambayo Baba yetu Abrahamu alikuwa nayo kabla ya kutahiriwa.

ROM 4:12 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Mungu Hufahamika Kwa Imani

ROM 4:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana ile ahadi kwamba angeurithi ulimwengu haikuja kwa Abrahamu au kwa wazao wake kwa njia ya sheria bali kwa njia ya haki ipatikanayo kwa imani.

ROM 4:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana ikiwa wale waishio kwa sheria ndio warithi, imani haina thamani na ahadi haifai kitu,

ROM 4:15 Removed trailing space in v~: kwa sababu sheria huleta ghadhabu. Mahali ambapo hakuna sheria hakuna makosa.

ROM 4:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya imani, ili iwe ni kwa neema, na itolewe kwa wazao wa Abrahamu, si kwa wale walio wa sheria peke yao, bali pia kwa wale walio wa imani ya Abrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi sote.

ROM 4:17 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa: “Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.” Yeye ni baba yetu mbele za Mungu, ambaye yeye alimwamini, yule Mungu anaye fufua waliokufa, na kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

ROM 4:17 Removed trailing space in s1: Mfano Wa Imani Ya Abrahamu

ROM 4:18 Removed trailing space in v~: Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa, Abrahamu akaamini, akawa baba wa mataifa mengi, kama alivyoahidiwa kwamba, “Uzao wako utakuwa mwingi mno.”

ROM 4:19 Removed trailing space in v~: Abrahamu hakuwa dhaifu katika imani hata alipofikiri juu ya mwili wake, ambao ulikuwa kama uliokufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia moja, au alipofikiri juu ya ufu wa tumbo la Sara.

ROM 4:20 Removed trailing space in v~: Lakini Abrahamu hakusitasita kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

ROM 4:21 Removed trailing space in v~: akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

ROM 4:22 Removed trailing space in v~: Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.”

ROM 4:23 Removed trailing space in v~: Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

ROM 4:24 Removed trailing space in v~: bali kwa ajili yetu sisi pia ambao Mungu atatupa haki, sisi tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.

ROM 4:25 Removed trailing space in v~: Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuliwa kutoka mauti ili tuhesabiwe haki.

ROM 5:0 Extra space after chapter number

ROM 5:0 Removed trailing space in c: 5

ROM 5:0 Removed trailing space in s1: Matokeo Ya Kuhesabiwa Haki

ROM 5:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kwa kuwa tumekwisha kuhesabiwa haki kwa imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,

ROM 5:2 Removed trailing space in v~: ambaye kwa kupitia kwake tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo ndani yake sasa tunasimama, nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu.

ROM 5:3 Removed trailing space in v~: Si hivyo tu, bali twafurahi pia katika mateso, kwa sababu tunajua kuwa mateso huleta saburi,

ROM 5:4 Removed trailing space in v~: nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,

ROM 5:5 Removed trailing space in v~: wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ametupatia.

ROM 5:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana hata tulipokuwa dhaifu, wakati ulipowadia, Kristo alikufa kwa ajili yetu sisi wenye dhambi.

ROM 5:7 Removed trailing space in v~: Hakika, ni vigumu mtu yeyote kufa kwa ajili ya mwenye haki, ingawa inawezekana mtu akathubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.

ROM 5:8 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu anaudhihirisha upendo wake kwetu kwamba: Tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.

ROM 5:9 Removed trailing space in v~: Basi, kwa kuwa sasa tumehesabiwa haki kwa damu yake, si zaidi sana tutaokolewa kutoka ghadhabu ya Mungu kupitia kwake!

ROM 5:10 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kama tulipokuwa adui wa Mungu tulipatanishwa naye kwa njia ya kifo cha Mwanawe, si zaidi sana tukiisha kupatanishwa, tutaokolewa kwa uzima wake.

ROM 5:11 Removed trailing space in v~: Lakini zaidi ya hayo, pia tunafurahi katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia kwake tumepata upatanisho.

ROM 5:11 Removed trailing space in s1: Adamu Alileta Kifo, Yesu Ameleta Uzima

ROM 5:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kama vile dhambi ilivyoingia ulimwenguni kupitia kwa mtu mmoja, na kupitia dhambi hii mauti ikawafikia watu wote, kwa sababu wote wamefanya dhambi:

ROM 5:13 Removed trailing space in v~: kwa maana kabla sheria haijatolewa, dhambi ilikuwepo ulimwenguni. Lakini dhambi haihesabiwi wakati hakuna sheria.

ROM 5:14 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Mose, mauti ilitawala watu wote, hata wale ambao hawakutenda dhambi kwa kuvunja amri, kama alivyofanya Adamu, ambaye alikuwa mfano wa yule atakayekuja.

ROM 5:15 Removed trailing space in v~: Lakini ile karama iliyotolewa haikuwa kama lile kosa. Kwa maana ikiwa watu wengi walikufa kwa sababu ya kosa la mtu mmoja, zaidi sana neema ya Mungu na ile karama iliyokuja kwa neema ya mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo, imezidi kuwa nyingi kwa ajili ya wengi.

ROM 5:16 Removed trailing space in v~: Tena, ile karama ya Mungu si kama matokeo ya ile dhambi. Hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja, ikaleta adhabu, bali karama ya neema ya Mungu ilikuja kwa njia ya makosa mengi, ikaleta kuhesabiwa haki.

ROM 5:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana ikiwa kutokana na kosa la mtu mmoja, mauti ilitawala kupitia huyo mtu mmoja, zaidi sana wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na karama yake ya kuhesabiwa haki, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo.

ROM 5:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta adhabu kwa watu wote, vivyo hivyo pia kwa tendo la haki la mtu mmoja lilileta kuhesabiwa haki ambako huleta uzima kwa wote.

ROM 5:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama vile kwa kutokutii kwa yule mtu mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, vivyo hivyo kwa kutii kwa mtu mmoja wengi watafanywa wenye haki.

ROM 5:20 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, sheria ilikuja, ili uvunjaji wa sheria uongezeke. Lakini dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi,

ROM 5:21 Removed trailing space in v~: ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu.

ROM 6:0 Extra space after chapter number

ROM 6:0 Removed trailing space in c: 6

ROM 6:0 Removed trailing space in s1: Kufa Na Kufufuka Pamoja Na Kristo

ROM 6:1 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi? Je, tuendelee kutenda dhambi ili neema ipate kuongezeka?

ROM 6:2 Removed trailing space in v~: La hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutawezaje kuendelea kuishi tena katika dhambi?

ROM 6:3 Removed trailing space in v~: Au hamjui ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake?

ROM 6:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kwa utukufu wa Baba, vivyo hivyo sisi nasi pia tupate kuenenda katika upya wa uzima.

ROM 6:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana ikiwa tumeungana naye katika mauti yake, bila shaka tutaungana naye katika ufufuo wake.

ROM 6:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana twajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja naye ili ule mwili wa dhambi upate kuangamizwa, nasi tusiendelee kuwa tena watumwa wa dhambi.

ROM 6:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.

ROM 6:8 Removed trailing space in v~: Basi ikiwa tulikufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba pia tutaishi pamoja naye.

ROM 6:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana tunajua kwamba Kristo, kwa sababu alifufuliwa kutoka kwa wafu, hawezi kufa tena; mauti haina tena mamlaka juu yake.

ROM 6:10 Removed trailing space in v~: Kifo alichokufa, aliifia dhambi mara moja tu, lakini uzima alio nao anamwishia Mungu.

ROM 6:11 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, jihesabuni wafu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu.

ROM 6:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii tamaa mbaya.

ROM 6:13 Removed trailing space in v~: Wala msivitoe viungo vya miili yenu vitumike kama vyombo vya uovu vya kutenda dhambi, bali jitoeni kwa Mungu, kama watu waliotolewa kutoka mautini kuingia uzimani. Nanyi vitoeni viungo vya miili yenu kwake kama vyombo vya haki.

ROM 6:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.

ROM 6:14 Removed trailing space in s1: Watumwa Wa Haki

ROM 6:15 Removed trailing space in v~: Ni nini basi? Je, tutende dhambi kwa kuwa hatuko chini ya sheria bali chini ya neema? La, hasha!

ROM 6:16 Removed trailing space in v~: Je, hamjui kwamba mnapojitoa kwa mtu yeyote kama watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa yule mnayemtii, aidha watumwa wa dhambi, ambayo matokeo yake ni mauti, au watumwa wa utii ambao matokeo yake ni haki?

ROM 6:17 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu ashukuriwe kwa kuwa ninyi ambao kwanza mlikuwa watumwa wa dhambi, mmekuwa watii kutoka moyoni kwa mafundisho mliyopewa.

ROM 6:18 Removed trailing space in v~: Nanyi, mkiisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mmekuwa watumwa wa haki.

ROM 6:19 Removed trailing space in v~: Ninasema kwa namna ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wenu wa hali ya asili. Kama vile mlivyokuwa mkivitoa viungo vya miili yenu kama watumwa wa mambo machafu na uovu uliokuwa ukiongezeka zaidi, hivyo sasa vitoeni viungo vyenu kama watumwa wa haki inayowaelekeza mpate kutakaswa.

ROM 6:20 Removed trailing space in v~: Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa hamtawaliwi na haki.

ROM 6:21 Removed trailing space in v~: Lakini mlipata faida gani kwa mambo hayo ambayo sasa mnayaonea aibu? Mwisho wa mambo hayo ni mauti.

ROM 6:22 Removed trailing space in v~: Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele.

ROM 6:23 Removed trailing space in v~: Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.

ROM 7:0 Extra space after chapter number

ROM 7:0 Removed trailing space in c: 7

ROM 7:0 Removed trailing space in s1: Hatufungwi Tena Na Sheria

ROM 7:1 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu (sasa ninasema na wale wanaoijua sheria), je, hamjui ya kwamba sheria ina mamlaka tu juu ya mtu wakati akiwa hai?

ROM 7:2 Removed trailing space in v~: Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa amefungwa kwa mumewe wakati akiwa hai, lakini yule mume akifa, yule mwanamke amefunguliwa kutoka sheria ya ndoa.

ROM 7:3 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, kama huyo mwanamke ataolewa na mwanaume mwingine wakati mumewe akiwa bado yuko hai, ataitwa mzinzi. Lakini kama mumewe akifa, mwanamke huyo hafungwi tena na sheria ya ndoa, naye akiolewa na mtu mwingine haitwi mzinzi.

ROM 7:4 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, ndugu zangu, ninyi mmeifia sheria kwa njia ya mwili wa Kristo, ili mweze kuwa mali ya mwingine, yeye ambaye alifufuliwa kutoka kwa wafu, ili tupate kuzaa matunda kwa Mungu.

ROM 7:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana tulipokuwa tunatawaliwa na asili ya dhambi, tamaa za dhambi zilizochochewa na sheria zilikuwa zikitenda kazi katika miili yetu, hivyo tulizaa matunda ya mauti.

ROM 7:6 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, kwa kufia kile kilichokuwa kimetufunga kwanza, tumewekwa huru kutokana na sheria ili tutumike katika njia mpya ya Roho, wala si katika njia ya zamani ya sheria iliyoandikwa.

ROM 7:6 Removed trailing space in s1: Sheria Na Dhambi

ROM 7:7 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi? Kwamba sheria ni dhambi? La, hasha! Lakini, isingekuwa kwa sababu ya sheria, nisingalijua dhambi. Nisingalijua kutamani ni nini kama sheria haikusema, “Usitamani.”

ROM 7:8 Removed trailing space in v~: Lakini dhambi kwa kupata nafasi katika amri, hii ikazaa ndani yangu kila aina ya tamaa. Kwa maana pasipo sheria, dhambi imekufa.

ROM 7:9 Removed trailing space in v~: Wakati fulani nilikuwa hai pasipo sheria, lakini amri ilipokuja, dhambi ikawa hai, nami nikafa.

ROM 7:10 Removed trailing space in v~: Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.

ROM 7:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana dhambi kwa kupata nafasi katika amri, ilinidanganya, na kupitia katika hiyo amri, ikaniua.

ROM 7:12 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.

ROM 7:13 Removed trailing space in v~: Je, kile kilicho chema basi kilikuwa mauti kwangu? La, hasha! Lakini ili dhambi itambuliwe kuwa ni dhambi, ilileta mauti ndani yangu kupitia kile kilichokuwa chema, ili kwa njia ya amri dhambi izidi kuwa mbaya kupita kiasi.

ROM 7:13 Removed trailing space in s1: Mgongano Wa Ndani

ROM 7:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana tunajua kwamba sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kimwili nikiwa nimeuzwa kwenye utumwa wa dhambi.

ROM 7:15 Removed trailing space in v~: Sielewi nitendalo, kwa maana lile ninalotaka kulitenda, silitendi, lakini ninatenda lile ninalolichukia.

ROM 7:16 Removed trailing space in v~: Basi kama ninatenda lile nisilotaka kutenda, ni kwamba ninakubali kuwa sheria ni njema.

ROM 7:17 Removed trailing space in v~: Lakini, kwa kweli si mimi tena nitendaye lile nisilotaka bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.

ROM 7:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninafahamu kwamba hakuna jema lolote likaalo ndani yangu, yaani, katika asili yangu ya dhambi. Kwa kuwa nina shauku ya kutenda lililo jema, lakini siwezi kulitenda.

ROM 7:19 Removed trailing space in v~: Sitendi lile jema nitakalo kutenda, bali lile baya nisilolitaka, ndilo nitendalo.

ROM 7:20 Removed trailing space in v~: Basi kama ninatenda lile nisilotaka kutenda, si mimi tena nifanyaye hivyo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.

ROM 7:21 Removed trailing space in v~: Hivyo naiona sheria ikitenda kazi. Ninapotaka kutenda jema, jambo baya liko papo hapo.

ROM 7:22 Removed trailing space in v~: Kwa maana katika utu wangu wa ndani naifurahia sheria ya Mungu.

ROM 7:23 Removed trailing space in v~: Lakini ninaona kuna sheria nyingine inayotenda kazi katika viungo vya mwili wangu inayopigana vita dhidi ya ile sheria ya akili yangu. Sheria hii inanifanya mateka wa ile sheria ya dhambi inayofanya kazi katika viungo vya mwili wangu.

ROM 7:24 Removed trailing space in v~: Ole wangu mimi maskini! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?

ROM 7:25 Removed trailing space in v~: Ashukuriwe Mungu kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu! Hivyo basi, mimi mwenyewe kwa akili zangu ni mtumwa wa sheria ya Mungu, lakini katika asili ya dhambi ni mtumwa wa sheria ya dhambi.

ROM 8:0 Extra space after chapter number

ROM 8:0 Removed trailing space in c: 8

ROM 8:0 Removed trailing space in s1: Maisha Katika Roho

ROM 8:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Kristo Yesu, wale ambao hawaenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho.

ROM 8:2 Removed trailing space in v~: Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima katika Kristo Yesu imeniweka huru mbali na sheria ya dhambi na mauti.

ROM 8:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana kile ambacho sheria haikuwa na uwezo wa kufanya, kwa vile ilivyokuwa dhaifu katika mwili, Mungu kwa kumtuma Mwanawe mwenyewe kwa mfano wa mwanadamu mwenye mwili ulio wa dhambi na kwa ajili ya dhambi, yeye aliihukumu dhambi katika mwili,

ROM 8:4 Removed trailing space in v~: ili kwamba haki ipatikanayo kwa sheria itimizwe ndani yetu sisi, ambao hatuenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho.

ROM 8:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili, lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, huziweka nia zao katika mambo ya Roho.

ROM 8:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani.

ROM 8:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.

ROM 8:8 Removed trailing space in v~: Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu.

ROM 8:9 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu. Mtu yeyote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo.

ROM 8:10 Removed trailing space in v~: Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi hai kwa sababu ya haki.

ROM 8:11 Removed trailing space in v~: Nanyi ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho wake akaaye ndani yenu.

ROM 8:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili,

ROM 8:13 Removed trailing space in v~: kwa maana mkiishi kwa kuufuata mwili, mtakufa, lakini kama mkiyaua matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.

ROM 8:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio watoto wa Mungu.

ROM 8:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa iwaleteayo tena hofu, bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambaye kwa yeye twalia, “Abba,\f + \fr 8:15 \ft Abba ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni Baba; ni neno ambalo lingetumiwa na mtoto kwa yule ambaye amemzaa.\f* yaani, Baba,”

ROM 8:16 Removed trailing space in v~: Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu ya kwamba sisi tu watoto wa Mungu.

ROM 8:17 Removed trailing space in v~: Hivyo, ikiwa sisi ni watoto, basi tu warithi, warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo, naam, tukiteswa pamoja naye tupate pia kutukuzwa pamoja naye.

ROM 8:17 Removed trailing space in s1: Utukufu Ujao

ROM 8:18 Removed trailing space in v~: Nayahesabu mateso yetu ya wakati huu kuwa si kitu kulinganisha na utukufu utakaodhihirishwa kwetu.

ROM 8:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana viumbe vyote vinangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa watoto wa Mungu.

ROM 8:20 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa viumbe vyote viliwekwa chini ya ubatili, si kwa chaguo lao, bali kwa mapenzi yake yeye aliyevitiisha katika tumaini,

ROM 8:21 Removed trailing space in v~: ili kwamba viumbe vyote vipate kuwekwa huru kutoka kwa utumwa wa kuharibika na kupewa uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu.

ROM 8:22 Removed trailing space in v~: Kwa maana twajua ya kuwa hata sasa viumbe vyote vimekuwa vikilia kwa maumivu kama utungu wa mwanamke wakati wa kuzaa.

ROM 8:23 Removed trailing space in v~: Wala si hivyo viumbe peke yao, bali hata sisi ambao ndio matunda ya kwanza ya Roho, kwa ndani tunalia kwa uchungu tukisubiri kwa shauku kufanywa wana wa Mungu, yaani, ukombozi wa miili yetu.

ROM 8:24 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alicho nacho tayari?

ROM 8:25 Removed trailing space in v~: Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.

ROM 8:26 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, Roho hutusaidia katika udhaifu wetu, kwa sababu hatujui kuomba ipasavyo. Lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa uchungu usioweza kutamkwa.

ROM 8:27 Removed trailing space in v~: Naye Mungu aichunguzaye mioyo, anaijua nia ya Roho, kwa sababu Roho huwaombea watakatifu sawasawa na mapenzi ya Mungu.

ROM 8:27 Removed trailing space in s1: Tunashinda Na Zaidi Ya Kushinda

ROM 8:28 Removed trailing space in v~: Nasi tunajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hutenda kazi pamoja na wote wampendao, katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.

ROM 8:29 Removed trailing space in v~: Maana wale Mungu aliowajua tangu mwanzo, pia aliwachagua tangu mwanzo, wapate kufanana na mfano wa Mwanawe, ili yeye awe mzaliwa wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi.

ROM 8:30 Removed trailing space in v~: Nao wale Mungu aliotangulia kuwachagua, akawaita, wale aliowaita pia akawahesabia haki, nao wale aliowahesabia haki, pia akawatukuza.

ROM 8:30 Removed trailing space in s1: Upendo Wa Mungu

ROM 8:31 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi kuhusu haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani awezaye kuwa kinyume chetu?

ROM 8:32 Removed trailing space in v~: Ikiwa Mungu hakumhurumia Mwanawe, bali alimtoa kwa ajili yetu sote, atakosaje basi kutupatia vitu vyote kwa ukarimu pamoja naye?

ROM 8:33 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayewashtaki wale ambao Mungu amewateua? Ni Mungu mwenyewe ndiye mwenye kuwahesabia haki.

ROM 8:34 Removed trailing space in v~: Ni nani basi atakayewahukumia adhabu? Kristo Yesu aliyekufa, naam, zaidi ya hayo, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, yuko mkono wa kuume wa Mungu, naye pia anatuombea.

ROM 8:35 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je, ni shida au taabu au mateso au njaa au uchi au hatari au upanga?

ROM 8:36 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa:

ROM 8:36 Removed trailing space in p~: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa;

ROM 8:36 Removed trailing space in p~: tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.”

ROM 8:37 Removed trailing space in v~: Lakini katika mambo haya yote tunashinda, naam na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda.

ROM 8:38 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimekwisha kujua kwa hakika ya kuwa sio mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuja, wala wenye uwezo,

ROM 8:39 Removed trailing space in v~: wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kingine chochote zitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu, Bwana wetu.

ROM 9:0 Extra space after chapter number

ROM 9:0 Removed trailing space in c: 9

ROM 9:0 Removed trailing space in s1: Kuteuliwa Kwa Israeli Na Mungu

ROM 9:1 Removed trailing space in v~: Ninasema kweli katika Kristo, wala sisemi uongo, dhamiri yangu inanishuhudia katika Roho Mtakatifu.

ROM 9:2 Removed trailing space in v~: Nina huzuni kuu na uchungu usiokoma moyoni mwangu.

ROM 9:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana ningetamani hata mimi nilaaniwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu hasa, wale walio wa kabila langu kwa jinsi ya mwili,

ROM 9:4 Removed trailing space in v~: yaani, watu wa Israeli, ambao ndio wenye kule kufanywa wana, ule utukufu wa Mungu, yale maagano, kule kupokea sheria, ibada ya kwenye Hekalu na zile ahadi.

ROM 9:5 Removed trailing space in v~: Wao ni wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili kama mwanadamu, yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! Amen.

ROM 9:6 Removed trailing space in v~: Si kwamba Neno la Mungu limeshindwa. Kwa maana si kila Mwisraeli ambaye ni wa uzao utokanao na Israeli ni Mwisraeli halisi.

ROM 9:7 Removed trailing space in v~: Wala hawakuwi wazao wa Abrahamu kwa sababu wao ni watoto wake, lakini: “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwake Isaki.”

ROM 9:8 Removed trailing space in v~: Hii ina maana kwamba, si watoto waliozaliwa kimwili walio watoto wa Mungu, bali ni watoto wa ahadi wanaohesabiwa kuwa uzao wa Abrahamu.

ROM 9:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana ahadi yenyewe ilisema, “Nitakurudia tena wakati kama huu, naye Sara atapata mtoto wa kiume.”

ROM 9:10 Removed trailing space in v~: Wala si hivyo tu, bali pia watoto aliowazaa Rebeka walikuwa na baba huyo huyo mmoja, yaani, baba yetu Isaki.

ROM 9:11 Removed trailing space in v~: Lakini, hata kabla hao mapacha hawajazaliwa au kufanya jambo lolote jema au baya, ili kwamba kusudi la Mungu la kuchagua lipate kusimama,

ROM 9:12 Removed trailing space in v~: si kwa matendo, bali kwa yeye mwenye kuita, Rebeka aliambiwa, “Yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”

ROM 9:13 Removed trailing space in v~: Kama vile ilivyoandikwa, “Nimempenda Yakobo, lakini nimemchukia Esau.”

ROM 9:13 Removed trailing space in s1: Mungu Hana Upendeleo

ROM 9:14 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi? Je, Mungu ni dhalimu? La, hasha!

ROM 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu alimwambia Mose,

ROM 9:15 Removed trailing space in p~: “Nitamrehemu yeye nimrehemuye,

ROM 9:15 Removed trailing space in p~: na pia nitamhurumia yeye nimhurumiaye.”

ROM 9:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo haitegemei kutaka kwa mwanadamu au jitihada, bali hutegemea huruma ya Mungu.

ROM 9:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana Maandiko yamwambia Farao, “Nilikuinua kwa kusudi hili hasa, ili nipate kuonyesha uweza wangu juu yako, na ili Jina langu lipate kutangazwa duniani yote.”

ROM 9:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia yeye atakaye kumhurumia na humfanya mgumu yeye atakaye kumfanya mgumu.

ROM 9:19 Removed trailing space in v~: Basi mtaniambia, “Kama ni hivyo, kwa nini basi bado Mungu anatulaumu? Kwa maana ni nani awezaye kupinga mapenzi yake?”

ROM 9:20 Removed trailing space in v~: Lakini, ewe mwanadamu, u nani wewe ushindane na Mungu? “Je, kilichoumbwa chaweza kumwambia yeye aliyekiumba, ‘Kwa nini umeniumba hivi?’ ”

ROM 9:21 Removed trailing space in v~: Je, mfinyanzi hana haki ya kufinyanga kutoka bonge moja vyombo vya udongo, vingine kwa matumizi ya heshima na vingine kwa matumizi ya kawaida?

ROM 9:22 Removed trailing space in v~: Iweje basi, kama Mungu kwa kutaka kuonyesha ghadhabu yake na kufanya uweza wake ujulikane, amevumilia kwa uvumilivu mwingi vile vyombo vya ghadhabu vilivyoandaliwa kwa uharibifu?

ROM 9:23 Removed trailing space in v~: Iweje basi, kama yeye alitenda hivi ili kufanya wingi wa utukufu wake ujulikane kwa vile vyombo vya rehema yake, alivyotangulia kuvitengeneza kwa ajili ya utukufu wake,

ROM 9:24 Removed trailing space in v~: yaani pamoja na sisi, ambao pia alituita, si kutoka kwa Wayahudi peke yao, bali pia kutoka kwa watu wa Mataifa?

ROM 9:24 Removed trailing space in s1: Yote Yalitabiriwa Katika Maandiko

ROM 9:25 Removed trailing space in v~: Kama vile Mungu asemavyo katika Hosea:

ROM 9:25 Removed trailing space in p~: “Nitawaita ‘watu wangu’

ROM 9:25 Removed trailing space in p~: wale ambao si watu wangu;

ROM 9:25 Removed trailing space in p~: nami nitamwita ‘mpenzi wangu’

ROM 9:25 Removed trailing space in p~: yeye ambaye si mpenzi wangu,”

ROM 9:26 Removed trailing space in v~: tena,

ROM 9:26 Removed trailing space in p~: “Itakuwa hasa mahali pale walipoambiwa,

ROM 9:26 Removed trailing space in p~: ‘Ninyi si watu wangu,’

ROM 9:26 Removed trailing space in p~: wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ ”

ROM 9:27 Removed trailing space in v~: Isaya anapiga kelele kuhusu Israeli:

ROM 9:27 Removed trailing space in p~: “Ingawa idadi ya wana wa Israeli

ROM 9:27 Removed trailing space in p~: ni wengi kama mchanga wa pwani,

ROM 9:27 Removed trailing space in p~: ni mabaki yao tu watakaookolewa.

ROM 9:28 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Bwana ataitekeleza

ROM 9:28 Removed trailing space in p~: hukumu yake duniani kwa haraka

ROM 9:28 Removed trailing space in p~: na kwa ukamilifu.”

ROM 9:29 Removed trailing space in v~: Ni kama vile alivyotabiri Isaya akisema:

ROM 9:29 Removed trailing space in p~: “Kama Bwana Mwenye Nguvu Zote

ROM 9:29 Removed trailing space in p~: asingelituachia uzao,

ROM 9:29 Removed trailing space in p~: tungelikuwa kama Sodoma,

ROM 9:29 Removed trailing space in p~: tungelifanana na Gomora.”

ROM 9:29 Removed trailing space in s1: Kutokuamini Kwa Israeli

ROM 9:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tuseme nini basi? Kwamba watu wa Mataifa ambao hawakutafuta haki, wamepata haki ile iliyo kwa njia ya imani.

ROM 9:31 Removed trailing space in v~: Lakini Israeli, ambao walijitahidi kupata haki kwa njia ya sheria, hawakuipata.

ROM 9:32 Removed trailing space in v~: Kwa nini? Kwa sababu hawakuitafuta kwa njia ya imani bali kwa njia ya matendo. Wakajikwaa kwenye lile “jiwe la kukwaza.”

ROM 9:33 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa:

ROM 9:33 Removed trailing space in p~: “Tazama naweka katika Sayuni jiwe la kukwaza watu

ROM 9:33 Removed trailing space in p~: na mwamba wa kuwaangusha.

ROM 9:33 Removed trailing space in p~: Yeyote atakayemwamini

ROM 9:33 Removed trailing space in p~: hataaibika kamwe.”

ROM 10:0 Extra space after chapter number

ROM 10:0 Removed trailing space in c: 10

ROM 10:1 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu na maombi yangu kwa Mungu ni kwa ajili ya Waisraeli, kwamba waokolewe.

ROM 10:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninaweza nikashuhudia wazi kwamba wao wana juhudi kubwa kwa ajili ya Mungu, lakini juhudi yao haina maarifa.

ROM 10:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hawakuijua haki itokayo kwa Mungu, wakatafuta kuweka haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.

ROM 10:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana Kristo ni ukomo wa sheria ili kuwe na haki kwa kila mtu aaminiye.

ROM 10:4 Removed trailing space in s1: Wokovu Ni Kwa Ajili Ya Wote

ROM 10:5 Removed trailing space in v~: Mose anaandika kuhusu haki ile itokanayo na sheria, kwamba, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.”

ROM 10:6 Removed trailing space in v~: Lakini ile haki itokanayo na imani husema hivi: “Usiseme moyoni mwako, ‘Ni nani atakayepanda mbinguni?’ ” (yaani ili kumleta Kristo chini)

ROM 10:7 Removed trailing space in v~: “au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’ ” (yaani ili kumleta Kristo kutoka kwa wafu.)

ROM 10:8 Removed trailing space in v~: Lakini andiko lasemaje? “Lile neno liko karibu nawe, liko kinywani mwako na moyoni mwako,” yaani, lile neno la imani tunalolihubiri.

ROM 10:9 Removed trailing space in v~: Kwa sababu kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba “Yesu ni Bwana,” na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka.

ROM 10:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa moyo mtu huamini na hivyo kuhesabiwa haki, tena kwa kinywa mtu hukiri na hivyo kupata wokovu.

ROM 10:11 Removed trailing space in v~: Kama yasemavyo Maandiko, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.”

ROM 10:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani, yeye ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao.

ROM 10:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana, ataokolewa.”

ROM 10:14 Removed trailing space in v~: Lakini watamwitaje yeye ambaye hawajamwamini? Nao watawezaje kumwamini yeye ambaye hawajamsikia? Tena watamsikiaje bila mtu kuwahubiria?

ROM 10:15 Removed trailing space in v~: Nao watahubirije wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, “Tazama jinsi ilivyo mizuri miguu yao wale wanaohubiri habari njema!”

ROM 10:16 Removed trailing space in v~: Lakini si wote waliotii Habari Njema. Kwa maana Isaya asema, “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?”

ROM 10:17 Removed trailing space in v~: Basi, imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Kristo.

ROM 10:18 Removed trailing space in v~: Lakini nauliza: Je, wao hawakusikia? Naam, wamesikia, kwa maana:

ROM 10:18 Removed trailing space in p~: “Sauti yao imeenea duniani pote,

ROM 10:18 Removed trailing space in p~: nayo maneno yao yameenea

ROM 10:18 Removed trailing space in p~: hadi miisho ya ulimwengu.”

ROM 10:19 Removed trailing space in v~: Nami nauliza tena: Je, Waisraeli hawakuelewa? Kwanza, Mose asema,

ROM 10:19 Removed trailing space in p~: “Nitawafanya mwe na wivu

ROM 10:19 Removed trailing space in p~: kwa watu wale ambao si taifa.

ROM 10:19 Removed trailing space in p~: Nitawakasirisha kwa taifa

ROM 10:19 Removed trailing space in p~: lile lisilo na ufahamu.”

ROM 10:20 Removed trailing space in v~: Naye Isaya kwa ujasiri mwingi anasema,

ROM 10:20 Removed trailing space in p~: “Nimeonekana na watu wale ambao hawakunitafuta.

ROM 10:20 Removed trailing space in p~: Nilijifunua kwa watu

ROM 10:20 Removed trailing space in p~: wale ambao hawakunitafuta.”

ROM 10:21 Removed trailing space in v~: Lakini kuhusu Israeli anasema,

ROM 10:21 Removed trailing space in p~: “Mchana kutwa nimewanyooshea

ROM 10:21 Removed trailing space in p~: watu wakaidi na wasiotii mikono yangu.”

ROM 11:0 Extra space after chapter number

ROM 11:0 Removed trailing space in c: 11

ROM 11:0 Removed trailing space in s1: Mabaki Ya Israeli

ROM 11:1 Removed trailing space in v~: Basi nauliza: Je, Mungu amewakataa watu wake? La, hasha! Mimi mwenyewe ni Mwisraeli, tena uzao wa Abrahamu kutoka kabila la Benyamini.

ROM 11:2 Removed trailing space in v~: Mungu hajawakataa watu wake, ambao yeye aliwajua tangu mwanzo. Je, hamjui yale Maandiko yasemayo kuhusu Eliya, jinsi alivyomlalamikia Mungu kuhusu Israeli?

ROM 11:3 Removed trailing space in v~: Alisema, “Bwana, wamewaua manabii wako na kuzibomoa madhabahu zako, nimebaki mimi peke yangu, nao wanataka kuniua?”

ROM 11:4 Removed trailing space in v~: Je, Mungu alimjibuje? “Nimejibakizia watu elfu saba ambao hawajapiga magoti kumwabudu Baali.”

ROM 11:5 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo pia, sasa wapo mabaki waliochaguliwa kwa neema ya Mungu.

ROM 11:6 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa wamechaguliwa kwa neema, si tena kwa msingi wa matendo. Kama ingekuwa kwa matendo, neema isingekuwa neema tena.

ROM 11:7 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi? Kile kitu ambacho Israeli alikitafuta kwa bidii hakukipata. Lakini waliochaguliwa walikipata. Waliobaki walifanywa wagumu,

ROM 11:8 Removed trailing space in v~: kama ilivyoandikwa:

ROM 11:8 Removed trailing space in p~: “Mungu aliwapa bumbuazi la mioyo,

ROM 11:8 Removed trailing space in p~: macho ili wasiweze kuona,

ROM 11:8 Removed trailing space in p~: na masikio ili wasiweze kusikia,

ROM 11:8 Removed trailing space in p~: hadi leo.”

ROM 11:9 Removed trailing space in v~: Naye Daudi anasema:

ROM 11:9 Removed trailing space in p~: “Karamu zao na ziwe tanzi na mtego wa kuwanasa,

ROM 11:9 Removed trailing space in p~: kitu cha kuwakwaza waanguke, na adhabu kwao.

ROM 11:10 Removed trailing space in v~: Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,

ROM 11:10 Removed trailing space in p~: nayo migongo yao iinamishwe daima.”

ROM 11:10 Removed trailing space in s1: Matawi Yaliyopandikizwa

ROM 11:11 Removed trailing space in v~: Hivyo nauliza tena: Je, Waisraeli walijikwaa ili waanguke na kuangamia kabisa? La, hasha! Lakini kwa sababu ya makosa yao, wokovu umewafikia watu wa Mataifa, ili kuwafanya Waisraeli waone wivu.

ROM 11:12 Removed trailing space in v~: Basi ikiwa kukosa kwao kumekuwa utajiri mkubwa kwa ulimwengu, tena kama kuangamia kwao kumeleta utajiri kwa watu wa Mataifa, kurudishwa kwao kutaleta utajiri mkuu zaidi.

ROM 11:13 Removed trailing space in v~: Sasa ninasema nanyi watu wa Mataifa. Maadamu mimi ni mtume kwa watu wa Mataifa, naitukuza huduma yangu

ROM 11:14 Removed trailing space in v~: ili kuwafanya watu wangu waone wivu na hivyo kuwaokoa baadhi yao.

ROM 11:15 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ikiwa kukataliwa kwao ni kupatanishwa kwa ulimwengu, kukubaliwa kwao si kutakuwa ni uhai baada ya kufa?

ROM 11:16 Removed trailing space in v~: Kama sehemu ya donge la unga uliotolewa kuwa limbuko ni mtakatifu, basi unga wote ni mtakatifu, nalo shina kama ni takatifu, vivyo hivyo na matawi nayo.

ROM 11:17 Removed trailing space in v~: Lakini kama baadhi ya matawi yalikatwa, nawe chipukizi la mzeituni mwitu ukapandikizwa mahali pao ili kushiriki unono pamoja na matawi mengine kutoka shina la mzeituni,

ROM 11:18 Removed trailing space in v~: basi usijivune juu ya hayo matawi. Kama ukijivuna, kumbuka jambo hili: si wewe unayelishikilia shina, bali ni shina linalokushikilia wewe.

ROM 11:19 Removed trailing space in v~: Basi utasema, “Matawi yale yalikatwa ili nipate kupandikizwa katika hilo shina.”

ROM 11:20 Removed trailing space in v~: Hii ni kweli. Matawi hayo yalikatwa kwa sababu ya kutokuamini kwake, lakini wewe umesimama tu kwa sababu ya imani. Kwa hiyo usijivune, bali simama kwa kuogopa.

ROM 11:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala hatakuhurumia wewe.

ROM 11:22 Removed trailing space in v~: Angalia basi wema na ukali wa Mungu: Kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu, kama utadumu katika wema wake. La sivyo, nawe utakatiliwa mbali.

ROM 11:23 Removed trailing space in v~: Wao nao wasipodumu katika kutokuamini kwao, watapandikizwa tena kwenye shina, kwa maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena kwenye hilo shina.

ROM 11:24 Removed trailing space in v~: Ikiwa wewe ulikatwa kutoka kile ambacho kwa asili ni mzeituni mwitu na kupandikizwa kinyume cha asili kwenye mzeituni uliopandwa, si rahisi zaidi matawi haya ya asili kupandikizwa tena kwenye shina lake la mzeituni!

ROM 11:24 Removed trailing space in s1: Israeli Wote Wataokolewa

ROM 11:25 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, ili msije mkajidai kuwa wenye hekima kuliko mlivyo, nataka mfahamu siri hii: Ugumu umewapata Israeli kwa sehemu hadi idadi ya watu wa Mataifa watakaoingia itimie.

ROM 11:26 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa:

ROM 11:26 Removed trailing space in p~: “Mkombozi atakuja kutoka Sayuni;

ROM 11:26 Removed trailing space in p~: ataondoa kutokumcha Mungu katika Yakobo.

ROM 11:27 Removed trailing space in v~: Hili ndilo agano langu nao

ROM 11:27 Removed trailing space in p~: nitakapoziondoa dhambi zao.”

ROM 11:28 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya Injili, wao ni adui wa Mungu kwa ajili yenu, lakini kuhusu kule kuteuliwa kwao ni wapendwa, kwa ajili ya mababa zao wa zamani,

ROM 11:29 Removed trailing space in v~: kwa maana akishawapa watu karama, Mungu haziondoi, wala wito wake.

ROM 11:30 Removed trailing space in v~: Kama vile ninyi wakati fulani mlivyokuwa waasi kwa Mungu lakini sasa mmepata rehema kwa sababu ya kutokutii kwao,

ROM 11:31 Removed trailing space in v~: hivyo nao Waisraeli wamekuwa waasi ili kwamba wao nao sasa waweze kupata rehema kwa ajili ya rehema za Mungu kwenu.

ROM 11:32 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote.

ROM 11:32 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Shukrani

ROM 11:33 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi kilivyo kina cha utajiri

ROM 11:33 Removed trailing space in p~: wa hekima na maarifa ya Mungu!

ROM 11:33 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ambavyo hukumu zake hazichunguziki,

ROM 11:33 Removed trailing space in p~: na ambavyo njia zake zisivyotafutikana!

ROM 11:34 Removed trailing space in v~: “Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya Bwana?

ROM 11:34 Removed trailing space in p~: Au ni nani ambaye amekuwa mshauri wake?”

ROM 11:35 Removed trailing space in v~: “Au ni nani aliyempa chochote

ROM 11:35 Removed trailing space in p~: ili arudishiwe?”

ROM 11:36 Removed trailing space in v~: Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake.

ROM 11:36 Removed trailing space in p~: Utukufu ni wake milele! Amen.

ROM 12:0 Extra space after chapter number

ROM 12:0 Removed trailing space in c: 12

ROM 12:0 Removed trailing space in s1: Maisha Mapya Katika Kristo

ROM 12:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ndugu zangu, nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana.

ROM 12:2 Removed trailing space in v~: Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu.

ROM 12:3 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya neema niliyopewa nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhanie kuwa bora kuliko impasavyo, bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani Mungu aliyompa.

ROM 12:4 Removed trailing space in v~: Kama vile katika mwili mmoja tulivyo na viungo vingi, navyo viungo vyote havina kazi moja,

ROM 12:5 Removed trailing space in v~: vivyo hivyo na sisi tulio wengi, tu mwili mmoja katika Kristo, nasi kila mmoja ni kiungo cha mwenzake.

ROM 12:6 Removed trailing space in v~: Tuna karama zilizotofautiana kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa. Kama ni unabii na tutoe unabii kwa kadiri ya imani.

ROM 12:7 Removed trailing space in v~: Kama ni kuhudumu na tuhudumu, mwenye kufundisha na afundishe,

ROM 12:8 Removed trailing space in v~: kama ni kutia moyo na atie moyo, kama ni kuchangia kwa ajili ya mahitaji ya wengine na atoe kwa ukarimu, kama ni uongozi na aongoze kwa bidii, kama ni kuhurumia wengine na afanye hivyo kwa furaha.

ROM 12:8 Removed trailing space in s1: Alama Za Mkristo Wa Kweli

ROM 12:9 Removed trailing space in v~: Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.

ROM 12:10 Removed trailing space in v~: Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine.

ROM 12:11 Removed trailing space in v~: Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana.

ROM 12:12 Removed trailing space in v~: Kuweni na furaha katika tumaini, katika dhiki kuweni na saburi, dumuni katika maombi.

ROM 12:13 Removed trailing space in v~: Changieni katika mahitaji ya watakatifu, wakaribisheni wageni.

ROM 12:14 Removed trailing space in v~: Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani.

ROM 12:15 Removed trailing space in v~: Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.

ROM 12:16 Removed trailing space in v~: Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu.

ROM 12:17 Removed trailing space in v~: Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote.

ROM 12:18 Removed trailing space in v~: Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.

ROM 12:19 Removed trailing space in v~: Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza,” asema Bwana.

ROM 12:20 Removed trailing space in v~: Badala yake:

ROM 12:20 Removed trailing space in p~: “Kama adui yako ana njaa, mlishe;

ROM 12:20 Removed trailing space in p~: kama ana kiu, mpe kinywaji.

ROM 12:20 Removed trailing space in p~: Kwa kufanya hivyo,

ROM 12:20 Removed trailing space in p~: unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.”

ROM 12:21 Removed trailing space in v~: Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.

ROM 13:0 Extra space after chapter number

ROM 13:0 Removed trailing space in c: 13

ROM 13:0 Removed trailing space in s1: Kutii Mamlaka

ROM 13:1 Removed trailing space in v~: Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu.

ROM 13:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe.

ROM 13:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa watawala hawawatishi watu wale wanaotenda mema bali wale wanaotenda mabaya. Je, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Basi tenda lile lililo jema naye atakusifu.

ROM 13:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa ajili ya mema. Lakini kama ukitenda mabaya, basi ogopa, kwa kuwa hauinui upanga bila sababu. Yeye ni mtumishi wa Mungu, mjumbe wa Mungu wa kutekeleza adhabu juu ya watenda mabaya.

ROM 13:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu iwezayo kutolewa, bali pia kwa ajili ya dhamiri.

ROM 13:6 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu, ambao hutumia muda wao wote kutawala.

ROM 13:7 Removed trailing space in v~: Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa. Kama mnadaiwa kodi lipeni kodi, kama ni ushuru, lipeni ushuru, astahiliye hofu, mhofu, astahiliye heshima, mheshimu.

ROM 13:7 Removed trailing space in s1: Kupendana Kila Mmoja Na Mwingine

ROM 13:8 Removed trailing space in v~: Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria.

ROM 13:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa amri hizi zisemazo, “Usizini,” “Usiue,” “Usiibe,” “Usitamani,” na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”

ROM 13:10 Removed trailing space in v~: Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa sheria.

ROM 13:11 Removed trailing space in v~: Nanyi fanyeni hivi, mkiutambua wakati tulio nao. Saa ya kuamka kutoka usingizini imewadia, kwa maana sasa wokovu wetu umekaribia zaidi kuliko hapo kwanza tulipoamini.

ROM 13:12 Removed trailing space in v~: Usiku umeendelea sana, mapambazuko yamekaribia. Kwa hiyo tuyaweke kando matendo ya giza na tuvae silaha za nuru.

ROM 13:13 Removed trailing space in v~: Basi na tuenende kwa adabu kama inavyopasa wakati wa mchana, si kwa kufanya karamu za ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.

ROM 13:14 Removed trailing space in v~: Bali jivikeni Bwana Yesu Kristo, wala msifikiri jinsi mtakavyotimiza tamaa za miili yenu yenye asili ya dhambi.

ROM 14:0 Extra space after chapter number

ROM 14:0 Removed trailing space in c: 14

ROM 14:0 Removed trailing space in s1: Msiwahukumu Wengine

ROM 14:1 Removed trailing space in v~: Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake.

ROM 14:2 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu, lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula mboga tu.

ROM 14:3 Removed trailing space in v~: Yeye alaye kila kitu asimdharau yeye asiyekula. Wala yeye asiyekula kila kitu asimhukumu yule alaye kila kitu, kwa maana Mungu amemkubali.

ROM 14:4 Removed trailing space in v~: Wewe ni nani hata umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Kwa bwana wake tu anasimama au kuanguka. Naye atasimama kwa sababu Bwana anaweza kumsimamisha.

ROM 14:5 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja anaitukuza siku fulani kuwa ni bora kuliko nyingine, na mwingine anaona kuwa siku zote ni sawa. Basi kila mmoja awe na hakika na yale anayoamini.

ROM 14:6 Removed trailing space in v~: Yeye anayehesabu siku moja kuwa takatifu kuliko nyingine, hufanya hivyo kwa kumheshimu Bwana. Naye alaye nyama hula kwa Bwana, kwa maana humshukuru Mungu, naye akataaye kula nyama hufanya hivyo kwa Bwana na humshukuru Mungu.

ROM 14:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hakuna hata mmoja wetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna hata mmoja wetu afaye kwa ajili yake mwenyewe.

ROM 14:8 Removed trailing space in v~: Kama tunaishi, tunaishi kwa Bwana, nasi pia tukifa tunakufa kwa Bwana. Kwa hiyo basi, kama tukiishi au kama tukifa, sisi ni mali ya Bwana.

ROM 14:9 Removed trailing space in v~: Kwani kwa sababu hii hasa, Kristo alikufa na akawa hai tena kusudi apate kuwa Bwana wa wote, yaani, waliokufa na walio hai.

ROM 14:10 Removed trailing space in v~: Basi kwa nini wewe wamhukumu ndugu yako? Au kwa nini wewe unamdharau ndugu yako? Kwa kuwa sote tutasimama mbele ya kiti cha Mungu cha hukumu.

ROM 14:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa imeandikwa:

ROM 14:11 Removed trailing space in p~: “ ‘Kama vile niishivyo,’ asema Bwana,

ROM 14:11 Removed trailing space in p~: ‘kila goti litapigwa mbele zangu,

ROM 14:11 Removed trailing space in p~: na kila ulimi utakiri kwa Mungu.’ ”

ROM 14:12 Removed trailing space in v~: Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mungu.

ROM 14:12 Removed trailing space in s1: Usimfanye Ndugu Yako Ajikwae

ROM 14:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tusiendelee kuhukumiana: Badala yake mtu asiweke kamwe kikwazo au kizuizi katika njia ya ndugu mwingine.

ROM 14:14 Removed trailing space in v~: Ninajua tena nimehakikishiwa sana katika Bwana Yesu kwamba hakuna kitu chochote ambacho ni najisi kwa asili yake. Lakini kama mtu anakiona kitu kuwa ni najisi, basi kwake huyo kitu hicho ni najisi.

ROM 14:15 Removed trailing space in v~: Kama ndugu yako anahuzunishwa kwa sababu ya kile unachokula, basi huenendi tena katika upendo. Usiruhusu kile unachokula kiwe sababu ya kumwangamiza ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.

ROM 14:16 Removed trailing space in v~: Usiruhusu kile ambacho unakiona kuwa chema kisemwe kuwa ni kiovu.

ROM 14:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana Ufalme wa Mungu si kula na kunywa, bali ni haki, amani na furaha katika Roho Mtakatifu.

ROM 14:18 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Kristo kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu.

ROM 14:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo na tufanye bidii kutafuta yale yaletayo amani na kujengana sisi kwa sisi.

ROM 14:20 Removed trailing space in v~: Usiiharibu kazi ya Mungu kwa ajili ya chakula. Hakika vyakula vyote ni safi, lakini ni kosa kula kitu chochote kinachomsababisha ndugu yako ajikwae.

ROM 14:21 Removed trailing space in v~: Ni afadhali kutokula nyama wala kunywa divai au kufanya jambo lingine lolote litakalomsababisha ndugu yako ajikwae.

ROM 14:22 Removed trailing space in v~: Je, wewe unayo imani? Ile imani uliyo nayo, uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiye na sababu ya kujihukumu nafsi yake kwa ajili ya kile anachokifanya.

ROM 14:23 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtu ana shaka kuhusu kile anachokula, amehukumiwa, kwa sababu hakula kwa imani. Kwa kuwa chochote kinachofanywa pasipo imani ni dhambi.

ROM 15:0 Extra space after chapter number

ROM 15:0 Removed trailing space in c: 15

ROM 15:0 Removed trailing space in s1: Usijipendeze Mwenyewe, Bali Wapendeze Wengine

ROM 15:1 Removed trailing space in v~: Sisi tulio na nguvu, hatuna budi kuchukuliana na kushindwa kwa wale walio dhaifu wala si kujipendeza nafsi zetu wenyewe.

ROM 15:2 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wetu inampasa kumpendeza jirani yake kwa mambo mema, ili kumjenga katika imani.

ROM 15:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe, bali kama ilivyoandikwa: “Matukano yao wale wanaokutukana wewe yalinipata mimi.”

ROM 15:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila kitu kilichoandikwa zamani, kiliandikwa kutufundisha, ili kwamba kwa saburi na faraja tunayopata katika Maandiko tuwe na tumaini.

ROM 15:5 Removed trailing space in v~: Mungu atoaye saburi na faraja, awajalie ninyi roho ya umoja miongoni mwenu mnapomfuata Kristo Yesu,

ROM 15:6 Removed trailing space in v~: ili kwa moyo mmoja mpate kumtukuza Mungu aliye Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.

ROM 15:6 Removed trailing space in s1: Injili Sawa Kwa Wayahudi Na Kwa Watu Wa Mataifa

ROM 15:7 Removed trailing space in v~: Karibishaneni ninyi kwa ninyi kama Kristo alivyowakaribisha ninyi ili kumletea Mungu utukufu.

ROM 15:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana nawaambia kwamba, Kristo amekuwa mtumishi kwa wale waliotahiriwa ili kuonyesha kweli ya Mungu na kuthibitisha zile ahadi walizopewa baba zetu wa zamani,

ROM 15:9 Removed trailing space in v~: pia ili watu wa Mataifa wamtukuze Mungu kwa rehema zake. Kama ilivyoandikwa:

ROM 15:9 Removed trailing space in p~: “Kwa hiyo nitakutukuza katikati ya watu wa Mataifa;

ROM 15:9 Removed trailing space in p~: nitaliimbia sifa jina lako.”

ROM 15:10 Removed trailing space in v~: Tena yasema,

ROM 15:10 Removed trailing space in p~: “Enyi watu wa Mataifa, furahini

ROM 15:10 Removed trailing space in p~: pamoja na watu wa Mungu.”

ROM 15:11 Removed trailing space in v~: Tena,

ROM 15:11 Removed trailing space in p~: “Msifuni Bwana, ninyi watu wa Mataifa wote,

ROM 15:11 Removed trailing space in p~: na kumwimbia sifa, enyi watu wote.”

ROM 15:12 Removed trailing space in v~: Tena Isaya anasema,

ROM 15:12 Removed trailing space in p~: “Shina la Yese litachipuka,

ROM 15:12 Removed trailing space in p~: yeye atakayeinuka ili kutawala juu ya mataifa.

ROM 15:12 Removed trailing space in p~: Watu wa Mataifa watamtumaini.”

ROM 15:13 Removed trailing space in v~: Mungu wa tumaini awajaze ninyi furaha yote na amani katika kumwamini, ili mpate kujawa na tumaini tele kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.

ROM 15:13 Removed trailing space in s1: Paulo Mhudumu Wa Watu Wa Mataifa

ROM 15:14 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, mimi mwenyewe ninasadiki kwamba mmejaa wema na ufahamu wote, tena mnaweza kufundishana ninyi kwa ninyi.

ROM 15:15 Removed trailing space in v~: Nimewaandikia kwa ujasiri vipengele kadha wa kadha katika waraka huu kama kuwakumbusha tena kwa habari ya ile neema Mungu aliyonipa,

ROM 15:16 Removed trailing space in v~: ili kuwa mhudumu wa Kristo Yesu kwa watu wa Mataifa nikiwa na huduma ya kikuhani ya kutangaza Injili ya Mungu, ili watu wa Mataifa wapate kuwa dhabihu inayokubaliwa na Mungu, iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.

ROM 15:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ninajisifu katika Kristo Yesu, kwenye utumishi wangu kwa Mungu.

ROM 15:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana sitathubutu kusema kitu chochote zaidi ya kile ambacho Kristo amefanya kwa kunitumia mimi katika kuwaongoza watu wa Mataifa wamtii Mungu kwa yale niliyosema na kufanya,

ROM 15:19 Removed trailing space in v~: kwa nguvu za ishara na miujiza, kwa uweza wa Roho wa Mungu, hivyo kuanzia Yerusalemu hadi maeneo yote ya kandokando yake mpaka Iliriko, nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa ukamilifu.

ROM 15:20 Removed trailing space in v~: Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine.

ROM 15:21 Removed trailing space in v~: Lakini kama ilivyoandikwa:

ROM 15:21 Removed trailing space in p~: “Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona,

ROM 15:21 Removed trailing space in p~: nao wale ambao hawajazisikia watafahamu.”

ROM 15:22 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu nimezuiliwa mara nyingi nisiweze kuja kwenu.

ROM 15:22 Removed trailing space in s1: Paulo Apanga Kwenda Rumi

ROM 15:23 Removed trailing space in v~: Lakini sasa kwa kuwa hakuna nafasi zaidi kwa ajili yangu katika sehemu hii, ninatamani kuja kwenu kama ambavyo nimekuwa na shauku kwa miaka mingi.

ROM 15:24 Removed trailing space in v~: Nimekusudia kufanya hivyo nitakapokuwa njiani kwenda Hispania. Natarajia kuwaona katika safari yangu na kusafirishwa nanyi mpaka huko, baada ya kufurahia ushirika wenu kwa kitambo kidogo.

ROM 15:25 Removed trailing space in v~: Sasa, niko njiani kuelekea Yerusalemu kwa ajili ya kuwahudumia watakatifu huko.

ROM 15:26 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa imewapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo kwa ajili ya maskini walioko miongoni mwa watakatifu huko Yerusalemu.

ROM 15:27 Removed trailing space in v~: Imewapendeza kufanya hivyo, naam, kwani ni wadeni wao. Kwa maana ikiwa watu wa Mataifa wameshiriki baraka za rohoni za Wayahudi, wao ni wadeni wa Wayahudi, ili Wayahudi nao washiriki baraka zao za mambo ya mwilini.

ROM 15:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo baada ya kukamilisha kazi hii na kuhakikisha kuwa wamepokea kila kitu kilichokusanywa, nitapitia kwenu nikiwa njiani kwenda Hispania.

ROM 15:29 Removed trailing space in v~: Ninajua kwamba nitakapokuja kwenu, nitakuja na wingi wa baraka za Kristo.

ROM 15:30 Removed trailing space in v~: Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo wa Roho Mtakatifu, kujiunga nami katika taabu zangu mkiniombea kwa Mungu.

ROM 15:31 Removed trailing space in v~: Ombeni ili nipate kuokolewa mikononi mwa wale wasioamini walioko Uyahudi, na kwamba utumishi wangu upate kukubaliwa na watakatifu wa huko Yerusalemu,

ROM 15:32 Removed trailing space in v~: ili kwa mapenzi ya Mungu niweze kuja kwenu kwa furaha, nami niburudishwe pamoja nanyi.

ROM 15:33 Removed trailing space in v~: Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amen.

ROM 16:0 Extra space after chapter number

ROM 16:0 Removed trailing space in c: 16

ROM 16:0 Removed trailing space in s1: Salamu Kwa Watu Binafsi

ROM 16:1 Removed trailing space in v~: Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.

ROM 16:2 Removed trailing space in v~: Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na kumpa msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu wengi, mimi nikiwa miongoni mwao.

ROM 16:3 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Prisila\f + \fr 16:3 \ft Prisila kwa Kiyunani ni Priska, hivyo tafsiri nyingine zimemuita Priska.\f* na Akila, watumishi wenzangu katika Kristo Yesu.

ROM 16:4 Removed trailing space in v~: Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu; wala si mimi tu ninayewashukuru bali pia makanisa yote ya watu wa Mataifa.

ROM 16:5 Removed trailing space in v~: Lisalimuni pia kanisa linalokutana nyumbani mwao.

ROM 16:5 Removed trailing space in p~: Msalimuni rafiki yangu mpendwa Epaineto, aliyekuwa mtu wa kwanza kumwamini Kristo huko Asia.

ROM 16:6 Removed trailing space in v~: Msalimuni Maria, aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.

ROM 16:7 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.

ROM 16:8 Removed trailing space in v~: Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana.

ROM 16:9 Removed trailing space in v~: Msalimuni Urbano, mtendakazi mwenzetu katika Kristo, pamoja na rafiki yangu mpendwa Stakisi.

ROM 16:10 Removed trailing space in v~: Msalimuni Apele aliyejaribiwa na akaithibitisha imani yake katika Kristo.

ROM 16:10 Removed trailing space in p~: Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Aristobulo.

ROM 16:11 Removed trailing space in v~: Msalimuni ndugu yangu Herodioni.

ROM 16:11 Removed trailing space in p~: Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Narkisi walio katika Bwana.

ROM 16:12 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Trifaina na Trifosa, wale wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika Bwana.

ROM 16:12 Removed trailing space in p~: Msalimuni rafiki yangu mpendwa Persisi, mwanamke mwingine aliyefanya kazi kwa bidii katika Bwana.

ROM 16:13 Removed trailing space in v~: Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.

ROM 16:14 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Asinkrito, Flegoni, Herme, Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.

ROM 16:15 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Filologo, Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa na watakatifu wote walio pamoja nao.

ROM 16:16 Removed trailing space in v~: Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu.

ROM 16:16 Removed trailing space in p~: Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu.

ROM 16:16 Removed trailing space in s1: Maelekezo Ya Mwisho

ROM 16:17 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, nawasihi mjihadhari na kujiepusha na wale watu waletao matengano na kuweka vikwazo mbele yenu dhidi ya mafundisho mliyojifunza.

ROM 16:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao wenyewe. Kwa kutumia maneno laini na ya kubembeleza, hupotosha mioyo ya watu wajinga.

ROM 16:19 Removed trailing space in v~: Kila mtu amesikia juu ya utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu.

ROM 16:20 Removed trailing space in v~: Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.

ROM 16:20 Removed trailing space in p~: Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen.

ROM 16:21 Removed trailing space in v~: Timotheo, mtendakazi mwenzangu anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, na Sosipatro, ndugu zangu.

ROM 16:22 Removed trailing space in v~: Mimi, Tertio, niliye mwandishi wa waraka huu, nawasalimu katika Bwana.

ROM 16:23 Removed trailing space in v~: Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa kanisa lote, anawasalimu.

ROM 16:23 Removed trailing space in p~: Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu.

ROM 16:23 Removed trailing space in p~: [

ROM 16:24 Removed trailing space in v~: Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]

ROM 16:24 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Mwisho Ya Kumsifu Mungu

ROM 16:25 Removed trailing space in v~: Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale.

ROM 16:26 Removed trailing space in v~: Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii

ROM 16:27 Removed trailing space in v~: Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen.

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 1    c: 16    h: 1    id: 1    li1: 18    m: 13    mt1: 1    p: 116    q1: 49    q2: 50    rem: 1    s1: 45    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 748    v: 433  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    b: 1    m: 13    c: 16    li1: 18    s1: 45    q1: 49    q2: 50    p: 116    v: 433    Total: 748  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 16    Paragraphs: 116    Verses: 433  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Chapters: 16    Paragraphs: 116    Verses: 433  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 a: 190    A: 11    b: 12    B: 2    d: 21    D: 2    e: 50    f: 14    G: 1    g: 16    h: 28    H: 9    i: 94    I: 10    j: 8    k: 27    K: 30    l: 25    m: 38    M: 31    N: 15    n: 51    o: 37    P: 3    p: 8    r: 20    R: 3    S: 7    s: 21    Space: 138    t: 28    T: 3    Total: 1132    u: 76    U: 9    v: 1    W: 32    w: 30    Y: 18    y: 6    z: 5    Z: 2  

Letter Counts (sorted by count)

 G: 1    v: 1    D: 2    Z: 2    B: 2    R: 3    T: 3    P: 3    z: 5    y: 6    S: 7    j: 8    p: 8    H: 9    U: 9    I: 10    A: 11    b: 12    f: 14    N: 15    g: 16    Y: 18    r: 20    d: 21    s: 21    l: 25    k: 27    h: 28    t: 28    K: 30    w: 30    M: 31    W: 32    o: 37    m: 38    e: 50    n: 51    u: 76    i: 94    Space: 138    a: 190    Total: 1132  

Punctuation Counts

 ,: 2    Total: 2  

Punctuation Counts (sorted by count)

 ,: 2    Total: 2  

Words

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

ROM -1:6 Main Title 1:Warumi

Section Heading Lines

ROM 1:7Maombi Na Shukrani
ROM 1:17Ghadhabu Ya Mungu Kwa Wanadamu
ROM 2:0Hukumu Ya Mungu
ROM 2:16Wayahudi Na Sheria
ROM 3:0Uaminifu Wa Mungu
ROM 3:8Wote Wametenda Dhambi
ROM 3:20Haki Kwa Njia Ya Imani
ROM 3:26Umuhimu Wa Kuwa Na Imani
ROM 4:0Abrahamu Alihesabiwa Haki Kwa Imani
ROM 4:8Haki Kabla Ya Tohara
ROM 4:12Ahadi Ya Mungu Hufahamika Kwa Imani
ROM 4:17Mfano Wa Imani Ya Abrahamu
ROM 5:0Matokeo Ya Kuhesabiwa Haki
ROM 5:11Adamu Alileta Kifo, Yesu Ameleta Uzima
ROM 6:0Kufa Na Kufufuka Pamoja Na Kristo
ROM 6:14Watumwa Wa Haki
ROM 7:0Hatufungwi Tena Na Sheria
ROM 7:6Sheria Na Dhambi
ROM 7:13Mgongano Wa Ndani
ROM 8:0Maisha Katika Roho
ROM 8:17Utukufu Ujao
ROM 8:27Tunashinda Na Zaidi Ya Kushinda
ROM 8:30Upendo Wa Mungu
ROM 9:0Kuteuliwa Kwa Israeli Na Mungu
ROM 9:13Mungu Hana Upendeleo
ROM 9:24Yote Yalitabiriwa Katika Maandiko
ROM 9:29Kutokuamini Kwa Israeli
ROM 10:4Wokovu Ni Kwa Ajili Ya Wote
ROM 11:0Mabaki Ya Israeli
ROM 11:10Matawi Yaliyopandikizwa
ROM 11:24Israeli Wote Wataokolewa
ROM 11:32Wimbo Wa Shukrani
ROM 12:0Maisha Mapya Katika Kristo
ROM 12:8Alama Za Mkristo Wa Kweli
ROM 13:0Kutii Mamlaka
ROM 13:7Kupendana Kila Mmoja Na Mwingine
ROM 14:0Msiwahukumu Wengine
ROM 14:12Usimfanye Ndugu Yako Ajikwae
ROM 15:0Usijipendeze Mwenyewe, Bali Wapendeze Wengine
ROM 15:6Injili Sawa Kwa Wayahudi Na Kwa Watu Wa Mataifa
ROM 15:13Paulo Mhudumu Wa Watu Wa Mataifa
ROM 15:22Paulo Apanga Kwenda Rumi
ROM 16:0Salamu Kwa Watu Binafsi
ROM 16:16Maelekezo Ya Mwisho
ROM 16:24Maneno Ya Mwisho Ya Kumsifu Mungu

Notes

Footnote Lines

ROM 8:15+ \fr 8:15 \ft Abba ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni Baba; ni n…mzaa.
ROM 16:3+ \fr 16:3 \ft Prisila kwa Kiyunani ni Priska, hivyo tafsiri nyingine …iska.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 2    Footnotes: 2  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 2    Footnote leader '+': 2