KCV.USFM.Demo home
Freely-Given home
News
Overview
Heroes
Bible originals
Bible translations
Open English Translation (OET)
Bible maps
Bible translation
Apps
Software
Bible Organisational System
Bible Drop Box
Demo outputs
Biblelator editor
Bible Door app
Bible standards
Bible reference
Music and songs
Images
Bible studies
Bible teaching
Sermons
FM radio
The Bible Man Van
About
Opportunities
Links
Contact
Donate
Extra space after chapter number in TH2 2:0
Showing 1 out of 44 priority errors
TH2 2:0 Extra space after chapter number
TH2 2:0 Removed trailing space in c: 2
TH2 2:0 Removed trailing space in s1: Yule Mtu Wa Kuasi
TH2 2:1 Removed trailing space in v~: Ndugu, kuhusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanyika kwetu pamoja mbele zake, tunawasihi,
TH2 2:2 Removed trailing space in v~: msiyumbishwe kwa urahisi wala msitiwe wasiwasi na roho wala neno au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu, isemayo kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwako.
TH2 2:3 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote na asiwadanganye kwa namna yoyote kwa maana siku ile haitakuja mpaka uasi utokee kwanza, na yule mtu wa kuasi adhihirishwe, yule ambaye amehukumiwa kuangamizwa kabisa.
TH2 2:4 Removed trailing space in v~: Yeye atapingana na kujitukuza juu ya kila kitu kiitwacho Mungu au kinachoabudiwa, ili kujiweka juu katika Hekalu la Mungu, akijitangaza mwenyewe kuwa ndiye Mungu.
TH2 2:5 Removed trailing space in v~: Je, hamkumbuki ya kwamba nilipokuwa pamoja nanyi niliwaambia mambo haya?
TH2 2:6 Removed trailing space in v~: Nanyi sasa mnajua kinachomzuia, ili apate kudhihirishwa wakati wake utakapowadia.
TH2 2:7 Removed trailing space in v~: Maana ile nguvu ya siri ya uasi tayari inatenda kazi, lakini yule anayeizuia ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapoondolewa.
TH2 2:8 Removed trailing space in v~: Hapo ndipo yule mwasi atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamteketeza kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kabisa kwa utukufu wa kuja kwake.
TH2 2:9 Removed trailing space in v~: Kuja kwa yule mwasi kutaonekana kana kwamba ni kutenda kazi kwake Shetani ambaye hutumia nguvu zote, ishara, maajabu ya uongo,
TH2 2:10 Removed trailing space in v~: na kila aina ya uovu kwa wale wanaoangamia kwa sababu walikataa kuipenda kweli wapate kuokolewa.
TH2 2:11 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, Mungu ameruhusu watawaliwe na nguvu ya udanganyifu, ili waendelee kuamini uongo,
TH2 2:12 Removed trailing space in v~: na wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu.
TH2 2:12 Removed trailing space in s1: Simameni Imara
TH2 2:13 Removed trailing space in v~: Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu, ndugu mpendwao na Bwana, kwa sababu Mungu aliwachagua ninyi tangu mwanzo ili mwokolewe kwa kutakaswa na Roho kwa kuiamini kweli.
TH2 2:14 Removed trailing space in v~: Kwa kusudi hili Mungu aliwaita kwa njia ya kuhubiri kwetu Injili, ili mpate kushiriki katika utukufu wa Bwana Yesu Kristo.
TH2 2:15 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, ndugu wapendwa, simameni imara na myashike sana yale mafundisho tuliyowapa ikiwa ni kwa maneno ya kinywa au kwa barua.
TH2 2:16 Removed trailing space in v~: Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema,
TH2 2:17 Removed trailing space in v~: awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha katika kila neno na tendo jema.
TH2 3:0 Extra space after chapter number
TH2 3:0 Removed trailing space in c: 3
TH2 3:0 Removed trailing space in s1: Hitaji La Maombi
TH2 3:1 Removed trailing space in v~: Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili Neno la Bwana lipate kuenea kwa haraka na kuheshimiwa kila mahali, kama vile ilivyokuwa kwenu.
TH2 3:2 Removed trailing space in v~: Ombeni pia ili tupate kuokolewa kutokana na watu waovu na wabaya, kwa maana si wote wanaoamini.
TH2 3:3 Removed trailing space in v~: Lakini Bwana ni mwaminifu, naye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutokana na yule mwovu.
TH2 3:4 Removed trailing space in v~: Nasi tuna tumaini katika Bwana ya kuwa mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaagiza.
TH2 3:5 Removed trailing space in v~: Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Kristo.
TH2 3:5 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Uvivu
TH2 3:6 Removed trailing space in v~: Ndugu, tunawaagiza katika Jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni na kila ndugu ambaye ni mvivu na ambaye haishi kufuatana na maagizo tuliyowapa.
TH2 3:7 Removed trailing space in v~: Maana ninyi wenyewe mnajua jinsi iwapasavyo kufuata mfano wetu. Sisi hatukuwa wavivu tulipokuwa pamoja nanyi,
TH2 3:8 Removed trailing space in v~: wala hatukula chakula cha mtu yeyote pasipo kukilipia. Badala yake tulifanya kazi kwa bidii usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote miongoni mwenu.
TH2 3:9 Removed trailing space in v~: Tulifanya hivi, si kwa sababu hatukuwa na haki ya kupata msaada kama huo, bali ndio sisi wenyewe tuwe kielelezo.
TH2 3:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana hata tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwapa amri kwamba: “Mtu yeyote asiyetaka kufanya kazi, hata kula asile.”
TH2 3:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tunasikia kwamba baadhi ya watu miongoni mwenu ni wavivu. Hawafanyi kazi bali hujishughulisha na mambo ya wengine.
TH2 3:12 Removed trailing space in v~: Basi watu kama hao tunawaagiza na kuwahimiza katika Bwana Yesu Kristo, kwamba wafanye kazi kwa utulivu kwa ajili ya chakula chao wenyewe.
TH2 3:13 Removed trailing space in v~: Kwa upande wenu, ndugu, ninyi kamwe msichoke katika kutenda mema.
TH2 3:14 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu yeyote hayatii maagizo yetu yaliyoko katika barua hii, mwangalieni sana mtu huyo. Msishirikiane naye, ili apate kuona aibu.
TH2 3:15 Removed trailing space in v~: Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
TH2 3:15 Removed trailing space in s1: Salamu Za Mwisho
TH2 3:16 Removed trailing space in v~: Basi, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani nyakati zote na kwa kila njia. Bwana awe nanyi nyote.
TH2 3:17 Removed trailing space in v~: Mimi, Paulo, ninaandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Hii ndio alama ya utambulisho katika barua zangu zote. Hivi ndivyo niandikavyo.
TH2 3:18 Removed trailing space in v~: Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amen.
id rem h toc1 toc2 toc3 mt1
c p v p* v s1 p v* p v* p v*
c s1 p v* p v* s1 p v* p v*
c s1 p v* s1 p v* p v* p v* s1 p v p v p v
c: 3 h: 1 id: 1 mt1: 1 p: 17 rem: 1 s1: 6 toc1: 1 toc2: 1 toc3: 1 Total: 80 v: 47
id: 1 rem: 1 h: 1 toc1: 1 toc2: 1 toc3: 1 mt1: 1 c: 3 s1: 6 p: 17 v: 47 Total: 80
Book Header: 1 Book ID: 1 Chapters: 3 Paragraphs: 17 Verses: 47
Book ID: 1 Book Header: 1 Chapters: 3 Paragraphs: 17 Verses: 47
0: 3 1: 27 2: 12 3: 6 4: 5 5: 5 6: 5 7: 5 8: 4 9: 3 a: 23 b: 2 D: 1 d: 1 e: 11 h: 8 H: 1 i: 16 I: 1 j: 1 k: 5 K: 1 l: 6 L: 1 M: 4 m: 6 n: 7 N: 1 o: 8 O: 1 r: 2 s: 6 S: 3 Space: 17 t: 6 T: 1 Total: 234 u: 6 U: 1 v: 2 W: 5 w: 1 Y: 2 y: 1 Z: 1
T: 1 N: 1 K: 1 I: 1 H: 1 j: 1 L: 1 O: 1 y: 1 D: 1 d: 1 U: 1 Z: 1 w: 1 r: 2 b: 2 Y: 2 v: 2 S: 3 9: 3 0: 3 M: 4 8: 4 W: 5 k: 5 4: 5 5: 5 6: 5 7: 5 t: 6 s: 6 l: 6 u: 6 m: 6 3: 6 n: 7 h: 8 o: 8 e: 11 2: 12 i: 16 Space: 17 a: 23 1: 27 Total: 234
a: 23 b: 2 D: 1 d: 1 e: 11 h: 8 H: 1 i: 16 I: 1 j: 1 k: 5 K: 1 l: 6 L: 1 M: 4 m: 6 n: 7 N: 1 o: 8 O: 1 r: 2 s: 6 S: 3 Space: 17 t: 6 T: 1 Total: 159 u: 6 U: 1 v: 2 W: 5 w: 1 Y: 2 y: 1 Z: 1
T: 1 N: 1 K: 1 I: 1 H: 1 j: 1 L: 1 O: 1 y: 1 D: 1 d: 1 U: 1 Z: 1 w: 1 r: 2 b: 2 Y: 2 v: 2 S: 3 M: 4 W: 5 k: 5 t: 6 s: 6 l: 6 u: 6 m: 6 n: 7 h: 8 o: 8 e: 11 i: 16 Space: 17 a: 23 Total: 159
--Total--: 26 2The: 1 Dhidi: 1 Hitaji: 1 Imara: 1 Kuasi: 1 La: 1 Maombi: 2 Mtu: 1 Mwisho: 1 Na: 1 Onyo: 1 Salamu: 1 Shukrani: 1 Sila: 1 Simameni: 1 Uvivu: 1 Wa: 1 Wathesalonike: 4 Ya: 1 Yaani: 1 Yule: 1 Za: 1
2The: 1 Yaani: 1 Sila: 1 Shukrani: 1 Na: 1 Yule: 1 Mtu: 1 Wa: 1 Kuasi: 1 Simameni: 1 Imara: 1 Hitaji: 1 La: 1 Onyo: 1 Dhidi: 1 Ya: 1 Uvivu: 1 Salamu: 1 Za: 1 Mwisho: 1 Maombi: 2 Wathesalonike: 4 --Total--: 26
--Total--: 26 2the: 1 dhidi: 1 hitaji: 1 imara: 1 kuasi: 1 la: 1 maombi: 2 mtu: 1 mwisho: 1 na: 1 onyo: 1 salamu: 1 shukrani: 1 sila: 1 simameni: 1 uvivu: 1 wa: 1 wathesalonike: 4 ya: 1 yaani: 1 yule: 1 za: 1
2the: 1 yaani: 1 sila: 1 shukrani: 1 na: 1 yule: 1 mtu: 1 wa: 1 kuasi: 1 simameni: 1 imara: 1 hitaji: 1 la: 1 onyo: 1 dhidi: 1 ya: 1 uvivu: 1 salamu: 1 za: 1 mwisho: 1 maombi: 2 wathesalonike: 4 --Total--: 26
TH2 -1:6 Main Title 1: | 2 Wathesalonike |
TH2 1:2 | Shukrani Na Maombi |
TH2 2:0 | Yule Mtu Wa Kuasi |
TH2 2:12 | Simameni Imara |
TH2 3:0 | Hitaji La Maombi |
TH2 3:5 | Onyo Dhidi Ya Uvivu |
TH2 3:15 | Salamu Za Mwisho |
TH2 1:1 | + \fr 1:1 \ft Yaani Sila. |
Footnote leader '+': 1 Footnotes: 1
Footnotes: 1 Footnote leader '+': 1