Freely-Given.org Bible SA2 Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in SA2 -1:0

Showing 1 out of 1011 priority errors

Fix Text Errors

SA2 -1:0 Removed trailing space in id: 2SA - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

SA2 -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

SA2 -1:2 Removed trailing space in h: 2 Samweli

SA2 -1:3 Removed trailing space in toc1: 2 Samweli

SA2 -1:4 Removed trailing space in toc2: 2 Samweli

SA2 -1:5 Removed trailing space in toc3: 2Sam

SA2 -1:6 Removed trailing space in mt1: 2 Samweli

SA2 1:0 Extra space after chapter number

SA2 1:0 Removed trailing space in c: 1

SA2 1:0 Removed trailing space in s1: Daudi Afahamishwa Kifo Cha Sauli

SA2 1:1 Removed trailing space in v~: Baada ya kifo cha Sauli, Daudi alipokuwa amerudi kutoka kuwashinda Waamaleki, Daudi alikaa siku mbili huko Siklagi.

SA2 1:2 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu akaja mtu mwenye nguo zilizoraruka na mavumbi kichwani mwake kutoka kwenye kambi ya Sauli. Alipomjia Daudi, akajitupa chini ili kumpa heshima.

SA2 1:3 Removed trailing space in v~: Daudi akamuuliza, “Wewe umetoka wapi?”

SA2 1:3 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Nimetoroka kutoka kambi ya Waisraeli.”

SA2 1:4 Removed trailing space in v~: Daudi akamuuliza, “Ni nini kilichotokea? Niambie.”

SA2 1:4 Removed trailing space in p~: Akasema, “Watu walikimbia kutoka vitani. Wengi wao walianguka na kufa. Naye Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa.”

SA2 1:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamwambia huyo kijana aliyemletea taarifa, “Je, umefahamuje kwamba Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa?”

SA2 1:6 Removed trailing space in v~: Yule kijana akasema, “Nilijipata huko Mlima Gilboa, naye Sauli alikuwa huko akiegemea mkuki wake, na magari ya vita na wapanda farasi wa upande wa adui wakawa wamemkaribia sana.

SA2 1:7 Removed trailing space in v~: Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’

SA2 1:8 Removed trailing space in v~: “Akaniuliza, ‘Wewe ni nani?’

SA2 1:8 Removed trailing space in p~: “Nikamjibu, ‘Mimi ni Mwamaleki.’

SA2 1:9 Removed trailing space in v~: “Kisha akaniambia, ‘Nikaribie mimi na uniue! Niko katika maumivu makali ya kifo, lakini bado ningali hai.’

SA2 1:10 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nikamkaribia nikamuua, kwa sababu nilijua kwamba baada ya kuanguka hangeweza kupona. Nami nikachukua lile taji lililokuwa kichwani mwake na utepe uliokuwa mkononi mwake nami nimevileta hapa kwa bwana wangu.”

SA2 1:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye wakazishika nguo zao na kuzirarua.

SA2 1:12 Removed trailing space in v~: Wakaomboleza, wakalia pia na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Sauli na Yonathani mwanawe, kwa ajili ya jeshi la \nd Bwana\nd* na nyumba ya Israeli, kwa sababu wameanguka kwa upanga.

SA2 1:13 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia yule kijana aliyemletea taarifa, “Wewe ni mwenyeji wa wapi?”

SA2 1:13 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Mimi ni mwana wa mgeni, Mwamaleki.”

SA2 1:14 Removed trailing space in v~: Daudi akamuuliza, “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako ili kumwangamiza mpakwa mafuta wa \nd Bwana\nd*?”

SA2 1:15 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamwita mmoja wa watu wake na kumwambia, “Nenda ukamuue!” Kwa hiyo akampiga, naye akafa.

SA2 1:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana Daudi alikuwa amemwambia, “Damu yako iwe juu ya kichwa chako mwenyewe. Kinywa chako mwenyewe kimeshuhudia dhidi yako uliposema, ‘Nilimuua mpakwa mafuta wa \nd Bwana\nd*.’ ”

SA2 1:16 Removed trailing space in s1: Ombolezo La Daudi Kwa Ajili Ya Sauli Na Yonathani

SA2 1:17 Removed trailing space in v~: Daudi akafanya maombolezo haya kuhusu Sauli na Yonathani mwanawe,

SA2 1:18 Removed trailing space in v~: naye akaagiza kwamba watu wa Yuda wafundishwe ombolezo hili la upinde (ambalo limeandikwa katika Kitabu cha Yashari):

SA2 1:19 Removed trailing space in v~: “Walio fahari yako, ee Israeli, wameuawa juu ya mahali pako palipoinuka.

SA2 1:19 Removed trailing space in p~: Jinsi wenye nguvu walivyoanguka!

SA2 1:20 Removed trailing space in v~: “Msilisimulie hili katika Gathi,

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: msilitangaze hili katika

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: barabara za Ashkeloni,

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: binti za Wafilisti wasije wakafurahia,

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: binti za hao wasiotahiriwa

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: wasije wakashangilia.

SA2 1:21 Removed trailing space in v~: “Enyi milima ya Gilboa,

SA2 1:21 Removed trailing space in p~: msipate umande wala mvua,

SA2 1:21 Removed trailing space in p~: wala mashamba yazaayo sadaka ya nafaka.

SA2 1:21 Removed trailing space in p~: Kwa maana huko ndiko ngao ya mwenye nguvu iliponajisiwa,

SA2 1:21 Removed trailing space in p~: ngao ya Sauli haitapakwa tena mafuta.

SA2 1:22 Removed trailing space in v~: Kutokana na damu ya waliouawa,

SA2 1:22 Removed trailing space in p~: kutokana na miili ya wenye nguvu,

SA2 1:22 Removed trailing space in p~: ule upinde wa Yonathani haukugeuka nyuma.

SA2 1:22 Removed trailing space in p~: Upanga wa Sauli haukurudi bure.

SA2 1:23 Removed trailing space in v~: “Sauli na Yonathani,

SA2 1:23 Removed trailing space in p~: maishani walipendwa na kuneemeka,

SA2 1:23 Removed trailing space in p~: na katika kifo hawakutengana.

SA2 1:23 Removed trailing space in p~: Walikuwa wepesi kuliko tai,

SA2 1:23 Removed trailing space in p~: walikuwa na nguvu kuliko simba.

SA2 1:24 Removed trailing space in v~: “Enyi binti za Israeli,

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: lieni kwa ajili ya Sauli,

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: ambaye aliwavika nguo

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: nyekundu na maridadi,

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: ambaye aliremba mavazi yenu

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: kwa mapambo ya dhahabu.

SA2 1:25 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi mashujaa

SA2 1:25 Removed trailing space in p~: walivyoanguka vitani!

SA2 1:25 Removed trailing space in p~: Yonathani ameuawa

SA2 1:25 Removed trailing space in p~: mahali pako palipoinuka.

SA2 1:26 Removed trailing space in v~: Nahuzunika kwa ajili yako,

SA2 1:26 Removed trailing space in p~: Yonathani ndugu yangu,

SA2 1:26 Removed trailing space in p~: kwangu ulikuwa mpendwa sana.

SA2 1:26 Removed trailing space in p~: Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu,

SA2 1:26 Removed trailing space in p~: wa ajabu zaidi kuliko ule wa wanawake.

SA2 1:27 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka!

SA2 1:27 Removed trailing space in p~: Silaha za vita zimeangamia!”

SA2 2:0 Extra space after chapter number

SA2 2:0 Removed trailing space in c: 2

SA2 2:0 Removed trailing space in s1: Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Yuda

SA2 2:1 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza \nd Bwana\nd*, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?”

SA2 2:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akasema, “Panda.”

SA2 2:1 Removed trailing space in p~: Daudi akauliza, “Je, niende wapi?”

SA2 2:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Nenda Hebroni.”

SA2 2:2 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akakwea kwenda huko pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli na Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli.

SA2 2:3 Removed trailing space in v~: Pia Daudi akawachukua watu waliokuwa pamoja naye, kila mmoja na jamaa yake, nao wakaishi huko Hebroni na miji yake.

SA2 2:4 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa Yuda wakaja Hebroni, huko wakamtia Daudi mafuta awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.

SA2 2:4 Removed trailing space in p~: Daudi alipoambiwa kuwa ni watu wa Yabeshi-Gileadi waliomzika Sauli,

SA2 2:5 Removed trailing space in v~: akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi-Gileadi kuwaambia, “\nd Bwana\nd* awabariki kwa kuonyesha wema huu kwa kumzika Sauli bwana wenu.

SA2 2:6 Removed trailing space in v~: Sasa \nd Bwana\nd* na awaonyeshe wema na uaminifu, nami pia nitawaonyesha wema ule ule kwa kuwa mmefanya jambo hili.

SA2 2:7 Removed trailing space in v~: Sasa basi, kuweni hodari na mashujaa, kwa maana bwana wenu Sauli amekufa, nayo nyumba ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalme juu yao.”

SA2 2:7 Removed trailing space in s1: Vita Kati Ya Nyumba Ya Daudi Na Sauli

SA2 2:8 Removed trailing space in v~: Wakati huo Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-Boshethi mwana wa Sauli na kumleta hadi Mahanaimu.

SA2 2:9 Removed trailing space in v~: Akamweka awe mfalme juu ya nchi ya Gileadi, Waasheri,\f + \fr 2:9 \ft Waasheri hapa ni kabila moja la Israeli.\f* Yezreeli, Efraimu, Benyamini na Israeli yote.

SA2 2:10 Removed trailing space in v~: Ish-Boshethi\f + \fr 2:10 \ft Ish-Boshethi maana yake Mtu wa Aibu, pia anaitwa Esh-Baali maana yake Mtu wa Baali (\+xt 1Nya 8:33; 9:39\+xt*).\f* mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala Israeli, naye akatawala miaka miwili. Hata hivyo, nyumba ya Yuda ikamfuata Daudi.

SA2 2:10 Found unexpected backslash in footnote: 2:10 Ish-Boshethi maana yake Mtu wa Aibu, pia anaitwa Esh-Baali maana yake Mtu wa Baali (\+xt 1Nya 8:33; 9:39\+xt*).

SA2 2:11 Removed trailing space in v~: Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita.

SA2 2:12 Removed trailing space in v~: Abneri mwana wa Neri, pamoja na watu wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, wakatoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.

SA2 2:13 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya na watu wa Daudi wakatoka na kukutana nao kwenye bwawa la Gibeoni. Kikundi kimoja kiliketi upande mmoja wa bwawa, na kikundi kingine upande wa pili.

SA2 2:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Abneri akamwambia Yoabu, “Tuwaweke baadhi ya vijana wasimame na wapigane ana kwa ana mbele yetu.”

SA2 2:14 Removed trailing space in p~: Yoabu akasema, “Sawa, na wafanye hivyo.”

SA2 2:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo vijana wakasimama, wakahesabiwa: watu wa Benyamini na wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli kumi na wawili, na upande wa Daudi kumi na wawili.

SA2 2:16 Removed trailing space in v~: Kisha kila mtu akakamatana na mpinzani wake kichwani na kuchomana kwa upanga, nao wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale katika Gibeoni pakaitwa Helkath-Hasurimu.\f + \fr 2:16 \ft Helkath-Hasurimu maana yake Uwanja wa Mapambano.\f*

SA2 2:17 Removed trailing space in v~: Siku hiyo vita vilikuwa vikali sana, naye Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watu wa Daudi.

SA2 2:18 Removed trailing space in v~: Wana watatu wa Seruya walikuwako huko: nao ni Yoabu, Abishai na Asaheli. Basi huyo Asaheli alikuwa na mbio kama paa.

SA2 2:19 Removed trailing space in v~: Asaheli akamfukuza Abneri, pasipo kugeuka kulia wala kushoto wakati akimfuata.

SA2 2:20 Removed trailing space in v~: Abneri akaangalia nyuma na kumuuliza, “Ni wewe, Asaheli?”

SA2 2:20 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Ndiyo.”

SA2 2:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Abneri akamwambia, “Geuka upande wa kulia au kushoto. Mchukue mmoja wa vijana wa kiume na umvue silaha zake.” Lakini Asaheli hakuacha kumfukuza.

SA2 2:22 Removed trailing space in v~: Abneri akamwonya tena Asaheli akimwambia, “Acha kunifukuza! Kwa nini nikuue? Je, nitawezaje kumtazama ndugu yako Yoabu usoni?”

SA2 2:23 Removed trailing space in v~: Lakini Asaheli alikataa kuacha kumfuatia, kwa hiyo Abneri akamchoma Asaheli tumboni kwa ncha butu ya mkuki wake, mkuki ukamtoboa ukatokea mgongoni mwake. Akaanguka na kufa papo hapo. Ikawa kila mtu alisimama alipofika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa.

SA2 2:24 Removed trailing space in v~: Lakini Yoabu na Abishai walimfuata Abneri, na jua lilipokuwa linatua, wakafika kwenye kilima cha Ama, karibu na Gia kwenye njia ya kuelekea kwenye nyika ya Gibeoni.

SA2 2:25 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa kabila la Benyamini wakakusanyika tena nyuma ya Abneri. Wakaunda kikosi na kujiimarisha juu ya kilima.

SA2 2:26 Removed trailing space in v~: Abneri akamwita Yoabu, akamwambia, “Je, ni lazima upanga uendelee kuangamiza milele? Hutambui kwamba jambo hili litaishia katika uchungu? Utaacha kuwaagiza watu wako waache kuwafuatilia ndugu zao hata lini?”

SA2 2:27 Removed trailing space in v~: Yoabu akajibu, “Hakika kama aishivyo Mungu, kama hukusema, hawa watu wangeendelea kuwafuatia ndugu zao mpaka asubuhi.”

SA2 2:28 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu akapiga tarumbeta, nao watu wote wakasimama, hawakuwafuata Israeli tena, wala hawakuwapiga tena.

SA2 2:29 Removed trailing space in v~: Usiku ule wote Abneri na watu wake wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Bithroni wakafika Mahanaimu.

SA2 2:30 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu akarudi kutoka kumfuatia Abneri, na kuwakusanya watu wake wote. Pamoja na Asaheli, watu kumi na tisa wa Daudi walikuwa wamepotea.

SA2 2:31 Removed trailing space in v~: Lakini watu wa Daudi walikuwa wamewaua watu wa kabila la Benyamini 360 waliokuwa pamoja na Abneri.

SA2 2:32 Removed trailing space in v~: Wakamchukua Asaheli, wakamzika katika kaburi la baba yake huko Bethlehemu. Kisha Yoabu na watu wake wakatembea usiku kucha na kufika huko Hebroni wakati wa mapambazuko.

SA2 3:0 Extra space after chapter number

SA2 3:0 Removed trailing space in c: 3

SA2 3:1 Removed trailing space in v~: Vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi vilidumu kwa muda mrefu. Daudi akaendelea kuwa imara zaidi na zaidi, wakati nyumba ya Sauli iliendelea kudhoofika zaidi na zaidi.

SA2 3:2 Removed trailing space in v~: Wana walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni:

SA2 3:2 Removed trailing space in p~: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni mwana wa Ahinoamu wa Yezreeli;

SA2 3:3 Removed trailing space in v~: mzaliwa wake wa pili alikuwa Danieli\f + \fr 3:3 \ft Jina lingine lake ni Kileabu.\f* mwana wa Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli;

SA2 3:3 Removed trailing space in p~: wa tatu, Absalomu mwana wa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;

SA2 3:4 Removed trailing space in v~: wa nne, Adoniya mwana wa Hagithi;

SA2 3:4 Removed trailing space in p~: wa tano, Shefatia mwana wa Abitali;

SA2 3:5 Removed trailing space in v~: wa sita, Ithreamu mwana wa Egla, mkewe Daudi.

SA2 3:5 Removed trailing space in p~: Hawa ndio waliozaliwa kwa Daudi huko Hebroni.

SA2 3:5 Removed trailing space in s1: Abneri Anamwendea Daudi

SA2 3:6 Removed trailing space in v~: Wakati wa vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi, Abneri alikuwa anajiimarisha katika nafasi yake kwenye nyumba ya Sauli.

SA2 3:7 Removed trailing space in v~: Basi Sauli alikuwa amekuwa na suria, jina lake Rispa binti wa Aiya. Naye Ish-Boshethi akamwambia Abneri, “Kwa nini umekutana kimwili na suria wa baba yangu?”

SA2 3:8 Removed trailing space in v~: Abneri akakasirika sana kwa sababu ya kile Ish-Boshethi alichosema, naye akamjibu, “Je, mimi ni kichwa cha mbwa, kwa upande wa Yuda? Siku hii ya leo mimi ni mtiifu kwa nyumba ya baba yako Sauli, kwa jamaa yake na rafiki zake. Sijakukabidhi kwa Daudi, lakini bado unanilaumu kwa kosa la kuhusika na huyu mwanamke!

SA2 3:9 Removed trailing space in v~: Mungu na amshughulikie Abneri, tena kwa ukali, ikiwa sitafanya kwa ajili ya Daudi kile \nd Bwana\nd* alichomwahidi kwa kiapo,

SA2 3:10 Removed trailing space in v~: na kuuhamisha ufalme kutoka kwenye nyumba ya Sauli na kuimarisha kiti cha ufalme cha Daudi juu ya Israeli na Yuda kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba.”

SA2 3:11 Removed trailing space in v~: Ish-Boshethi hakuthubutu kusema neno jingine kwa Abneri, kwa sababu alimwogopa Abneri.

SA2 3:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Abneri akatuma wajumbe kwa niaba yake kwa Daudi, kumwambia, “Nchi hii ni ya nani? Fanya mapatano na mimi, nami nitakusaidia kuiweka Israeli yote juu yako.”

SA2 3:13 Removed trailing space in v~: Daudi akasema, “Vyema, nitafanya mapatano nawe. Lakini nahitaji jambo moja kwako: Usije mbele yangu mpaka umemleta Mikali binti Sauli wakati utakapokuja kuniona.”

SA2 3:14 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akapeleka wajumbe kwa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, kudai, “Nipe Mikali mke wangu, ambaye nilimposa mwenyewe kwa mahari ya magovi 100 ya Wafilisti.”

SA2 3:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Ish-Boshethi akatoa amri kwamba Mikali achukuliwe kutoka kwa Paltieli mumewe, mwana wa Laishi.

SA2 3:16 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, mumewe alikwenda pamoja naye, akilia nyuma ya mkewe njia yote hadi Bahurimu. Ndipo Abneri akamwambia Paltieli, “Rudi nyumbani!” Kwa hiyo akarudi.

SA2 3:17 Removed trailing space in v~: Abneri akafanya shauri pamoja na wazee wa Israeli, akasema, “Muda mrefu mmetaka kumfanya Daudi mfalme wenu.

SA2 3:18 Removed trailing space in v~: Sasa fanyeni hivyo! Kwa maana \nd Bwana\nd* alimwahidi Daudi akisema, ‘Kwa kupitia Daudi mtumishi wangu nitawaokoa watu wangu Israeli kutoka mikononi mwa Wafilisti na kutoka mikononi mwa adui zako wote.’ ”

SA2 3:19 Removed trailing space in v~: Pia Abneri mwenyewe akazungumza na kabila la Benyamini. Kisha akaenda mpaka Hebroni kumwambia Daudi kila kitu ambacho Israeli na nyumba yote ya Benyamini walichotaka kufanya.

SA2 3:20 Removed trailing space in v~: Wakati Abneri aliyekuwa na watu ishirini pamoja naye, alipokuja kwa Daudi huko Hebroni, Daudi akamwandalia karamu pamoja na watu wake.

SA2 3:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Abneri akamwambia Daudi, “Niache niende mara moja nikakusanye Israeli yote kwa ajili ya mfalme bwana wangu, ili waweze kufanya mapatano na wewe, ili kwamba uweze kutawala juu ya yote yale ambayo moyo wako unaonea shauku.” Basi Daudi akamuaga Abneri, naye akaenda kwa amani.

SA2 3:21 Removed trailing space in s1: Yoabu Amuua Abneri

SA2 3:22 Removed trailing space in v~: Wakati huo huo, watu wa Daudi na Yoabu walirudi kutoka kwenye kushambulia, nao wakarudi na nyara nyingi mno. Lakini Abneri hakuwa tena pamoja na Daudi huko Hebroni, kwa sababu Daudi alikuwa amemruhusu aende zake, naye akaenda kwa amani.

SA2 3:23 Removed trailing space in v~: Yoabu na askari wote aliokuwa nao walipowasili, aliambiwa kwamba Abneri mwana wa Neri alikuwa amekuja kwa mfalme na kwamba mfalme alikuwa amemruhusu aende zake, na kwamba alikwisha ondoka kwa amani.

SA2 3:24 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu alikwenda kwa mfalme na kumwambia, “Ni nini hiki ulichofanya? Tazama, Abneri alikuja kwako. Kwa nini ukamwacha aende? Sasa amekwenda!

SA2 3:25 Removed trailing space in v~: Wajua Abneri mwana wa Neri alikuja kukudanganya na kuchunguza nyendo zako na kupata kila kitu unachokifanya.”

SA2 3:26 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoabu akamwacha Daudi na kutuma wajumbe wamfuate Abneri, nao wakamrudisha kutoka kisima cha Sira. Lakini Daudi hakufahamu jambo hili.

SA2 3:27 Removed trailing space in v~: Basi Abneri aliporudi Hebroni, Yoabu akamchukua kando ndani ya lango, kama vile kuzungumza naye faraghani. Ili kulipiza kisasi damu ya nduguye Asaheli, Yoabu akamchoma mkuki tumboni palepale, naye akafa.

SA2 3:28 Removed trailing space in v~: Baadaye, Daudi aliposikia kuhusu jambo hili, akasema, “Mimi na ufalme wangu kamwe hatuna hatia mbele za \nd Bwana\nd* kuhusu damu ya Abneri mwana wa Neri.

SA2 3:29 Removed trailing space in v~: Damu yake na iwe juu ya kichwa cha Yoabu na juu ya nyumba yote ya baba yake! Kamwe asikosekane yeyote katika nyumba ya Yoabu mwenye kidonda chenye usaha, au ukoma au mwenye kuegemea fimbo au aangukaye kwa upanga au kupungukiwa na chakula.”

SA2 3:30 Removed trailing space in v~: (Yoabu na Abishai ndugu yake walimuua Abneri kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao katika vita huko Gibeoni.)

SA2 3:31 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamwambia Yoabu na watu wote aliokuwa pamoja nao, “Rarueni nguo zenu na mvae nguo za gunia na mtembee mkiomboleza mbele ya Abneri.” Mfalme Daudi mwenyewe akatembea nyuma ya jeneza.

SA2 3:32 Removed trailing space in v~: Wakamzika Abneri huko Hebroni, naye mfalme akalia kwa sauti kwenye kaburi la Abneri. Pia watu wote wakalia.

SA2 3:33 Removed trailing space in v~: Mfalme akaimba ombolezo hili kwa ajili ya Abneri:

SA2 3:33 Removed trailing space in p~: “Je, ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?

SA2 3:34 Removed trailing space in v~: Mikono yako haikufungwa,

SA2 3:34 Removed trailing space in p~: miguu yako haikufungwa pingu.

SA2 3:34 Removed trailing space in p~: Ulianguka kama yeye aangukaye

SA2 3:34 Removed trailing space in p~: mbele ya watu waovu.”

SA2 3:34 Removed trailing space in p~: Nao watu wote wakamlilia tena.

SA2 3:35 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wakaja kumsihi Daudi ale chochote kulipokuwa kungali bado mchana; lakini Daudi akaapa, akisema, “Mungu na anishughulikie, tena kwa ukali, kama nikionja mkate au kitu kingine chochote kabla ya jua kutua!”

SA2 3:36 Removed trailing space in v~: Watu wote wakaona hilo nao ikawapendeza; naam, kila kitu mfalme alichofanya kiliwapendeza.

SA2 3:37 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo siku ile watu wote na Israeli yote wakajua kwamba mfalme hakushiriki katika mauaji ya Abneri mwana wa Neri.

SA2 3:38 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akawaambia watu wake, “Je, hamfahamu kwamba mkuu na mtu mashuhuri ameanguka katika Israeli leo?

SA2 3:39 Removed trailing space in v~: Nami leo ingawa ni mfalme mpakwa mafuta, mimi ni dhaifu, nao hawa wana wa Seruya wananizidi nguvu. \nd Bwana\nd* na amlipize mtenda maovu sawasawa na matendo yake maovu!”

SA2 4:0 Extra space after chapter number

SA2 4:0 Removed trailing space in c: 4

SA2 4:0 Removed trailing space in s1: Ish-Boshethi Auawa

SA2 4:1 Removed trailing space in v~: Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu.

SA2 4:2 Removed trailing space in v~: Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini,

SA2 4:3 Removed trailing space in v~: kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.

SA2 4:4 Removed trailing space in v~: (Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)

SA2 4:5 Removed trailing space in v~: Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana.

SA2 4:6 Removed trailing space in v~: Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.

SA2 4:7 Removed trailing space in v~: Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba.

SA2 4:8 Removed trailing space in v~: Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo \nd Bwana\nd* amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”

SA2 4:9 Removed trailing space in v~: Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote,

SA2 4:10 Removed trailing space in v~: yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake!

SA2 4:11 Removed trailing space in v~: Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”

SA2 4:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.

SA2 5:0 Extra space after chapter number

SA2 5:0 Removed trailing space in c: 5

SA2 5:0 Removed trailing space in s1: Daudi Atawazwa Mfalme Juu Ya Israeli

SA2 5:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 11:1-9; 14:1-7)

SA2 5:1 Removed trailing space in v~: Makabila yote ya Israeli yakamjia Daudi huko Hebroni na kumwambia, “Sisi tu nyama yako na damu yako hasa.

SA2 5:2 Removed trailing space in v~: Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme juu yetu, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani. Naye \nd Bwana\nd* alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’ ”

SA2 5:3 Removed trailing space in v~: Wazee wote wa Israeli wakamwendea Mfalme Daudi huko Hebroni, mfalme akafanya mapatano nao huko Hebroni mbele za \nd Bwana\nd*, nao wakamtia Daudi mafuta kuwa mfalme wa Israeli.

SA2 5:4 Removed trailing space in v~: Daudi alikuwa na miaka thelathini alipoanza kutawala, naye akatawala Israeli miaka arobaini.

SA2 5:5 Removed trailing space in v~: Huko Hebroni alitawala Yuda kwa miaka saba na miezi sita, na katika Yerusalemu alitawala Israeli yote na Yuda kwa miaka thelathini na mitatu.

SA2 5:5 Removed trailing space in s1: Daudi Ateka Yerusalemu

SA2 5:6 Removed trailing space in v~: Mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kuwashambulia Wayebusi walioishi humo. Wayebusi wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu, kwani hata vipofu na viwete wanaweza kukufukuza.” Walidhani, “Daudi hawezi kuingia humu.”

SA2 5:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.

SA2 5:8 Removed trailing space in v~: Siku ile, Daudi akasema, “Yeyote ambaye atawashinda Wayebusi, atatumia huo mfereji kuwafikia hao ‘viwete na vipofu’ ambao ni adui za Daudi.” Ndiyo sababu wanasema, “ ‘Vipofu na viwete’ hawataingia kwenye jumba la ufalme.”

SA2 5:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akafanya makao ndani ya ngome na kuiita Mji wa Daudi. Akajenga eneo linalozunguka kuanzia Milo\f + \fr 5:9 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.\f* kuelekea ndani.

SA2 5:10 Removed trailing space in v~: Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.

SA2 5:11 Removed trailing space in v~: Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, maseremala na waashi, nao wakajenga jumba la kifalme kwa ajili ya Daudi.

SA2 5:12 Removed trailing space in v~: Naye Daudi akafahamu kuwa \nd Bwana\nd* amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na ameinua ufalme wake kwa ajili ya Israeli, watu wake.

SA2 5:13 Removed trailing space in v~: Baada ya Daudi kuondoka Hebroni, akajitwalia masuria zaidi na wake huko Yerusalemu, nao wana na binti wengi walizaliwa kwake.

SA2 5:14 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,

SA2 5:15 Removed trailing space in v~: Ibihari, Elishua, Nefegi, Yafia,

SA2 5:16 Removed trailing space in v~: Elishama, Eliada na Elifeleti.

SA2 5:16 Removed trailing space in s1: Daudi Awashinda Wafilisti

SA2 5:16 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 14:8-17)

SA2 5:17 Removed trailing space in v~: Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akateremka kwenye ngome.

SA2 5:18 Removed trailing space in v~: Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kusambaa kwenye Bonde la Warefai,

SA2 5:19 Removed trailing space in v~: kwa hiyo Daudi akamuuliza \nd Bwana\nd*, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?”

SA2 5:19 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akamjibu, “Nenda, kwa maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”

SA2 5:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akaenda mpaka Baal-Perasimu, na huko akawashinda Wafilisti. Akasema, “Kama mafuriko yafurikavyo, \nd Bwana\nd* amewafurikia adui zangu mbele yangu.” Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Baal-Perasimu.\f + \fr 5:20 \ft Maana yake Bwana Afurikae.\f*

SA2 5:21 Removed trailing space in v~: Wafilisti wakaiacha miungu yao huko, naye Daudi na watu wake wakaichukua.

SA2 5:22 Removed trailing space in v~: Wafilisti walikwea kwa mara nyingine na kusambaa katika Bonde la Warefai.

SA2 5:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akamuuliza \nd Bwana\nd*, naye akamjibu, “Usipande moja kwa moja, bali wazungukie kwa nyuma na uwashambulie mbele ya miti ya miforosadi.

SA2 5:24 Removed trailing space in v~: Mara utakaposikia sauti ya kutembea kutoka kwenye vilele vya miti ya miforosadi, nenda haraka, kwa sababu hiyo itamaanisha kuwa \nd Bwana\nd* ametangulia mbele yako kupiga jeshi la Wafilisti.”

SA2 5:25 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza, naye akawaangusha Wafilisti njia yote kuanzia Geba\f + \fr 5:25 \ft Kwa Kiebrania mji huu uliitwa Gibeoni (ona \+xt 1Nya 14:16\+xt*).\f* hadi Gezeri.

SA2 5:25 Found unexpected backslash in footnote: 5:25 Kwa Kiebrania mji huu uliitwa Gibeoni (ona \+xt 1Nya 14:16\+xt*).

SA2 7:0 Extra space after chapter number

SA2 7:0 Removed trailing space in c: 7

SA2 7:0 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi

SA2 7:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 17:1-15)

SA2 7:1 Removed trailing space in v~: Baada ya mfalme kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, naye \nd Bwana\nd* akiwa amemstarehesha pande zote mbali na adui zake,

SA2 7:2 Removed trailing space in v~: akamwambia nabii Nathani, “Mimi hapa, ninaishi katika jumba la kifalme la mierezi, wakati Sanduku la Mungu limebaki katika hema.”

SA2 7:3 Removed trailing space in v~: Nathani akamjibu mfalme, “Lolote ulilo nalo moyoni, endelea ukalifanye, kwa maana \nd Bwana\nd* yu pamoja nawe.”

SA2 7:4 Removed trailing space in v~: Usiku ule neno la \nd Bwana\nd* likamjia Nathani, kusema:

SA2 7:5 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Je, ewe ndiwe wa kunijengea mimi nyumba ili nikae ndani yake?

SA2 7:6 Removed trailing space in v~: Sijakaa ndani ya nyumba tangu siku niliyowaleta Waisraeli kutoka Misri hadi leo. Nimekuwa nikitembea kutoka mahali pamoja hadi mahali pengine ndani ya hema kama makao yangu.

SA2 7:7 Removed trailing space in v~: Popote nilipotembea pamoja na Waisraeli wote, je, nimewahi kumwambia kiongozi wao yeyote niliyemwamuru kuwachunga watu wangu Israeli, “Kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi?” ’

SA2 7:8 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, mwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: Nilikutoa wewe kutoka machungani na kutoka kuandama kundi la kondoo na mbuzi ili kuwaongoza watu wangu Israeli.

SA2 7:9 Removed trailing space in v~: Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda, nami nimekuondolea mbali adui zako wote mbele yako. Basi nitalifanya jina lako kuwa kuu kama majina ya watu walio wakuu sana duniani.

SA2 7:10 Removed trailing space in v~: Nami nitawapatia watu wangu Israeli mahali niwapande humo ili kwamba wawe na nyumbani kwao wenyewe wasisumbuliwe tena. Watu waovu hawatawaonea tena, kama walivyofanya mwanzoni,

SA2 7:11 Removed trailing space in v~: na kama walivyofanya tangu mwanzo wakati nilipowaweka viongozi juu ya watu wangu Israeli. Pia nitawapa raha mbele ya adui zenu wote.

SA2 7:11 Removed trailing space in p~: “ ‘\nd Bwana\nd* akuambia kwamba \nd Bwana\nd* mwenyewe atakujengea nyumba.

SA2 7:12 Removed trailing space in v~: Siku zako zitakapokwisha nawe ulale pamoja na baba zako, nitainua mzao wako aingie mahali pako, ambaye atatoka viunoni mwako, nami nitauimarisha ufalme wake.

SA2 7:13 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, nami nitaimarisha kiti cha enzi cha ufalme wake milele.

SA2 7:14 Removed trailing space in v~: Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu. Atakapokosea nitamwadhibu kwa fimbo ya wanadamu, kwa adhabu ya kupigwa na wanadamu.

SA2 7:15 Removed trailing space in v~: Lakini upendo wangu kamwe hautaondolewa kwake, kama nilivyouondoa kwa Sauli, niliyemwondoa atoke mbele yako.

SA2 7:16 Removed trailing space in v~: Nyumba yako na ufalme wako utadumu milele mbele zangu, kiti chako cha enzi kitafanywa imara milele.’ ”

SA2 7:17 Removed trailing space in v~: Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

SA2 7:17 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Daudi

SA2 7:17 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 17:16-27)

SA2 7:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za \nd Bwana\nd*, akasema:

SA2 7:18 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, mimi ni nani, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo?

SA2 7:19 Removed trailing space in v~: Naam, kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, wewe umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Je, hii ndiyo njia yako ya kawaida ya kushughulika na mwanadamu, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi?

SA2 7:20 Removed trailing space in v~: “Je, Daudi aweza kukuambia nini zaidi? Kwa maana unamjua mtumishi wako, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

SA2 7:21 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya neno lako na kwa mapenzi yako, umefanya jambo hili kubwa na kulifanya lijulikane na lifahamike kwa mtumishi wako.

SA2 7:22 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi ulivyo mkuu, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Hakuna mwingine kama wewe, wala hakuna Mungu ila wewe, kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe,

SA2 7:23 Removed trailing space in v~: Naye ni nani aliye kama watu wako Israeli, taifa pekee duniani ambalo Mungu alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe, na kujifanyia jina mwenyewe, kwa kufanya maajabu makubwa na ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa na miungu yao mbele ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri?

SA2 7:24 Removed trailing space in v~: Umeimarisha watu wako Israeli hasa kama watu wako mwenyewe milele, nawe, Ee \nd Bwana\nd*, umekuwa Mungu wao.

SA2 7:25 Removed trailing space in v~: “Basi sasa, \nd Bwana\nd*, ukaitimize ahadi uliyosema kuhusu mtumishi wako na nyumba yake milele. Fanya kama ulivyoahidi,

SA2 7:26 Removed trailing space in v~: ili kwamba jina lako litukuke milele. Ndipo watu watasema, ‘\nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ni Mungu juu ya Israeli!’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itakuwa imara mbele zako.

SA2 7:27 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, umelifunua hili kwa mtumishi wako, ukisema, ‘Nitakujengea nyumba.’ Hivyo mtumishi wako amepata ujasiri kukuletea dua hii.

SA2 7:28 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, wewe ndiwe Mungu! Maneno yako ndiyo kweli, nawe umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri.

SA2 7:29 Removed trailing space in v~: Sasa naomba uwe radhi kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili idumu mbele zako milele, kwa maana wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, umesema, na kwa baraka zako nyumba ya mtumishi wako itaendelea kubarikiwa milele.”

SA2 8:0 Extra space after chapter number

SA2 8:0 Removed trailing space in c: 8

SA2 8:0 Removed trailing space in s1: Ushindi Wa Daudi

SA2 8:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 18:1-17)

SA2 8:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Metheg-Amma kutoka mikononi mwa Wafilisti.

SA2 8:2 Removed trailing space in v~: Pia Daudi akawashinda Wamoabu. Akawafanya walale chini kwa mstari akawapima kwa urefu wa kamba. Kila alipopima urefu wa hiyo kamba mara mbili hilo kundi waliuawa na alipopima mara ya tatu aliwaacha hai. Kwa hiyo Wamoabu wakawa chini ya Daudi nao wakamletea kodi.

SA2 8:3 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kurudisha tena utawala wake kwenye eneo la Mto Frati.

SA2 8:4 Removed trailing space in v~: Daudi akateka magari yake ya vita 1,000, askari wapanda farasi 7,000 na askari 20,000 watembeao kwa miguu. Daudi akawakata wale farasi wote wakokotao magari mishipa ya miguu, isipokuwa farasi 100 hakuwakata.

SA2 8:5 Removed trailing space in v~: Waaramu wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.

SA2 8:6 Removed trailing space in v~: Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski, nao Waaramu wakawa watumwa wake na kumlipa ushuru. \nd Bwana\nd* akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.

SA2 8:7 Removed trailing space in v~: Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.

SA2 8:8 Removed trailing space in v~: Kutoka miji ya Beta\f + \fr 8:8 \ft Beta ulikuwa mji wa Aramu-Soba ambao uliitwa Teba kwa Kiaramu; pia uliitwa Tibhathi (\+xt 1Nya 18:8\+xt*).\f* na Berothai, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Mfalme Daudi akatwaa shaba nyingi sana.

SA2 8:8 Found unexpected backslash in footnote: 8:8 Beta ulikuwa mji wa Aramu-Soba ambao uliitwa Teba kwa Kiaramu; pia uliitwa Tibhathi (\+xt 1Nya 18:8\+xt*).

SA2 8:9 Removed trailing space in v~: Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,

SA2 8:10 Removed trailing space in v~: akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.

SA2 8:11 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa \nd Bwana\nd*, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda:

SA2 8:12 Removed trailing space in v~: yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.

SA2 8:13 Removed trailing space in v~: Naye Daudi akapata sifa baada ya kurudi kutoka kuwaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.

SA2 8:14 Removed trailing space in v~: Akaweka kambi za askari walinzi katika Edomu yote, nao Waedomu wakawa chini ya Daudi. \nd Bwana\nd* alimpatia Daudi ushindi kila alipokwenda.

SA2 8:14 Removed trailing space in s1: Maafisa Wa Daudi

SA2 8:15 Removed trailing space in v~: Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.

SA2 8:16 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;

SA2 8:17 Removed trailing space in v~: Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;

SA2 8:18 Removed trailing space in v~: Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.

SA2 9:0 Extra space after chapter number

SA2 9:0 Removed trailing space in c: 9

SA2 9:0 Removed trailing space in s1: Daudi Na Mefiboshethi

SA2 9:1 Removed trailing space in v~: Daudi akauliza, “Je, hakuna mtu hata mmoja wa nyumba ya Sauli aliyebaki ambaye naweza kumtendea wema kwa ajili ya Yonathani?”

SA2 9:2 Removed trailing space in v~: Basi palikuwepo mtumishi wa nyumba ya Sauli aliyeitwa Siba. Wakamwita aje mbele ya Daudi, naye mfalme akamwambia, “Wewe ndiwe Siba?”

SA2 9:2 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Naam, mimi ndiye mtumishi wako.”

SA2 9:3 Removed trailing space in v~: Mfalme akauliza, “Je, hakuna yeyote ambaye amebaki wa nyumba ya Sauli ninayeweza kumwonyesha wema wa Mungu?”

SA2 9:3 Removed trailing space in p~: Siba akamjibu mfalme, “Bado yupo mwana wa Yonathani, yeye ni kiwete miguu yote.”

SA2 9:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akauliza, “Yuko wapi?”

SA2 9:4 Removed trailing space in p~: Siba akajibu, “Yuko nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-Debari.”

SA2 9:5 Removed trailing space in v~: Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe kutoka Lo-Debari, kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli.

SA2 9:6 Removed trailing space in v~: Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, alipofika kwa Daudi, akainama kumpa mfalme heshima.

SA2 9:6 Removed trailing space in p~: Daudi akamwita, “Mefiboshethi!”

SA2 9:6 Removed trailing space in p~: Mefiboshethi akajibu, “Ndimi mtumishi wako.”

SA2 9:7 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia, “Usiogope, kwa maana hakika nitakutendea wema kwa ajili ya baba yako Yonathani. Nitakurudishia ardhi yote iliyokuwa mali ya Sauli baba yako, nawe daima utakula chakula mezani pangu.”

SA2 9:8 Removed trailing space in v~: Mefiboshethi akasujudu akasema, “Mimi mtumishi wako ni nini hata uangalie mbwa mfu kama mimi?”

SA2 9:9 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akamwita Siba mtumishi wa Sauli na kumwambia, “Nimempa mwana wa bwana wako kila kitu kilichokuwa mali ya Sauli na jamaa yake.

SA2 9:10 Removed trailing space in v~: Wewe, wanao na watumishi wako mtamlimia mashamba Mefiboshethi na kumletea mavuno, ili kwamba mwana wa bwana wako apate mahitaji yake. Naye Mefiboshethi mwana wa bwana wako atakula chakula mezani pangu daima.” (Siba alikuwa na wana kumi na watano, na watumishi ishirini.)

SA2 9:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Siba akamwambia mfalme, “Mtumishi wako atafanya chochote bwana wangu mfalme atakachoagiza mtumishi wake kufanya.” Basi Mefiboshethi akala chakula mezani pa Daudi kama mmoja wa wana wa mfalme.

SA2 9:12 Removed trailing space in v~: Mefiboshethi alikuwa na mwanawe mdogo aliyeitwa Mika, nao watu wote wa nyumba ya Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.

SA2 9:13 Removed trailing space in v~: Naye Mefiboshethi akaishi huko Yerusalemu, kwa sababu daima alikula mezani pa mfalme, naye alikuwa kiwete miguu yote.

SA2 10:0 Extra space after chapter number

SA2 10:0 Removed trailing space in c: 10

SA2 10:0 Removed trailing space in s1: Daudi Awashinda Waamoni

SA2 10:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 19:1-19)

SA2 10:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, mfalme wa Waamoni akafa, naye Hanuni mwanawe akaingia mahali pake.

SA2 10:2 Removed trailing space in v~: Daudi akawaza, “Nitamtendea wema Hanuni mwana wa Nahashi, kama vile baba yake alivyonitendea mimi wema.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe kuonyesha wema wake kwa Hanuni kuhusu baba yake.

SA2 10:2 Removed trailing space in p~: Watu wa Daudi walipofika katika nchi ya Waamoni,

SA2 10:3 Removed trailing space in v~: wakuu wa Waamoni wakamwambia Hanuni bwana wao, “unadhani Daudi anamheshimu baba yako kwa kukutumia watu ili kuonyesha masikitiko? Je, Daudi hakuwatuma watu hawa kuchunguza na kuupeleleza mji ili kuupindua?”

SA2 10:4 Removed trailing space in v~: Basi Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa kila mmoja ndevu zake nusu, akakata mavazi yao nyuma katikati kwenye matako, akawaacha waende zao.

SA2 10:5 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa jambo hili, akatuma wajumbe ili kwenda kuwalaki, kwa maana walikuwa wamevunjiwa heshima sana. Mfalme akasema, “Kaeni huko Yeriko mpaka ndevu zenu ziote ndipo mje.”

SA2 10:6 Removed trailing space in v~: Waamoni walipotambua kuwa wamekuwa machukizo kwa Daudi, wakaajiri askari wa miguu 20,000 Waaramu kutoka Beth-Rehobu na Soba, pia mfalme wa Maaka pamoja na watu 1,000, na vilevile watu 12,000 kutoka Tobu.

SA2 10:7 Removed trailing space in v~: Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

SA2 10:8 Removed trailing space in v~: Waamoni wakatoka wakajipanga wakiwa tayari kwa vita langoni la mji wao, wakati Waaramu wa Soba, wa Rehobu, watu wa Tobu na Maaka walikuwa peke yao kwenye eneo la wazi.

SA2 10:9 Removed trailing space in v~: Yoabu akaona kuwa mbele yake na nyuma yake kumepangwa vita; kwa hiyo akachagua baadhi ya vikosi vilivyo bora sana katika Israeli akavipanga dhidi ya Waaramu.

SA2 10:10 Removed trailing space in v~: Akawaweka waliobaki chini ya uongozi wa Abishai nduguye na kuwapanga dhidi ya Waamoni.

SA2 10:11 Removed trailing space in v~: Yoabu akasema, “Kama Waaramu watanizidi nguvu, basi itawabidi mje kunisaidia. Lakini kama Waamoni watawazidi nguvu, basi nitakuja kuwasaidia.

SA2 10:12 Removed trailing space in v~: Uwe hodari na tupigane kwa ujasiri kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu. \nd Bwana\nd* atafanya lile lililo jema machoni pake.”

SA2 10:13 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu na vikosi vyake wakasonga mbele kupigana na Waaramu, nao Waaramu wakakimbia mbele yake.

SA2 10:14 Removed trailing space in v~: Waamoni walipoona Waaramu wanakimbia, nao wakakimbia mbele ya Abishai na kuingia ndani ya mji. Basi Yoabu akarudi kutoka kupigana na Waamoni na kufika Yerusalemu.

SA2 10:15 Removed trailing space in v~: Baada ya Waaramu kuona wameshindwa na Israeli, wakajikusanya tena.

SA2 10:16 Removed trailing space in v~: Hadadezeri akaagiza Waaramu walioletwa kutoka ngʼambo ya Mto Frati, wakaenda Helamu pamoja na Shobaki jemadari wa jeshi la Hadadezeri akiwaongoza.

SA2 10:17 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa haya, akawakusanya Israeli wote, wakavuka Mto Yordani, wakaenda Helamu. Waaramu wakapanga vikosi vyao vya askari kukabiliana na kupigana dhidi ya Daudi.

SA2 10:18 Removed trailing space in v~: Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari mia saba na askari wao wa miguu 40,000. Vilevile alimpiga Shobaki jemadari wa jeshi lao, naye akafa huko.

SA2 10:19 Removed trailing space in v~: Wafalme wote waliokuwa wanamtumikia Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya amani na Waisraeli na wakawa chini yao.

SA2 10:19 Removed trailing space in p~: Hivyo Waaramu wakaogopa kuwasaidia Waamoni tena.

SA2 11:0 Extra space after chapter number

SA2 11:0 Removed trailing space in c: 11

SA2 11:0 Removed trailing space in s1: Daudi Na Bathsheba

SA2 11:1 Removed trailing space in v~: Katika mwanzo wa mwaka mpya, wakati wafalme watokapo kwenda vitani, Daudi akamtuma Yoabu pamoja na watu wa mfalme na jeshi lote la Israeli. Wakawaangamiza Waamoni na kuuzunguka kwa jeshi mji wa Raba. Lakini Daudi akabaki Yerusalemu.

SA2 11:2 Removed trailing space in v~: Ikawa siku moja wakati wa jioni Daudi aliinuka kitandani mwake na kutembeatembea juu ya paa la jumba lake la kifalme. Kutokea kule kwenye paa, akamwona mwanamke akioga. Mwanamke huyo alikuwa mzuri sana wa sura,

SA2 11:3 Removed trailing space in v~: naye Daudi akatuma mtu mmoja kuuliza habari za huyo mwanamke. Huyo mtu akamwambia Daudi, “Je, huyu si Bathsheba binti Eliamu, naye ni mke wa Uria, Mhiti?”

SA2 11:4 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akatuma wajumbe kumleta. Huyo mwanamke akaja kwa Daudi, Daudi akakutana naye kimwili. (Huyo mwanamke ndipo tu alikuwa amejitakasa kutoka siku zake za hedhi.) Kisha akarudi nyumbani kwake.

SA2 11:5 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke akapata mimba akampelekea Daudi ujumbe, kusema, “Mimi ni mjamzito.”

SA2 11:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akapeleka ujumbe kwa Yoabu, “Unipelekee Uria, Mhiti.” Naye Yoabu akamtuma Uria kwa Daudi.

SA2 11:7 Removed trailing space in v~: Uria alipofika, Daudi akamuuliza habari za Yoabu, hali za askari na vita kwamba inaendeleaje.

SA2 11:8 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamwambia Uria, “Teremka nyumbani kwako ukanawe miguu yako.” Basi Uria akaondoka kutoka kwenye jumba la kifalme, tena zawadi zikamfuata kutoka kwa mfalme.

SA2 11:9 Removed trailing space in v~: Lakini Uria akalala kwenye ingilio la jumba la kifalme pamoja na watumishi wote wa bwana wake, na hakuteremka kwenda nyumbani kwake.

SA2 11:10 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa kwamba, “Uria hakwenda nyumbani,” Daudi akamuuliza, “Je, si ndiyo tu umefika kutoka safari ya mbali? Kwa nini hukwenda nyumbani?”

SA2 11:11 Removed trailing space in v~: Uria akamwambia Daudi, “Sanduku la Mungu, na Israeli na Yuda wanakaa kwenye mahema, naye bwana wangu Yoabu na watu wa bwana wangu wamepiga kambi mahali pa wazi. Ningewezaje kwenda nyumbani kwangu ili nile, ninywe na kukutana na mke wangu? Hakika kama uishivyo sitafanya jambo la namna hiyo!”

SA2 11:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamwambia, “Kaa hapa siku moja zaidi, nami kesho nitakutuma urudi.” Kwa hiyo Uria akakaa Yerusalemu siku ile na siku iliyofuata.

SA2 11:13 Removed trailing space in v~: Kwa ukaribisho wa Daudi, Uria akala na kunywa pamoja naye, Daudi akamlevya. Lakini jioni Uria alitoka kwenda kulala juu ya mkeka wake miongoni mwa watumishi wa bwana wake, hakwenda nyumbani.

SA2 11:14 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake Daudi akamwandikia Yoabu barua, akamtuma Uria kuipeleka.

SA2 11:15 Removed trailing space in v~: Ndani ya barua aliandika, “Mweke Uria mstari wa mbele mahali ambapo mapigano ni makali sana. Kisha wewe uondoke ili Uria aangushwe chini na kuuawa.”

SA2 11:16 Removed trailing space in v~: Hivyo Yoabu alipokuwa ameuzingira mji kwa jeshi, akamweka Uria mahali ambapo alijua kuwa ulinzi wa adui ulikuwa imara sana.

SA2 11:17 Removed trailing space in v~: Wakati watu wa mjini walipotoka kwenda kupigana dhidi ya Yoabu, baadhi ya watu katika jeshi la Daudi wakauawa, zaidi ya hayo, Uria, Mhiti, akafa.

SA2 11:18 Removed trailing space in v~: Yoabu akampelekea Daudi maelezo yote ya vita.

SA2 11:19 Removed trailing space in v~: Akamwagiza mjumbe hivi, “Utakapokuwa umemaliza kumpa mfalme maelezo ya vita,

SA2 11:20 Removed trailing space in v~: hasira ya mfalme yaweza kuwaka, naye aweza kukuuliza, ‘Kwa nini mlisogea karibu hivyo na mji kupigana? Hamkujua kuwa wangeweza kuwapiga mishale kutoka ukutani?

SA2 11:21 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyemuua Abimeleki mwana wa Yerub-Besheth? Je, mwanamke hakutupa juu yake jiwe la juu la kusagia kutoka ukutani, kwa hiyo akafa huko Thebesi? Kwa nini mlisogea hivyo karibu ya ukuta?’ Ikiwa atakuuliza hivi, ndipo umwambie, ‘Pia mtumishi wako Uria, Mhiti, amekufa.’ ”

SA2 11:22 Removed trailing space in v~: Mjumbe akaondoka. Alipowasili akamwambia Daudi kila kitu alichokuwa ametumwa na Yoabu kusema.

SA2 11:23 Removed trailing space in v~: Mjumbe akamwambia Daudi, “Watu walituzidi nguvu wakatoka nje ya mji dhidi yetu kwenye eneo la wazi, lakini tuliwarudisha nyuma mpaka kwenye ingilio la mji.

SA2 11:24 Removed trailing space in v~: Ndipo wapiga upinde walitupa mishale kwa watumishi wako kutoka ukutani, na baadhi ya watu wa mfalme wakafa. Zaidi ya hayo, Uria, Mhiti, mtumishi wako amekufa.”

SA2 11:25 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia mjumbe, “Ukamwambie Yoabu hivi, ‘Jambo hili lisikutie wasiwasi, upanga hula huyu sawa na ulavyo mwingine. Zidisha mashambulizi dhidi ya mji na uangamize.’ Mwambie Yoabu hivi ili kumtia moyo.”

SA2 11:26 Removed trailing space in v~: Mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe amekufa, akamwombolezea.

SA2 11:27 Removed trailing space in v~: Baada ya muda wa maombolezo kwisha, Daudi akamtaka aletwe nyumbani kwake, naye akawa mkewe, na akamzalia mwana. Lakini jambo alilokuwa amefanya Daudi lilimchukiza \nd Bwana\nd*.

SA2 12:0 Extra space after chapter number

SA2 12:0 Removed trailing space in c: 12

SA2 12:0 Removed trailing space in s1: Nathani Amkemea Daudi

SA2 12:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtuma Nathani kwa Daudi. Alipofika kwake akamwambia, “Katika mji mmoja kulikuwepo na watu wawili, mmoja alikuwa tajiri na mwingine alikuwa maskini.

SA2 12:2 Removed trailing space in v~: Yule mtu tajiri alikuwa na idadi kubwa sana ya kondoo na ngʼombe,

SA2 12:3 Removed trailing space in v~: lakini yule maskini hakuwa na chochote ila kondoo jike mdogo aliyekuwa amemnunua. Akamtunza kondoo huyo, akakulia kwake pamoja na watoto wake. Kondoo huyo alishiriki chakula cha bwana wake na kunywea kikombe chake hata pia huyo kondoo alilala mikononi mwa bwana wake. Kwake alikuwa kama binti yake.

SA2 12:4 Removed trailing space in v~: “Siku moja yule tajiri akafikiwa na mgeni, lakini huyo tajiri akaacha kuchukua mmoja wa kondoo au ngʼombe wake mwenyewe amwandalie mgeni. Badala yake akachukua yule kondoo jike mdogo aliyekuwa mali ya yule maskini na kumwandalia yule mgeni wake.”

SA2 12:5 Removed trailing space in v~: Daudi akawakwa na hasira dhidi ya mtu huyo tajiri na kumwambia Nathani, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, mtu huyo aliyefanya hivyo anastahili kufa!

SA2 12:6 Removed trailing space in v~: Lazima alipe mara nne zaidi, kwa ajili ya kondoo huyo, kwa sababu amefanya jambo kama hilo na hakuwa na huruma.”

SA2 12:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Nathani akamwambia Daudi, “Wewe ndiwe huyo mtu! Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Nilikupaka mafuta uwe mfalme juu ya Israeli, nilikuokoa kutokana na mkono wa Sauli.

SA2 12:8 Removed trailing space in v~: Nilikupa nyumba ya bwana wako na wake za bwana wako mikononi mwako. Nikakupa nyumba ya Israeli na Yuda. Kama haya yote yalikuwa madogo sana, ningekupa hata zaidi.

SA2 12:9 Removed trailing space in v~: Kwa nini ulilidharau neno la \nd Bwana\nd* kwa kufanya lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria, Mhiti kwa upanga na kumchukua mke wake awe mkeo. Ulimuua kwa upanga wa Waamoni.

SA2 12:10 Removed trailing space in v~: Basi kwa hiyo, upanga hautaondoka nyumbani mwako kamwe kwa sababu ulinidharau mimi na kumchukua mke wa Uria, Mhiti kuwa mkeo.’

SA2 12:11 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Kutoka kwa nyumba yako mwenyewe nitaleta maafa juu yako. Mbele ya macho yako mwenyewe nitatwaa wake zako na kumpa yeye aliye wa karibu nawe, naye atakutana kimwili na wake zako mchana mwangavu.

SA2 12:12 Removed trailing space in v~: Ulifanya kwa siri, lakini nitalifanya jambo hili wakati wa mchana mwangavu mbele ya Israeli yote.’ ”

SA2 12:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamjibu Nathani, “Nimefanya dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*.”

SA2 12:13 Removed trailing space in p~: Nathani akamjibu, “\nd Bwana\nd* amekuondolea dhambi yako. Hutakufa.

SA2 12:14 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu kwa kufanya hili umefanya adui za \nd Bwana\nd* kuonyesha dharau kabisa, mwana atakayezaliwa kwako atakufa.”

SA2 12:15 Removed trailing space in v~: Baada ya Nathani kurudi nyumbani kwake, \nd Bwana\nd* akampiga yule mtoto ambaye mke wa Uria alikuwa amemzalia Daudi, akaugua.

SA2 12:16 Removed trailing space in v~: Daudi akamwomba Mungu kwa ajili ya mtoto. Akafunga na akaingia ndani ya nyumba yake akawa siku zote analala sakafuni usiku kucha.

SA2 12:17 Removed trailing space in v~: Wazee wa nyumbani mwake wakamwendea wakasimama karibu naye ili kumwamsha kutoka pale sakafuni, lakini akakataa, wala hakula chochote pamoja nao.

SA2 12:18 Removed trailing space in v~: Kunako siku ya saba yule mtoto akafa. Watumishi wa Daudi wakaogopa kumwambia kuwa mtoto amekufa, kwa maana walifikiri, “Wakati mtoto alipokuwa angali hai, tulizungumza na Daudi lakini hakutusikiliza. Tutawezaje kumwambia kwamba mtoto amekufa? Anaweza kufanya kitu cha kujidhuru.”

SA2 12:19 Removed trailing space in v~: Daudi akaona kuwa watumishi wake wananongʼonezana wenyewe, naye akatambua kuwa mtoto alikuwa amekufa. Akauliza “Je, ni kwamba huyo mtoto amekufa?”

SA2 12:19 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Ndiyo, mtoto amekufa.”

SA2 12:20 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akainuka kutoka pale sakafuni. Baada ya kuoga, akajipaka mafuta na kubadilisha nguo zake kisha akaenda ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*, akaabudu. Baada ya hapo akaenda nyumbani kwake kwa kutaka kwake, wakamwandalia chakula, naye akala.

SA2 12:21 Removed trailing space in v~: Watumishi wake wakamuuliza, “Kwa nini unafanya hivi? Mtoto alipokuwa angali hai, ulifunga na kulia; lakini sasa mtoto amekufa, umeinuka na kula.”

SA2 12:22 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Wakati mtoto alipokuwa bado yungali hai, nilifunga na kulia. Nilifikiri, ‘Nani ajuaye? \nd Bwana\nd* aweza kunirehemu ili kumwacha mtoto aishi.’

SA2 12:23 Removed trailing space in v~: Lakini sasa kwa kuwa amekufa, kwa nini nifunge? Je, naweza kumrudisha tena? Mimi nitakwenda kwake, lakini yeye hatanirudia mimi.”

SA2 12:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamfariji Bathsheba mkewe, akaingia kwake akakutana naye kimwili. Akazaa mwana, wakamwita jina lake Solomoni. \nd Bwana\nd* alimpenda Solomoni.

SA2 12:25 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* alimpenda, akatuma neno kwa Daudi kwa kinywa cha nabii Nathani kuwa mtoto aitwe Yedidia\f + \fr 12:25 \ft Yedidia maana yake Apendwaye na \+nd Bwana\+nd*.\f* kwa ajili ya \nd Bwana\nd*.

SA2 12:26 Removed trailing space in v~: Wakati huo Yoabu akapigana dhidi ya Raba jamii ya Waamoni na kuteka ngome la kifalme.

SA2 12:27 Removed trailing space in v~: Kisha Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi, kusema, “Nimepigana dhidi ya Raba, nami nimetwaa chanzo chake cha maji.

SA2 12:28 Removed trailing space in v~: Sasa kusanya vikosi vilivyobaki na ukauzingire mji kwa jeshi na kuuteka. La sivyo, nitauteka mimi, nao utaitwa kwa jina langu.”

SA2 12:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akakusanya jeshi lote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka.

SA2 12:30 Removed trailing space in v~: Akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu,\f + \fr 12:30 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.

SA2 12:31 Removed trailing space in v~: Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka, naye akawaweka kwenye kazi ya kutengeneza matofali. Akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.

SA2 13:0 Extra space after chapter number

SA2 13:0 Removed trailing space in c: 13

SA2 13:0 Removed trailing space in s1: Amnoni Na Tamari

SA2 13:1 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya hayo, Amnoni mwana wa Daudi akampenda Tamari, umbu lake Absalomu mwana wa Daudi, ambaye alikuwa mzuri wa sura.

SA2 13:2 Removed trailing space in v~: Amnoni akasumbuka sana kuhusu Tamari hata akaugua, kwa kuwa Tamari alikuwa bikira, na ilionekana kwamba haiwezekani Amnoni kumfanyia jambo lolote.

SA2 13:3 Removed trailing space in v~: Basi Amnoni alikuwa na rafiki jina lake Yonadabu mwana wa Shimea,\f + \fr 13:3 \ft Shimea pia hutamkwa Shama.\f* nduguye Daudi. Yonadabu alikuwa mtu wa hila nyingi sana.

SA2 13:4 Removed trailing space in v~: Akamuuliza Amnoni, “Wewe ni mtoto wa mfalme; kwa nini siku baada ya siku unaonekana kukonda? Hutaniambia?”

SA2 13:4 Removed trailing space in p~: Amnoni akamwambia, “Ninampenda Tamari, dada yake Absalomu ndugu yangu.”

SA2 13:5 Removed trailing space in v~: Yonadabu akamwambia, “Nenda ukalale kitandani na ujifanye kuwa mgonjwa. Baba yako atakapokuja kukuona mwambie, ‘Ningependa Tamari dada yangu aje kunipatia chochote ili nile. Tafadhali mruhusu aje na kuniandalia chakula mbele yangu ningali ninamwona, ili nipate kula kutoka mkononi mwake.’ ”

SA2 13:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Amnoni akalala kitandani kujifanya mgonjwa. Mfalme alipokuja kumwona, Amnoni akamwambia, “Ningependa dada yangu Tamari aje na kuniandalia mikate maalum mbele yangu, ili nipate kula toka mkononi mwake.”

SA2 13:7 Removed trailing space in v~: Daudi akampelekea Tamari ujumbe huko kwenye jumba la kifalme, kusema: “Nenda katika nyumba ya ndugu yako Amnoni ukamwandalie chakula.”

SA2 13:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Tamari akaenda nyumbani kwa nduguye Amnoni, ndugu ambaye alikuwa amelala. Tamari akachukua unga uliotiwa chachu akaukanda, akaiandaa mikate mbele yake na kuioka.

SA2 13:9 Removed trailing space in v~: Tamari akaondoa mikate kwenye kikaango ili ampatie Amnoni, lakini akakataa kula.

SA2 13:9 Removed trailing space in p~: Amnoni akamwambia, “Mtoe nje kila mtu aliyeko hapa.” Kwa hiyo kila mmoja akaondoka.

SA2 13:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Amnoni akamwambia Tamari, “Leta mkate hapa ndani ya chumba changu ili nipate kula kutoka mkononi mwako.” Basi Tamari akachukua mikate aliyoiandaa na kumletea Amnoni ndugu yake ndani ya chumba chake.

SA2 13:11 Removed trailing space in v~: Lakini alipompelekea ili ale, akamkamata kwa nguvu na kumwambia, “Njoo ulale nami, dada yangu.”

SA2 13:12 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Usifanye hivyo, ndugu yangu! Usinitende jeuri! Jambo la namna hii halistahili kufanyika katika Israeli! Usitende jambo hili ovu.

SA2 13:13 Removed trailing space in v~: Kwa upande wangu je, itakuwaje? Nitaipeleka wapi aibu yangu? Pia kwa upande wako, itakuwaje? Utakuwa kama mmoja wa wapumbavu waovu katika Israeli. Tafadhali zungumza na mfalme; hatakukatalia wewe kunioa,”

SA2 13:14 Removed trailing space in v~: Lakini Amnoni akakataa kumsikiliza, na kwa kuwa alikuwa na nguvu kuliko Tamari, akamtenda jeuri.

SA2 13:15 Removed trailing space in v~: Kisha Amnoni akamchukia Tamari, kwa machukio makuu sana. Kwa kweli, Amnoni alimchukia kuliko alivyokuwa amempenda. Amnoni akamwambia, “Inuka na utoke nje!”

SA2 13:16 Removed trailing space in v~: Tamari akamwambia, “Hapana! Kunifukuza itakuwa vibaya zaidi kuliko yale uliyonitendea.”

SA2 13:16 Removed trailing space in p~: Lakini Amnoni akakataa kumsikiliza.

SA2 13:17 Removed trailing space in v~: Akamwita mtumishi wake mahsusi na kumwambia, “Mtoe huyu mwanamke hapa na ufunge mlango nyuma yake.”

SA2 13:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, mtumishi wake akamtoa nje na kufunga mlango nyuma yake. Tamari alikuwa amevaa joho lililopambwa vizuri, kwa maana lilikuwa aina ya mavazi yaliyovaliwa na binti za mfalme waliokuwa mabikira.

SA2 13:19 Removed trailing space in v~: Tamari akajitia majivu kichwani mwake na kurarua lile joho alilokuwa amevaa. Akaweka mkono wake kichwani, akaenda zake akilia kwa sauti.

SA2 13:20 Removed trailing space in v~: Absalomu nduguye akamuuliza, “Je, huyo Amnoni ndugu yako, amekutana nawe kimwili? Sasa nyamaza umbu langu, yeye ni ndugu yako. Usilitie jambo hili moyoni.” Naye Tamari akaishi nyumbani kwa Absalomu nduguye, akiwa mwanamke mwenye huzuni.

SA2 13:21 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi aliposikia mambo haya yote, akakasirika sana.

SA2 13:22 Removed trailing space in v~: Absalomu hakusema neno lolote na Amnoni, likiwa zuri au baya, kwa kuwa alimchukia Amnoni kwa sababu alikuwa amemtia aibu Tamari, dada yake.

SA2 13:22 Removed trailing space in s1: Absalomu Amuua Amnoni

SA2 13:23 Removed trailing space in v~: Miaka miwili baadaye, wakati wakata manyoya ya kondoo wa Absalomu walipokuwa huko Baal-Hasori karibu na mpaka wa Efraimu, alialika wana wote wa mfalme kuja huko.

SA2 13:24 Removed trailing space in v~: Absalomu akaenda kwa mfalme na kumwambia, “Mtumishi wako ninao wakata manyoya ya kondoo waliokuja. Tafadhali, je, mfalme na maafisa wake wanaweza kuungana nami?”

SA2 13:25 Removed trailing space in v~: Mfalme akajibu, “La hasha, mwanangu si lazima sisi sote tuje, tutakuwa tu mzigo kwako.” Ingawa Absalomu alimsihi sana, mfalme alikataa kwenda, lakini alimbariki.

SA2 13:26 Removed trailing space in v~: Basi Absalomu akasema, “Kama hutakuja, tafadhali mruhusu ndugu yangu Amnoni twende pamoja naye.”

SA2 13:26 Removed trailing space in p~: Mfalme akamuuliza, “Kwa nini aende pamoja nawe?”

SA2 13:27 Removed trailing space in v~: Lakini Absalomu alimsihi, kwa hiyo mfalme akamtuma Amnoni pamoja na wana wengine wa mfalme waliobaki.

SA2 13:28 Removed trailing space in v~: Absalomu aliagiza watu wake, “Sikilizeni! Wakati Amnoni atakapokuwa amekunywa mvinyo na kulewa sana nami nikiwaambia, ‘Mpigeni Amnoni,’ basi muueni. Msiogope. Je, si mimi niliyewapa amri hii? Kuweni hodari na wenye ushujaa.”

SA2 13:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wa Absalomu wakamtendea Amnoni kama vile Absalomu alivyokuwa amewaagiza. Ndipo wana wote wa mfalme wakainuka, wakapanda nyumbu zao, wakakimbia.

SA2 13:30 Removed trailing space in v~: Wakati wakiwa njiani, taarifa ilimjia Daudi, kusema: “Absalomu amewaua wana wote wa mfalme; hakuna hata mmoja aliyesalia.”

SA2 13:31 Removed trailing space in v~: Mfalme akasimama, akararua nguo zake, akalala chini ardhini; nao watumishi wake wote wakasimama kando yake na nguo zao zikiwa zimeraruliwa.

SA2 13:32 Removed trailing space in v~: Lakini Yonadabu mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akasema, “Bwana wangu asifikiri kwamba wamewaua wana wote wa mfalme; ni Amnoni peke yake ndiye alikufa. Hili limekuwa kusudi la moyo wa Absalomu tangu siku ile Amnoni alipomtendea jeuri Tamari, dada yake.

SA2 13:33 Removed trailing space in v~: Mfalme bwana wangu asisumbuliwe na taarifa kwamba wamewaua wana wote wa mfalme. Ni Amnoni peke yake aliyekufa.”

SA2 13:34 Removed trailing space in v~: Wakati huo, Absalomu akawa amekimbia.

SA2 13:34 Removed trailing space in p~: Basi mlinzi akaangalia, naye akaona watu wengi barabarani magharibi yake, wakishuka kutoka upande wa kilima. Mlinzi akaenda akamwambia mfalme, “Naona watu wakitokea upande wa Horonaimu, huko upande wa kilimani.”

SA2 13:35 Removed trailing space in v~: Yonadabu akamwambia mfalme, “Tazama, wana wa mfalme wako hapa; imekuwa kama vile mtumishi wako alivyosema.”

SA2 13:36 Removed trailing space in v~: Mara alipomaliza kusema, wana wa mfalme wakaingia ndani wakiomboleza kwa makelele. Pia mfalme na watumishi wake wote wakalia sana kwa uchungu.

SA2 13:37 Removed trailing space in v~: Absalomu akakimbia na kwenda kwa Talmai mwana wa Amihudi, mfalme wa Geshuri. Lakini Mfalme Daudi akaomboleza kwa ajili ya mwanawe kila siku.

SA2 13:38 Removed trailing space in v~: Baada ya Absalomu kukimbia na kwenda Geshuri, akakaa huko miaka mitatu.

SA2 13:39 Removed trailing space in v~: Roho ya Mfalme Daudi ikatamani kumwendea Absalomu, kwa maana mfalme alikuwa amefarijika kuhusu kifo cha Amnoni.

SA2 14:0 Extra space after chapter number

SA2 14:0 Removed trailing space in c: 14

SA2 14:0 Removed trailing space in s1: Absalomu Arudi Yerusalemu

SA2 14:1 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya akafahamu kuwa moyo wa mfalme ulikuwa na shauku ya kumwona Absalomu.

SA2 14:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoabu akamtuma mtu fulani kwenda Tekoa na kumleta mwanamke mwenye hekima kutoka huko. Akamwambia huyo mwanamke, “Jifanye uko katika maombolezo. Vaa nguo za kuomboleza, nawe usitumie mafuta yoyote ya uzuri, jifanye kama mwanamke ambaye amekuwa na huzuni kwa siku nyingi kwa ajili ya kufiwa.

SA2 14:3 Removed trailing space in v~: Kisha nenda kwa mfalme ukazungumze maneno haya.” Naye Yoabu akaweka maneno kinywani mwa yule mwanamke.

SA2 14:4 Removed trailing space in v~: Huyo huyo mwanamke kutoka Tekoa alipofika kwa mfalme, akaanguka kifudifudi kumpa mfalme heshima, akasema, “Ee mfalme, nisaidie!”

SA2 14:5 Removed trailing space in v~: Mfalme akamuuliza, “Una shida gani?”

SA2 14:5 Removed trailing space in p~: Akamwambia, “Mimi ni mjane hasa, mume wangu amekufa.

SA2 14:6 Removed trailing space in v~: Mimi mtumishi wako nilikuwa na wana wawili. Wakapigana wao kwa wao huko shambani wala huko hapakuwa na mtu hata mmoja wa kuwaamua. Mmoja akampiga mwenzake na kumuua.

SA2 14:7 Removed trailing space in v~: Sasa ukoo wote umeinuka dhidi ya mtumishi wako, wakisema, ‘Utukabidhi huyo aliyemuua ndugu yake, ili tumuue kwa ajili ya uhai wa ndugu yake ambaye alimuua, nasi hapo tutakuwa tumekatilia mbali na mrithi pia.’ Wakifanya hivyo, watakuwa wamezima tumaini langu lililobaki, mume wangu hataachiwa jina wala mzao katika uso wa dunia.”

SA2 14:8 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Nenda nyumbani, nami nitatoa agizo kwa ajili yako.”

SA2 14:9 Removed trailing space in v~: Lakini huyo mwanamke kutoka Tekoa akamwambia, “Mfalme bwana wangu, lawama na iwe juu yangu na juu ya nyumba ya baba yangu, naye mfalme na kiti chake cha enzi na asiwe na hatia.”

SA2 14:10 Removed trailing space in v~: Mfalme akajibu, “Ikiwa mtu yeyote atakusemesha lolote, mlete kwangu, naye hatakusumbua tena.”

SA2 14:11 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke akasema, “Basi mfalme na amwombe \nd Bwana\nd* Mungu wake ili kuzuia mlipiza kisasi cha damu kuongeza juu ya uharibifu, ili kwamba mwanangu asije akaangamizwa.”

SA2 14:11 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Hakika kama aishivyo \nd Bwana\nd*, hakuna unywele mmoja wa kichwa cha mwanao utakaoanguka chini.”

SA2 14:12 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mwanamke akasema, “Mruhusu mtumishi wako aseme neno kwa mfalme bwana wangu.”

SA2 14:12 Removed trailing space in p~: Mfalme akajibu, “Sema.”

SA2 14:13 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke akasema, “Mbona basi wewe umewaza jambo kama hili dhidi ya watu wa Mungu? Je, mfalme asemapo hili, hajitii hatiani mwenyewe, kwa maana mfalme hajamrudisha mwanawe aliyefukuziwa mbali?

SA2 14:14 Removed trailing space in v~: Kama vile maji yaliyomwagika ardhini, yasivyoweza kuzoleka tena, hivyo sisi kufa ni lazima. Lakini Mungu haondoi uhai, badala yake, yeye hufanya njia ili kwamba aliyefukuzwa asibaki akiwa amefarikishwa naye.

SA2 14:15 Removed trailing space in v~: “Nami sasa nimekuja kusema hili kwa bwana wangu mfalme kwa sababu watu wameniogopesha. Mtumishi wako alifikiri, ‘Nitanena na mfalme, labda mfalme atamfanyia mtumishi wake kile anachoomba.

SA2 14:16 Removed trailing space in v~: Labda mfalme atakubali kumwokoa mtumishi wake kutoka mkononi mwa mtu anayejaribu kunikatilia mbali, mimi na mwanangu, kutoka kwenye urithi Mungu aliotupatia.’

SA2 14:17 Removed trailing space in v~: “Basi sasa mtumishi wako anasema, ‘Neno la bwana wangu mfalme na linipatie pumziko, kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu katika kutambua jema na baya. \nd Bwana\nd* Mungu wako na awe pamoja nawe.’ ”

SA2 14:18 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Usinifiche jibu kuhusu hilo nitakalokuuliza.”

SA2 14:18 Removed trailing space in p~: Huyo mwanamke akasema, “Mfalme bwana wangu na aseme.”

SA2 14:19 Removed trailing space in v~: Mfalme akauliza, “Je, mkono wa Yoabu haupo pamoja nawe katika jambo hilo lote?”

SA2 14:19 Removed trailing space in p~: Huyo mwanamke akajibu, “Hakika kama uishivyo, bwana wangu mfalme, hakuna yeyote anayeweza kugeuka kulia wala kushoto kutokana na chochote anachosema bwana wangu mfalme. Naam, ni mtumishi wako Yoabu ndiye alinifundisha kufanya hivi, naye ndiye aliweka maneno haya yote kinywani mwa mtumishi wako.

SA2 14:20 Removed trailing space in v~: Mtumishi wako Yoabu amefanya hivi ili kubadili hali iliyopo. Bwana wangu ana hekima kama ile ya malaika wa Mungu, hufahamu kila kitu kinachotokea katika nchi.”

SA2 14:21 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Yoabu, “Vyema sana, nitalifanya jambo hili. Nenda, ukamlete kijana Absalomu.”

SA2 14:22 Removed trailing space in v~: Yoabu akaanguka kifudifudi mpaka ardhini kumpa mfalme heshima, naye akambariki mfalme. Yoabu akasema, “Leo mtumishi wako anajua kuwa amepata kibali machoni pako, bwana wangu mfalme, kwa sababu mfalme amemjalia mtumishi wake ombi lake.”

SA2 14:23 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoabu akaenda hadi Geshuri akamrudisha Absalomu Yerusalemu.

SA2 14:24 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme akasema, “Lazima Absalomu aende kwenye nyumba yake mwenyewe; kamwe asiuone uso wangu.” Kwa hiyo Absalomu akaenda kwenye nyumba yake na hakuuona uso wa mfalme.

SA2 14:25 Removed trailing space in v~: Katika Israeli yote hakuna mtu yeyote aliyesifiwa kwa uzuri wa sura kama Absalomu. Kuanzia utosi wa kichwa chake hadi wayo wa mguu wake hapakuwa na kasoro.

SA2 14:26 Removed trailing space in v~: Kila mara aliponyoa nywele za kichwa chake, kwa kuwa alikuwa akinyoa mara kwa mara zilipokuwa zinamwia nzito, alizipima uzito wake ulikuwa shekeli mia mbili kwa kipimo cha kifalme.\f + \fr 14:26 \ft Shekeli 200 kwa kipimo cha kifalme ni sawa na kilo 2.3.\f*

SA2 14:27 Removed trailing space in v~: Walizaliwa wana watatu na binti mmoja kwa Absalomu. Jina la binti yake aliitwa Tamari, naye akawa mwanamke mzuri wa sura.

SA2 14:28 Removed trailing space in v~: Absalomu akaishi miaka miwili huko Yerusalemu pasipo kuuona uso wa mfalme.

SA2 14:29 Removed trailing space in v~: Basi Absalomu akamwita Yoabu kwa kusudi la kumtuma kwa mfalme, lakini Yoabu akakataa kuja kwa Absalomu. Ndipo akamwita tena mara ya pili, lakini pia akakataa kuja.

SA2 14:30 Removed trailing space in v~: Ndipo akawaambia watumishi wake, “Tazama, shamba la Yoabu liko jirani na langu, naye ana shayiri humo. Nendeni mkalitie moto.” Kisha watumishi wa Absalomu wakalitia moto shamba hilo.

SA2 14:31 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu akaenda nyumbani kwa Absalomu, akamwambia, “Kwa nini watumishi wako wametia moto shamba langu?”

SA2 14:32 Removed trailing space in v~: Absalomu akamwambia Yoabu, “Tazama, nilikutumia ujumbe na kusema, ‘Njoo ili niweze kukutuma kwa mfalme kuuliza, “Kwa nini nimekuja kutoka Geshuri? Ingekuwa bora zaidi kwangu kama ningebaki huko!” ’ Sasa basi, nataka kuuona uso wa mfalme, na ikiwa nina hatia ya jambo lolote, basi na aniue.”

SA2 14:33 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia jambo hili. Kisha mfalme akamwita Absalomu, naye akaingia ndani akasujudu uso wake mpaka ardhini mbele ya mfalme. Naye mfalme akambusu Absalomu.

SA2 15:0 Extra space after chapter number

SA2 15:0 Removed trailing space in c: 15

SA2 15:0 Removed trailing space in s1: Mipango Ya Hila Ya Absalomu

SA2 15:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Absalomu akajipatia magari ya vita na farasi pamoja na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake.

SA2 15:2 Removed trailing space in v~: Akawa anaamka asubuhi na mapema na kusimama kando ya barabara inayoelekea kwenye lango la mji. Wakati wowote alipokuja mtu yeyote mwenye mashtaka yanayohitaji kuletwa mbele ya mfalme kwa maamuzi, Absalomu naye angemwita na kumuuliza, “Wewe unatoka mji upi?” Naye angejibu, “Mtumishi wako anatoka katika mojawapo ya makabila ya Israeli.”

SA2 15:3 Removed trailing space in v~: Kisha Absalomu angemwambia, “Tazama, malalamiko yako ni ya haki na sawasawa, lakini hakuna mwakilishi wa mfalme wa kukusikiliza.”

SA2 15:4 Removed trailing space in v~: Absalomu aliongeza, “Laiti tu ningeteuliwa kuwa mwamuzi katika nchi. Ndipo kila mmoja mwenye mashtaka au shauri angekuja kwangu nami ningeona kwamba anapata haki.”

SA2 15:5 Removed trailing space in v~: Pia, wakati mtu yeyote alipomkaribia ili kusujudu mbele yake, Absalomu alinyoosha mkono wake na kumshika pia kumbusu.

SA2 15:6 Removed trailing space in v~: Absalomu akaendelea na tabia hii mbele ya Waisraeli wote waliomjia mfalme kumwomba awape haki; kwa hiyo Absalomu akaiba mioyo ya watu wa Israeli.

SA2 15:7 Removed trailing space in v~: Mnamo mwisho wa mwaka wa nne, Absalomu akamwambia mfalme, “Naomba unipe ruhusa niende Hebroni nikatimize nadhiri niliyomwekea \nd Bwana\nd*.

SA2 15:8 Removed trailing space in v~: Wakati mtumishi wako alipokuwa huko Geshuri katika nchi ya Aramu, niliweka nadhiri hii, ‘Ikiwa \nd Bwana\nd* atanirudisha Yerusalemu, nitamwabudu \nd Bwana\nd* huko Hebroni.’ ”

SA2 15:9 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia, “Enenda kwa amani.” Hivyo akaenda Hebroni.

SA2 15:10 Removed trailing space in v~: Kisha Absalomu akatuma wajumbe kwa siri katika makabila yote ya Israeli, kusema, “Mara mtakaposikia sauti ya tarumbeta basi semeni, ‘Absalomu ni mfalme huko Hebroni.’ ”

SA2 15:11 Removed trailing space in v~: Watu mia mbili kutoka Yerusalemu walikuwa wamefuatana na Absalomu. Walikuwa wamealikwa kama wageni nao walikwenda kwa nia njema, pasipo kujua lolote.

SA2 15:12 Removed trailing space in v~: Wakati Absalomu alipokuwa anatoa dhabihu, pia akatuma aitwe Ahithofeli, Mgiloni, mshauri wa Daudi, aje kutoka Gilo, ambao ndio mji wake wa nyumbani. Kwa hiyo mpango wa hila ukapata nguvu, na idadi ya waliofuatana na Absalomu ikaongezeka.

SA2 15:12 Removed trailing space in s1: Kukimbia Kwa Daudi

SA2 15:13 Removed trailing space in v~: Mjumbe akaja na kumwambia Daudi, “Mioyo ya watu wa Israeli inaambatana na Absalomu.”

SA2 15:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akawaambia maafisa wake wote waliokuwa pamoja naye huko Yerusalemu, “Njooni! Ni lazima tukimbie, la sivyo hakuna hata mmoja wetu atakayeokoka kutoka mkononi mwa Absalomu. Ni lazima tuondoke kwa haraka, la sivyo atakuja mbio na kutupata, atatuangamiza na kuupiga mji kwa upanga.”

SA2 15:15 Removed trailing space in v~: Maafisa wa mfalme wakamjibu, “Watumishi wako tu tayari kufanya lolote mfalme bwana wetu analochagua.”

SA2 15:16 Removed trailing space in v~: Mfalme akatoka, pamoja na watu wa nyumbani mwake wakimfuata; lakini akawaacha masuria kumi ili kuangalia jumba la kifalme.

SA2 15:17 Removed trailing space in v~: Hivyo mfalme akaondoka, pamoja na watu wote wakimfuata, wakatua mahali mbali kiasi.

SA2 15:18 Removed trailing space in v~: Watu wake wote wakatembea, wakampita wakiwa wamefuatana na Wakerethi na Wapelethi wote; pia Wagiti wote mia sita waliokuwa wamefuatana naye kutoka Gathi wakapita mbele ya mfalme.

SA2 15:19 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Itai, Mgiti, “Kwa nini ufuatane na sisi? Rudi ukakae pamoja na Mfalme Absalomu. Wewe ni mgeni, mkimbizi kutoka nchini mwako.

SA2 15:20 Removed trailing space in v~: Ulikuja jana tu. Nami leo nikufanye utangetange pamoja nasi, wakati sijui niendako? Rudi, nawe ukawachukue watu wa kwenu. Wema na uaminifu na viwe pamoja nawe.”

SA2 15:21 Removed trailing space in v~: Lakini Itai akamjibu mfalme, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo na kama mfalme bwana wangu aishivyo, popote mfalme bwana wangu atakapokuwa, ikiwa ni kuishi au kufa, hapo ndipo mtumishi wako atakapokuwa.”

SA2 15:22 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Itai, “Songa mbele, endelea.” Kwa hiyo Itai, Mgiti, akaendelea pamoja na watu wake wote, pia jamaa zote waliokuwa pamoja naye.

SA2 15:23 Removed trailing space in v~: Watu wote wa nje ya mji wakalia kwa sauti wakati watu wote walipokuwa wakipita. Mfalme naye akavuka Bonde la Kidroni, nao watu wote wakaelekea jangwani.

SA2 15:24 Removed trailing space in v~: Sadoki pia alikuwako, kadhalika Walawi wote waliokuwa pamoja naye walikuwa wamechukua Sanduku la Agano la Mungu. Wakaweka chini Sanduku la Mungu, naye Abiathari akatoa dhabihu mpaka watu wote walipokuwa wameondoka mjini.

SA2 15:25 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akamwambia Sadoki, “Rudisha Sanduku la Mungu mjini. Ikiwa nitapata kibali mbele za \nd Bwana\nd*, atanirudisha, nami nitaliona Sanduku hili tena pamoja na Maskani yake.

SA2 15:26 Removed trailing space in v~: Lakini kama yeye atasema, ‘Mimi sipendezwi nawe,’ basi mimi niko tayari; yeye na anifanye chochote aonacho chema kwake.”

SA2 15:27 Removed trailing space in v~: Pia mfalme alimwambia kuhani Sadoki, “Je, wewe si mwonaji? Rudi mjini kwa amani pamoja na mwanao Ahimaasi na Yonathani mwana wa Abiathari. Wewe na Abiathari wachukueni wana wenu wawili.

SA2 15:28 Removed trailing space in v~: Nitasubiri kwenye vivuko katika jangwa mpaka neno litakapotoka kwenu kuniarifu.”

SA2 15:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Sadoki na Abiathari wakarudisha Sanduku la Mungu mpaka Yerusalemu na kukaa huko.

SA2 15:30 Removed trailing space in v~: Bali Daudi akaendelea, akapanda Mlima wa Mizeituni, akaenda huku analia, akiwa amefunika kichwa chake na bila viatu miguuni. Watu wote waliokuwa pamoja naye nao wakafunika vichwa vyao, wakawa wanapanda mlima huku wanalia.

SA2 15:31 Removed trailing space in v~: Basi Daudi alikuwa ameambiwa, “Ahithofeli alikuwa miongoni mwa washiriki wa shauri baya la Absalomu.” Ndipo Daudi akaomba, akisema, “Ee \nd Bwana\nd*, geuza shauri la Ahithofeli kuwa ujinga.”

SA2 15:32 Removed trailing space in v~: Daudi alipofika kwenye kilele cha mlima, mahali ambapo watu walikuwa wamezoea kumwabudu Mungu, Hushai, Mwariki, alikuwako huko kumlaki, joho lake likiwa limeraruka na mavumbi kichwani mwake.

SA2 15:33 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia, “Kama ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

SA2 15:34 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa utarudi mjini na kumwambia Absalomu, ‘Nitakuwa mtumishi wako, ee mfalme; nilikuwa mtumishi wa baba yako wakati uliopita, lakini sasa nitakuwa mtumishi wako,’ basi utaweza kunisaidia kwa kupinga shauri la Ahithofeli.

SA2 15:35 Removed trailing space in v~: Je, makuhani Sadoki na Abiathari hawatakuwa pamoja nawe? Waambie lolote utakalosikia katika jumba la mfalme.

SA2 15:36 Removed trailing space in v~: Wana wao wawili, Ahimaasi mwana wa Sadoki na Yonathani mwana wa Abiathari, wako pamoja nao huko. Watume kwangu na lolote utakalosikia.”

SA2 15:37 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Hushai, rafiki wa Daudi, akafika Yerusalemu wakati Absalomu alipokuwa anaingia mjini.

SA2 16:0 Extra space after chapter number

SA2 16:0 Removed trailing space in c: 16

SA2 16:0 Removed trailing space in s1: Daudi Na Siba

SA2 16:1 Removed trailing space in v~: Daudi alipokuwa amekwenda umbali mfupi kupita kilele cha mlima, akamkuta huko Siba, msimamizi wa shughuli za Mefiboshethi, akingojea kumlaki Daudi. Alikuwa na punda wawili wakiwa wametandikwa na kupakiwa mikate mia mbili, maandazi mia ya zabibu kavu, maandazi mia ya tini na kiriba cha divai.

SA2 16:2 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akamuuliza Siba, “Kwa nini umeleta vitu hivi?”

SA2 16:2 Removed trailing space in p~: Siba akamjibu, “Punda ni kwa ajili ya watu wa nyumba ya mfalme kupanda, mikate na matunda ni kwa ajili ya watu kula, nayo divai ni kwa kuwaburudisha watakaochoka jangwani.”

SA2 16:3 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akauliza, “Yuko wapi mwana wa bwana wako?”

SA2 16:3 Removed trailing space in p~: Siba akamwambia, “Anakawia Yerusalemu, kwa sababu anafikiri, ‘Leo nyumba ya Israeli itanirudishia utawala wa baba yangu.’ ”

SA2 16:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akamwambia Siba, “Yote yaliyokuwa mali ya Mefiboshethi sasa ni mali yako.”

SA2 16:4 Removed trailing space in p~: Siba akasema, “Nasujudu kwa unyenyekevu. Naomba nipate kibali mbele yako, bwana wangu mfalme.”

SA2 16:4 Removed trailing space in s1: Shimei Amlaani Daudi

SA2 16:5 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi alipokuwa anakaribia Bahurimu, mtu mmoja kutoka ukoo huo huo kama jamaa ya Sauli, akatoka humo, ambaye jina lake ni Shimei mwana wa Gera; akawa analaani alipokuwa akitoka.

SA2 16:6 Removed trailing space in v~: Akamtupia Daudi na maafisa wote wa mfalme mawe, ingawa vikosi vyote na walinzi maalum walikuwa kulia na kushoto mwa Daudi.

SA2 16:7 Removed trailing space in v~: Shimei alivyokuwa akilaani, akasema, “Toka hapa, toka hapa, wewe mtu wa damu, wewe mtu mbaya kabisa!

SA2 16:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amekulipiza kwa ajili ya damu yote uliyomwaga ya watu wa nyumba ya Sauli, ambaye nafasi yake umeimiliki wewe. \nd Bwana\nd* amekabidhi ufalme mkononi mwa mwanao Absalomu. Maangamizi yamekupata kwa sababu wewe ni mtu wa damu!”

SA2 16:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Abishai mwana wa Seruya akamwambia mfalme, “Kwa nini huyu mbwa mfu amlaani bwana wangu mfalme? Niruhusu nivuke nikatilie mbali kichwa chake.”

SA2 16:10 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme akamwambia, “Mna nini nami, enyi wana wa Seruya? Ikiwa analaani kwa sababu \nd Bwana\nd* amemwambia, ‘Mlaani Daudi,’ nani awezaye kuuliza, ‘Kwa nini unafanya hivi?’ ”

SA2 16:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamwambia Abishai na maafisa wake wote, “Mwanangu, yeye ambaye ametoka viunoni mwangu mwenyewe, anajaribu kuuondoa uhai wangu. Je, si zaidi sana kwa huyu Mbenyamini! Mwacheni, acha alaani, kwa maana \nd Bwana\nd* amemwambia afanye hivyo.

SA2 16:12 Removed trailing space in v~: Inawezekana kwamba \nd Bwana\nd* ataona dhiki yangu na kunilipa mema kwa ajili ya laana ninayopokea leo.”

SA2 16:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi na watu wake wakaendelea na safari yao barabarani, huku Shimei akiwa anatembea pembezoni mwa kilima sambamba na Daudi, huku akimlaani na kumtupia Daudi mawe na kumrushia mavumbi.

SA2 16:14 Removed trailing space in v~: Mfalme na watu wote aliokuwa pamoja nao wakafika kwenye kituo chao wakiwa wamechoka. Mfalme akajiburudisha hapo.

SA2 16:14 Removed trailing space in s1: Shauri La Hushai Na Ahithofeli

SA2 16:15 Removed trailing space in v~: Wakati huo, Absalomu pamoja na watu wote wa Israeli wakafika Yerusalemu, naye Ahithofeli alikuwa pamoja naye.

SA2 16:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Hushai, Mwariki, rafiki wa Daudi, akamwendea Absalomu na kumwambia, “Mfalme aishi maisha marefu! Mfalme aishi maisha marefu!”

SA2 16:17 Removed trailing space in v~: Absalomu akamuuliza Hushai, “Je, huu ndio upendo unaomwonyesha rafiki yako? Kwa nini hukufuatana na rafiki yako?”

SA2 16:18 Removed trailing space in v~: Hushai akamwambia Absalomu, “La hasha, yeye aliyechaguliwa na \nd Bwana\nd*, aliyechaguliwa na watu hawa, atakayechaguliwa tena na watu wote wa Israeli, huyu ndiye nitakayekuwa wake, nami nitabakia pamoja naye.

SA2 16:19 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, nimtumikie nani? Je, nisimtumikie mwana? Kama vile nilivyomtumikia baba yako, ndivyo nitakavyokutumikia wewe.”

SA2 16:20 Removed trailing space in v~: Absalomu akamwambia Ahithofeli, “Tupe shauri lako. Tufanye nini?”

SA2 16:21 Removed trailing space in v~: Ahithofeli akamjibu, “Kutana kimwili na masuria wa baba yako aliowaacha kutunza jumba la kifalme. Ndipo Israeli yote itakaposikia kwamba umejifanya chukizo kwa baba yako, nayo mikono ya kila mmoja aliye pamoja nawe itatiwa nguvu.”

SA2 16:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakasimika hema kwa ajili ya Absalomu juu ya paa, naye akakutana kimwili na masuria wa baba yake mbele ya Israeli wote.

SA2 16:23 Removed trailing space in v~: Ilikuwa katika siku hizo shauri lililotolewa na Ahithofeli lilikuwa kama lile ambalo limeulizwa kwa Mungu. Ndivyo Daudi na Absalomu walivyoyaheshimu mashauri yote ya Ahithofeli.

SA2 17:0 Extra space after chapter number

SA2 17:0 Removed trailing space in c: 17

SA2 17:1 Removed trailing space in v~: Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Nipe ruhusa niwachague watu kumi na mbili elfu na waanze safari usiku huu huu kumfuatia Daudi.

SA2 17:2 Removed trailing space in v~: Nitamshambulia wakati akiwa amechoka na ni dhaifu. Nitampiga na hofu, na kisha watu wote walio pamoja naye watakimbia. Nitampiga mfalme peke yake

SA2 17:3 Removed trailing space in v~: na kuwarudisha watu wote kwako. Kifo cha mtu yule unayemtafuta kitamaanisha kurudi kwa wote, hakuna hata mtu mmoja atakayeumizwa.”

SA2 17:4 Removed trailing space in v~: Mpango huu ulionekana mzuri kwa Absalomu na kwa wazee wote wa Israeli.

SA2 17:5 Removed trailing space in v~: Lakini Absalomu akasema, “Pia mwiteni Hushai, Mwariki, ili tuweze kusikia anachokisema.”

SA2 17:6 Removed trailing space in v~: Hushai alipokuja, Absalomu akasema, “Ahithofeli ametoa shauri hili. Je, tufanye anavyosema? Kama sivyo, tupe maoni yako.”

SA2 17:7 Removed trailing space in v~: Hushai akamjibu Absalomu, “Shauri la Ahithofeli alilotoa halifai kwa wakati huu.

SA2 17:8 Removed trailing space in v~: Unamfahamu baba yako na watu wake, ni wapiganaji hodari, nao ni wakali kama dubu mwitu aliyepokonywa watoto wake. Zaidi ya hayo, baba yako ni mpiganaji jasiri, usiku hatalala pamoja na vikosi.

SA2 17:9 Removed trailing space in v~: Hata sasa, amefichwa ndani ya pango au mahali pengine. Kama atatangulia kushambulia vikosi vyako, yeyote asikiaye habari hii atasema, ‘Kuna machinjo makubwa miongoni mwa vikosi vinavyomfuata Absalomu.’

SA2 17:10 Removed trailing space in v~: Basi hata yule askari hodari kuliko wengine wote, ambaye moyo wake ni kama wa simba, atayeyuka kwa hofu, kwa maana Israeli yote wanajua kwamba baba yako ni mpiganaji na kwamba wale walio pamoja naye ni watu hodari.

SA2 17:11 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nakushauri: Israeli wote na wakusanyikie kwako, kuanzia Dani hadi Beer-Sheba, katika wingi wao jinsi walivyo kama mchanga wa ufuoni mwa bahari, wewe mwenyewe ukiwaongoza vitani.

SA2 17:12 Removed trailing space in v~: Ndipo tutakapomshambulia popote atakapoonekana, nasi tutamwangukia kama umande unavyoshuka juu ya ardhi. Yeye mwenyewe wala watu wake hakuna atakayeachwa hai.

SA2 17:13 Removed trailing space in v~: Kama atakimbilia katika mji wowote, basi Israeli wote watazungushia mji ule kamba, nasi tutauburuta mji huo mpaka bondeni hadi isionekane hata changarawe ya huo mji.”

SA2 17:14 Removed trailing space in v~: Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema, “Shauri la Hushai, Mwariki, ni jema zaidi kuliko lile la Ahithofeli.” Kwa maana \nd Bwana\nd* alikuwa amekusudia kupinga shauri nzuri la Ahithofeli, ili kuleta maafa juu ya Absalomu.

SA2 17:15 Removed trailing space in v~: Hushai akawaambia makuhani Sadoki na Abiathari, “Ahithofeli amemshauri Absalomu na wazee wa Israeli kufanya kadha wa kadha, lakini mimi nimewashauri wao kufanya kadha wa kadha.

SA2 17:16 Removed trailing space in v~: Sasa tumeni ujumbe haraka na kumwambia Daudi, ‘Usiku huu usilale kwenye vivuko katika jangwa; vuka bila kukosa, la sivyo, mfalme pamoja na watu wote waliofuatana naye watamezwa.’ ”

SA2 17:17 Removed trailing space in v~: Yonathani na Ahimaasi walikuwa wakingoja huko En-Rogeli, naye mtumishi mmoja wa kike akawa anakwenda kuwapasha habari nao wakawa wanakwenda kumwambia Mfalme Daudi, kwa maana wasingetaka kujihatarisha kuonekana wakiingia mjini.

SA2 17:18 Removed trailing space in v~: Lakini kijana mmoja mwanaume akawaona, naye akamwambia Absalomu. Basi wote wawili wakaondoka haraka, wakaenda mpaka kwenye nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu. Mtu huyo alikuwa na kisima katika ua wa nyumba yake, nao Yonathani na Ahimaasi wakateremka ndani ya kisima hicho.

SA2 17:19 Removed trailing space in v~: Mkewe akachukua kifuniko, akakiweka kwenye mdomo wa kile kisima na kuanika nafaka juu yake. Hakuna mtu yeyote aliyefahamu chochote kuhusu jambo hilo.

SA2 17:20 Removed trailing space in v~: Watu wa Absalomu walipofika kwa huyo mwanamke, wakamuuliza, “Wako wapi Ahimaasi na Yonathani?”

SA2 17:20 Removed trailing space in p~: Huyo mwanamke akawajibu, “Walivuka kijito.” Watu wa Absalomu wakapekua lakini hawakuwaona hata mmoja, hivyo wakarudi Yerusalemu.

SA2 17:21 Removed trailing space in v~: Baada ya watu hao kuondoka, wale watu wawili yaani Yonathani na Ahimaasi wakapanda kutoka mle kisimani na kwenda kumpasha Mfalme Daudi habari. Wakamwambia, “Ondoka, uvuke haya maji haraka. Ahithofeli ameshauri kadha wa kadha dhidi yako.”

SA2 17:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi na watu wote aliokuwa nao waliondoka na kuvuka Yordani. Kufika wakati wa mapambazuko, hapakuwa na mtu hata mmoja ambaye alikuwa hajavuka Mto Yordani.

SA2 17:23 Removed trailing space in v~: Ahithofeli alipoona kwamba shauri lake halikufuatwa, akatandika punda wake, akaondoka kwenda nyumbani kwake kwenye mji wake. Akaiweka nyumba yake katika utaratibu, kisha akajinyonga mwenyewe. Hivyo akafa na akazikwa katika kaburi la baba yake.

SA2 17:24 Removed trailing space in v~: Daudi akaenda Mahanaimu, naye Absalomu akavuka Yordani pamoja na watu wote wa Israeli.

SA2 17:25 Removed trailing space in v~: Absalomu alikuwa amemweka Amasa juu ya jeshi badala ya Yoabu. Amasa alikuwa mwana wa mtu mmoja aliyeitwa Yetheri, Mwisraeli, ambaye alikuwa amemwoa Abigaili binti Nahashi, dada yake Seruya mamaye Yoabu.

SA2 17:26 Removed trailing space in v~: Waisraeli na Absalomu wakapiga kambi huko nchi ya Gileadi.

SA2 17:27 Removed trailing space in v~: Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba ya Waamoni, Makiri mwana wa Amieli kutoka Lo-Debari, na Barzilai Mgileadi kutoka Rogelimu

SA2 17:28 Removed trailing space in v~: wakaleta matandiko ya kitandani, mabakuli na vyombo vya mfinyanzi. Walileta pia ngano na shayiri, unga na bisi, maharagwe na kunde,

SA2 17:29 Removed trailing space in v~: asali na maziwa yaliyoganda, kondoo na jibini kutoka kwenye maziwa ya ngʼombe kwa ajili ya Daudi na watu wake ili wale. Kwa maana walisema, “Watu wameona njaa, tena wamechoka na wamepata kiu huko jangwani.”

SA2 18:0 Extra space after chapter number

SA2 18:0 Removed trailing space in c: 18

SA2 18:0 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Absalomu

SA2 18:1 Removed trailing space in v~: Daudi akakusanya watu aliokuwa nao na kuweka majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia.

SA2 18:2 Removed trailing space in v~: Daudi akatuma vikosi vya askari: theluthi moja ilikuwa chini ya amri ya Yoabu, theluthi ya pili chini ya Abishai mwana wa Seruya nduguye Yoabu, na theluthi ya tatu chini ya Itai, Mgiti. Mfalme akaviambia vikosi, “Hakika mimi mwenyewe nitakwenda pamoja nanyi.”

SA2 18:3 Removed trailing space in v~: Lakini watu wakasema, “Haikupasi kwenda, ikiwa sisi tutalazimika kukimbia, wao hawatatujali. Hata kama nusu yetu tukifa hawatajali, lakini wewe una thamani ya watu kama sisi kumi elfu. Ingekuwa bora zaidi kwako basi kutupatia msaada kutoka mjini.”

SA2 18:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akajibu, “Nitafanya lolote linaloonekana jema zaidi kwenu.”

SA2 18:4 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo mfalme akasimama kando ya lango wakati watu wote wakitoka nje kwa makundi ya mamia na maelfu.

SA2 18:5 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaamuru Yoabu, Abishai na Itai, “Kuweni wapole kwa kijana Absalomu kwa ajili yangu.” Vikosi vyote vikasikia mfalme akitoa amri kwa kila jemadari kumhusu Absalomu.

SA2 18:6 Removed trailing space in v~: Jeshi likatoka kwenda kwenye uwanja wa vita kupigana na Israeli, hivyo vita vikapiganwa katika msitu wa Efraimu.

SA2 18:7 Removed trailing space in v~: Huko jeshi la Israeli likashindwa na watu wa Daudi, siku hiyo majeruhi walikuwa wengi kiasi cha watu ishirini elfu.

SA2 18:8 Removed trailing space in v~: Vita vikaenea nchi nzima, watu wengi zaidi wakifia msituni siku hiyo kuliko waliouawa kwa upanga.

SA2 18:9 Removed trailing space in v~: Basi ikawa Absalomu alikutana na watu wa Daudi. Yeye alikuwa amepanda nyumbu wake, naye nyumbu alipopita chini ya matawi yaliyosongana ya mwaloni mkubwa, kichwa cha Absalomu kilinaswa kwenye mti. Akaachwa akiningʼinia hewani, wakati nyumbu aliyekuwa amempanda aliendelea kwenda.

SA2 18:10 Removed trailing space in v~: Mmojawapo wa wale watu alipoona, akamwambia Yoabu, “Nimemwona Absalomu akiningʼinia kwenye mti wa mwaloni.”

SA2 18:11 Removed trailing space in v~: Yoabu akamwambia huyo mtu, “Nini! Ulimwona Absalomu? Kwa nini hukumpiga papo hapo mpaka chini? Ndipo ningekupa shekeli kumi\f + \fr 18:11 \ft Shekeli kumi za fedha ni sawa na gramu 115.\f* za fedha na mkanda wa askari shujaa.”

SA2 18:12 Removed trailing space in v~: Lakini huyo mtu akamjibu Yoabu, “Hata kama ningepimiwa shekeli 1,000\f + \fr 18:12 \ft Shekeli 1,000 za fedha ni sawa na kilo 11.5.\f* mikononi mwangu, nisingeinua mkono wangu dhidi ya mwana wa mfalme. Tukiwa tunasikia, mfalme alikuagiza wewe na Abishai pamoja na Itai, akisema, ‘Mlindeni kijana Absalomu kwa ajili yangu.’

SA2 18:13 Removed trailing space in v~: Nami kama ningekuwa nimemtendea kwa hila, na hakuna lolote linalofichika kwa mfalme, wewe mwenyewe ungejitenga nami.”

SA2 18:14 Removed trailing space in v~: Yoabu akasema, “Mimi sitapoteza muda hapa pamoja nawe.” Hivyo akachukua mikuki mitatu mkononi mwake, akamchoma Absalomu nayo moyoni alipokuwa angali hai akiningʼinia katika ule mwaloni.

SA2 18:15 Removed trailing space in v~: Nao wabeba silaha kumi wa Yoabu wakamzunguka Absalomu, wakampiga na kumuua.

SA2 18:16 Removed trailing space in v~: Kisha Yoabu akapiga tarumbeta, navyo vikosi vikaacha kuwafuata Israeli, kwa maana Yoabu aliwasimamisha.

SA2 18:17 Removed trailing space in v~: Wakamchukua Absalomu, wakamtupa katika shimo kubwa huko msituni na kulundika lundo kubwa la mawe juu yake. Huko nyuma, Waisraeli wote wakakimbilia nyumbani kwao.

SA2 18:18 Removed trailing space in v~: Wakati wa uhai wa Absalomu alikuwa amechukua nguzo na kuisimamisha katika Bonde la Mfalme, kwa maana alifikiri, “Sina mwana atakayeendeleza kumbukumbu ya jina langu.” Akaita nguzo hiyo kwa jina lake mwenyewe. Nayo inaitwa Mnara wa Ukumbusho wa Absalomu mpaka leo.

SA2 18:18 Removed trailing space in s1: Daudi Aomboleza Kifo Cha Absalomu

SA2 18:19 Removed trailing space in v~: Basi Ahimaasi mwana wa Sadoki akasema, “Niruhusu mimi nikimbie na kumpelekea mfalme habari kwamba \nd Bwana\nd* amemwokoa mfalme kutoka mikononi mwa adui zake.”

SA2 18:20 Removed trailing space in v~: Yoabu akamwambia Ahimaasi, “Leo si wewe utakayepeleka habari. Unaweza kupeleka habari wakati mwingine, lakini leo haikupasi kupeleka, kwa sababu mwana wa mfalme amekufa.”

SA2 18:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoabu akamwambia mtu mmoja Mkushi, “Nenda, ukamwambie mfalme kile ulichoona.” Mkushi akasujudu mbele ya Yoabu akaondoka mbio.

SA2 18:22 Removed trailing space in v~: Ahimaasi mwana wa Sadoki akamwambia tena Yoabu, “Liwalo na liwe, tafadhali niruhusu nikimbie nyuma ya huyo Mkushi.”

SA2 18:22 Removed trailing space in p~: Lakini Yoabu akajibu, “Mwanangu, mbona wataka kwenda? Wewe huna habari yoyote itakayokupa tuzo.”

SA2 18:23 Removed trailing space in v~: Ahimaasi akasema, “Liwalo na liwe, nataka kukimbia.”

SA2 18:23 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Yoabu akamwambia, “Haya, kimbia!” Ndipo Ahimaasi akakimbia kufuata njia ya kupitia tambarare, akafika kabla ya huyo Mkushi.

SA2 18:24 Removed trailing space in v~: Wakati Daudi alipokuwa ameketi kati ya lango la ndani na la nje, mlinzi akapanda juu ya paa la lango kupitia ukutani. Alipotazama nje, akaona mtu mmoja akikimbia peke yake.

SA2 18:25 Removed trailing space in v~: Mlinzi akampazia mfalme sauti na kumpa taarifa.

SA2 18:25 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Ikiwa yuko peke yake, lazima atakuwa na habari njema.” Naye yule mtu akazidi kusogea karibu.

SA2 18:26 Removed trailing space in v~: Kisha mlinzi akaona mtu mwingine anakuja akikimbia, akamwita bawabu, “Tazama, mtu mwingine anakuja akikimbia peke yake!”

SA2 18:26 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Lazima atakuwa analeta habari njema pia.”

SA2 18:27 Removed trailing space in v~: Mlinzi akasema, “Ninaona kuwa yule wa kwanza anakimbia kama Ahimaasi mwana wa Sadoki.”

SA2 18:27 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Yeye ni mtu mwema. Analeta habari njema.”

SA2 18:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Ahimaasi akamwita mfalme, akasema, “Mambo yote ni mema!” Akasujudu mbele ya mfalme uso wake mpaka ardhini, akasema, “Ahimidiwe \nd Bwana\nd* Mungu wako! Yeye aliyewatoa watu wale walioinua mikono yao dhidi ya mfalme bwana wangu.”

SA2 18:29 Removed trailing space in v~: Mfalme akauliza, “Je, huyo kijana Absalomu yuko salama?”

SA2 18:29 Removed trailing space in p~: Ahimaasi akajibu, “Kulikuwa na machafuko mengi mara tu Yoabu alipokuwa anataka kumtuma mtumishi wa mfalme pamoja nami mtumishi wako, lakini sijui ilikuwa nini?”

SA2 18:30 Removed trailing space in v~: Mfalme akasema, “Simama kando na usubiri hapa.” Basi akasogea kando na kusimama hapo.

SA2 18:31 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo Mkushi akawasili na kusema, “Mfalme bwana wangu, sikia habari njema! Leo \nd Bwana\nd* amekuokoa kutoka kwa wale wote walioinuka dhidi yako.”

SA2 18:32 Removed trailing space in v~: Mfalme akamuuliza huyo Mkushi, “Je, kijana Absalomu yuko salama?”

SA2 18:32 Removed trailing space in p~: Huyo Mkushi akajibu, “Adui wa mfalme bwana wangu na wote wale walioinuka kukudhuru na wawe kama huyo kijana.”

SA2 18:33 Removed trailing space in v~: Mfalme akatetemeka. Akapanda chumbani juu kupitia langoni akilia. Alipokuwa akienda, akasema, “Ee mwanangu Absalomu! Mwanangu, mwanangu Absalomu! Laiti ningekufa badala yako: Ee Absalomu, mwanangu, mwanangu!”

SA2 19:0 Extra space after chapter number

SA2 19:0 Removed trailing space in c: 19

SA2 19:0 Removed trailing space in s1: Yoabu Amkemea Mfalme

SA2 19:1 Removed trailing space in v~: Yoabu akaambiwa, “Mfalme analia na kumwombolezea Absalomu.”

SA2 19:2 Removed trailing space in v~: Kwa jeshi lote, ushindi wa siku ile ukageuka kuwa maombolezo, kwa sababu siku ile vikosi vilisikia ikisemwa, “Mfalme anahuzunika kwa ajili ya mwanawe.”

SA2 19:3 Removed trailing space in v~: Siku ile watu wakaingia mjini kimya kama vile waingiavyo kwa aibu watu waliokimbia kutoka vitani.

SA2 19:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akafunika uso wake akalia kwa sauti, akisema, “Ee mwanangu Absalomu! Ee Absalomu, mwanangu, mwanangu!”

SA2 19:5 Removed trailing space in v~: Kisha Yoabu akaingia ndani ya nyumba ya mfalme na kusema, “Leo umewaaibisha watu wako wote, waliookoa maisha yako, maisha ya wanao na binti zako, maisha ya wake zako na masuria wako.

SA2 19:6 Removed trailing space in v~: Unawapenda wale wanaokuchukia, na unawachukia wale wanaokupenda. Leo umeonyesha wazi kwamba majemadari wako na watu wao hawana maana kwako. Naona kwamba ungefurahi kama Absalomu angekuwa hai leo na sisi sote tuwe tumekufa.

SA2 19:7 Removed trailing space in v~: Sasa utoke nje ukawatie moyo watu wako. Naapa kwa \nd Bwana\nd* kwamba ikiwa hutatoka nje, hakuna mtu atakayesalia pamoja nawe ifikapo leo jioni. Hii itakuwa mbaya zaidi kwako kuliko maafa yote yaliyokupata tangu ujana wako hadi sasa.”

SA2 19:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme akaondoka akaketi kitini pake penye lango. Watu walipoambiwa, “Mfalme ameketi langoni,” watu wote wakamjia.

SA2 19:8 Removed trailing space in s1: Daudi Arudi Yerusalemu

SA2 19:8 Removed trailing space in p~: Wakati huo, Waisraeli walikuwa wamekimbilia nyumbani kwao.

SA2 19:9 Removed trailing space in v~: Katika makabila yote ya Israeli, watu walikuwa wanabishana wao kwa wao, wakisema, “Mfalme alituokoa kutoka mikononi mwa adui zetu; ndiye alituokoa kutoka mikononi mwa Wafilisti. Lakini sasa mfalme ameikimbia nchi kwa sababu ya Absalomu,

SA2 19:10 Removed trailing space in v~: naye Absalomu, tuliyemtia mafuta atutawale, amekufa vitani. Basi mbona hamsemi lolote kuhusu kumrudisha mfalme?”

SA2 19:11 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akapeleka ujumbe huu kwa makuhani Sadoki na Abiathari, kusema: “Waulizeni wazee wa Yuda, ‘Kwa nini mwe wa mwisho kumrudisha mfalme katika jumba lake la kifalme, maadamu kile kinachosemwa katika Israeli yote kimemfikia mfalme katika makao yake?

SA2 19:12 Removed trailing space in v~: Ninyi ni ndugu zangu, nyama yangu na damu yangu mwenyewe. Kwa hiyo kwa nini mwe wa mwisho kumrudisha mfalme?’

SA2 19:13 Removed trailing space in v~: Nanyi mwambieni Amasa, ‘Je, wewe si nyama yangu mwenyewe na damu yangu? Mungu na anishughulikie, tena kwa ukali, kama kuanzia sasa na kuendelea wewe si jemadari wa jeshi langu mahali pa Yoabu.’ ”

SA2 19:14 Removed trailing space in v~: Aliipata mioyo ya watu wote wa Yuda kama vile walikuwa mtu mmoja. Wakapeleka ujumbe kwa mfalme, kusema, “Rudi, wewe na watu wako wote.”

SA2 19:15 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akarudi, akaenda hadi kufikia Mto Yordani.

SA2 19:15 Removed trailing space in p~: Basi watu wa Yuda walikuwa wamekuja mpaka Gilgali ili kutoka kwenda kumlaki mfalme na kumvusha Mto Yordani.

SA2 19:16 Removed trailing space in v~: Shimei mwana wa Gera, wa kabila la Benyamini kutoka Bahurimu, akaharakisha kuteremka pamoja na watu wa Yuda ili kumlaki Mfalme Daudi.

SA2 19:17 Removed trailing space in v~: Pamoja naye walikuwepo Wabenyamini elfu moja wakiwa wamefuatana na Siba, msimamizi wa nyumba ya Sauli, pia wanawe kumi na watano, na watumishi ishirini. Wakaharakisha kwenda Yordani, mahali mfalme alipokuwa.

SA2 19:18 Removed trailing space in v~: Wakavuka kivuko ili kuwachukua watu wa nyumbani mwa mfalme ili kuwavusha na kufanya kila kitu alichotaka.

SA2 19:18 Removed trailing space in p~: Shimei mwana wa Gera alipovuka Yordani, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme,

SA2 19:19 Removed trailing space in v~: na kumwambia, “Bwana wangu na asinihesabie hatia. Usikumbuke jinsi mtumishi wako alivyofanya kosa siku ile bwana wangu mfalme alipoondoka Yerusalemu. Mfalme aliondoe moyoni mwake.

SA2 19:20 Removed trailing space in v~: Kwa maana mimi mtumishi wako najua nimefanya dhambi, lakini leo nimekuja hapa kama wa kwanza wa nyumba yote ya Yosefu kushuka na kumlaki bwana wangu mfalme.”

SA2 19:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Abishai mwana wa Seruya akasema, “Je, Shimei hapaswi kuuawa kwa ajili ya hili? Alimlaani mpakwa mafuta wa \nd Bwana\nd*.”

SA2 19:22 Removed trailing space in v~: Daudi akajibu, “Mimi nina nini nanyi, enyi wana wa Seruya? Leo hii mmekuwa adui zangu! Je, leo kuna yeyote atakayeuawa katika Israeli? Je, mimi sijui kuwa leo ndimi mfalme katika Israeli yote?”

SA2 19:23 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akamwambia Shimei, “Hutakufa.” Naye mfalme akamwahidi kwa kiapo.

SA2 19:24 Removed trailing space in v~: Pia Mefiboshethi mwana wa Sauli akashuka kwenda kumlaki mfalme. Hakuwa amenawa miguu wala kunyoa ndevu zake wala kufua nguo zake tangu siku mfalme alipoondoka Yerusalemu mpaka siku aliporudi ile salama.

SA2 19:25 Removed trailing space in v~: Wakati alipotoka Yerusalemu kuja kumlaki mfalme, mfalme akamuuliza, “Mefiboshethi, kwa nini hukufuatana nami?”

SA2 19:26 Removed trailing space in v~: Akasema, “Bwana wangu mfalme, maadamu mimi mtumishi wako ni kiwete, nilisema, ‘Nitandikiwe punda wangu, nimpande, ili niweze kwenda pamoja na mfalme.’ Lakini Siba mtumishi wangu akanisaliti.

SA2 19:27 Removed trailing space in v~: Naye amemchongea mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu, kwa hiyo fanya lolote linalokupendeza.

SA2 19:28 Removed trailing space in v~: Wazao wote wa baba yangu hawastahili kitu kingine isipokuwa kifo kutoka kwa bwana wangu mfalme, lakini ulimpa mtumishi wako nafasi miongoni mwa wale waliokula mezani pako. Je, ninayo haki gani kumwomba mfalme zaidi ya hayo?”

SA2 19:29 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia, “Kwa nini useme zaidi? Naamuru wewe na Siba mgawanye mashamba.”

SA2 19:30 Removed trailing space in v~: Mefiboshethi akamwambia mfalme, “Mruhusu achukue kila kitu, kwa kuwa sasa bwana wangu mfalme amerudi nyumbani salama.”

SA2 19:31 Removed trailing space in v~: Barzilai, Mgileadi, pia akashuka kutoka Rogelimu ili kuvuka Yordani pamoja na mfalme na kumsindikiza kutoka huko.

SA2 19:32 Removed trailing space in v~: Basi Barzilai alikuwa mzee sana mwenye umri wa miaka themanini. Alikuwa amempatia mfalme mahitaji wakati alipokuwa anaishi huko Mahanaimu, kwa kuwa alikuwa mtu tajiri sana.

SA2 19:33 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Barzilai, “Vuka pamoja nami na ukae nami huko Yerusalemu, nami nitakupatia mahitaji yako.”

SA2 19:34 Removed trailing space in v~: Lakini Barzilai akamjibu mfalme, “Je, nitaishi miaka mingine mingapi, hata nipande kwenda Yerusalemu pamoja na mfalme?

SA2 19:35 Removed trailing space in v~: Sasa nina miaka themanini. Je, naweza kutofautisha kati ya lililo jema na lililo baya? Je, mtumishi wako anaweza kujua ladha ya kile anachokula au anachokunywa? Je, bado naweza kusikiliza sauti za waimbaji wa kiume na za wanawake? Kwa nini mtumishi wako aongeze mzigo kwa bwana wangu mfalme?

SA2 19:36 Removed trailing space in v~: Mtumishi wako atavuka Yordani pamoja na mfalme kwa umbali mfupi tu, lakini kwa nini mfalme anizawadie kwa namna hii?

SA2 19:37 Removed trailing space in v~: Mruhusu mtumishi wako arudi, ili mimi nikafie katika mji wangu mwenyewe karibu na kaburi la baba yangu na mama yangu. Lakini yupo hapa mtumishi wako Kimhamu. Mruhusu avuke pamoja na bwana wangu mfalme. Mtendee lolote linalokupendeza.”

SA2 19:38 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Barzilai, “Kimhamu atavuka Yordani pamoja nami, nami nitamtendea lolote litakalokupendeza. Nawe kitu chochote unachotaka kutoka kwangu nitakutendea.”

SA2 19:39 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wote wakavuka Yordani, kisha mfalme akavuka. Mfalme akambusu Barzilai na kumbariki; Barzilai akarudi nyumbani kwake.

SA2 19:40 Removed trailing space in v~: Mfalme alipovuka kwenda Gilgali, Kimhamu akavuka pamoja naye. Vikosi vyote vya Yuda na nusu ya vikosi vya Israeli vilimvusha mfalme.

SA2 19:41 Removed trailing space in v~: Baada ya kitambo kidogo watu wote wa Israeli wakaja kwa mfalme na kumwambia, “Kwa nini ndugu zetu, watu wa Yuda, wamemrudisha mfalme kwa siri bila kutushirikisha, na kumvusha ngʼambo ya Yordani, yeye na nyumba yake, pamoja na watu wake wote?”

SA2 19:42 Removed trailing space in v~: Watu wote wa Yuda wakawajibu watu wa Israeli, “Tulifanya hivi kwa sababu mfalme ni jamaa yetu wa karibu. Kwa nini mnakasirikia jambo hili? Je, tumekula kitu chochote cha mfalme? Je, tumejichukulia kitu chochote kwa ajili yetu wenyewe?”

SA2 19:43 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa Israeli wakawajibu watu wa Yuda, “Tunayo haki mara kumi kwa mfalme; sisi tunahusika zaidi na Daudi kuliko ninyi. Kwa nini basi mnatudharau? Je, hatukuwa wa kwanza kuzungumza kuhusu kumrudisha mfalme nyumbani?”

SA2 19:43 Removed trailing space in p~: Lakini watu wa Yuda wakajibu kwa ukali hata zaidi kuliko watu wa Israeli.

SA2 20:0 Extra space after chapter number

SA2 20:0 Removed trailing space in c: 20

SA2 20:0 Removed trailing space in s1: Sheba Aasi Dhidi Ya Daudi

SA2 20:1 Removed trailing space in v~: Basi, kulikuwa na mtu mbaya sana aliyeitwa Sheba mwana wa Bikri, Mbenyamini, aliyekuwako huko. Akapiga tarumbeta na kupaza sauti,

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: “Hatuna fungu katika Daudi,

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: wala hatuna sehemu

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: katika mwana wa Yese!

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: Kila mtu aende hemani mwake,

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: enyi Israeli!”

SA2 20:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi na kumfuata Sheba mwana Bikri. Lakini watu wa Yuda wakawa karibu na mfalme wao katika safari yote kutoka Yordani mpaka Yerusalemu.

SA2 20:3 Removed trailing space in v~: Daudi aliporudi katika jumba lake la kifalme huko Yerusalemu, aliwachukua wale masuria kumi aliokuwa amewaacha ili kuangalia jumba la kifalme na kuwaweka ndani ya nyumba chini ya ulinzi. Akawapa mahitaji yao lakini hakukutana nao kimwili. Waliwekwa kifungoni wakaishi kama wajane mpaka kifo chao.

SA2 20:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akamwambia Amasa, “Waite watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa siku tatu, nawe mwenyewe uwepo hapa.”

SA2 20:5 Removed trailing space in v~: Lakini Amasa alipokwenda kuwaita Yuda, alichukua muda mrefu zaidi ya ule mfalme aliokuwa amemwekea.

SA2 20:6 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Abishai, “Sasa Sheba mwana wa Bikri atatuletea madhara zaidi kuliko alivyofanya Absalomu. Wachukue watu wa bwana wako na umfuatie, la sivyo atapata mji wenye ngome na kututoroka.”

SA2 20:7 Removed trailing space in v~: Hivyo watu wa Yoabu, na Wakerethi na Wapelethi, pamoja na wapiganaji mashujaa wote wakaondoka chini ya uongozi wa Abishai. Wakatoka Yerusalemu ili kumfuata Sheba mwana wa Bikri.

SA2 20:8 Removed trailing space in v~: Wakati walikuwa kwenye mwamba mkubwa huko Gibeoni, Amasa alikuja kuwalaki. Yoabu alikuwa amevaa mavazi yake ya kijeshi; juu yake alifunga mkanda kwenye kiuno wenye upanga ndani ya ala. Alipokuwa akienda mbele, ule upanga ukaanguka kutoka kwenye ala.

SA2 20:9 Removed trailing space in v~: Yoabu akamwambia Amasa, “U hali gani, ndugu yangu?” Kisha Yoabu akamshika Amasa ndevu kwa mkono wake wa kuume ili ambusu.

SA2 20:10 Removed trailing space in v~: Amasa hakuona upanga uliokuwa mkononi mwa Yoabu, naye Yoabu akamchoma nao tumboni, nayo matumbo yake yakamwagika chini. Pasipo kuchomwa mara ya pili, Amasa akafa. Basi Yoabu na Abishai nduguye wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.

SA2 20:11 Removed trailing space in v~: Mmoja wa watu wa Yoabu akasimama kando ya Amasa, akasema, “Yeyote ampendaye Yoabu na yeyote aliye upande wa Daudi, na amfuate Yoabu!”

SA2 20:12 Removed trailing space in v~: Amasa alikuwa akigaagaa katika damu yake katikati ya barabara; mtu mmoja akaona kwamba vikosi vyote vilikuwa vinasimama pale. Huyo mtu alipotambua kwamba kila aliyefika pale Amasa alipokuwa alisimama, alimburuta Amasa kutoka barabarani mpaka kwenye shamba na kutupia nguo juu yake.

SA2 20:13 Removed trailing space in v~: Baada ya Amasa kuondolewa kutoka barabarani, watu wote walienda pamoja na Yoabu kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.

SA2 20:14 Removed trailing space in v~: Sheba akapita katika makabila yote ya Israeli hadi Abel-Beth-Maaka na kupitia eneo lote la Waberi ambao walijikusanya pamoja na kumfuata.

SA2 20:15 Removed trailing space in v~: Vikosi vyote vya Yoabu vikaja na kumhusuru Sheba mwana wa Bikri huko Abel-Beth-Maaka. Wakauzingira mji kwa kuweka vikosi vya askari, ili kukabiliana na ngome ya mji. Walipokuwa wanagongagonga ukuta ili kuubomoa na kuuangusha chini,

SA2 20:16 Removed trailing space in v~: mwanamke mmoja mwenye busara akaita kutoka ndani ya mji, akisema, “Sikilizeni! Sikilizeni! Mwambieni Yoabu aje hapa ili niweze kuzungumza naye.”

SA2 20:17 Removed trailing space in v~: Yoabu alikwenda mbele yake, akamuuliza, “Wewe ni Yoabu?”

SA2 20:17 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Ndiye mimi.”

SA2 20:17 Removed trailing space in p~: Yule mwanamke akamwambia, “Sikiliza kile mtumishi wako atakachokuambia.” Akamwambia, “Ninasikiliza.”

SA2 20:18 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke akaendelea kusema, “Zamani za kale walikuwa wakisema, ‘Wakaulize ushauri huko Abeli,’ hivyo kulimaliza lile shauri.

SA2 20:19 Removed trailing space in v~: Sisi ni watu wa amani na waaminifu katika Israeli. Wewe unajaribu kuharibu mji ambao ni mama katika Israeli. Kwa nini unataka kumeza urithi wa \nd Bwana\nd*?”

SA2 20:20 Removed trailing space in v~: Yoabu akajibu, “Hilo liwe mbali nami. Hilo liwe mbali nami kumeza au kuharibu.

SA2 20:21 Removed trailing space in v~: Hivyo sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana wa Bikri, kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya Daudi. Nikabidhini mtu huyu mmoja, nami nitajiondoa katika mji huu.”

SA2 20:21 Removed trailing space in p~: Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.”

SA2 20:22 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mwanamke akaenda kwa watu wote akiwa na ushauri wake wa busara, nao wakakata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na kumtupia Yoabu. Kwa hiyo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wakatawanyika kutoka mjini, kila mmoja akirejea nyumbani kwake. Naye Yoabu akarudi kwa mfalme huko Yerusalemu.

SA2 20:23 Removed trailing space in v~: Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi lote la Israeli; Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi;

SA2 20:24 Removed trailing space in v~: Adoramu alikuwa kiongozi wa wale waliofanya kazi ya kulazimishwa; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;

SA2 20:25 Removed trailing space in v~: Sheva\f + \fr 20:25 \ft Sheva mahali pengine ameitwa Shausha (\+xt 1Nya 18:16; 1Fal 4:3\+xt*).\f* alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;

SA2 20:25 Found unexpected backslash in footnote: 20:25 Sheva mahali pengine ameitwa Shausha (\+xt 1Nya 18:16; 1Fal 4:3\+xt*).

SA2 20:26 Removed trailing space in v~: na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.

SA2 21:0 Extra space after chapter number

SA2 21:0 Removed trailing space in c: 21

SA2 21:0 Removed trailing space in s1: Wagibeoni Walipiza Kisasi

SA2 21:1 Removed trailing space in v~: Wakati wa utawala wa Daudi kulikuwa na njaa kwa miaka mitatu mfululizo, kwa hiyo Daudi akautafuta uso wa \nd Bwana\nd*. \nd Bwana\nd* akasema, “Ni kwa sababu ya Sauli na nyumba yake iliyotiwa madoa ya damu, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”

SA2 21:2 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaita Wagibeoni na kuzumgumza nao. (Wagibeoni hawakuwa wa wana wa Israeli, ila walikuwa mabaki ya Waamori. Waisraeli walikuwa wameapa kuwaacha hai, lakini Sauli katika wivu wake kwa ajili ya Israeli na Yuda, alikuwa amejaribu kuwaangamiza.)

SA2 21:3 Removed trailing space in v~: Daudi akawauliza Wagibeoni, “Niwatendee nini? Nitawaridhishaje ili mbariki urithi wa \nd Bwana\nd*?”

SA2 21:4 Removed trailing space in v~: Wagibeoni wakamjibu, “Hatuna haki ya kudai fedha wala dhahabu kutoka kwa Sauli au jamaa yake, wala hatuna haki ya kumuua mtu yeyote katika Israeli.”

SA2 21:4 Removed trailing space in p~: Daudi akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

SA2 21:5 Removed trailing space in v~: Wakamjibu mfalme, “Kwa habari ya mtu aliyetuangamiza na kufanya hila mbaya dhidi yetu ili kwamba tuangamizwe na tusiwe na yeyote katika Israeli,

SA2 21:6 Removed trailing space in v~: tupatieni wazao wake saba wa kiume tuwaue hadharani mbele za \nd Bwana\nd* huko Gibea ya Sauli, aliyekuwa amechaguliwa na \nd Bwana\nd*.”

SA2 21:6 Removed trailing space in p~: Basi mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.”

SA2 21:7 Removed trailing space in v~: Mfalme akamhifadhi Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, kwa sababu ya kile kiapo mbele za \nd Bwana\nd* kati ya Daudi na Yonathani.

SA2 21:8 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme akamchukua Armoni na Mefiboshethi, wana wawili wa Rispa binti Aiya, ambao alikuwa amemzalia Sauli, pamoja na wana watano wa Merabu binti Sauli, aliokuwa amemzalia Adrieli mwana wa Barzilai, Mmeholathi.

SA2 21:9 Removed trailing space in v~: Akawakabidhi kwa Wagibeoni, ambao waliwaua na kuwaweka wazi juu ya kilima mbele za \nd Bwana\nd*. Wote saba walianguka kwa pamoja; waliuawa katika siku za kwanza za mavuno, mara tu uvunaji wa shayiri ulipokuwa unaanza.

SA2 21:10 Removed trailing space in v~: Rispa binti Aiya akachukua nguo ya gunia, akajitandikia juu ya mwamba. Kuanzia mwanzo wa mavuno mpaka mvua ziliponyesha juu ya miili ya hao waliouawa, Rispa hakuruhusu ndege wa angani kuwagusa wakati wa mchana, wala wanyama wa mwitu wakati wa usiku.

SA2 21:11 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa kile Rispa binti Aiya, suria wa Sauli, alichokuwa amekifanya,

SA2 21:12 Removed trailing space in v~: alikwenda akachukua mifupa ya Sauli na mwanawe Yonathani kutoka kwa watu wa Yabeshi-Gileadi. (Walikuwa wameichukua kwa siri kutoka uwanja wa watu wote huko Beth-Shani, mahali ambapo Wafilisti walikuwa wamewatundika baada ya kumuua Sauli huko Gilboa.)

SA2 21:13 Removed trailing space in v~: Daudi akaileta mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani kutoka huko, pia mifupa ya wale waliokuwa wameuawa na kutupwa ilikusanywa.

SA2 21:14 Removed trailing space in v~: Wakazika mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani katika kaburi la Kishi, babaye Sauli, huko Sela katika nchi ya Benyamini, nao wakafanya kila kitu mfalme alichoagiza. Baada ya hayo, Mungu akajibu maombi kwa ajili ya nchi.

SA2 21:14 Removed trailing space in s1: Vita Dhidi Ya Wafilisti

SA2 21:14 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 20:4-8)

SA2 21:15 Removed trailing space in v~: Kwa mara nyingine tena kulikuwa na vita kati ya Wafilisti na Israeli. Daudi akashuka pamoja na watu wake ili kupigana dhidi ya Wafilisti, naye akawa amechoka sana.

SA2 21:16 Removed trailing space in v~: Naye Ishbi-Benobu, mmoja wa wazao wa Warefai,\f + \fr 21:16 \ft Yaani majitu.\f* ambaye mkuki wake ulikuwa na uzito wa shekeli 300 za shaba,\f + \fr 21:16 \ft Shekeli 300 za shaba ni sawa na kilo 3.5.\f* alikuwa amejifunga upanga mpya, naye alisema angemuua Daudi.

SA2 21:17 Removed trailing space in v~: Lakini Abishai mwana wa Seruya akaja kumwokoa Daudi; akampiga huyo Mfilisti, akamwangusha chini na kumuua. Ndipo watu wakamwapia Daudi, wakisema, “Kamwe hutakwenda tena nasi vitani, ili kwamba taa ya Israeli isije ikazimwa.”

SA2 21:18 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, kukawa na vita nyingine na Wafilisti, huko Gobu. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Safu, mmoja wa wazao wa Warefai.

SA2 21:19 Removed trailing space in v~: Katika vita vingine na Wafilisti huko Gobu, Elhanani mwana wa Yaare-Oregimu, Mbethlehemu, alimuua nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.

SA2 21:20 Removed trailing space in v~: Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita kila mguu, jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.

SA2 21:21 Removed trailing space in v~: Alipowadhihaki Israeli, Yonathani mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.

SA2 21:22 Removed trailing space in v~: Hawa wanne walikuwa wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.

SA2 22:0 Extra space after chapter number

SA2 22:0 Removed trailing space in c: 22

SA2 22:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Daudi Wa Sifa

SA2 22:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 18)

SA2 22:1 Removed trailing space in v~: Daudi alimwimbia \nd Bwana\nd* maneno ya wimbo huu wakati \nd Bwana\nd* alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.

SA2 22:2 Removed trailing space in v~: Akasema:

SA2 22:2 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* ni mwamba wangu,

SA2 22:2 Removed trailing space in p~: ngome yangu na mwokozi wangu,

SA2 22:3 Removed trailing space in v~: Mungu wangu ni mwamba wangu,

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: ambaye kwake ninakimbilia,

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: ngao yangu na pembe ya wokovu wangu.

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: na mwokozi wangu,

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.

SA2 22:4 Removed trailing space in v~: Ninamwita \nd Bwana\nd*, anayestahili kusifiwa,

SA2 22:4 Removed trailing space in p~: nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.

SA2 22:5 Removed trailing space in v~: “Mawimbi ya mauti yalinizunguka,

SA2 22:5 Removed trailing space in p~: mafuriko ya maangamizi yalinilemea.

SA2 22:6 Removed trailing space in v~: Kamba za kuzimu\f + \fr 22:6 \ft Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, maana yake ni Shimo lisilo na mwisho.\f* zilinizunguka,

SA2 22:6 Removed trailing space in p~: mitego ya mauti ilinikabili.

SA2 22:7 Removed trailing space in v~: Katika shida yangu nalimwita \nd Bwana\nd*,

SA2 22:7 Removed trailing space in p~: nilimlilia Mungu wangu.

SA2 22:7 Removed trailing space in p~: Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu,

SA2 22:7 Removed trailing space in p~: kilio changu kikafika masikioni mwake.

SA2 22:8 Removed trailing space in v~: “Dunia ilitetemeka na kutikisika,

SA2 22:8 Removed trailing space in p~: misingi ya mbingu ikatikisika,

SA2 22:8 Removed trailing space in p~: vilitetemeka kwa sababu

SA2 22:8 Removed trailing space in p~: alikuwa amekasirika.

SA2 22:9 Removed trailing space in v~: Moshi ukapanda kutoka puani mwake,

SA2 22:9 Removed trailing space in p~: moto uteketezao ukatoka kinywani mwake,

SA2 22:9 Removed trailing space in p~: makaa ya moto yawakayo

SA2 22:9 Removed trailing space in p~: yakatoka ndani mwake.

SA2 22:10 Removed trailing space in v~: Akazipasua mbingu akashuka chini,

SA2 22:10 Removed trailing space in p~: mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.

SA2 22:11 Removed trailing space in v~: Alipanda juu ya kerubi akaruka,

SA2 22:11 Removed trailing space in p~: akapaa juu kwa mbawa za upepo.

SA2 22:12 Removed trailing space in v~: Alifanya giza hema lake la kujifunika:

SA2 22:12 Removed trailing space in p~: mawingu meusi ya mvua ya angani.

SA2 22:13 Removed trailing space in v~: Kutokana na mwanga wa uwepo wake

SA2 22:13 Removed trailing space in p~: mawingu yalisogea,

SA2 22:13 Removed trailing space in p~: ikanyesha mvua ya mawe

SA2 22:13 Removed trailing space in p~: na umeme wa radi.

SA2 22:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinguruma kutoka mbinguni,

SA2 22:14 Removed trailing space in p~: sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.

SA2 22:15 Removed trailing space in v~: Aliipiga mishale na kutawanya adui,

SA2 22:15 Removed trailing space in p~: umeme wa radi na kuwafukuza.

SA2 22:16 Removed trailing space in v~: Mabonde ya bahari yalifunuliwa,

SA2 22:16 Removed trailing space in p~: na misingi ya dunia ikawa wazi

SA2 22:16 Removed trailing space in p~: kwa kukaripia kwake \nd Bwana\nd*,

SA2 22:16 Removed trailing space in p~: kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwake.

SA2 22:17 Removed trailing space in v~: “Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;

SA2 22:17 Removed trailing space in p~: alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

SA2 22:18 Removed trailing space in v~: Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,

SA2 22:18 Removed trailing space in p~: kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.

SA2 22:19 Removed trailing space in v~: Walinikabili siku ya msiba wangu,

SA2 22:19 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* alikuwa msaada wangu.

SA2 22:20 Removed trailing space in v~: Alinileta nje mahali penye nafasi tele,

SA2 22:20 Removed trailing space in p~: akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

SA2 22:21 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;

SA2 22:21 Removed trailing space in p~: sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.

SA2 22:22 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimezishika njia za \nd Bwana\nd*;

SA2 22:22 Removed trailing space in p~: sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.

SA2 22:23 Removed trailing space in v~: Sheria zake zote zi mbele yangu,

SA2 22:23 Removed trailing space in p~: wala sijayaacha maagizo yake.

SA2 22:24 Removed trailing space in v~: Nimekuwa sina hatia mbele zake,

SA2 22:24 Removed trailing space in p~: nami nimejilinda nisitende dhambi.

SA2 22:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amenilipa sawasawa na uadilifu wangu,

SA2 22:25 Removed trailing space in p~: sawasawa na usafi wangu machoni pake.

SA2 22:26 Removed trailing space in v~: “Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu,

SA2 22:26 Removed trailing space in p~: kwa asiye na hatia unajionyesha kutokuwa na hatia,

SA2 22:27 Removed trailing space in v~: kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu,

SA2 22:27 Removed trailing space in p~: lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.

SA2 22:28 Removed trailing space in v~: Wewe huwaokoa wanyenyekevu,

SA2 22:28 Removed trailing space in p~: lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi

SA2 22:28 Removed trailing space in p~: ili uwashushe.

SA2 22:29 Removed trailing space in v~: Wewe ni taa yangu, Ee \nd Bwana\nd*.

SA2 22:29 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hulifanya giza langu

SA2 22:29 Removed trailing space in p~: kuwa mwanga.

SA2 22:30 Removed trailing space in v~: Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,

SA2 22:30 Removed trailing space in p~: nikiwa pamoja na Mungu wangu

SA2 22:30 Removed trailing space in p~: nitaweza kuruka ukuta.

SA2 22:31 Removed trailing space in v~: “Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu;

SA2 22:31 Removed trailing space in p~: neno la \nd Bwana\nd* halina dosari.

SA2 22:31 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngao kwa wote

SA2 22:31 Removed trailing space in p~: wanaokimbilia kwake.

SA2 22:32 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni nani aliye Mungu

SA2 22:32 Removed trailing space in p~: zaidi ya \nd Bwana\nd*?

SA2 22:32 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye Mwamba

SA2 22:32 Removed trailing space in p~: isipokuwa Mungu wetu?

SA2 22:33 Removed trailing space in v~: Mungu ndiye anivikaye nguvu

SA2 22:33 Removed trailing space in p~: na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.

SA2 22:34 Removed trailing space in v~: Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,

SA2 22:34 Removed trailing space in p~: huniwezesha kusimama mahali palipo juu.

SA2 22:35 Removed trailing space in v~: Huifundisha mikono yangu kupigana vita;

SA2 22:35 Removed trailing space in p~: mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

SA2 22:36 Removed trailing space in v~: Hunipa ngao yako ya ushindi,

SA2 22:36 Removed trailing space in p~: unajishusha chini ili kuniinua.

SA2 22:37 Removed trailing space in v~: Huyapanua mapito yangu,

SA2 22:37 Removed trailing space in p~: ili miguu yangu isiteleze.

SA2 22:38 Removed trailing space in v~: “Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta,

SA2 22:38 Removed trailing space in p~: sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.

SA2 22:39 Removed trailing space in v~: Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena;

SA2 22:39 Removed trailing space in p~: walianguka chini ya miguu yangu.

SA2 22:40 Removed trailing space in v~: Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;

SA2 22:40 Removed trailing space in p~: uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

SA2 22:41 Removed trailing space in v~: Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,

SA2 22:41 Removed trailing space in p~: nami nikawaangamiza adui zangu.

SA2 22:42 Removed trailing space in v~: Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;

SA2 22:42 Removed trailing space in p~: walimlilia \nd Bwana\nd*, lakini hakuwajibu.

SA2 22:43 Removed trailing space in v~: Niliwaponda kama mavumbi ya nchi;

SA2 22:43 Removed trailing space in p~: niliwaponda na kuwakanyaga kama tope barabarani.

SA2 22:44 Removed trailing space in v~: “Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu;

SA2 22:44 Removed trailing space in p~: umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa.

SA2 22:44 Removed trailing space in p~: Watu ambao sikuwajua wananitumikia,

SA2 22:45 Removed trailing space in v~: nao wageni huja wakininyenyekea,

SA2 22:45 Removed trailing space in p~: mara wanisikiapo, hunitii.

SA2 22:46 Removed trailing space in v~: Wote wanalegea,

SA2 22:46 Removed trailing space in p~: wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

SA2 22:47 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!

SA2 22:47 Removed trailing space in p~: Atukuzwe Mungu,

SA2 22:47 Removed trailing space in p~: Mwamba, Mwokozi wangu!

SA2 22:48 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,

SA2 22:48 Removed trailing space in p~: ayawekaye mataifa chini yangu,

SA2 22:49 Removed trailing space in v~: aniwekaye huru toka kwa adui zangu.

SA2 22:49 Removed trailing space in p~: Uliniinua juu ya adui zangu;

SA2 22:49 Removed trailing space in p~: uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

SA2 22:50 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitakusifu, Ee \nd Bwana\nd*,

SA2 22:50 Removed trailing space in p~: katikati ya mataifa;

SA2 22:50 Removed trailing space in p~: nitaliimbia sifa jina lako.

SA2 22:51 Removed trailing space in v~: Humpa mfalme wake ushindi mkuu;

SA2 22:51 Removed trailing space in p~: huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake,

SA2 22:51 Removed trailing space in p~: kwa Daudi na wazao wake milele.”

SA2 23:0 Extra space after chapter number

SA2 23:0 Removed trailing space in c: 23

SA2 23:0 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Mwisho Ya Daudi

SA2 23:1 Removed trailing space in v~: Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi:

SA2 23:1 Removed trailing space in p~: “Neno la Daudi mwana wa Yese,

SA2 23:1 Removed trailing space in p~: neno la mtu aliyeinuliwa na Aliye Juu Sana,

SA2 23:1 Removed trailing space in p~: mtu aliyepakwa mafuta na Mungu wa Yakobo,

SA2 23:1 Removed trailing space in p~: mwimbaji wa nyimbo wa Israeli:

SA2 23:2 Removed trailing space in v~: “Roho wa \nd Bwana\nd* alinena kupitia kwangu,

SA2 23:2 Removed trailing space in p~: neno lake lilikuwa ulimini mwangu.

SA2 23:3 Removed trailing space in v~: Mungu wa Israeli alinena,

SA2 23:3 Removed trailing space in p~: mwamba wa Israeli akaniambia:

SA2 23:3 Removed trailing space in p~: ‘Mtu anatawala watu kwa haki,

SA2 23:3 Removed trailing space in p~: wakati anapotawala

SA2 23:3 Removed trailing space in p~: akiwa na hofu ya Mungu,

SA2 23:4 Removed trailing space in v~: yeye ni kama mwanga wa asubuhi jua lichomozapo

SA2 23:4 Removed trailing space in p~: asubuhi isiyo na mawingu,

SA2 23:4 Removed trailing space in p~: kama mwanga baada ya mvua

SA2 23:4 Removed trailing space in p~: uchipuzao majani kutoka ardhini.’

SA2 23:5 Removed trailing space in v~: “Je, si hivyo ilivyo nyumba yangu

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu?

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: Je, hajafanya Agano la milele nami,

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: lililopangwa na kuimarishwa

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: kila sehemu?

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: Je, hatanifanya niufurahie wokovu wangu

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: na kunijalia matakwa yangu yote?

SA2 23:6 Removed trailing space in v~: Lakini watu waovu wote

SA2 23:6 Removed trailing space in p~: watatupwa kando kama miiba,

SA2 23:6 Removed trailing space in p~: ambayo haikusanywi kwa mkono.

SA2 23:7 Removed trailing space in v~: Yeyote agusaye miiba

SA2 23:7 Removed trailing space in p~: hutumia chombo cha chuma

SA2 23:7 Removed trailing space in p~: au mpini wa mkuki,

SA2 23:7 Removed trailing space in p~: nayo huchomwa pale ilipo.”

SA2 23:7 Removed trailing space in s1: Mashujaa Wa Daudi

SA2 23:7 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 11:10-41)

SA2 23:8 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya mashujaa wa Daudi:

SA2 23:8 Removed trailing space in p~: Yosheb-Bashebethi,\f + \fr 23:8 \ft Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu (\+xt 1Nya 11:11\+xt*).\f* Mtahkemoni, alikuwa kiongozi wa wale Watatu; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 800, ambao aliwaua katika pambano moja.

SA2 23:8 Found unexpected backslash in footnote: 23:8 Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu (\+xt 1Nya 11:11\+xt*).

SA2 23:9 Removed trailing space in v~: Wa pili wake alikuwa Eleazari mwana wa Dodai,\f + \fr 23:9 \ft Dodai tafsiri nyingine zinamwita Dodo.\f* Mwahohi. Akiwa mmojawapo wa wale mashujaa watatu, alikuwa pamoja na Daudi wakati waliwadhihaki Wafilisti waliokuwa wamekusanyika huko Pas-Damimu kwa ajili ya vita. Kisha watu wa Israeli wakarudi nyuma,

SA2 23:10 Removed trailing space in v~: lakini yeye alisimama imara akawaua Wafilisti hadi mkono wake ukachoka na ukagandamana na upanga. \nd Bwana\nd* akawapa ushindi mkubwa siku ile. Vikosi vikarudi kwa Eleazari, kuteka tu nyara za waliokufa.

SA2 23:11 Removed trailing space in v~: Aliyefuata alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti walipokusanyika pamoja mahali palipokuwa shamba lililojaa dengu, vikosi vya Israeli viliwakimbia.

SA2 23:12 Removed trailing space in v~: Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalitetea na kuwaua Wafilisti, naye \nd Bwana\nd* akawapa ushindi mkubwa.

SA2 23:13 Removed trailing space in v~: Wakati wa mavuno, viongozi watatu kati ya viongozi thelathini walishuka, wakamwendea Daudi katika pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai.

SA2 23:14 Removed trailing space in v~: Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu.

SA2 23:15 Removed trailing space in v~: Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu!”

SA2 23:16 Removed trailing space in v~: Basi mashujaa hao watatu wakapenya katikati ya Wafilisti, wakaenda kuchota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini Daudi akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za \nd Bwana\nd*.

SA2 23:17 Removed trailing space in v~: Akasema, “Iwe mbali nami, Ee \nd Bwana\nd*, kufanya kitu hiki. Je, hii si damu ya watu ambao walikwenda kwa kuhatarisha maisha yao?” Naye Daudi hakuyanywa.

SA2 23:17 Removed trailing space in p~: Haya yalifanywa na hao mashujaa watatu.

SA2 23:18 Removed trailing space in v~: Abishai ndugu yake Yoabu mwana wa Seruya ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300 ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.

SA2 23:19 Removed trailing space in v~: Je, hakupata heshima kubwa zaidi kuliko hao Watatu? Alikuwa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.

SA2 23:20 Removed trailing space in v~: Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.

SA2 23:21 Removed trailing space in v~: Pia alimuua Mmisri mrefu mkubwa. Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki mkononi mwake, Benaya alimwendea akiwa na rungu. Alipokonya mkuki kutoka mkononi mwa Mmisri na kumuua kwa mkuki wake mwenyewe.

SA2 23:22 Removed trailing space in v~: Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.

SA2 23:23 Removed trailing space in v~: Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu. Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.

SA2 23:24 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wale Thelathini walikuwepo:

SA2 23:24 Removed trailing space in p~: Asaheli ndugu wa Yoabu;

SA2 23:24 Removed trailing space in p~: Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu;

SA2 23:25 Removed trailing space in v~: Shama, Mharodi;

SA2 23:25 Removed trailing space in p~: Elika, Mharodi;

SA2 23:26 Removed trailing space in v~: Helesi, Mpalti;

SA2 23:26 Removed trailing space in p~: Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa;

SA2 23:27 Removed trailing space in v~: Abiezeri kutoka Anathothi;

SA2 23:27 Removed trailing space in p~: Mebunai, Mhushathi;

SA2 23:28 Removed trailing space in v~: Salmoni, Mwahohi;

SA2 23:28 Removed trailing space in p~: Maharai, Mnetofathi;

SA2 23:29 Removed trailing space in v~: Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi;

SA2 23:29 Removed trailing space in p~: Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini;

SA2 23:30 Removed trailing space in v~: Benaya Mpirathoni;

SA2 23:30 Removed trailing space in p~: Hidai kutoka mabonde ya Gaashi;

SA2 23:31 Removed trailing space in v~: Abi-Alboni, Mwaribathi;

SA2 23:31 Removed trailing space in p~: Azmawethi, Mbarhumi;

SA2 23:32 Removed trailing space in v~: Eliaba, Mshaalboni;

SA2 23:32 Removed trailing space in p~: wana wa Yasheni;

SA2 23:32 Removed trailing space in p~: Yonathani

SA2 23:33 Removed trailing space in v~: mwana wa Shama, Mharari;

SA2 23:33 Removed trailing space in p~: Ahiamu mwana wa Sharari, Mharari;

SA2 23:34 Removed trailing space in v~: Elifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaakathi;

SA2 23:34 Removed trailing space in p~: Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

SA2 23:35 Removed trailing space in v~: Hezro, Mkarmeli;

SA2 23:35 Removed trailing space in p~: Paarai, Mwarbi;

SA2 23:36 Removed trailing space in v~: Igali mwana wa Nathani kutoka Soba;

SA2 23:36 Removed trailing space in p~: Bani, Mgadi;

SA2 23:37 Removed trailing space in v~: Seleki, Mwamoni;

SA2 23:37 Removed trailing space in p~: Naharai, Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha za Yoabu mwana wa Seruya;

SA2 23:38 Removed trailing space in v~: Ira, Mwithiri;

SA2 23:38 Removed trailing space in p~: Garebu, Mwithiri;

SA2 23:39 Removed trailing space in v~: na Uria, Mhiti.

SA2 23:39 Removed trailing space in p~: Jumla yao wote walikuwa watu thelathini na saba.

SA2 24:0 Extra space after chapter number

SA2 24:0 Removed trailing space in c: 24

SA2 24:0 Removed trailing space in s1: Daudi Ahesabu Wapiganaji

SA2 24:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 21:1-27)

SA2 24:1 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka tena dhidi ya Israeli, naye akamchochea Daudi dhidi yao, akisema, “Nenda ukawahesabu Israeli na Yuda.”

SA2 24:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme akamwambia Yoabu, pamoja na majemadari wa jeshi aliokuwa nao, “Nendeni kwa makabila yote ya Israeli kuanzia Dani hadi Beer-Sheba na mwandikishe watu wapiganaji, ili niweze kujua idadi yao.”

SA2 24:3 Removed trailing space in v~: Lakini Yoabu akamjibu mfalme, “\nd Bwana\nd* Mungu wako na azidishe jeshi mara mia, nayo macho ya bwana wangu mfalme na yaone hili. Lakini kwa nini bwana wangu mfalme anataka kufanya kitu cha namna hii?”

SA2 24:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu pamoja na majemadari wa jeshi, kwa hiyo wakaondoka mbele ya mfalme kuandikisha wapiganaji wa Israeli.

SA2 24:5 Removed trailing space in v~: Baada ya kuvuka Yordani, walipiga kambi karibu na Aroeri, kusini ya mji ulioko kwenye bonde jembamba, ndipo wakipitia Gadi, wakaenda hadi Yazeri.

SA2 24:6 Removed trailing space in v~: Walikwenda hadi Gileadi na pia eneo la Tahtimu-Hodshi, wakaendelea hadi Dani-Yaani na kuzunguka kuelekea Sidoni.

SA2 24:7 Removed trailing space in v~: Kisha wakaenda kuelekea ngome ya Tiro pamoja na miji yote ya Wahivi na ya Wakanaani. Mwishoni, walikwenda mpaka Beer-Sheba katika Negebu ya Yuda.

SA2 24:8 Removed trailing space in v~: Baada ya kupita katika nchi nzima, walirudi Yerusalemu baada ya miezi tisa na siku ishirini.

SA2 24:9 Removed trailing space in v~: Yoabu akatoa hesabu ya wapiganaji kwa mfalme: Katika Israeli kulikuwako watu 800,000 wenye uwezo wa kupigana, na katika Yuda watu 500,000.

SA2 24:10 Removed trailing space in v~: Dhamiri ya Daudi ilishtuka baada ya kuwahesabu wapiganaji, naye akamwambia \nd Bwana\nd*, “Nimefanya dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Ee \nd Bwana\nd*, sasa ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”

SA2 24:11 Removed trailing space in v~: Kabla Daudi hajaamka kesho yake asubuhi, neno la \nd Bwana\nd* lilikuwa limemjia Gadi nabii, aliyekuwa mwonaji wa Daudi, kusema:

SA2 24:12 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Daudi, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’ ”

SA2 24:13 Removed trailing space in v~: Basi Gadi akaenda kwa Daudi na kumwambia, “Je, ije njaa ya miaka mitatu katika nchi yako? Au miezi mitatu ya kukimbia adui zako wakikufuatia? Au siku tatu za tauni katika nchi yako? Basi sasa, fikiri juu ya hilo na uamue jinsi nitakavyomjibu huyo aliyenituma.”

SA2 24:14 Removed trailing space in v~: Daudi akamjibu Gadi, “Nitataabika sana. Afadhali tuangukie mikononi mwa \nd Bwana\nd*, kwa maana rehema zake ni kuu, lakini usiniache nianguke mikononi mwa wanadamu.”

SA2 24:15 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akatuma tauni katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka mwisho wa muda ulioamriwa, wakafa watu 70,000 kuanzia Dani hadi Beer-Sheba.

SA2 24:16 Removed trailing space in v~: Malaika aliponyoosha mkono wake ili kuangamiza Yerusalemu, \nd Bwana\nd* akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anawadhuru watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa \nd Bwana\nd* alikuwa kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna,\f + \fr 24:16 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.\f* Myebusi.

SA2 24:17 Removed trailing space in v~: Ikawa Daudi alipomwona huyo malaika aliyekuwa akiwaua watu, akamwambia \nd Bwana\nd*, “Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Mkono wako uwe juu yangu na nyumba yangu.”

SA2 24:17 Removed trailing space in s1: Daudi Ajenga Madhabahu

SA2 24:18 Removed trailing space in v~: Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi na kumwambia, “Panda ukamjengee \nd Bwana\nd* madhabahu kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.”

SA2 24:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akakwea kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa ameamuru kwa kinywa cha Gadi.

SA2 24:20 Removed trailing space in v~: Arauna alipotazama na kumwona mfalme na watu wake wakija kumwelekea, alitoka nje na kusujudu mbele ya mfalme kifudifudi, akiuinamisha uso wake ardhini.

SA2 24:21 Removed trailing space in v~: Arauna akasema, “Mbona bwana wangu mfalme amekuja kwa mtumishi wake?”

SA2 24:21 Removed trailing space in p~: Daudi akajibu, “Kununua sakafu yako ya kupuria, ili niweze kumjengea \nd Bwana\nd* madhabahu, ili tauni iliyo katika watu iondolewe.”

SA2 24:22 Removed trailing space in v~: Arauna akamwambia Daudi, “Bwana wangu mfalme na achukue chochote kinachompendeza na akitoe sadaka. Hapa kuna maksai kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia kuna miti ya kupuria na nira za ngʼombe kwa ajili ya kuni.

SA2 24:23 Removed trailing space in v~: Ee mfalme, Arauna anatoa vyote hivi kwa mfalme.” Pia Arauna akamwambia mfalme, “\nd Bwana\nd* Mungu wako na akukubali.”

SA2 24:24 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme akamjibu Arauna, “La hasha, nasisitiza kuvilipia. Sitatoa sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd* Mungu wangu isiyonigharimu chochote.”

SA2 24:24 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Daudi akanunua ile sakafu ya kupuria nafaka na maksai, akazilipia shekeli hamsini za fedha.\f + \fr 24:24 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.\f*

SA2 24:25 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Kisha \nd Bwana\nd* akajibu kwa ajili ya nchi, nayo tauni ikakoma katika Israeli.

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 18    c: 24    h: 1    id: 1    li1: 3    li2: 38    mt1: 1    p: 377    pm: 8    q1: 91    q2: 113    r: 11    rem: 1    s1: 39    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 1424    v: 695  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    li1: 3    pm: 8    r: 11    b: 18    c: 24    li2: 38    s1: 39    q1: 91    q2: 113    p: 377    v: 695    Total: 1424  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 24    Paragraphs: 377    Section Cross-References: 11    Verses: 695  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 11    Chapters: 24    Paragraphs: 377    Verses: 695  

Characters

Possible Character Errors

SA2 12:25 Multiple spaces in '12:25 Yedidia maana yake Apendwaye na··Bwana.'

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 12    a: 181    A: 31    b: 23    B: 2    C: 3    D: 29    d: 39    e: 39    f: 14    g: 6    h: 31    H: 2    i: 110    I: 2    j: 4    J: 1    K: 10    k: 15    l: 30    L: 4    m: 37    M: 14    N: 19    n: 25    o: 27    O: 1    p: 3    r: 12    S: 14    s: 28    Space: 142    t: 26    T: 1    Total: 1078    u: 71    U: 1    V: 2    w: 18    W: 13    Y: 20    y: 11    z: 4    Z: 1  

Letter Counts (sorted by count)

 O: 1    J: 1    U: 1    T: 1    Z: 1    V: 2    I: 2    B: 2    H: 2    C: 3    p: 3    z: 4    L: 4    j: 4    g: 6    K: 10    y: 11    r: 12    -: 12    W: 13    S: 14    f: 14    M: 14    k: 15    w: 18    N: 19    Y: 20    b: 23    n: 25    t: 26    o: 27    s: 28    D: 29    l: 30    A: 31    h: 31    m: 37    e: 39    d: 39    u: 71    i: 110    Space: 142    a: 181    Total: 1078  

Punctuation Counts

 (: 11    ): 11    ,: 1    :: 13    ;: 2    Total: 39    : 1  

Punctuation Counts (sorted by count)

 : 1    ,: 1    ;: 2    (: 11    ): 11    :: 13    Total: 39  

Speech Marks

Possible Matching Errors

SA2 7:8 Unclosed “ (opened at 7:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:5:v)', '“ (opened at 7:8:v)', '‘ (opened at 7:8:v)', '“ (opened at 7:11:pm)']

SA2 7:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:5:v)', '“ (opened at 7:8:v)', '‘ (opened at 7:8:v)', '“ (opened at 7:11:pm)', '‘ (opened at 7:11:pm)']

SA2 7:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:5:v)', '“ (opened at 7:8:v)', '‘ (opened at 7:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

SA2 7:20 Unclosed “ (opened at 7:18:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:22 Unclosed “ (opened at 7:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:25 Unclosed “ (opened at 7:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:25 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)']

SA2 7:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)', '‘ (opened at 7:26:v)']

SA2 7:27 Unclosed “ (opened at 7:25:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)', '“ (opened at 7:27:v)']

SA2 7:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)', '“ (opened at 7:27:v)', '‘ (opened at 7:27:v)']

SA2 8:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)'] before p marker

Words

Possible Word Errors

SA2 2:10 Have unexpected character starting word '+xt'

SA2 5:25 Have unexpected character starting word '+xt'

SA2 8:8 Have unexpected character starting word '+xt'

SA2 20:25 Have unexpected character starting word '+xt'

SA2 23:8 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

SA2 -1:6 Main Title 1:2 Samweli

Section Heading Lines

SA2 1:0Daudi Afahamishwa Kifo Cha Sauli
SA2 1:16Ombolezo La Daudi Kwa Ajili Ya Sauli Na Yonathani
SA2 2:0Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Yuda
SA2 2:7Vita Kati Ya Nyumba Ya Daudi Na Sauli
SA2 3:5Abneri Anamwendea Daudi
SA2 3:21Yoabu Amuua Abneri
SA2 4:0Ish-Boshethi Auawa
SA2 5:0Daudi Atawazwa Mfalme Juu Ya Israeli
SA2 5:5Daudi Ateka Yerusalemu
SA2 5:16Daudi Awashinda Wafilisti
SA2 6:0Sanduku La Mungu Laletwa Yerusalemu
SA2 7:0Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi
SA2 7:17Maombi Ya Daudi
SA2 8:0Ushindi Wa Daudi
SA2 8:14Maafisa Wa Daudi
SA2 9:0Daudi Na Mefiboshethi
SA2 10:0Daudi Awashinda Waamoni
SA2 11:0Daudi Na Bathsheba
SA2 12:0Nathani Amkemea Daudi
SA2 13:0Amnoni Na Tamari
SA2 13:22Absalomu Amuua Amnoni
SA2 14:0Absalomu Arudi Yerusalemu
SA2 15:0Mipango Ya Hila Ya Absalomu
SA2 15:12Kukimbia Kwa Daudi
SA2 16:0Daudi Na Siba
SA2 16:4Shimei Amlaani Daudi
SA2 16:14Shauri La Hushai Na Ahithofeli
SA2 18:0Kifo Cha Absalomu
SA2 18:18Daudi Aomboleza Kifo Cha Absalomu
SA2 19:0Yoabu Amkemea Mfalme
SA2 19:8Daudi Arudi Yerusalemu
SA2 20:0Sheba Aasi Dhidi Ya Daudi
SA2 21:0Wagibeoni Walipiza Kisasi
SA2 21:14Vita Dhidi Ya Wafilisti
SA2 22:0Wimbo Wa Daudi Wa Sifa
SA2 23:0Maneno Ya Mwisho Ya Daudi
SA2 23:7Mashujaa Wa Daudi
SA2 24:0Daudi Ahesabu Wapiganaji
SA2 24:17Daudi Ajenga Madhabahu

Section Cross-reference Lines

SA2 5:0(1 Nyakati 11:1-9; 14:1-7)
SA2 5:16(1 Nyakati 14:8-17)
SA2 6:0(1 Nyakati 13:1-14; 15:25–16:6, 43)
SA2 7:0(1 Nyakati 17:1-15)
SA2 7:17(1 Nyakati 17:16-27)
SA2 8:0(1 Nyakati 18:1-17)
SA2 10:0(1 Nyakati 19:1-19)
SA2 21:14(1 Nyakati 20:4-8)
SA2 22:0(Zaburi 18)
SA2 23:7(1 Nyakati 11:10-41)
SA2 24:0(1 Nyakati 21:1-27)

Notes

Footnote Lines

SA2 2:9+ \fr 2:9 \ft Waasheri hapa ni kabila moja la Israeli.
SA2 2:10+ \fr 2:10 \ft Ish-Boshethi maana yake Mtu wa Aibu, pia anaitwa Esh-Ba…xt*).
SA2 2:16+ \fr 2:16 \ft Helkath-Hasurimu maana yake Uwanja wa Mapambano.
SA2 3:3+ \fr 3:3 \ft Jina lingine lake ni Kileabu.
SA2 5:9+ \fr 5:9 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.
SA2 5:20+ \fr 5:20 \ft Maana yake Bwana Afurikae.
SA2 5:25+ \fr 5:25 \ft Kwa Kiebrania mji huu uliitwa Gibeoni (ona \+xt 1Nya 14:16\+xt*).
SA2 6:2+ \fr 6:2 \ft Baala ya Yuda ni jina la Kiebrania; yaani Kiriath-Yearimu.
SA2 8:8+ \fr 8:8 \ft Beta ulikuwa mji wa Aramu-Soba ambao uliitwa Teba kwa Ki…xt*).
SA2 12:25+ \fr 12:25 \ft Yedidia maana yake Apendwaye na \+nd Bwana\+nd*.
SA2 12:30+ \fr 12:30 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
SA2 13:3+ \fr 13:3 \ft Shimea pia hutamkwa Shama.
SA2 14:26+ \fr 14:26 \ft Shekeli 200 kwa kipimo cha kifalme ni sawa na kilo 2.3.
SA2 18:11+ \fr 18:11 \ft Shekeli kumi za fedha ni sawa na gramu 115.
SA2 18:12+ \fr 18:12 \ft Shekeli 1,000 za fedha ni sawa na kilo 11.5.
SA2 20:25+ \fr 20:25 \ft Sheva mahali pengine ameitwa Shausha (\+xt 1Nya 18:16;…xt*).
SA2 21:16+ \fr 21:16 \ft Yaani majitu.
SA2 21:16+ \fr 21:16 \ft Shekeli 300 za shaba ni sawa na kilo 3.5.
SA2 22:6+ \fr 22:6 \ft Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, maana yake ni Shimo lisi…isho.
SA2 23:8+ \fr 23:8 \ft Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu (\+xt 1Nya 11:11\+xt*).
SA2 23:9+ \fr 23:9 \ft Dodai tafsiri nyingine zinamwita Dodo.
SA2 24:16+ \fr 24:16 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.
SA2 24:24+ \fr 24:24 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 23    Footnotes: 23  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 23    Footnote leader '+': 23